NAPE: KULAZIMISHA WATUMISHI WA SERIKALI KUTUMIA TTCL HAIKUWA SAHIHI
Waziri wa Habari, Nape Nnauye amekosoa kulazimisha Watumishi wa Serikali kuwa na laini za TTCL, akisema Mtu anaweza kuwa na laini ya TTCL na asiitumie
Soma - https://jamii.app/KulazimishaLaini
#DigitalRights #JFLeo
Waziri wa Habari, Nape Nnauye amekosoa kulazimisha Watumishi wa Serikali kuwa na laini za TTCL, akisema Mtu anaweza kuwa na laini ya TTCL na asiitumie
Soma - https://jamii.app/KulazimishaLaini
#DigitalRights #JFLeo
SERIKALI: MUSWADA WA SHERIA YA ULINZI WA DATA UKO HATUA ZA MWISHO
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema “Hii ni Sheria muhimu vinginevyo uwekezaji utakuwa mgumu. Sio kwasababu kulikuwa na kurekodi rekodi Watu, hapana ni kwasababu ya kutunza Faragha.”
Soma - https://jamii.app/MuswadaFaragha
#DataProtection
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema “Hii ni Sheria muhimu vinginevyo uwekezaji utakuwa mgumu. Sio kwasababu kulikuwa na kurekodi rekodi Watu, hapana ni kwasababu ya kutunza Faragha.”
Soma - https://jamii.app/MuswadaFaragha
#DataProtection
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye ametangaza punguzo la ada ya Maombi ya Leseni ya Maudhui ya Mtandaoni kutoka Tsh. 100,000 hadi Tsh. 50,000 na ada ya Mwaka kutoka Tsh. 1,000,000 hadi Tsh. 500,000
Ameongeza "Tumeondoa Leseni kwa watoa maudhui kupitia Redio na Runinga pindi wakitaka kutoa Maudhui hayo hayo Mitandaoni"
Soma - https://jamii.app/LeseniMaudhui
#JamiiForums
Ameongeza "Tumeondoa Leseni kwa watoa maudhui kupitia Redio na Runinga pindi wakitaka kutoa Maudhui hayo hayo Mitandaoni"
Soma - https://jamii.app/LeseniMaudhui
#JamiiForums
MWANZA: RAIA WALALAMIKA KUTOPEWA AJIRA MRADI WA SGR
Wananchi wa Fela Wilayani Misungwi wamesimamisha msafara wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kulalamikia kunyimwa ajira, na baadhi kuombwa rushwa katika Mradi wa Mwanza - Isaka
Soma - https://jamii.app/AjiraSGR
#JFLeo
Wananchi wa Fela Wilayani Misungwi wamesimamisha msafara wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kulalamikia kunyimwa ajira, na baadhi kuombwa rushwa katika Mradi wa Mwanza - Isaka
Soma - https://jamii.app/AjiraSGR
#JFLeo
PROF. MKUMBO: KILA RAIS HUTATUA CHANGAMOTO NA KUTENGENEZA NYINGINE
Mbunge wa Ubungo asema ni kawaida kwa Rais wa kutatua changamoto anazozikuta lakini huwa wanazitengeneza nyingine
Amesema Rais Samia ametatua changamoto ya Kidiplomasia na Uwekezaji
Soma https://jamii.app/MatatizoRais
Mbunge wa Ubungo asema ni kawaida kwa Rais wa kutatua changamoto anazozikuta lakini huwa wanazitengeneza nyingine
Amesema Rais Samia ametatua changamoto ya Kidiplomasia na Uwekezaji
Soma https://jamii.app/MatatizoRais
PROF. KITILA: CHANGAMOTO YA ELIMU NI KUTENGENEZA WAHITIMU WASIOAJIRIKA
