NINI MAANA YA DHANA YA HAKI ZA KIJAMII?
Humaanisha uwepo wa Haki sawa kwa watu wote na uwezekano wa kila mtu, bila ubaguzi, kufaidika na Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii
Baadhi ya Haki za Kijamii ni pamoja na Usawa mbele ya #Sheria na Haki ya kupata Huduma za Afya
Soma - https://jamii.app/SJD2022
#SocialJusticeDay #SocialJustice
Humaanisha uwepo wa Haki sawa kwa watu wote na uwezekano wa kila mtu, bila ubaguzi, kufaidika na Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii
Baadhi ya Haki za Kijamii ni pamoja na Usawa mbele ya #Sheria na Haki ya kupata Huduma za Afya
Soma - https://jamii.app/SJD2022
#SocialJusticeDay #SocialJustice
NIGER: Watoto saba (7) wameuawa na wengine watano (5) kujeruhiwa vibaya nchini humo baada ya shambulizi la anga la Jeshi la #Nigeria lililolenga wapiganaji walioko mpakani
> Mamlaka zinaendelea kufuatilia tukio hilo
Soma https://jamii.app/NigeriaNiger
#JFMatukio
> Mamlaka zinaendelea kufuatilia tukio hilo
Soma https://jamii.app/NigeriaNiger
#JFMatukio
HISTORIA: Chips za Viazi (Crisps) zilianza kutengenezwa Mwaka 1853 baada ya Mmarekani mweusi, George Speck (Mpishi) kupokea malalamiko ya Mteja akimlaumu kuwekewa Viazi vyenye mapande makubwa sana
Inadaiwa ili kuwakomoa Wateja, Speck alianza kukata vipande vidogovidogo mfano wa Karatasi lakini Wateja wakatokea kuvipenda sana.
Soma zaidi - https://jamii.app/SaratogaChips
#JFHistoria
Inadaiwa ili kuwakomoa Wateja, Speck alianza kukata vipande vidogovidogo mfano wa Karatasi lakini Wateja wakatokea kuvipenda sana.
Soma zaidi - https://jamii.app/SaratogaChips
#JFHistoria
40% YA WATU HAWATUMII LUGHA MAMA KWENYE ELIMU
Shirika la UN linalohusika na Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limesema Jamii hizo zimelazimika kufahamu Lugha zaidi ya moja
Februari 21 ni Siku ya Kimataifa ya Lugha Mama
Soma - https://jamii.app/LughaMama
#MotherLanguageDay #JFLugha
Shirika la UN linalohusika na Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limesema Jamii hizo zimelazimika kufahamu Lugha zaidi ya moja
Februari 21 ni Siku ya Kimataifa ya Lugha Mama
Soma - https://jamii.app/LughaMama
#MotherLanguageDay #JFLugha
MALEZI: TUNZA AFYA YA MTOTO KWA KUMFUNDISHA USAFI
Usafi wa Kinywa: Mpigishe Mtoto Mswaki kila siku Asubuhi na ikiwezekana kila baada ya kula. Mfundishe namna ya kuswaki vizuri ili kuzuia kuoza kwa Meno na Magonjwa ya Fizi
Usafi wa Mikono: Wafundishe Watoto kunawa Mikono kwa Maji safi na sabuni kila wanapotoka Kucheza, kabla ya Kula, baada ya Kula na baada ya kutoka Maliwato
Soma - https://jamii.app/UsafiWatotoAfya
#JFMalezi #Parenthood
Usafi wa Kinywa: Mpigishe Mtoto Mswaki kila siku Asubuhi na ikiwezekana kila baada ya kula. Mfundishe namna ya kuswaki vizuri ili kuzuia kuoza kwa Meno na Magonjwa ya Fizi
Usafi wa Mikono: Wafundishe Watoto kunawa Mikono kwa Maji safi na sabuni kila wanapotoka Kucheza, kabla ya Kula, baada ya Kula na baada ya kutoka Maliwato
Soma - https://jamii.app/UsafiWatotoAfya
#JFMalezi #Parenthood
Uwajibikaji unapima kiwango ambacho Serikali inatekeleza majukumu yake katika kueleza na kuhalalisha Maamuzi yake kwa Umma
Ufanisi mkubwa wa #Uwajibikaji unaainishwa kwa namna ambavyo Wadai Haki/Wananchi wanaelezea mahitaji yao, lakini pia unahusiana na Nafasi, Uwezo na Utayari wa Watendaji kuwajibika kwa Matendo
Soma - https://jamii.app/UwajibikajiUfanisi
#Accountability #Democracy
Ufanisi mkubwa wa #Uwajibikaji unaainishwa kwa namna ambavyo Wadai Haki/Wananchi wanaelezea mahitaji yao, lakini pia unahusiana na Nafasi, Uwezo na Utayari wa Watendaji kuwajibika kwa Matendo
Soma - https://jamii.app/UwajibikajiUfanisi
