SERIKALI: SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO YA 2015 INGETUMIKA IPASAVYO MAHABUSU ZINGEJAA
Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Habari, Kundo Mathew ambaye pia amesema kuna mkanganyiko kati ya Ofisi ya DCI na TCRA kutokana na Sheria hiyo
Soma - https://jamii.app/CyberCrimeAct
#DigitalRights
Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Habari, Kundo Mathew ambaye pia amesema kuna mkanganyiko kati ya Ofisi ya DCI na TCRA kutokana na Sheria hiyo
Soma - https://jamii.app/CyberCrimeAct
#DigitalRights
BURKINA FASO: WATU 60 WAFARIKI DUNIA KUTOKANA NA MLIPUKO MGODINI
Mamlaka zimesema mlipuko uliotokea mwenye Mgodi wa Dhahabu umetokana na vilipuzi vinavyotumika machimboni
Machimbo yasiyoidhinishwa yametajwa kuwa na ajali za mara kwa mara
Soma - https://jamii.app/BurkinaFasoMlipuko
#JFLeo
Mamlaka zimesema mlipuko uliotokea mwenye Mgodi wa Dhahabu umetokana na vilipuzi vinavyotumika machimboni
Machimbo yasiyoidhinishwa yametajwa kuwa na ajali za mara kwa mara
Soma - https://jamii.app/BurkinaFasoMlipuko
#JFLeo
RAIS SAMIA: KAMA UNAMJUA MUNGU HUWEZI KUMUUA MWENZIO
Asema "Kama unamjua Mungu huwezi kumuua mwenzio kwa Urithi, Kisasi au umeambiwa amekuroga hukuvuna"
Awaomba Viongozi wa Kimila kuwaambia Watu kinachotokea sicho tulichoamrishwa kwa Dini wala Mila
Soma https://jamii.app/SamiaMauajiTZ
Asema "Kama unamjua Mungu huwezi kumuua mwenzio kwa Urithi, Kisasi au umeambiwa amekuroga hukuvuna"
Awaomba Viongozi wa Kimila kuwaambia Watu kinachotokea sicho tulichoamrishwa kwa Dini wala Mila
Soma https://jamii.app/SamiaMauajiTZ
Rais Samia Suluhu Hassan amesema hana tabia ya kutukuzwa wala kulinganishwa na Mungu na atajitahidi kuwa na Hekima na Uvumilivu
Amesema hayo leo, Februari 22, 2022 katika sherehe za Jubilee ya Miaka 25 ya Askofu Niwemugizi iliyofanyika Wilayani Ngara Mkoani Kagera.
#JamiiForums
Amesema hayo leo, Februari 22, 2022 katika sherehe za Jubilee ya Miaka 25 ya Askofu Niwemugizi iliyofanyika Wilayani Ngara Mkoani Kagera.
#JamiiForums
KITU GANI KILIKUSAIDIA KUPATA KAZI?
Baadhi ya Wadau ndani ya JamiiForums.com wametaja vitu vilivyowasaidia kupata Kazi ikiwemo Maombi, kutembeza CV kwenye kila Ofisi, Kujitolea, Kujiamini kwenye Usahili na 'Connection'
Je, Wewe uliwezaje kupata Kazi?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/MbinuAjira
#Maisha
Baadhi ya Wadau ndani ya JamiiForums.com wametaja vitu vilivyowasaidia kupata Kazi ikiwemo Maombi, kutembeza CV kwenye kila Ofisi, Kujitolea, Kujiamini kwenye Usahili na 'Connection'
Je, Wewe uliwezaje kupata Kazi?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/MbinuAjira
#Maisha
DKT. KIGWANGALLA KUIPINGA SERIKALI JUU YA UJENZI WA MAKAO MAKUU YA WILAYA NZEGA
Waziri wa TAMISEMI, Innocent Bashungwa ameelekeza Makao Makuu kujengwa Lubisu badala ya Ndalla
Mbunge huyo wa Nzega Vijijini asema mchakato haujafuata Sheria na Kanuni
Soma https://jamii.app/NzegaDktKigwangalla
Waziri wa TAMISEMI, Innocent Bashungwa ameelekeza Makao Makuu kujengwa Lubisu badala ya Ndalla
Mbunge huyo wa Nzega Vijijini asema mchakato haujafuata Sheria na Kanuni
Soma https://jamii.app/NzegaDktKigwangalla
COLOMBIA YAHALALISHA UTOAJI MIMBA YA HADI MIEZI SITA
Mahakama ya Kikatiba imeruhusu utoaji Mimba hadi yenye wiki 24. Mashirika ya kutetea Haki za Wanawake yameripoti kuwa Wanawake 400,000 kila mwaka Nchini humo walikuwa wanatoa Mimba kwa siri
Soma - https://jamii.app/AbortionColombia
Mahakama ya Kikatiba imeruhusu utoaji Mimba hadi yenye wiki 24. Mashirika ya kutetea Haki za Wanawake yameripoti kuwa Wanawake 400,000 kila mwaka Nchini humo walikuwa wanatoa Mimba kwa siri
Soma - https://jamii.app/AbortionColombia
MDAU: MKOPESHE RAFIKI/NDUGU KIASI CHA FEDHA UNACHOWEZA KUSAMEHE
Anasema ili kulinda Heshima baina yako na Rafiki au Ndugu zako linapokuja suala la Fedha inabidi uwe na Akili sana
Utakapokuwa na uhitaji halafu uliyemkopesha anakuzungusha utabaki kuumia Moyoni, na kupotezeana Heshima huanzia hapo
Unakubaliana na Mdau huyu?