Asema Elimu ya sasa inatengeneza Wahitimu ambao hawawezi kutengeneza Ajira na wanakosa Stadi za Ufundi
Ameeleza, ni muhimu Mwanafunzi kuwa na Taaluma, Stadi na Maarifa ya Msingi
Soma https://jamii.app/MatatizoRais
Asema Elimu ya sasa inatengeneza Wahitimu ambao hawawezi kutengeneza Ajira na wanakosa Stadi za Ufundi
Ameeleza, ni muhimu Mwanafunzi kuwa na Taaluma, Stadi na Maarifa ya Msingi
Soma https://jamii.app/MatatizoRais
UTEUZI: Rais Samia Suluhu Hassan amteua Humphrey Polepole kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Malawi
Shamsi Vuai Nahodha ameteuliwa kuwa Mbunge wa Bunge la JMT na Waziri Kindamba kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe
Wataapishwa Ikulu Dodoma Machi 15, 2022
Soma https://jamii.app/BaloziMalawi
#JFLeo
Shamsi Vuai Nahodha ameteuliwa kuwa Mbunge wa Bunge la JMT na Waziri Kindamba kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe
Wataapishwa Ikulu Dodoma Machi 15, 2022
Soma https://jamii.app/BaloziMalawi
#JFLeo
NEHEMIA MCHECHU ARUDISHWA NHC
- Rais Samia amemteua Nehemia Mchechu kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba ya Taifa (NHC)
- Mchechu aliondolewa katika nafasi hiyo Juni 2018 ikielezwa ni kutokana na tuhuma mbalimbali zilizokuwa zinamkabili
Soma https://jamii.app/NehemiaNHC
#JFLeo
- Rais Samia amemteua Nehemia Mchechu kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba ya Taifa (NHC)
- Mchechu aliondolewa katika nafasi hiyo Juni 2018 ikielezwa ni kutokana na tuhuma mbalimbali zilizokuwa zinamkabili
Soma https://jamii.app/NehemiaNHC
#JFLeo
PROF. KITILA: SUALA SIO KATIBA MPYA BALI LINI TUTAREJEA MCHAKATO
Amesema Nchi ilishapiga hatua kwani ilishakubaliana Mwaka 2014 na kuunda Tume ya #Katiba Mpya
Asema swali la kujiuliza ni lini mchakato utarejea kwani Rasilimali nyingi zimetumika
Soma - https://jamii.app/Katiba2014
Amesema Nchi ilishapiga hatua kwani ilishakubaliana Mwaka 2014 na kuunda Tume ya #Katiba Mpya
Asema swali la kujiuliza ni lini mchakato utarejea kwani Rasilimali nyingi zimetumika
Soma - https://jamii.app/Katiba2014
JE, NI RAHISI WANAWAKE KUSAMEHE USALITI KULIKO WANAUME?
Wadau ndani ya JamiiForums.com wanasema mara nyingi ni rahisi Mwanamke kumsamehe Mwanaume kosa la usaliti kuliko Mwanaume kumsamehe Mwanamke
Nini mawazo yako kwenye hili?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/UsalitiMapenzi
Wadau ndani ya JamiiForums.com wanasema mara nyingi ni rahisi Mwanamke kumsamehe Mwanaume kosa la usaliti kuliko Mwanaume kumsamehe Mwanamke
Nini mawazo yako kwenye hili?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/UsalitiMapenzi
UJERUMANI: SAFARI ZA NDEGE ZAFUTWA KWA MGOMO WA WAFANYAKAZI
Wafanyakazi wa Usalama wamefanya mgomo wa kudai nyongeza ya mishahara
Mgomo huo unafanyika wakati Mashirika ya Ndege yakiyumba kutokana na vita ya #Ukraine na ongezeko la Bei ya Mafuta