#Accountability #Democracy
MAGU: WAVUNJA MAKABURI NA KUIBA MISALABA, NONDO
Wananchi wamedai baadhi ya Makaburi yameharibiwa na kuachwa wazi au na mianya mikubwa huku vitu vikiibwa
Mkuu wa Wilaya ya Magu Mkoani Mwanza, Salum Kalli ameagiza wahusika wasakwe na kutiwa nguvuni
Soma - https://jamii.app/MakaburiMagu
#JFUwajibikaji
Wananchi wamedai baadhi ya Makaburi yameharibiwa na kuachwa wazi au na mianya mikubwa huku vitu vikiibwa
Mkuu wa Wilaya ya Magu Mkoani Mwanza, Salum Kalli ameagiza wahusika wasakwe na kutiwa nguvuni
Soma - https://jamii.app/MakaburiMagu
#JFUwajibikaji
LINDI: Wanachama Wanne wa CHADEMA wamehukumiwa kifungo cha miaka 8 kwa kosa la kuharibu mali na kujeruhi watu wakiwemo Askari Polisi siku ya Uchaguzi Mkuu (Oktoba 28, 2020)
Katika utetezi walisema wahurumiwe kwa madai wana Familia zinazowategemea
Soma - https://jamii.app/LindiChadema
#JFSiasa
Katika utetezi walisema wahurumiwe kwa madai wana Familia zinazowategemea
Soma - https://jamii.app/LindiChadema
#JFSiasa
UNHCR: IDADI KUBWA YA WAKIMBIZI DUNIANI HUTOKEA NCHI TANO
Nchi hizo ni #Afghanistan, Myanmar, Sudan Kusini, Syria na #Venezuela
Kwa kila sekunde, kuna Mtu 1 anayakimbia Makazi yake kutokana na Mabadiliko ya Tabianchi/Hali ya Hewa
Soma - https://jamii.app/ClimateRefugees
#HumanRights
Nchi hizo ni #Afghanistan, Myanmar, Sudan Kusini, Syria na #Venezuela
Kwa kila sekunde, kuna Mtu 1 anayakimbia Makazi yake kutokana na Mabadiliko ya Tabianchi/Hali ya Hewa
Soma - https://jamii.app/ClimateRefugees
#HumanRights
SHINYANGA: MBARONI KWA KUIBA MTOTO WA SIKU 20
Rehema Saidi (47) amekamatwa kwa tuhuma ya kuiba Mtoto Kituo cha Afya Lunguya
Wito umetolewa kwa Serikali kuimarisha ulinzi katika Vituo vya Afya na Zahanati ili kudhibiti wizi wa Watoto
Soma - https://jamii.app/WiziMtoto
#JFMatukio
Rehema Saidi (47) amekamatwa kwa tuhuma ya kuiba Mtoto Kituo cha Afya Lunguya
Wito umetolewa kwa Serikali kuimarisha ulinzi katika Vituo vya Afya na Zahanati ili kudhibiti wizi wa Watoto
Soma - https://jamii.app/WiziMtoto
#JFMatukio
WAZIRI NAPE: SHERIA YA ULINZI WA DATA NI YA MUHIMU
Amesema ni ya msingi katika Tanzania ya kidijitali ili watu wajiamini na kuwa huru
JamiiForums imekuwa mstari wa mbele kuitetea Haki ya Faragha kwa mujibu wa Ibara ya 16 ya Katiba
Soma https://jamii.app/NapeData
#DataProtection #DataPrivacy
Amesema ni ya msingi katika Tanzania ya kidijitali ili watu wajiamini na kuwa huru
JamiiForums imekuwa mstari wa mbele kuitetea Haki ya Faragha kwa mujibu wa Ibara ya 16 ya Katiba
Soma https://jamii.app/NapeData
#DataProtection #DataPrivacy
MAREKANI YADAI INA ORODHA YA WANAOPASWA KUUAWA NA URUSI ITAKAPOIVAMIA UKRAINE
Marekani imedai miongoni mwa walengwa ni wapinzani wa kisiasa na makundi madogo ya watu wa Dini
Urusi imeendelea kukanusha kuwa na mpango wa kushambulia Ukraine
Soma - https://jamii.app/UrusiUkraine
#JFLeo
Marekani imedai miongoni mwa walengwa ni wapinzani wa kisiasa na makundi madogo ya watu wa Dini
Urusi imeendelea kukanusha kuwa na mpango wa kushambulia Ukraine
Soma - https://jamii.app/UrusiUkraine
#JFLeo
TANZANIA KUPATA MKOPO WA TRILIONI 1.5 KUTOKA BENKI YA DUNIA
Benki ya Dunia (WB) na #Tanzania zimesaini Mikataba ya Mkopo wa masharti nafuu wa Dola Milioni 650 kwa ajili ya Miradi ya kuboresha #Elimu na kuimarisha Usalama na umiliki ardhi
Soma - https://jamii.app/MkoboTrilioni
#Governance
Benki ya Dunia (WB) na #Tanzania zimesaini Mikataba ya Mkopo wa masharti nafuu wa Dola Milioni 650 kwa ajili ya Miradi ya kuboresha #Elimu na kuimarisha Usalama na umiliki ardhi
Soma - https://jamii.app/MkoboTrilioni
#Governance
HOJA: UNATAMANI UZEE WAKO UWEJE?