Mjadala - https://jamii.app/MkopoNduguRafiki
#JamiiForums #Maisha
Anasema ili kulinda Heshima baina yako na Rafiki au Ndugu zako linapokuja suala la Fedha inabidi uwe na Akili sana
Utakapokuwa na uhitaji halafu uliyemkopesha anakuzungusha utabaki kuumia Moyoni, na kupotezeana Heshima huanzia hapo
Unakubaliana na Mdau huyu?
Mjadala - https://jamii.app/MkopoNduguRafiki
#JamiiForums #Maisha
NACTE YAONGEZEWA MAJUKUMU YA VETA
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limekuwa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) kutokana na mabadiliko ya Sheria
> Mabadiliko hayo yanalenga kuongeza ufanisi
Soma https://jamii.app/NACTVET
#JFLeo
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limekuwa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) kutokana na mabadiliko ya Sheria
> Mabadiliko hayo yanalenga kuongeza ufanisi
Soma https://jamii.app/NACTVET
#JFLeo
UGANDA: Muswada wa Sheria Mpya ya Afya ya Umma umependekeza faini ya Ush. Milioni 4 (Tsh. Milioni 2.6) kwa watakaokataa chanjo huku watakaoshindwa kulipa faini hiyo wanaweza kwenda jela
> Haijafahamika ni lini Muswada huo utapelekwa Bungeni
Soma https://jamii.app/FainiChanjoUg
> Haijafahamika ni lini Muswada huo utapelekwa Bungeni
Soma https://jamii.app/FainiChanjoUg
URUSI KUKABILIWA NA VIKWAZO KUTOKANA NA MZOZO NA UKRAINE
Urusi iko hatarini kukabiliwa na vikwazo kutoka EU kuhusiana na mgogoro unaoendelea kati yake na #Ukraine
Vikwazo hivyo vitahitaji ridhaa ya Nchi Wanachama zote 27
Soma - https://jamii.app/VikwazoUrusi
#RussiaUkraineConflict
Urusi iko hatarini kukabiliwa na vikwazo kutoka EU kuhusiana na mgogoro unaoendelea kati yake na #Ukraine
Vikwazo hivyo vitahitaji ridhaa ya Nchi Wanachama zote 27
Soma - https://jamii.app/VikwazoUrusi
#RussiaUkraineConflict
TCRA: KASI YA INTANETI INASABABISHA BANDO KUISHA HARAKA
Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Jabiri Bakari amesema wameelekeza watoa huduma kuunda 'App' ya kusaidia watumiaji kufuatilia matumizi
Asema kuwa na 'Apps' nyingi kwenye simu humaliza bando haraka
Soma - https://jamii.app/InternetKuisha
Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Jabiri Bakari amesema wameelekeza watoa huduma kuunda 'App' ya kusaidia watumiaji kufuatilia matumizi
Asema kuwa na 'Apps' nyingi kwenye simu humaliza bando haraka
Soma - https://jamii.app/InternetKuisha
KISUTU, DAR: Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP), Sylvester Mwakitalu leo Februari 23, 2022 amemfutia mashtaka ya Uchochezi M/kiti wa Baraza la Wazee la CHADEMA, Hashimu Issa Juma
Alikuwa akituhumiwa kutoa tuhuma za chuki dhidi ya Viongozi
Soma - https://jamii.app/HashimuFreed
#Siasa
Alikuwa akituhumiwa kutoa tuhuma za chuki dhidi ya Viongozi
Soma - https://jamii.app/HashimuFreed
#Siasa
UMOJA WA ULAYA KULEGEZA MASHARTI YA COVID-19 KWA WATALII
Baraza la Umoja huo limependekeza kuanzia Machi 2022 masharti ya Karantini yaondolewe kwa waliochanjwa
Pia, Watoto chini ya Miaka 6 wasilazimike kupimwa wanaposafiri na Watu wazima.
Soma - https://jamii.app/TourismEUMarch
#UVIKO3
Baraza la Umoja huo limependekeza kuanzia Machi 2022 masharti ya Karantini yaondolewe kwa waliochanjwa
Pia, Watoto chini ya Miaka 6 wasilazimike kupimwa wanaposafiri na Watu wazima.