Soma - https://jamii.app/FlightsCancelGRM
Wafanyakazi wa Usalama wamefanya mgomo wa kudai nyongeza ya mishahara
Mgomo huo unafanyika wakati Mashirika ya Ndege yakiyumba kutokana na vita ya #Ukraine na ongezeko la Bei ya Mafuta
Soma - https://jamii.app/FlightsCancelGRM
MSAIDIZI WA SABAYA ADAI ALIKUWA ANAISHI KAMA MATEKA
Watson Mwahomange ambaye ni Mtuhumiwa katika Kesi ya Uhujumu Uchumi amesema alipigwa kila alipotuhumiwa kitu
Asema Sabaya ni mtu hatari na kuomba Mahakama impe ulinzi atakaporudi Mahabusu
Soma - https://jamii.app/SabayaHatari
Watson Mwahomange ambaye ni Mtuhumiwa katika Kesi ya Uhujumu Uchumi amesema alipigwa kila alipotuhumiwa kitu
Asema Sabaya ni mtu hatari na kuomba Mahakama impe ulinzi atakaporudi Mahabusu
Soma - https://jamii.app/SabayaHatari
Ripoti ya CAG ya 2019/20, inaonesha kuongezeka kwa idadi ya mapendekezo yanayotolewa na CAG kwa Miaka mitatu mfululizo kutoka 4,282 Mwaka 2016/17 hadi kufikia 5,483 kwa 2018/19
Mwaka 2018/19 mapendekezo yaliyotekelezwa kikamilifu yalikuwa 1,608 (28%), Mwaka 2017/18 yaliyotekelezwa kikamilifu ni 1,474 (31%) na Mwaka 2016/17 yaliyotekelezwa ni 1,459 (3%).
#JamiiForums #Accountability #JFUwajibikaji #WAJIBU
Mwaka 2018/19 mapendekezo yaliyotekelezwa kikamilifu yalikuwa 1,608 (28%), Mwaka 2017/18 yaliyotekelezwa kikamilifu ni 1,474 (31%) na Mwaka 2016/17 yaliyotekelezwa ni 1,459 (3%).
#JamiiForums #Accountability #JFUwajibikaji #WAJIBU
Rais Samia Suluhu Hassan leo, Machi 15, 2022 amewaapisha Humphrey Polepole kuwa Balozi wa #Tanzania Nchini #Malawi na Waziri Kindamba kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe
Hafla ya uapisho imefanyika Viwanja vya Ikulu, Chamwino, Dodoma
Soma - https://jamii.app/UapishoPolepole
#JFLeo
Hafla ya uapisho imefanyika Viwanja vya Ikulu, Chamwino, Dodoma
Soma - https://jamii.app/UapishoPolepole
#JFLeo
UN: VITA YA URUSI NA #UKRAINE INAWEZA KUSABABISHA UHABA WA CHAKULA DUNIANI
Umoja wa Mataifa umesema Nchi nyingi Afrika zinategemea ngano kutoka Mataifa hayo, na vita itasababisha uhaba
Tayari Burkina Faso, Somalia na Yemen zinahangaika kulisha Raia
Soma https://jamii.app/NganoUN
Umoja wa Mataifa umesema Nchi nyingi Afrika zinategemea ngano kutoka Mataifa hayo, na vita itasababisha uhaba
Tayari Burkina Faso, Somalia na Yemen zinahangaika kulisha Raia
Soma https://jamii.app/NganoUN
BIASHARA: MAMBO YA KUZINGATIA ILI KUTOA HUDUMA NZURI KWA WATEJA
1. Mthamini Mteja kuliko Pesa: Pesa ni ujira anaopewa Mtu baada ya kutatua tatizo la Mteja
2. Elewa hitaji la Mteja: Mteja anapofika katika Biashara yako hakikisha unafahamu na kuelewa vyema anahitaji nini (kuwa Msikivu)
3. Jifunze Lugha nzuri kwa Mteja: Usijibu Wateja kwa lugha ya mkato au kukejeli. Kuwa na utulivu unapozungumza na Mteja na mpe ufafanuzi anaohitaji.
