Mashindano ya Kitaifa na Kimataifa ya Kuhifadhi #Quran yanatarajia kuanza Aprili 10, 2022 katika Viwanja vya Mkapa, Mnazi mmoja na Diamond Jubilee
Mashindano hayo hufanyika kila Mwaka na kushirikisha Watu kutoka ndani ya Nchi na nje
Soma - https://jamii.app/MashindanoQuran
#RamadanKareem
Mashindano hayo hufanyika kila Mwaka na kushirikisha Watu kutoka ndani ya Nchi na nje
Soma - https://jamii.app/MashindanoQuran
#RamadanKareem
Shirika la Umoja wa Mataifa Linaloshughulikia Haki za Binadamu (UN-OHCHR) limeripoti vifo vya raia 1,417 huku 2,038 wakijeruhiwa katika Mgogoro wa Urusi na Ukraine
> Aidha, 121 ya waliouawa ni Watoto
Soma https://jamii.app/RaiaMgogoro
#JamiiForums #RussiaUkraineConflict
> Aidha, 121 ya waliouawa ni Watoto
Soma https://jamii.app/RaiaMgogoro
#JamiiForums #RussiaUkraineConflict
Mwaka 2019/20 CAG alionesha uwepo kwa viashiria vya #Rushwa, Udanganyifu na Ubadhirifu katika usimamizi wa matumizi ya kawaida
Matumizi ya Tsh. Bilioni 34.99 katika Mfuko wa Maendeleo ya #Utalii yalitumika pasipokuwa na nyaraka zilizoidhinishwa
#JamiiForums #Accountability #WAJIBU #JFUwajibikaji
Matumizi ya Tsh. Bilioni 34.99 katika Mfuko wa Maendeleo ya #Utalii yalitumika pasipokuwa na nyaraka zilizoidhinishwa
#JamiiForums #Accountability #WAJIBU #JFUwajibikaji
SRI LANKA: Mawaziri wote 26 wamewasilisha barua zao za kujiuzulu usiku wa kuamkia leo kufuatia maandamano ya Raia kuipinga Serikali
> Inaelezwa kuwa, Serikali ilizima Mitandao ya Kijamii ili kuzuia maandamano hayo
Soma - https://jamii.app/SriLankaMinResigns
#Democracy
> Inaelezwa kuwa, Serikali ilizima Mitandao ya Kijamii ili kuzuia maandamano hayo
Soma - https://jamii.app/SriLankaMinResigns
#Democracy
EWURA: BEI YA MAFUTA ITAENDELEA KUPANDA
Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imesema bei ya Petroli imepanda kufikia dola 1,106 kwa tani 1 kwa Machi 2022 ikilinganishwa na Desemba 2021, tani 1 ya Petroli iliuzwa dola 717
Soma zaidi > https://jamii.app/MafutaKupandaBei
Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imesema bei ya Petroli imepanda kufikia dola 1,106 kwa tani 1 kwa Machi 2022 ikilinganishwa na Desemba 2021, tani 1 ya Petroli iliuzwa dola 717
Soma zaidi > https://jamii.app/MafutaKupandaBei
π1
DAR: Watu wawili wanashikiliwa na Polisi kwa kukutwa wakikata baadhi ya vyuma vya ngazi ktk nguzo namba P9 kwenye Daraja la Tanzanite lililopo Salender
> Aidha, wengine 10 wamekutwa chini ya daraja hilo wakidai wanaokota vyuma chakavu
Soma - https://jamii.app/HujumaDarajaSalender
> Aidha, wengine 10 wamekutwa chini ya daraja hilo wakidai wanaokota vyuma chakavu
Soma - https://jamii.app/HujumaDarajaSalender
DODOMA: Kamati ya Uongozi ya Bunge imeridhia Bunge kuanza kurushwa 'live' kuanzia Aprili 5, 2022 baada ya maboresho ya Studio za Bunge
> Mwaka 2016, Waziri wa Habari, Nape Nnauye alisitisha matangazo ya 'Live' sababu ikiwa gharama
Soma - https://jamii.app/BungeLive
#JamiiForums
> Mwaka 2016, Waziri wa Habari, Nape Nnauye alisitisha matangazo ya 'Live' sababu ikiwa gharama
Soma - https://jamii.app/BungeLive
#JamiiForums
