URUSI: Rais Vladmir Putin amesema atasitisha mikataba ya kusambaza Mafuta Barani #Ulaya, ikiwa Mataifa hayo yatakataa kununua bidhaa hiyo kwa fedha ya Urusi
> Pia, Putin ametaka malipo yote yafanyike kupitia Benki za Urusi
Soma https://jamii.app/UrusiMafuta
#RussiaUkraineConflict
> Pia, Putin ametaka malipo yote yafanyike kupitia Benki za Urusi
Soma https://jamii.app/UrusiMafuta
#RussiaUkraineConflict
Mdau ameandika sababu za Biashara ndogo kutofanya vizuri kuwa ni kutofanya utafiti wa soko, kukosa Muongozo bora wa Biashara, kuweka biashara sehemu isiyo sahihi
> Anasema sababu nyingine ni kutaka kujitanua kabla hujajitosheleza
Soma https://jamii.app/BiasharaNdogo
#JFUchumi
> Anasema sababu nyingine ni kutaka kujitanua kabla hujajitosheleza
Soma https://jamii.app/BiasharaNdogo
#JFUchumi
MDAU: UTARATIBU WA KISHERIA KUNUNUA ARDHI ILI KUEPUKA UTAPELI
Ardhi iliyosajiliwa: Mjue anayekuuzia, muulize maswali kuhusu umiliki wake, muombe Kivuli cha Hati (kopi) ujiridhishe umiliki na uhalali wa nyaraka, jadili masharti ya mauziano, andaa mikataba kabla ya kusaini na mshirikishe wakili, lipa na usaini
Ardhi isiyosajiliwa: Mjue anayeuza, ione ardhi, shirikisha Serikali za Mtaa, ukioneshwa ardhi rudi tena kwa muda wako, muhoji muuzaji kuhusu eneo, akuoneshe Nyaraka za Umiliki, uliza Maafisa Ardhi wa Wilaya, Saini Mkataba, mtumie Wakili
Soma - https://jamii.app/NunuaArdhiKisheria
Ardhi iliyosajiliwa: Mjue anayekuuzia, muulize maswali kuhusu umiliki wake, muombe Kivuli cha Hati (kopi) ujiridhishe umiliki na uhalali wa nyaraka, jadili masharti ya mauziano, andaa mikataba kabla ya kusaini na mshirikishe wakili, lipa na usaini
Ardhi isiyosajiliwa: Mjue anayeuza, ione ardhi, shirikisha Serikali za Mtaa, ukioneshwa ardhi rudi tena kwa muda wako, muhoji muuzaji kuhusu eneo, akuoneshe Nyaraka za Umiliki, uliza Maafisa Ardhi wa Wilaya, Saini Mkataba, mtumie Wakili
Soma - https://jamii.app/NunuaArdhiKisheria
KINANA ACHAGULIWA KUWA MAKAMU MWENYEKITI CCM BARA
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wamemchagua Abdulrahman Kinana kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara kwa kura za ndiyo 1,875
Wajumbe waliopiga kura ni 1,875, hakuna za hapana wala zilizoharibika
Soma - https://jamii.app/KinanaMKiti
#Siasa
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wamemchagua Abdulrahman Kinana kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara kwa kura za ndiyo 1,875
Wajumbe waliopiga kura ni 1,875, hakuna za hapana wala zilizoharibika
Soma - https://jamii.app/KinanaMKiti
#Siasa
Ukaguzi wa CAG ulibaini Mamlaka za Serikali za Mitaa 18 pamoja na baadhi ya Taasisi za Serikali hazina Sera na Mipango Mikakati ya Mifumo ya TEHAMA
Pia, Sera na Mipango Mikakati iliyopo haiendani na Kanuni za Fedha katika Taasisi zilizokaguliwa
#JamiiForums #Accountability
Pia, Sera na Mipango Mikakati iliyopo haiendani na Kanuni za Fedha katika Taasisi zilizokaguliwa