Soma - https://jamii.app/TourismEUMarch
#UVIKO3
MDAU: NAMNA UNAVYOWEZA KUMSAIDIA MTOTO KUKABILIANA NA MSIBA WA MPENDWA WAKE
1. Kuwa muwazi na mweleze kilichotokea kwa njia rahisi anayoweza kuelewa. Tumia maneno yenye Uhalisia (amefariki), usimfiche kwa kumwambia amelala
2. Jaribu kurudisha Mazingira katika hali ya kawaida kwa haraka iwezekanavyo kutegemea na nani anaishi na Mtoto kwa wakati huo. Mtoto atajisikia kuwa yuko salama kama ratiba za kila Siku hazitabadilika.
Soma - https://jamii.app/MtotoMsiba
#Malezi
1. Kuwa muwazi na mweleze kilichotokea kwa njia rahisi anayoweza kuelewa. Tumia maneno yenye Uhalisia (amefariki), usimfiche kwa kumwambia amelala
2. Jaribu kurudisha Mazingira katika hali ya kawaida kwa haraka iwezekanavyo kutegemea na nani anaishi na Mtoto kwa wakati huo. Mtoto atajisikia kuwa yuko salama kama ratiba za kila Siku hazitabadilika.
Soma - https://jamii.app/MtotoMsiba
#Malezi
NIGER: WANAMGAMBO WAWILI WAUA WATU 18
Wanamgambo hao waliokuwa kwenye pikipiki walishambulia lori lililokuwa likisafirisha watu
Eneo la Magharibi Nchini humo limekuwa likikabiliwa na uasi kwa miaka mingi licha ya jitihada mbalimbali
Soma - https://jamii.app/NigerWatu18
#JFLeo
Wanamgambo hao waliokuwa kwenye pikipiki walishambulia lori lililokuwa likisafirisha watu
Eneo la Magharibi Nchini humo limekuwa likikabiliwa na uasi kwa miaka mingi licha ya jitihada mbalimbali
Soma - https://jamii.app/NigerWatu18
#JFLeo
TANZANIA KUPOKEA NDEGE TANO HIVI KARIBUNI
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Ujenzi Dkt. Ally Possi amesema ili kukabiliana na hasara za ATCL wataboresha Viwanja vya Ndege Nchini
> Amesema ndege 5 zimenunuliwa ili kuongeza Mapato ya Serikali
Soma https://jamii.app/NdegeATCL
#JFLeo
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Ujenzi Dkt. Ally Possi amesema ili kukabiliana na hasara za ATCL wataboresha Viwanja vya Ndege Nchini
> Amesema ndege 5 zimenunuliwa ili kuongeza Mapato ya Serikali
Soma https://jamii.app/NdegeATCL
#JFLeo
Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) limetoa Onyo kwa wanaotumia Nembo ya Baraza hilo kupotosha Misamiati ya #Kiswahili na kusambaza Mtandaoni
Atakayebainika atalipa faini isiyopungua Milioni 5 au kifungo Miaka 3 jela ama vyote kwa pamoja
Soma - https://jamii.app/UpotoshajiBAKITA
#Lugha
Atakayebainika atalipa faini isiyopungua Milioni 5 au kifungo Miaka 3 jela ama vyote kwa pamoja
Soma - https://jamii.app/UpotoshajiBAKITA
#Lugha
IRAN YAREJESHA CHANJO 820,000 ZILIZOTENGENEZWA NA MAREKANI
Chanjo hizo zilitolewa kama Msaada na #Poland
Mwaka 2020, Kiongozi Mkuu wa #Iran, Ali Hosseini Khamenei alisema Chanjo kutoka Uingereza na Marekani ni haramu, na hawatazipokea
Soma - https://jamii.app/IranMarekani
#UVIKO3
Chanjo hizo zilitolewa kama Msaada na #Poland
Mwaka 2020, Kiongozi Mkuu wa #Iran, Ali Hosseini Khamenei alisema Chanjo kutoka Uingereza na Marekani ni haramu, na hawatazipokea
Soma - https://jamii.app/IranMarekani
#UVIKO3
MOSHI: ANAYETUHUMIWA KUMUUA MAMA YAKE AFIKISHWA MAHAKAMANI
Washtakiwa 3 akiwemo Wendy Mrema (Mtoto wa Marehemu) wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, kwa tuhuma za kumuua Patricia Ibreack Paul (66) na kumzika kwenye shimo nje ya Makazi yake
Soma - https://jamii.app/WendyMahakamani
Washtakiwa 3 akiwemo Wendy Mrema (Mtoto wa Marehemu) wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, kwa tuhuma za kumuua Patricia Ibreack Paul (66) na kumzika kwenye shimo nje ya Makazi yake
Soma - https://jamii.app/WendyMahakamani