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel ameupa Uongozi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili miezi miwili ya kujitafakari kuhusu uwezo wao wa kusimamia ubora wa Huduma za Afya
> Hii ni kutokana na malalamiko kutoka kwa Wananchi kuhusu huduma
Soma - https://jamii.app/MuhimbiliLawama
> Hii ni kutokana na malalamiko kutoka kwa Wananchi kuhusu huduma
Soma - https://jamii.app/MuhimbiliLawama
UPDATE: Jeshi la Polisi linamshikilia Shaibu Kuselela (58), mkazi wa Kijiji cha Lipalwe, Tandahimba kwa tuhuma za kumuua mkewe, Amina Mtausi (40) kisha kumzika shambani
> Tukio hilo liliripotiwa kutokea tarehe 28 Februari 2022
Soma: https://jamii.app/MauajiYaMke
#JFMatukio
> Tukio hilo liliripotiwa kutokea tarehe 28 Februari 2022
Soma: https://jamii.app/MauajiYaMke
#JFMatukio
MBEYA: Riziki Henry (22) anashikiliwa kwa kumpiga na kitu kizito kichwani mumewe Ayub Aron (33) na kumsababishia mauti
> Mauaji hayo yanaripotiwa kutokea alfajiri ya tarehe 02 Aprili 2022
Soma: https://jamii.app/AmuuaMumewe
#JFMatukio
> Mauaji hayo yanaripotiwa kutokea alfajiri ya tarehe 02 Aprili 2022
Soma: https://jamii.app/AmuuaMumewe
#JFMatukio
BURUDANI: Kampuni ya #Netflix imeripotiwa kusitisha kuonesha filamu mpya ya Will Smith (53) ya βFast and Looseβ kutokana na kumpiga kibao Chris Rock, kwenye Tuzo za Oscar
Aidha, Kampuni ya #Sony nayo imesitisha muendelezo wa Filamu ya 'Bad Boys 4'
Soma - https://jamii.app/NetflixSonySmith
Aidha, Kampuni ya #Sony nayo imesitisha muendelezo wa Filamu ya 'Bad Boys 4'
Soma - https://jamii.app/NetflixSonySmith
RWANDA: MAHAKAMA YA RUFAA YAIDHINISHA HUKUMU DHIDI YA SHUJAA WA 'HOTEL RWANDA'
Imeidhinisha kifungo cha miaka 25 badala ya maisha dhidi ya Paul Rusesabagina kama Rufaa ya Upande wa Mashtaka ilivyotaka, ikisema hilo ni kosa lake la kwanza
Soma: https://jamii.app/ShujaaJelaRwanda
Imeidhinisha kifungo cha miaka 25 badala ya maisha dhidi ya Paul Rusesabagina kama Rufaa ya Upande wa Mashtaka ilivyotaka, ikisema hilo ni kosa lake la kwanza
Soma: https://jamii.app/ShujaaJelaRwanda
DODOMA: Rais Samia Suluhu Hassan amefungua Mkutano wa Kitaifa wa Haki, Amani na Maridhiano akisisitiza kujadili mambo yanayoendana na hali ya #Siasa, Uchumi na Mazingira ya Nchi
Asema "Msije mkaja na jambo mna hakika hili Rais hataweza kulitekeleza"
Soma https://jamii.app/SamiaMkutHaki
Asema "Msije mkaja na jambo mna hakika hili Rais hataweza kulitekeleza"
Soma https://jamii.app/SamiaMkutHaki
Jeshi la Polisi Kanda ya Dar limesema sehemu ya mikakati yake ktk kuzuia biashara ya Wanawake kujiuza ni kuwakamata Wanaume ambao ni wateja
> Kamanda wa Polisi amesema lengo ni kupunguza matumizi ya nguvu kwa Wanawake wanaofanya biashara hiyo
Soma - https://jamii.app/BiasharaHaramu
> Kamanda wa Polisi amesema lengo ni kupunguza matumizi ya nguvu kwa Wanawake wanaofanya biashara hiyo
Soma - https://jamii.app/BiasharaHaramu
RAIS SAMIA: Na kwa mipango na jinsi ninavyoiendesha Serikali, nina imani tutakapofika 2025 kama hatujafika, tutakuwa tunakaribia
> Tunatarajia Mwaka 2023 Uchumi utakua kwa 5% na 2024 Uchumi utakua kwa 6.8% kama tulipokuwa kabla