#JamiiForums #Accountability
KENYA: Mahakama imetangaza kuwa mabadiliko ya Katiba yaliyopendekezwa kabla ya Uchaguzi Mkuu ni kinyume cha Sheria
> Mahakama imesema, ikithibitika kuwa Rais hakuwa na ushawishi ktk mapendekezo hayo Bunge linaweza kuyawasilisha tena
Soma https://jamii.app/KatibaYazuiliwa
#JFSiasa
> Mahakama imesema, ikithibitika kuwa Rais hakuwa na ushawishi ktk mapendekezo hayo Bunge linaweza kuyawasilisha tena
Soma https://jamii.app/KatibaYazuiliwa
#JFSiasa
URUSI: Gavana wa Jimbo la Belgorod, Vyacheslav Gladkov ameishutumu #Ukraine kushambulia ghala la mafuta la Belgorod na kujeruhi Watu wawili
> Hii ni mara ya pili kwa eneno hilo kupata shambulio ambapo awali Ghala la Silaha lililipuliwa
Soma https://jamii.app/GhalaUrusi
#JamiiForums
> Hii ni mara ya pili kwa eneno hilo kupata shambulio ambapo awali Ghala la Silaha lililipuliwa
Soma https://jamii.app/GhalaUrusi
#JamiiForums
UNFPA: NUSU YA MIMBA DUNIANI HAZIKUTARAJIWA
Inakadiriwa, kila mwaka mimba milioni 121 hupatikana Duniani kote
> 60% ya mimba hizo zinatolewa huku 45% ya zinazotolewa, zikitolewi katika njia zisizo salama na zinasababisha vifo kwa 5% hadi 13%
Soma https://jamii.app/RipotiMimbaDuniani
Inakadiriwa, kila mwaka mimba milioni 121 hupatikana Duniani kote
> 60% ya mimba hizo zinatolewa huku 45% ya zinazotolewa, zikitolewi katika njia zisizo salama na zinasababisha vifo kwa 5% hadi 13%
Soma https://jamii.app/RipotiMimbaDuniani
DAR: WANAOTUMIA MJAMZITO FEKI KUIBA PIKIPIKI WAKAMATWA
Watuhumiwa hao 8 hushirikiana, 1 hujifanya mjamzito na kukodi pikipiki kuelekea kwa wengine 3 ambao hupora
> 1 hung'oa GPRS na wengine 3 hutengeneza na kudurufu kadi, kisha kuuza pikipiki
Soma https://jamii.app/MtandaoBodaboda
Watuhumiwa hao 8 hushirikiana, 1 hujifanya mjamzito na kukodi pikipiki kuelekea kwa wengine 3 ambao hupora
> 1 hung'oa GPRS na wengine 3 hutengeneza na kudurufu kadi, kisha kuuza pikipiki
Soma https://jamii.app/MtandaoBodaboda
Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch limetoa wito kwa #Ukraine kuanzisha uchunguzi wa uhalifu wa kivita, baada ya kuibuka mkanda wa video unaowaonesha Wanajeshi wakiwapiga risasi miguuni wafungwa 3 wa kivita wa Urusi
Soma - https://jamii.app/UhalifuKivitaUkr
#HumanRights
Soma - https://jamii.app/UhalifuKivitaUkr
#HumanRights
RAIS SAMIA: Tunasifiwa kwamba maboresho tuliyoyafanya Awamu ya Tano yamekuza heshima ndani ya Utumishi wa Umma. Heshima iliyokuzwa ni ya woga kwa sababu kulikuwa na 'Simba wa Yuda' ambaye ulikuwa ukimgusa sharubu anakurarua
Soma - https://jamii.app/SamiaHeshimaWoga
#JFSiasa
Soma - https://jamii.app/SamiaHeshimaWoga
#JFSiasa
HIFADHI YA MAFUTA: Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji imesema kiasi cha mafuta kilichopo kuanzia Aprili 1, 2022 ni lita za Petroli zinazotosha kwa siku 27, Dizeli kwa siku 19, Mafuta ya Taa kwa siku 108 na Mafuta ya Ndege kwa siku 35