Soma - https://jamii.app/HudumaWateja
#Biashara
1. Mthamini Mteja kuliko Pesa: Pesa ni ujira anaopewa Mtu baada ya kutatua tatizo la Mteja
2. Elewa hitaji la Mteja: Mteja anapofika katika Biashara yako hakikisha unafahamu na kuelewa vyema anahitaji nini (kuwa Msikivu)
3. Jifunze Lugha nzuri kwa Mteja: Usijibu Wateja kwa lugha ya mkato au kukejeli. Kuwa na utulivu unapozungumza na Mteja na mpe ufafanuzi anaohitaji.
Soma - https://jamii.app/HudumaWateja
#Biashara
MALEZI: MAMBO YANAYOWEZA KUATHIRI MAENDELEO YA MTOTO KIMASOMO
1. Matatizo ya Kisaikolojia: Matatizo haya hutokana na kubakwa, kulawitiwa, kupigwa, kunyimwa Chakula
2. Matatizo ya Kifamilia: Kuna Familia ambazo kila siku ni Ugomvi, fujo za Ulevi, au hata Unyanyasaji mwingine kama Utumikishaji wa Watoto pamoja na Mazingira Duni ya kuishi
Soma - https://jamii.app/MasomoWatoto
#Malezi #Parenthood
1. Matatizo ya Kisaikolojia: Matatizo haya hutokana na kubakwa, kulawitiwa, kupigwa, kunyimwa Chakula
2. Matatizo ya Kifamilia: Kuna Familia ambazo kila siku ni Ugomvi, fujo za Ulevi, au hata Unyanyasaji mwingine kama Utumikishaji wa Watoto pamoja na Mazingira Duni ya kuishi
Soma - https://jamii.app/MasomoWatoto
#Malezi #Parenthood
USHAURI: NAMSAIDIAJE MTOTO WANGU KUACHA TABIA YA WIZI?
Mdau anasema Mtoto wake yuko Darasa la 6 na ana tabia ya Wizi uliokithiri
Ameshamwadhibu ila haijasaidia. Anaiba Nyumbani, Shuleni, kwa Majirani na hata kwa Wageni wanaofika Nyumbani
Anauliza: Je, anakosea wapi kwenye Malezi? Atumie mbinu gani kumsaidia Mtoto?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/MtotoMwizi
#Malezi
Mdau anasema Mtoto wake yuko Darasa la 6 na ana tabia ya Wizi uliokithiri
Ameshamwadhibu ila haijasaidia. Anaiba Nyumbani, Shuleni, kwa Majirani na hata kwa Wageni wanaofika Nyumbani
Anauliza: Je, anakosea wapi kwenye Malezi? Atumie mbinu gani kumsaidia Mtoto?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/MtotoMwizi
#Malezi
KIGOMA: SHABIKI WA MPIRA AFARIKI BAADA YA KUPIGWA RISASI NA ASKARI
Kamanda wa Polisi Mkoani humo, James Manyama amesema tukio hilo lilitokea Machi 14, 2022 kufuatia vurugu katika mchezo wa soka, ambapo Askari alifyatua risasi wakati akijihami
Soma - https://jamii.app/PoliceKgm
Kamanda wa Polisi Mkoani humo, James Manyama amesema tukio hilo lilitokea Machi 14, 2022 kufuatia vurugu katika mchezo wa soka, ambapo Askari alifyatua risasi wakati akijihami
Soma - https://jamii.app/PoliceKgm
#YEMEN: Mashirika ya Misaada ya Umoja wa Mataifa yamesema Watu wapatao 160,000 wamo hatarini kukabiliwa na uhaba mkubwa wa Chakula
Hali ni mbaya Nchini Yemen kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe tangu 2014 Waasi wa Kihouthi walipoteka Mji Mkuu
Soma - https://jamii.app/Njaa160kYemen
Hali ni mbaya Nchini Yemen kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe tangu 2014 Waasi wa Kihouthi walipoteka Mji Mkuu
Soma - https://jamii.app/Njaa160kYemen
👍1