JACK WILSHERE ASTAAFU KUCHEZA SOKA
Kiungo wa zamani wa Arsenal, Jack Wilshere amestaafu kucheza soka akiwa na umri wa miaka 30
Wilshere alikuwa akiandamwa na majeraha ya mara kwa mara
Soma > https://jamii.app/WilshereAstaafu
#JFSports
Kiungo wa zamani wa Arsenal, Jack Wilshere amestaafu kucheza soka akiwa na umri wa miaka 30
Wilshere alikuwa akiandamwa na majeraha ya mara kwa mara
Soma > https://jamii.app/WilshereAstaafu
#JFSports
👍9
Umoja wa Afrika umezindua Pasi ya Kielektroniki ya Chanjo ya #COVID19 itakayokuwa ni uthibitisho wa kupatiwa Chanjo, na kuwezesha usafiri rahisi ndani na nje ya Afrika
> Pia, inatarajiwa baadaye itajumuisha vyeti vingine kama Homa ya Manjano
Soma - https://jamii.app/VaccineEPassport
#JFAfya
> Pia, inatarajiwa baadaye itajumuisha vyeti vingine kama Homa ya Manjano
Soma - https://jamii.app/VaccineEPassport
#JFAfya
👍12😁1
DRC: Watu 9 wameripotiwa kuuawa katika kliniki baada ya Kundi la Watu kufanya shambulio Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC)
> Washukiwa wa tukio hilo ni Waasi wa Kundi la Allied Democratic Forces (ADF) toka Uganda
Soma - https://jamii.app/9WauawaDRC
> Washukiwa wa tukio hilo ni Waasi wa Kundi la Allied Democratic Forces (ADF) toka Uganda
Soma - https://jamii.app/9WauawaDRC
😢10👍4👎3😱1
MAAMBUKIZI YA COVID-19 UINGEREZA YAFIKIA WATU MILIONI 2.7
Maambukizi ya Ugonjwa wa UVIKO-19 yanaendelea kushika kasi Uingereza, Ofisi ya Takwimu (ONS) imesema kuwa takribani watu milioni 2.7 wamepata maambukizi
Maambukizi hayo yameongezeka kutokana na kusambaa kwa Virusi vya Omicron vinavyotambulika kitaalamu kwa majina ya BA.4 na BA.5
Soma - https://jamii.app/COVIDUK
#JFAfya
Maambukizi ya Ugonjwa wa UVIKO-19 yanaendelea kushika kasi Uingereza, Ofisi ya Takwimu (ONS) imesema kuwa takribani watu milioni 2.7 wamepata maambukizi
Maambukizi hayo yameongezeka kutokana na kusambaa kwa Virusi vya Omicron vinavyotambulika kitaalamu kwa majina ya BA.4 na BA.5
Soma - https://jamii.app/COVIDUK
#JFAfya
👍6🤔3🤯1
KENYA: Waziri wa Kilimo amesema kuwa wapo ktk mazungumzo na nchi za Zambia, Tanzania na Uganda ili kupeleka mahindi nchini humo ktk kupunguza makali ya kupanda kwa bei ya unga wa mahindi na kupunguza mfumuko wa bei
Soma - https://jamii.app/KenyaMahindi
Soma - https://jamii.app/KenyaMahindi
👍15😁6👎2🤬1😢1
#JFDATA: Kwa mujibu wa Ripoti ya Shirika la Mawasiliano (ITU), 5% ya watu Duniani hawajaunganishwa kwenye Intaneti. Aidha, 18% ya watu Barani Afrika bado hawawezi kufikia Huduma hiyo
32% ya watu Duniani wanafikiwa na Mtandao lakini hawapo mtandaoni kwa sababu mbalimbali ikiwemo bei wasizozimudu, ukosefu wa vifaa, ufahamu au ujuzi
Soma - https://jamii.app/HudumaIntaneti
32% ya watu Duniani wanafikiwa na Mtandao lakini hawapo mtandaoni kwa sababu mbalimbali ikiwemo bei wasizozimudu, ukosefu wa vifaa, ufahamu au ujuzi
Soma - https://jamii.app/HudumaIntaneti
👍6😁2🔥1
TANZIA: Msanii mkongwe wa maigizo, Chuma Suleiman maarufu kama Bi. Hindu amefariki dunia nyumbani kwake Magomeni, Dar es Salaam, Leo Julai 09 2022
> Ndugu wa marehemu wamesema sababu ya kifo hicho ni maradhi yaliyokuwa yanamsumbua kwa muda mrefu
Soma https://jamii.app/BiHinduAfariki
> Ndugu wa marehemu wamesema sababu ya kifo hicho ni maradhi yaliyokuwa yanamsumbua kwa muda mrefu