Soma - https://jamii.app/UchumiWaKati
#RaisSamia #Siasa
> Tunatarajia Mwaka 2023 Uchumi utakua kwa 5% na 2024 Uchumi utakua kwa 6.8% kama tulipokuwa kabla
Soma - https://jamii.app/UchumiWaKati
#RaisSamia #Siasa
MAREKANI: Mkurugenzi Mtendaji wa #Tesla, Elon Musk amenunua 9.2% ya hisa za Twitter na kuwa mbia mkubwa akimiliki karibu mara 4 zaidi ya hisa za Mwanzilishi wake #JackDorsey mwenye 2.25%
> Taarifa hii imefanya hisa za Twitter kupanda kwa 22%
Soma https://jamii.app/AnunuaHisaTwitter
> Taarifa hii imefanya hisa za Twitter kupanda kwa 22%
Soma https://jamii.app/AnunuaHisaTwitter
WABUNGE WAIKATAA RIPOTI YA MTO MARA
Prof. Muhongo "Ripoti kuhusu Uchafuzi wa Mto Mara ina upotoshaji. Isiwekwe hata kwenye Tovuti ya Wizara. Hakuna Mafuta Ziwa Victoria. Ikiwekwa kwenye tovuti, UNESCO watanishangaa mimi mtaalamu wa eneo hili"
> Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku (Musukuma) amesema: "Ripoti hii hatuitaki. Ni uchafu. Mimi kuanzia leo ninatangaza kujiuzulu Ubalozi wa Mazingira nilioteuliwa na Waziri Jafo kwa sababu ya mwenendo huu.β
Soma - https://jamii.app/RipotiMtoMara
Prof. Muhongo "Ripoti kuhusu Uchafuzi wa Mto Mara ina upotoshaji. Isiwekwe hata kwenye Tovuti ya Wizara. Hakuna Mafuta Ziwa Victoria. Ikiwekwa kwenye tovuti, UNESCO watanishangaa mimi mtaalamu wa eneo hili"
> Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku (Musukuma) amesema: "Ripoti hii hatuitaki. Ni uchafu. Mimi kuanzia leo ninatangaza kujiuzulu Ubalozi wa Mazingira nilioteuliwa na Waziri Jafo kwa sababu ya mwenendo huu.β
Soma - https://jamii.app/RipotiMtoMara
DODOMA: Bunge la Tanzania limetengua Kanuni kwa ajili ya kuruhusu Mfungo wa Mwezi wa Ramadhan na mabadiliko hayo yataendelea hadi mwisho wa mfungo
> Mwisho wa shughuli za Bunge itakuwa saa 12:00 Jioni badala ya saa 1:45 Usiku
Soma - https://jamii.app/BungeTenguaKanuni
#RamadanKareem
> Mwisho wa shughuli za Bunge itakuwa saa 12:00 Jioni badala ya saa 1:45 Usiku
Soma - https://jamii.app/BungeTenguaKanuni
#RamadanKareem
ROBO FAINALI - CAFCC: SIMBA KUIVAA ORLANDO PIRATES
- Simba SC itavaana na Orlando Pirates katika Robo Fainali ya michuano ya Shirikisho Barani Afrika
- Simba ilimaliza ya 2 katika Kundi D ikiwa na alama 10 huku Orlando Pirates ikiwa kinara wa kundi B na alama 13
#JFSports
- Simba SC itavaana na Orlando Pirates katika Robo Fainali ya michuano ya Shirikisho Barani Afrika
- Simba ilimaliza ya 2 katika Kundi D ikiwa na alama 10 huku Orlando Pirates ikiwa kinara wa kundi B na alama 13
#JFSports
EWURA: BEI ZA MAFUTA ZAPANDA
Dar itakuwa, Petroli ni TSh. 2,861, Dizeli bei ni Tsh. 2,692 na Mafuta ya Taa ni Tsh. 2,682
> Tanga itakuwa Petroli ni Tsh. 2,848, Dizeli ni Tsh. 2,779 na Mtwara itakuwa Petroli ni Tsh. 2,678 na Dizeli Tsh. 2,811
Soma - https://jamii.app/MafutaYapanda
Dar itakuwa, Petroli ni TSh. 2,861, Dizeli bei ni Tsh. 2,692 na Mafuta ya Taa ni Tsh. 2,682
> Tanga itakuwa Petroli ni Tsh. 2,848, Dizeli ni Tsh. 2,779 na Mtwara itakuwa Petroli ni Tsh. 2,678 na Dizeli Tsh. 2,811
Soma - https://jamii.app/MafutaYapanda