KIGOMA: WANAFUNZI WADAIWA KUJISAIDIA VICHAKANI BAADA YA VYOO VYA SHULE KUTITIA
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kasaba wako hatarini kupata Magonjwa ya mlipuko kutokana na kutokuwa na Huduma ya Vyoo tangu Mwaka 2020 baada ya vilivyokuwepo kutitia
Soma - https://jamii.app/WnfzVyooTitia
#JFUwajibikaji #HakiMtoto
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kasaba wako hatarini kupata Magonjwa ya mlipuko kutokana na kutokuwa na Huduma ya Vyoo tangu Mwaka 2020 baada ya vilivyokuwepo kutitia
Soma - https://jamii.app/WnfzVyooTitia
#JFUwajibikaji #HakiMtoto
#SOMALIA: Wanamgambo wa Al-Shabaab wameshambulia Vituo viwili vya Polisi Mjini #Mogadishu na kusababisha vifo vya Watu 5 na majeruhi 16
Shambulio hilo limetokea Februari 16. Serikali imesema shambulio limeshadhibitiwa na Vikosi vya Usalama
Soma - https://jamii.app/AlshababSomalia
#JFLeo
Shambulio hilo limetokea Februari 16. Serikali imesema shambulio limeshadhibitiwa na Vikosi vya Usalama
Soma - https://jamii.app/AlshababSomalia
#JFLeo
BRUSSELS, UBELGIJI: Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu
Mazungumzo hayo yamefanyika baada ya Rais Samia kukubali maombi ya Lissu kukutana na kuzungumza kuhusu masuala mbalimbali
Lissu amwomba Rais afanye analoweza kwa Mamlaka yake ili Kesi dhidi ya Mbowe iondolewe
Soma zaidi > https://jamii.app/LissuRaisSamia
#Governance
Mazungumzo hayo yamefanyika baada ya Rais Samia kukubali maombi ya Lissu kukutana na kuzungumza kuhusu masuala mbalimbali
Lissu amwomba Rais afanye analoweza kwa Mamlaka yake ili Kesi dhidi ya Mbowe iondolewe
Soma zaidi > https://jamii.app/LissuRaisSamia
#Governance
BURKINA FASO: Jeshi Nchini humo limeahidi kushirikiana na ECOWAS katika kurejesha Mchakato wa Uchaguzi wa Kidemokrasia
Hata hivyo, haijawekwa wazi ni muda gani Luteni Kanali Paul-Henri Damiba aliyeapishwa kuwa Rais wa Taifa hilo atakaa Madarakani
Soma - https://jamii.app/UtawalaJeshiBF
#JFDiplomasia
Hata hivyo, haijawekwa wazi ni muda gani Luteni Kanali Paul-Henri Damiba aliyeapishwa kuwa Rais wa Taifa hilo atakaa Madarakani
Soma - https://jamii.app/UtawalaJeshiBF
#JFDiplomasia
#MICHEZO: TFF imemfungia kwa miaka 5 pamoja na faini Tsh. milioni 6, Shaffih Dauda kujihusisha na masuala ya Soka ndani na nje ya Nchi
Dauda alilalamikiwa kwa kuandika TFF kuwa sio kama Nyumba ya Kupanga inayoongoza kiimla na mwenye Nyumba
Soma - https://jamii.app/ShafiiTFF
#JFSports
Dauda alilalamikiwa kwa kuandika TFF kuwa sio kama Nyumba ya Kupanga inayoongoza kiimla na mwenye Nyumba
Soma - https://jamii.app/ShafiiTFF
#JFSports
UJERUMANI NA AUSTRIA KULEGEZA KANUNI ZA #COVID19
Ujerumani italegeza Kanuni kufuatia Wimbi la Maambukizi kutokana na Kirusi cha #Omicron kuonekana limepita kilele chake
Serikali ya Austria italegeza asilimia kubwa ya Kanuni kuanzia Machi 5
Soma https://jamii.app/KanuniUVIKO
#UVIKO3 #Governance