Soma https://jamii.app/BiHinduAfariki
😢19👍2👎1
KENYATTA: NILITAKA KUACHA URAIS MWAKA 2017
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema alitaka kuacha Urais kisha aende Kijijini baada ya Wapinzani kufungua kesi na Mahakama kuagiza Uchaguzi urudiwe
Naibu wake, William Ruto alimshawishi kutofanya hivyo
Soma - https://jamii.app/KenyattaUrais
#Accountability
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema alitaka kuacha Urais kisha aende Kijijini baada ya Wapinzani kufungua kesi na Mahakama kuagiza Uchaguzi urudiwe
Naibu wake, William Ruto alimshawishi kutofanya hivyo
Soma - https://jamii.app/KenyattaUrais
#Accountability
👍18🤔4
SRI LANKA: WAANDAMANAJI WAVAMIA MAKAZI YA RAIS
Polisi walifyatua risasi kadhaa hewani kujaribu kuwazuia, lakini jitihada zao ziligonga mwamba
Inaripotiwa kuwa Rais Gotabaya Rajapaksa alishaondolewa eneo hilo na kupelekwa mahali salama zaidi
Soma - https://jamii.app/MakaziRais
#Democracy #Accountability
Polisi walifyatua risasi kadhaa hewani kujaribu kuwazuia, lakini jitihada zao ziligonga mwamba
Inaripotiwa kuwa Rais Gotabaya Rajapaksa alishaondolewa eneo hilo na kupelekwa mahali salama zaidi
Soma - https://jamii.app/MakaziRais
#Democracy #Accountability
👍8😁3❤2🥰1
NTHAWA, KENYA: Polisi wanamsaka Mwanaume mmoja kwa madai ya kutengeneza pombe haramu kwa taulo za kike zisizotumika
> Mamia ya lita za pombe hiyo zimekutwa nyumbani kwake zikiwa zimechanganywa na taulo za kike
Soma - https://jamii.app/PombeHaramu
> Mamia ya lita za pombe hiyo zimekutwa nyumbani kwake zikiwa zimechanganywa na taulo za kike
Soma - https://jamii.app/PombeHaramu
😱10🤩7🤮7🤔5👍4🤯4😁3
Elon Musk ametangaza kuwa atasitisha ununuzi wa #Twitter kwa kuwa kampuni hiyo haikumpa ushirikiano alipohitaji taarifa za Akaunti Feki katika jukwaa hilo
> Aidha, atatakiwa kulipa takriban Tsh. Trilioni 2.3 kwa kuvunja Mkataba
Soma - https://jamii.app/MuskTwitter
#JFTech
> Aidha, atatakiwa kulipa takriban Tsh. Trilioni 2.3 kwa kuvunja Mkataba
Soma - https://jamii.app/MuskTwitter
#JFTech
😁16👍12
UTEUZI: Habibu Juma Saidi Suluo ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA)
Anachukua nafasi ya Gilliard Ngewe aliyemaliza Mkataba. Kabla ya kuteuliwa na Rais Samia, alikuwa Mkurugenzi wa Fedha na Uhasibu TASAC
Soma https://jamii.app/UteuziLATRA
Anachukua nafasi ya Gilliard Ngewe aliyemaliza Mkataba. Kabla ya kuteuliwa na Rais Samia, alikuwa Mkurugenzi wa Fedha na Uhasibu TASAC
Soma https://jamii.app/UteuziLATRA
👍9
RAIS WA SRI LANKA AKUBALI KUJIUZULU
Baada ya maandamano makubwa hatimaye Rais Gotabaya Rajapaksa amekubali kuwa atajiuzulu Jumatano Julai 13, 2022
> Spika wa Bunge ametangaza maamuzi hayo na kuwataka wananchi kutulia
Soma https://jamii.app/RaisSriLanka
#Accountability #SriLanka
Baada ya maandamano makubwa hatimaye Rais Gotabaya Rajapaksa amekubali kuwa atajiuzulu Jumatano Julai 13, 2022
> Spika wa Bunge ametangaza maamuzi hayo na kuwataka wananchi kutulia
Soma https://jamii.app/RaisSriLanka
#Accountability #SriLanka
👍15👎1🥰1
MDAU: UKOSEFU WA AJIRA KWA VIJANA NI UHARIBIFU WA NGUVUKAZI
Anasema Kukosa Ajira kunawafanya Vijana wadumae katika ujuzi wao, wakose matumaini na kushindwa kujiamini
