HASUNGA: TATIZO LA AJIRA LITAKUWA BOMU KUBWA LISIPOWEKEWA MIKAKATI
Mbunge wa Vwawa, Japhet Hasunga amesema, "Serikali imesema itatoa Ajira lakini hiyo itakuwa hatua moja. Vijana wanaomaliza ni takriban 90,000 - 100,000 kwa mwaka, kwahiyo haitoshi"
Soma > https://jamii.app/TatizoAjiraTZ
Mbunge wa Vwawa, Japhet Hasunga amesema, "Serikali imesema itatoa Ajira lakini hiyo itakuwa hatua moja. Vijana wanaomaliza ni takriban 90,000 - 100,000 kwa mwaka, kwahiyo haitoshi"
Soma > https://jamii.app/TatizoAjiraTZ
YANGA YAIFUNGA AZAM FC 2-1, YAFIKISHA POINTI 51
Yanga imepata mabao yake kupitia Djuma Shaban na Fiston Mayele. Bao la Azam FC limefungwa na Rodgers Kola
Yanga imefikisha Pointi 51 wakati Azam FC imebaki na Pointi 28
Soma - jamii.app/YangaAzamFC
#JamiiForums #JFSports
Yanga imepata mabao yake kupitia Djuma Shaban na Fiston Mayele. Bao la Azam FC limefungwa na Rodgers Kola
Yanga imefikisha Pointi 51 wakati Azam FC imebaki na Pointi 28
Soma - jamii.app/YangaAzamFC
#JamiiForums #JFSports
DAR: Wananchi wa Mkoa huo na maeneo ya Pwani wametahadharishwa juu ya kununua mafuta ya kwenye madumu kwani wauzaji wanachota baharini
Hiyo ni kutokana na mafuta mengi kumwagika baharini ukanda wa Pwani ikidaiwa yanatoka kwenye meli
Soma - https://jamii.app/MafutaBaharini
#JamiiForums
Hiyo ni kutokana na mafuta mengi kumwagika baharini ukanda wa Pwani ikidaiwa yanatoka kwenye meli
Soma - https://jamii.app/MafutaBaharini
#JamiiForums
Marekani imesema inaamini Mali nyingi za Rais Vladimir Putin zimefichwa na Wanafamilia
Kauli hiyo inakuja kufuatia vikwazo vipya dhidi ya Watu wa karibu wa Putin wakiwemo Mabinti zake, Katerina Vladimirovna Tikhonova na Maria Vladimirovna Vorontsova
Soma - https://jamii.app/VikwazoWttPutin
Kauli hiyo inakuja kufuatia vikwazo vipya dhidi ya Watu wa karibu wa Putin wakiwemo Mabinti zake, Katerina Vladimirovna Tikhonova na Maria Vladimirovna Vorontsova
Soma - https://jamii.app/VikwazoWttPutin
Bodi ya Magavana wa Chuo cha #Academy imetangaza tarehe ya Kikao cha Maamuzi ya Shauri la #WillSmith kumshambulia #ChrisRock kwenye tuzo za #Oscar2022 kuwa ni Aprili 8, 2022
> Aidha, Will alijiuzulu kwa hiyari ktk Chuo hicho Aprili 1, 2022
Soma: https://jamii.app/WillSmith
> Aidha, Will alijiuzulu kwa hiyari ktk Chuo hicho Aprili 1, 2022
Soma: https://jamii.app/WillSmith
Mbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby ameishauri Serikali iruhusu uagizaji binafsi wa mafuta
> Asema, Mfumo wa Uagizaji wa Pamoja unafanya kutokuwepo ushindani wa bei pale inapopanda kwenye soko ambalo mafuta yanaagizwa na kunakuwa hakuna mbadala
Soma https://jamii.app/MafutaKuagiza
> Asema, Mfumo wa Uagizaji wa Pamoja unafanya kutokuwepo ushindani wa bei pale inapopanda kwenye soko ambalo mafuta yanaagizwa na kunakuwa hakuna mbadala
Soma https://jamii.app/MafutaKuagiza
