#URUSI: Serikali inaandaa Amri ya Rais itakayowazuia Raia kutoka Marekani na Washirika wake ikiwemo Uingereza kuingia nchini humo
> Hatua hiyo ni kulipa kisasi dhidi ya vitendo visivyo vya kirafiki vya mataifa kadhaa ya kigeni kwa Nchi hiyo
Soma https://jamii.app/UrusiRaia
> Hatua hiyo ni kulipa kisasi dhidi ya vitendo visivyo vya kirafiki vya mataifa kadhaa ya kigeni kwa Nchi hiyo
Soma https://jamii.app/UrusiRaia
MAREKANI: Rais Joe Biden amesema hataomba radhi kwa kauli yake ya hivi karibuni kuwa Rais Vladimir Putin wa #Urusi hawezi kusalia madarakani
> Asema kauli yake ilikuwa kuonesha hasira ya kimaadili na siyo wito wa kuondoa utawala wa Urusi
Soma https://jamii.app/PutinVsBiden
> Asema kauli yake ilikuwa kuonesha hasira ya kimaadili na siyo wito wa kuondoa utawala wa Urusi
Soma https://jamii.app/PutinVsBiden
TANGA: Watu sita wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya gari aina ya Fuso (T 239 AFB) kuacha njia na kutumbukia kwenye korongo katika eneo la Barabara ya Soni/Mombo, Wilayani Lushoto
> Ajali hiyo imetokea Machi 29, 2022
Soma - https://jamii.app/FusoAjali
#JamiiForums
> Ajali hiyo imetokea Machi 29, 2022
Soma - https://jamii.app/FusoAjali
#JamiiForums
Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Simon Sirro amemuhamishia Makao Makuu ya Polisi Dodoma aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, ACP Wankyo Nyigesa ili kupisha uchunguzi wa kinidhamu
> Machi 26, 2022, Wankyo alimuomba Rais Samia amteue kuwa IGP
Soma https://jamii.app/WankyoNidhamu
> Machi 26, 2022, Wankyo alimuomba Rais Samia amteue kuwa IGP
Soma https://jamii.app/WankyoNidhamu
FAHAMU FAIDA ZA KUPUMZIKA BAADA YA UCHOVU WA KAZI
Watu wenye majukumu hupunguza muda wa kupumzika ili kukamilisha majukumu. Kitaalamu ni muhimu kupumzika ili kuongeza uwezo wa kutunza kumbukumbu na kuondoa hatari ya kupata Kiharusi
Kupumzika hulinda Afya ya Moyo kwa kuwa usukumaji huwa tofauti unapopumzika. Pia, huongeza hamasa ya utendaji na kujenga mwili na huondoa Msongo wa Mawazo
Soma https://jamii.app/FaidaKupumzika
Watu wenye majukumu hupunguza muda wa kupumzika ili kukamilisha majukumu. Kitaalamu ni muhimu kupumzika ili kuongeza uwezo wa kutunza kumbukumbu na kuondoa hatari ya kupata Kiharusi
Kupumzika hulinda Afya ya Moyo kwa kuwa usukumaji huwa tofauti unapopumzika. Pia, huongeza hamasa ya utendaji na kujenga mwili na huondoa Msongo wa Mawazo
Soma https://jamii.app/FaidaKupumzika
NIGERIA: Watu waliojihami wamelishambulia kwa risasi treni iliyokuwa na abiria 1,000 ktk Jimbo la Kaduna na kuwateka baadhi ambao idadi haijafahamika
> Watu wengi wanatumia treni baada ya mashambulio kuwa mengi kwa njia nyingine za usafiri
Soma https://jamii.app/TreniNigeria
> Watu wengi wanatumia treni baada ya mashambulio kuwa mengi kwa njia nyingine za usafiri
Soma https://jamii.app/TreniNigeria