Anashauri kuwepo mifumo jumuishi ya Sera na Mifumo sikivu ya Mafunzo, iliyoundwa kwa kutumia mazungumzo kati ya Serikali, Wafanyakazi na Waajiri
Msome hapa - https://jamii.app/AjiraVijanaILO
Anasema Kukosa Ajira kunawafanya Vijana wadumae katika ujuzi wao, wakose matumaini na kushindwa kujiamini
Anashauri kuwepo mifumo jumuishi ya Sera na Mifumo sikivu ya Mafunzo, iliyoundwa kwa kutumia mazungumzo kati ya Serikali, Wafanyakazi na Waajiri
Msome hapa - https://jamii.app/AjiraVijanaILO
👍7👏1
Tunawatakia wote Heri ya Sikukuu ya Eid-Al-Adha. Iwe Siku ya Furaha kwako na kwa uwapendao
Asante kwa kuendelea kutufuatilia
#EidMubarak
Asante kwa kuendelea kutufuatilia
#EidMubarak
👍14❤3🙏1
SOWETO, AFRIKA KUSINI: 14 WAUAWA KWA RISASI BAA
Watu wenye silaha wameshambulia na kuua watu 14, ikielezwa 12 walifariki papo hapo
Kamishna wa Polisi asema watuhumiwa walianza kufyatua risasi ovyo walipowasili eneo la tukio, na watu 10 wamejeruhiwa
Soma https://jamii.app/14KilledSA
Watu wenye silaha wameshambulia na kuua watu 14, ikielezwa 12 walifariki papo hapo
Kamishna wa Polisi asema watuhumiwa walianza kufyatua risasi ovyo walipowasili eneo la tukio, na watu 10 wamejeruhiwa
Soma https://jamii.app/14KilledSA
🤔8👎3😢3👍1
STERLING MBIONI KUTUA CHELSEA
Chelsea na Manchester City zimekubaliana kuhusu uhamisho wa Raheem Sterling (27) kwa ada ya £47.5m (Tsh. 132,050,000,000)
Sterling amekubaliana na Chelsea mkataba wa miaka mitano na atalipwa Paundi 300,000 (Tsh. 834,000,000) kwa wiki.
#JFSports
Chelsea na Manchester City zimekubaliana kuhusu uhamisho wa Raheem Sterling (27) kwa ada ya £47.5m (Tsh. 132,050,000,000)
Sterling amekubaliana na Chelsea mkataba wa miaka mitano na atalipwa Paundi 300,000 (Tsh. 834,000,000) kwa wiki.
#JFSports
👍8🔥4🥰3
UKRAINE YAMUONDOA BALOZI WAKE UJERUMANI
Hivi karibuni Balozi Andriy Melnyk alinukuliwa akiishutumu Ujerumani kutoisaidia Ukraine silaha katika vita dhidi ya Urusi
#Ukraine imefanya mabadiliko ya Mabalozi katika Nchi kadhaa zikiwemo India na Sri Lanka
Soma - https://jamii.app/BaloziUkraine
#Diplomacy
Hivi karibuni Balozi Andriy Melnyk alinukuliwa akiishutumu Ujerumani kutoisaidia Ukraine silaha katika vita dhidi ya Urusi
#Ukraine imefanya mabadiliko ya Mabalozi katika Nchi kadhaa zikiwemo India na Sri Lanka
Soma - https://jamii.app/BaloziUkraine
#Diplomacy
🤩6👍5🤔2🤯2😁1
MAREKANI, CHINA WAANZA MAZUNGUMZO KUMALIZA MGOGORO
Wanadiplomasia wakuu wamekutana, ikiwa ni jitihada za kupunguza mvutano unaoongezeka kati yao
Ni kikao cha kwanza tangu kuibuka kwa sintofahamu baina ya mataifa hayo yenye nguvu kiuchumi
Soma - https://jamii.app/USChina2022
#Diplomacy
Wanadiplomasia wakuu wamekutana, ikiwa ni jitihada za kupunguza mvutano unaoongezeka kati yao
Ni kikao cha kwanza tangu kuibuka kwa sintofahamu baina ya mataifa hayo yenye nguvu kiuchumi
Soma - https://jamii.app/USChina2022
#Diplomacy
👍12🥰3
RWANDA: Rais Paul Kagame amesema haoni shida akiendelea kuiongoza Rwanda kwa miaka 20 ijayo licha ya huko nyuma kuwahi kunukuliwa akisema hana mpango wa kugombea tena
> Kagame alibadili Katiba kwa kuondoa kipengele cha Ukomo wa kugombea Urais
Soma https://jamii.app/KagameRwanda
#Democracy
> Kagame alibadili Katiba kwa kuondoa kipengele cha Ukomo wa kugombea Urais
Soma https://jamii.app/KagameRwanda
#Democracy
👍21👎15😁1