SERIKALI: KUNA ONGEZEKO LA WAGONJWA WA SARATANI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Profesa Abel Makubi amesema kwa takwimu Wananchi wanaokutwa na maradhi ya Saratani wamefikia 40,000 kila mwaka huku wengi wakiwa ktk hali mbaya kiafya
Soma - https://jamii.app/SarataniOngezeko
#CancerAwareness
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Profesa Abel Makubi amesema kwa takwimu Wananchi wanaokutwa na maradhi ya Saratani wamefikia 40,000 kila mwaka huku wengi wakiwa ktk hali mbaya kiafya
Soma - https://jamii.app/SarataniOngezeko
#CancerAwareness
ZELENSKY: MAFUTA YA URUSI KUTOWEKEWA VIKWAZO KUNAGHARIMU MAISHA YA WATU
Rais wa #Ukraine amesema Moscow imekuwa inapata Fedha nyingi kutokana na mauzo ya mafuta, hivyo haioni haja ya kuchukulia kwa uzito Mazungumzo ya Amani
Soma - https://jamii.app/OilRussia
#RussiaUkraineWar
Rais wa #Ukraine amesema Moscow imekuwa inapata Fedha nyingi kutokana na mauzo ya mafuta, hivyo haioni haja ya kuchukulia kwa uzito Mazungumzo ya Amani
Soma - https://jamii.app/OilRussia
#RussiaUkraineWar
KIGOMA: Baadhi ya Madereva wa Bajaji ktk Manispaa ya Kigoma Ujiji wameandamana na kufunga barabara kushinikiza kupandishwa kwa bei za usafiri kutoka Tsh. 500 hadi Tsh. 1,000 kwa wanaochangia usafiri
> Hii ni baada ya bei mpya za mafuta
Soma > https://jamii.app/KigomaNauli
> Hii ni baada ya bei mpya za mafuta
Soma > https://jamii.app/KigomaNauli
SIKU YA AFYA DUNIANI: Maadhimisho ya mwaka 2022 yanabeba ujumbe "Dunia Yetu, Afya Yetu"
Shirika la Afya Duniani linakadiria kuwa zaidi ya vifo Milioni 13 Duniani kila mwaka hutokana na sababu za kimazingira zinazoweza kuepukika
Soma - https://jamii.app/SikuYaAfya2022
#WorldHealthDay
Shirika la Afya Duniani linakadiria kuwa zaidi ya vifo Milioni 13 Duniani kila mwaka hutokana na sababu za kimazingira zinazoweza kuepukika
Soma - https://jamii.app/SikuYaAfya2022
#WorldHealthDay
Bondia mstaafu, Floyd Mayweather atapanda ulingoni Mei 14, 2022 kupigana na Don Moore katika Pambano la Raundi 8 la Maonyesho, Dubai
Mara ya mwisho #Moore kupigana ni 2018 wakati #Mayweather ni 2017
Soma - https://jamii.app/BondiaFloyd
#JamiiForums
Mara ya mwisho #Moore kupigana ni 2018 wakati #Mayweather ni 2017
Soma - https://jamii.app/BondiaFloyd
#JamiiForums
MDAU: NINI KINAKWAMISHA WATU KUKUA KIUCHUMI?
Anasema yeye amekuwa mtafutaji kwa takriban miaka 15 lakini maendeleo yake hayalingani na muda huo wa utafutaji
Anaeleza, baadhi ya watu watakwambia, "Acha pombe, Wanawake na starehe"
Je, vitu hivyo pekee ndiyo kikwazo cha kufikia Maendeleo?
Mjadala > https://jamii.app/UchumiMdau
Anasema yeye amekuwa mtafutaji kwa takriban miaka 15 lakini maendeleo yake hayalingani na muda huo wa utafutaji
Anaeleza, baadhi ya watu watakwambia, "Acha pombe, Wanawake na starehe"
Je, vitu hivyo pekee ndiyo kikwazo cha kufikia Maendeleo?