Mwenyekiti wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Rais Uhuru Kenyatta ameidhinisha Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuwa Mwanachama wa EAC
> Maamuzi hayo yamefikiwa Machi 29, 2022 ktk Mkutano wa 19 wa Wakuu wa Nchi Wanachama
Soma https://jamii.app/DRCinEAC
> Maamuzi hayo yamefikiwa Machi 29, 2022 ktk Mkutano wa 19 wa Wakuu wa Nchi Wanachama
Soma https://jamii.app/DRCinEAC
Jeshi la Jamuhuri ya Kidemokrasia ya #Congo limesema limewakamata wanajeshi wawili wa #Rwanda waliohusika na shambulizi lililofanyika na Waasi wa M23
> UN imekuwa ikishutumu Rwanda na #Uganda kwa kuunga mkono M23 ingawa Serikali zote zinakanusha
Soma https://jamii.app/RwandaDRC
> UN imekuwa ikishutumu Rwanda na #Uganda kwa kuunga mkono M23 ingawa Serikali zote zinakanusha
Soma https://jamii.app/RwandaDRC
#SOMALIA: Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa tishio la baa la njaa nchini humo lililosababishwa na ukame linaweza kusababisha vifo 330,000 vya watoto walio chini ya miaka mitano
> Hii ni kutokana na vipindi vitatu vya mvua kupita bila mvua
Soma https://jamii.app/UkameSomalia
> Hii ni kutokana na vipindi vitatu vya mvua kupita bila mvua
Soma https://jamii.app/UkameSomalia
SHINYANGA: Imeripotiwa, Watoto 10 wenye umri wa miaka 6-12 toka Kata ya Mhongolo, Ngogwa na Wendele wamebakwa, kulawitiwa na wengine wakiliwa na fisi kwa kipindi cha miezi mitatu iliyopita
> Hayo yalitokea walipoagizwa dukani nyakati za usiku
Soma - https://jamii.app/Ukatili
> Hayo yalitokea walipoagizwa dukani nyakati za usiku
Soma - https://jamii.app/Ukatili
ZANZIBAR: Makamu wa Kwanza wa Rais, Othman Masoud Othman amesema Sheria ya Uchochezi inatoa fursa ya kutumika vibaya na Vyombo vinavyosimamia Sheria
> Ameongeza, wakati wa kuifanyia mapitio ili kulinda Uhuru wa Kujieleza na wa Habari nchini umefika
Soma https://jamii.app/Uhuru
> Ameongeza, wakati wa kuifanyia mapitio ili kulinda Uhuru wa Kujieleza na wa Habari nchini umefika
Soma https://jamii.app/Uhuru
NAIROBI: Kupanda kwa bei ya mafuta ya kupikia na viazi mviringo kumefanya Wafanyabiashara waache kuuza chipsi kutokana na kupata hasara
> Nchi nyingi za Afrika zinakumbana ongezeko la bei linalotokana na Vita ya #Ukraine na #Urusi
Soma https://jamii.app/NairobiChipsi
> Nchi nyingi za Afrika zinakumbana ongezeko la bei linalotokana na Vita ya #Ukraine na #Urusi
Soma https://jamii.app/NairobiChipsi
MAREKANI: Serikali imewatahadharisha raia wake walioko #Urusi kufuata Sheria za nchi hiyo au kuondoka mapema iwezekanavyo kutokana na vitisho vya kunyanyaswa au kutengwa na Jeshi la Urusi
Soma https://jamii.app/WamarekaniOnyo
#JamiiForums #RussiaUkraineConflict
Soma https://jamii.app/WamarekaniOnyo
#JamiiForums #RussiaUkraineConflict
LIBYA: VISA VYA UKIUKWAJI HAKI VYASHAMIRI TANGU OKTOBA 2021
Matukio yaliyoshamiri ni vitisho dhidi ya Wanaharakati, mashambulizi dhidi ya Mawakili na Majaji na ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binadamu dhidi ya Wahamiaji, Wanawake na Wafungwa