Soma - https://jamii.app/MafutaEwura
Soma - https://jamii.app/MafutaEwura
UFARANSA: Rais Emmanuel Macron ameahidi kutoa Euro bilioni 20 sawa na Tsh. Trilioni 51 ili kudhibiti ongezeko la bei ya umeme na gesi
> Ameahidi kuwapatia marupurupu yasiyokatwa kodi watumishi wa umma na kupambana na mfumuko wa bei
Soma https://jamii.app/BeiUfaransa
> Ameahidi kuwapatia marupurupu yasiyokatwa kodi watumishi wa umma na kupambana na mfumuko wa bei
Soma https://jamii.app/BeiUfaransa
#Ukraine imetangaza kuchukua udhibiti wa eneo zima la #Kyiv baada ya Wanajeshi wa Urusi kuondoka ktk baadhi ya Miji ya karibu
Watu 280 walizikwa kaburi la pamoja katika Mji wa #Bucha huku Watu 200 wakiuawa katika Mji wa #Irpin
Soma - https://jamii.app/KyviRescue
#RussiaUkraineWar
Watu 280 walizikwa kaburi la pamoja katika Mji wa #Bucha huku Watu 200 wakiuawa katika Mji wa #Irpin
Soma - https://jamii.app/KyviRescue
#RussiaUkraineWar
China imetangaza maambukizi mapya 13,146 ya #COVID19 ambayo yametajwa kuwa ni makubwa kuliko yaliyowahi kuripotiwa tangu Februari 2020
> Maelfu ya Watu wamewekwa karantini na hakuna kifo kilichorekodiwa hadi sasa
Soma https://jamii.app/Corona13146
> Maelfu ya Watu wamewekwa karantini na hakuna kifo kilichorekodiwa hadi sasa
Soma https://jamii.app/Corona13146
JamiiForums inawatakia Waislamu wote pamoja na Watanzania kwa ujumla mfungo mwema wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan
Mwenyezi Mungu akujalie Funga yenye Kheri na Baraka.
#RamadanKareem2022
Mwenyezi Mungu akujalie Funga yenye Kheri na Baraka.
#RamadanKareem2022
DAR: Watu kadhaa wanahofiwa kufariki baada ya kufukiwa na kifusi wakiwa kwenye shughuli za machimbo ya mawe katika eneo la Kikikaka, Mji Mwema Kigamboni, Dar
> Tukio hilo limetokea leo Aprili 3, 2022
Soma - https://jamii.app/WafukiwaNaKifusi
#JamiiForums
> Tukio hilo limetokea leo Aprili 3, 2022
Soma - https://jamii.app/WafukiwaNaKifusi
#JamiiForums
👍1
#CAF: SIMBA YAIFUNGA GENDARMERIE 4-0, YAINGIA ROBO FAINALI
#Simba imeshinda mabao 4-0 dhidi ya Gendarmerie, Uwanja wa Mkapa. Imefikisha pointi 10 katika Kundi D
> Imefuzu Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika
Soma > https://jamii.app/SimbaRoboFainali
#JFSports
#Simba imeshinda mabao 4-0 dhidi ya Gendarmerie, Uwanja wa Mkapa. Imefikisha pointi 10 katika Kundi D
> Imefuzu Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika
Soma > https://jamii.app/SimbaRoboFainali
#JFSports
ARUSHA: Michuano ya Golf ya Mount Kilimanjaro Klassic iliyokuwa ifanyike Aprili 7-10, 2022 imefutwa huku sababu zikiwa hazijawekwa wazi
> Washiriki wameahidiwa kulipwa Dollar 1,000 (takriban Tsh. 2,300,000) kama gharama ya usumbufu
Soma - https://jamii.app/GolfYafutwa
#JFSports
> Washiriki wameahidiwa kulipwa Dollar 1,000 (takriban Tsh. 2,300,000) kama gharama ya usumbufu
Soma - https://jamii.app/GolfYafutwa
#JFSports