Mjadala > https://jamii.app/UchumiMdau
KUMBUKIZI YA MIAKA 50 YA KIFO CHA HAYATI ABEID AMANI KARUME
Rais wa Tanzania; Samia Suluhu Hassan, Rais wa Zanzibar; Dkt. Hussein Mwinyi na Viongozi mbalimbali wameadhimisha Siku hii kwa Dua na kuweka mashada kwenye kaburi la aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Hayati Abeid Amani Karume
Karume alizaliwa Agosti 04, 1905 na aliuawa kwa kupigwa risasi Aprili 07, 1972
#KarumeDay
Rais wa Tanzania; Samia Suluhu Hassan, Rais wa Zanzibar; Dkt. Hussein Mwinyi na Viongozi mbalimbali wameadhimisha Siku hii kwa Dua na kuweka mashada kwenye kaburi la aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Hayati Abeid Amani Karume
Karume alizaliwa Agosti 04, 1905 na aliuawa kwa kupigwa risasi Aprili 07, 1972
#KarumeDay
SIMBA YAIFUNGA COASTAL UNION 2-1
Mabao ya Bernard #Morrison na Meddie #Kagere yameipa #Simba ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Coastal Union
Ni katika Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Mkwakwani Mkoani Tanga, leo Aprili 7, 2022
Soma - https://jamii.app/SimbaCoastal
#JamiiForums #JFSports
Mabao ya Bernard #Morrison na Meddie #Kagere yameipa #Simba ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Coastal Union
Ni katika Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Mkwakwani Mkoani Tanga, leo Aprili 7, 2022
Soma - https://jamii.app/SimbaCoastal
#JamiiForums #JFSports
MKUU WA TRAFIKI: MARUFUKU TRAFIKI NA DEREVA KUZUNGUKA NYUMA YA GARI
Wilbrod Mutafungwa amesema hayo baada ya malalamiko ya rushwa dhidi ya Trafiki wanaosimamisha magari na Madereva au Makondakta kuwafuata na βkumalizanaβ nao nyuma ya gari
Soma - https://jamii.app/TuhumaZaRushwa
Wilbrod Mutafungwa amesema hayo baada ya malalamiko ya rushwa dhidi ya Trafiki wanaosimamisha magari na Madereva au Makondakta kuwafuata na βkumalizanaβ nao nyuma ya gari
Soma - https://jamii.app/TuhumaZaRushwa
UN YAISIMAMISHA URUSI KATIKA BARAZA LAKE LA HAKI ZA BINADAMU
Uamuzi huo ni kutokana na uvamizi wake Nchini #Ukraine
Kati ya Wajumbe 193 wa Baraza hilo, 93 walipiga Kura kuunga mkono kusimamishwa Urusi, 24 walipinga na 58 hawakupiga Kura
Soma - https://jamii.app/RussiaSuspended
#JFLeo
Uamuzi huo ni kutokana na uvamizi wake Nchini #Ukraine
Kati ya Wajumbe 193 wa Baraza hilo, 93 walipiga Kura kuunga mkono kusimamishwa Urusi, 24 walipinga na 58 hawakupiga Kura
Soma - https://jamii.app/RussiaSuspended
#JFLeo
#COVID19-TANZANIA: Serikali yasema kuanzia Machi 5, 2022 - Aprili 3, 2022 Visa vipya 116 vilithibitishwa kati ya watu 25,890 waliopimwa
> Dar imeendelea kuwa na idadi kubwa ya maambukizi
> Waliopata dozi kamili ya Chanjo kufikia Aprili 3 ni 3,318,374
Soma - https://jamii.app/VisaVipyaTZ
#UVIKO3
> Dar imeendelea kuwa na idadi kubwa ya maambukizi
> Waliopata dozi kamili ya Chanjo kufikia Aprili 3 ni 3,318,374
Soma - https://jamii.app/VisaVipyaTZ
#UVIKO3
#MICHEZO: Inaelezwa Klabu ya #ManchesterUnited ipo kwenye hatua za mwisho kumtangaza Erik Ten Hag kuwa Kocha Mkuu akitokea Ajax
Ten Hag (52) atachukua nafasi ya Ralf Rangnick ambaye ni Kocha wa muda tangu Ole Gunnar Solskjaer alipotimuliwa 2021
Soma - https://jamii.app/ManUtdKocha
Ten Hag (52) atachukua nafasi ya Ralf Rangnick ambaye ni Kocha wa muda tangu Ole Gunnar Solskjaer alipotimuliwa 2021
Soma - https://jamii.app/ManUtdKocha
HASARA NDANI YA KENYA AIRWAYS: SERIKALI KUPUNGUZA WAFANYAKAZI, SAFARI
Shirika la Ndege la Kenya (KQ) litafanya mabadiliko ya kiutendaji kutokana na hasara iliyoletwa na #CoronaVirus
Shirika hilo limetajwa kujiendesha kwa hasara Miaka Miwili Mfululizo
Soma - https://jamii.app/HasaraKenyaAirways
Shirika la Ndege la Kenya (KQ) litafanya mabadiliko ya kiutendaji kutokana na hasara iliyoletwa na #CoronaVirus
Shirika hilo limetajwa kujiendesha kwa hasara Miaka Miwili Mfululizo
Soma - https://jamii.app/HasaraKenyaAirways