Ujerumani italegeza Kanuni kufuatia Wimbi la Maambukizi kutokana na Kirusi cha #Omicron kuonekana limepita kilele chake
Serikali ya Austria italegeza asilimia kubwa ya Kanuni kuanzia Machi 5
Soma https://jamii.app/KanuniUVIKO
#UVIKO3 #Governance
NCHI TATU ZA AFRIKA KUPEWA VIFAA VYA KUZALISHA CHANJO
Kampuni ya BioNTech na #Pfizer zitaleta Vifaa vya kutengeneza Chanjo #Rwanda, Senegal na Afrika Kusini Julai 2022
Vitawezesha utengenezaji wa Chanjo ya #CoronaVirus, #Malaria na Kifua Kikuu
Soma - https://jamii.app/VifaaChanjo
#JFAfya
Kampuni ya BioNTech na #Pfizer zitaleta Vifaa vya kutengeneza Chanjo #Rwanda, Senegal na Afrika Kusini Julai 2022
Vitawezesha utengenezaji wa Chanjo ya #CoronaVirus, #Malaria na Kifua Kikuu
Soma - https://jamii.app/VifaaChanjo
#JFAfya
RAIS MWINYI: #ZANZIBAR HAINA WAGONJWA WA UVIKO-19
Serikali imesema hivi sasa hakuna Mgonjwa hata mmoja, lakini haiwezi kuweka wazi kama Ugonjwa umeisha moja kwa moja
Imeelezwa, hakuna kisa kipya kwa Wakazi wala Wageni tangu Januari 2022
Soma - https://jamii.app/COVIDZnz
#UVIKO3 #JFAfya
Serikali imesema hivi sasa hakuna Mgonjwa hata mmoja, lakini haiwezi kuweka wazi kama Ugonjwa umeisha moja kwa moja
Imeelezwa, hakuna kisa kipya kwa Wakazi wala Wageni tangu Januari 2022
Soma - https://jamii.app/COVIDZnz
#UVIKO3 #JFAfya
DKT. NDUGULILE: SERIKALI ILIPE DENI LA NSSF ILI KUONDOA TOZO DARAJA LA KIGAMBONI
Mbunge Dkt. Faustine Ndugulile amesema Wakazi wa Kigamboni hawana njia mbadala ya kutumia kama ilivyo kwa wa Msasani, Masaki na wengine wanaotumia Daraja la Tanzanite
Soma - https://jamii.app/DarajaNyerere
#Governance
Mbunge Dkt. Faustine Ndugulile amesema Wakazi wa Kigamboni hawana njia mbadala ya kutumia kama ilivyo kwa wa Msasani, Masaki na wengine wanaotumia Daraja la Tanzanite
Soma - https://jamii.app/DarajaNyerere
#Governance
UFARANSA KUONDOA VIKOSI VYAKE MALI
Rais Emmanuel Macron asema Vikosi vya Nchi hiyo vitaondoka Mali baada ya takriban miaka 10 ya kushirikiana na Wanajeshi wa Taifa hilo
Uamuzi huo umekuja wakati kuna uhasama kutoka kwa Utawala wa Kijeshi
Soma - https://jamii.app/FrenchTroopsMali
#JFDiplomasia
Rais Emmanuel Macron asema Vikosi vya Nchi hiyo vitaondoka Mali baada ya takriban miaka 10 ya kushirikiana na Wanajeshi wa Taifa hilo
Uamuzi huo umekuja wakati kuna uhasama kutoka kwa Utawala wa Kijeshi
Soma - https://jamii.app/FrenchTroopsMali
#JFDiplomasia
MOROGORO: AJALI ZA BODABODA ZATAJWA KUONGEZA WAGONJWA WA KIFAFA
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Mfumo wa Fahamu na Ubongo kwa Watoto, Dkt. Edward Kija amesema Watu 30 kati ya 100 ktk wilaya ya Mahenge wana Kifafa
Ajali za Bodaboda huchangia Ugonjwa huo kwa kuwa Watu hugonga Vichwa na kuathiri Ubongo, hasa wanapokuwa hawajavaa Kofia ngumu (Helmet)
Soma - https://jamii.app/KifafaMahenge
#EpilepsyAwareness #JFAfya
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Mfumo wa Fahamu na Ubongo kwa Watoto, Dkt. Edward Kija amesema Watu 30 kati ya 100 ktk wilaya ya Mahenge wana Kifafa