Soma https://jamii.app/LibyaCrisis
#Democracy
Matukio yaliyoshamiri ni vitisho dhidi ya Wanaharakati, mashambulizi dhidi ya Mawakili na Majaji na ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binadamu dhidi ya Wahamiaji, Wanawake na Wafungwa
Soma https://jamii.app/LibyaCrisis
#Democracy
SERIKALI: Kuna ongezeko la watu wenye dalili za homa, kukohoa, mafua, kubanwa kifua na maumivu ya mwili kuanzia Desemba 2021 hadi Machi 25, 2022 na ongezeko hili limetokea kwa kipindi kama hiki kwa kwa miaka 3 mfululizo
Aidha, kuna uwepo wa Mafua Makali (Influenza), utafiti umefanyika katika Hospitali 18 za Mikoa 14 na 3% ya sampuli zilionekana kuwa na Virusi vya Influenza A vinavyosababisha Mafua Makali na Nimonia (Pneumonia)
Soma - https://jamii.app/HomaMafua
#JamiiForums #Afya
Aidha, kuna uwepo wa Mafua Makali (Influenza), utafiti umefanyika katika Hospitali 18 za Mikoa 14 na 3% ya sampuli zilionekana kuwa na Virusi vya Influenza A vinavyosababisha Mafua Makali na Nimonia (Pneumonia)
Soma - https://jamii.app/HomaMafua
#JamiiForums #Afya
CAG: Hadi kufikia Juni 30, 2021, Deni la Serikali lilikuwa Tsh. 64.52 trilioni ikilinganishwa na Tsh. 56.76 trilioni mwaka uliopita hivyo kuna ongezeko la Tsh. 7.76 trilioni, sawa na 13.7%
> Deni la Serikali bado ni himilivu
#JamiiForums #RipotiYaCAG #CAG
> Deni la Serikali bado ni himilivu
#JamiiForums #RipotiYaCAG #CAG
Dkt. Charles Kichere (CAG): Kwa Vyama vya Siasa ADC, CHAUMA, TLP, UMD walipata Hati Mbaya huku CUF, UDP, SAU wakipata Hati Zenye Shaka
> Demokrasia Makini na AFP tulishindwa kutoa maoni
Soma - https://jamii.app/CAGReport
#JamiiForums #RipotiYaCAG #CAG
> Demokrasia Makini na AFP tulishindwa kutoa maoni
Soma - https://jamii.app/CAGReport
#JamiiForums #RipotiYaCAG #CAG
RAIS SAMIA: Kama kuna Waziri ambaye anaendesha Wizara ambayo Mashirika yake hayana bodi, sitomwelewa
> Rais ameongea hayo wakati anapokea Ripoti ya CAG na Ripoti ya TAKUKURU kwa mwaka 2020/2021, leo Machi 30, 2022 Ikulu Chamwino, Dodoma
#JamiiForums #RipotiYaCAG #CAG
> Rais ameongea hayo wakati anapokea Ripoti ya CAG na Ripoti ya TAKUKURU kwa mwaka 2020/2021, leo Machi 30, 2022 Ikulu Chamwino, Dodoma
#JamiiForums #RipotiYaCAG #CAG
Rais Samia: Serikali za Mtaa bado kuna upotevu mkubwa wa Mapato, endelea kusimamia. Kuna watu wamefariki, walifukuzwa au kuacha kazi lakini inaonyesha wanalipwa
> Inno (Innocent Bashungwa) usione shida kufukuza walioiba, usiwalee. Ukiwaonea huruma utalia wewe
#RipotiYaCAG #CAG
> Inno (Innocent Bashungwa) usione shida kufukuza walioiba, usiwalee. Ukiwaonea huruma utalia wewe
#RipotiYaCAG #CAG
CAG alibaini tangu lilipoanza zoezi la utolewaji wa Vitambulisho vya Taifa 2012/13, ni Wananchi 5,621,350 tu ndio waliopata vitambulisho sawa na asilimia 26 ya Wananchi 21,692,122 walioandikishwa NIDA hadi kufikia Juni, 2020.
#JamiiForums #Accountability #JFUwajibikaji #WAJIBU
#JamiiForums #Accountability #JFUwajibikaji #WAJIBU