Mdau wa JamiiForums.com anasema akifikisha Miaka 60 hataki kutumia nguvu nyingi kutafuta riziki
Anatamani uwe wakati wa kukaa na Wajukuu zake. Pia, hatamani kuishi Mjini ambako kuna msongamano wa Watu
Je, nawe unataka Uzee wako uweje?
Mjadala - https://jamii.app/TamaaUzee
#Maisha
Mdau wa JamiiForums.com anasema akifikisha Miaka 60 hataki kutumia nguvu nyingi kutafuta riziki
Anatamani uwe wakati wa kukaa na Wajukuu zake. Pia, hatamani kuishi Mjini ambako kuna msongamano wa Watu
Je, nawe unataka Uzee wako uweje?
Mjadala - https://jamii.app/TamaaUzee
#Maisha
#MALI: Bunge la Mpito limepitisha kwa Kura zote Muswada wa kutawaliwa na Jeshi kwa miaka mitano. Mali iliingia katika Utawala wa Kijeshi baada ya Mapinduzi ya Mei 2021
Jumuiya mbalimbali zinashinikiza Utawala wa Kiraia kurejeshwa
Soma - https://jamii.app/MaliJeshi
#Democracy
Jumuiya mbalimbali zinashinikiza Utawala wa Kiraia kurejeshwa
Soma - https://jamii.app/MaliJeshi
#Democracy
Umoja wa Ulaya umewawekea Vikwazo Maafisa wa #Myanmar pamoja na #Biashara za Mafuta na Gesi kutokana na Mapinduzi ya Mwaka mmoja uliopita
50% ya Mapato ya Myanmar yanatokana na Fedha za Kigeni zinazopatikana kupitia rasilimali ya Gesi
Soma - https://jamii.app/EUBanMyanmar
#Democracy
50% ya Mapato ya Myanmar yanatokana na Fedha za Kigeni zinazopatikana kupitia rasilimali ya Gesi
Soma - https://jamii.app/EUBanMyanmar
#Democracy
BRAZIL: MAFURIKO YAUA WATU 176
Mvua kubwa iliyonyesha huko #Petropolis iliwafunika watu wengi kwenye tope na hadi sasa watu zaidi ya 110 bado hawajulikani walipo
Mvua zimesababisha mafuriko na maporomoko maeneo mbalimbali Nchini #Brazil
Soma - https://jamii.app/BrazilVifo176
#JFLeo
Mvua kubwa iliyonyesha huko #Petropolis iliwafunika watu wengi kwenye tope na hadi sasa watu zaidi ya 110 bado hawajulikani walipo
Mvua zimesababisha mafuriko na maporomoko maeneo mbalimbali Nchini #Brazil
Soma - https://jamii.app/BrazilVifo176
#JFLeo
#PAKISTAN: WANAOKOSOA MAMLAKA MTANDAONI KUFUNGWA HADI MIAKA 5
Wanaokosoa Jeshi, Mahakama au Maafisa wa Umma Mtandaoni watafungwa Miaka 5 na hakuna dhamana
Wanaharakati wanasema Sheria inazidi kuminya Uhuru wa Kujieleza ktk Taifa hilo
Soma - https://jamii.app/PakistanLawSM
#FreeSpeech
Wanaokosoa Jeshi, Mahakama au Maafisa wa Umma Mtandaoni watafungwa Miaka 5 na hakuna dhamana
Wanaharakati wanasema Sheria inazidi kuminya Uhuru wa Kujieleza ktk Taifa hilo
Soma - https://jamii.app/PakistanLawSM
#FreeSpeech
JE, WAJUA; Leo 22/02/2022 ni #Palindrome, ikimaanisha Namba inaweza kusomeka kwa kwenda mbele au kurudi nyuma bila kupoteza thamani
Pia leo ni 'Ambigram' ambayo humaanisha Sanaa inayoweza kufanya neno/namba lisomeke juu chini, na chini juu
Soma https://jamii.app/Paliondrome
#TwosDay
Pia leo ni 'Ambigram' ambayo humaanisha Sanaa inayoweza kufanya neno/namba lisomeke juu chini, na chini juu
Soma https://jamii.app/Paliondrome
#TwosDay
DAKTARI: MATUMIZI YA P2 HUCHANGIA MIMBA KUTUNGA NJE YA KIZAZI
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Wanawake, Godfrey Chale akizungumza na Global amesema utafiti uliofanyika #Ghana 2003 ulionesha Vidonge vya P2 husababisha Mimba kutungwa nje hasa kwa wanakosea matumizi
Soma - https://jamii.app/P2EctopicPreg
#Afya
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Wanawake, Godfrey Chale akizungumza na Global amesema utafiti uliofanyika #Ghana 2003 ulionesha Vidonge vya P2 husababisha Mimba kutungwa nje hasa kwa wanakosea matumizi
Soma - https://jamii.app/P2EctopicPreg
#Afya