Ajali za Bodaboda huchangia Ugonjwa huo kwa kuwa Watu hugonga Vichwa na kuathiri Ubongo, hasa wanapokuwa hawajavaa Kofia ngumu (Helmet)
Soma - https://jamii.app/KifafaMahenge
#EpilepsyAwareness #JFAfya
BUNGENI: Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini imeshauri Serikali kujenga maghala makubwa yenye kuhifadhi Mafuta zaidi ya Lita za ujazo Milioni 1.25
Imesema hatua hiyo itawezesha kuagiza mafuta zaidi wakati Bei imeshuka katika Soko la Dunia
Soma - https://jamii.app/KamatiBeiMafuta
#Governance
Imesema hatua hiyo itawezesha kuagiza mafuta zaidi wakati Bei imeshuka katika Soko la Dunia
Soma - https://jamii.app/KamatiBeiMafuta
#Governance
MOSHI: WAFANYABIASHARA WATAKA UCHUNGUZI WA MOTO SOKONI, WADAI NI NJAMA
Baadhi ya Wafanyabiashara wa Soko la Mbuyuni waomba Serikali kuunda Tume kuchunguza chanzo cha Moto uliotokea Februari 15, 2022 na kuteketeza Maduka 3 eneo la Stendi ya Mboya
Soma - https://jamii.app/TumeMotoSoko
#JFUwajibikaji
Baadhi ya Wafanyabiashara wa Soko la Mbuyuni waomba Serikali kuunda Tume kuchunguza chanzo cha Moto uliotokea Februari 15, 2022 na kuteketeza Maduka 3 eneo la Stendi ya Mboya
Soma - https://jamii.app/TumeMotoSoko
#JFUwajibikaji
NJOMBE: WANAOTUHUMIWA KUMUUA KATIBU WA KANISA WAFIKISHWA MAHAKAMANI
Waliofikishwa Mahakamani ni Daniel Mwilango (Katekista) na Nickson Nyamideko
Nickson Myamba aliyekuwa Katibu wa Baraza la Walei Kigango cha Makambako aliuawa kwa kukatwa mapanga
Soma - https://jamii.app/MauajiKatibu
#JFMatukio
Waliofikishwa Mahakamani ni Daniel Mwilango (Katekista) na Nickson Nyamideko
Nickson Myamba aliyekuwa Katibu wa Baraza la Walei Kigango cha Makambako aliuawa kwa kukatwa mapanga
Soma - https://jamii.app/MauajiKatibu
#JFMatukio
Rais wa #Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi ametengua Uteuzi wa Salum Yussuf Ali ambaye alikuwa Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar(ZRB) ili kupisha uchunguzi wa Ubadhirifu wa Tsh. Bilioni 9
Salum Yussuf alishika wadhifa huo tangu Machi 2021
Soma - https://jamii.app/KamishnaZRB
#JFUwajibikaji #Governance
Salum Yussuf alishika wadhifa huo tangu Machi 2021
Soma - https://jamii.app/KamishnaZRB
#JFUwajibikaji #Governance
GEITA: AJINYONGA BAADA YA KUACHIKA MARA TATU
Rebecca Benjamini (17) amefariki dunia baada ya kujinyonga kutokana na Msongo wa Mawazo kwa kuachwa kila akiolewa
Alikuwa akilalamika kwanini kila akiolewa anaachika, tayari alishaachika mara 3
Soma - https://jamii.app/KifoNdoaGeita
#JFMatukio
Rebecca Benjamini (17) amefariki dunia baada ya kujinyonga kutokana na Msongo wa Mawazo kwa kuachwa kila akiolewa
Alikuwa akilalamika kwanini kila akiolewa anaachika, tayari alishaachika mara 3
Soma - https://jamii.app/KifoNdoaGeita
#JFMatukio
SERIKALI: ZAIDI YA 60% HUTUMIA TIBA ASILIA KABLA YA KWENDA HOSPITALI
Wizara ya Afya inalenga kuikuza Taaluma ya Tiba Asilia na Mbadala ili kuhakikisha Dawa zinakuwa bora
Dawa 73 zimesajiliwa hadi sasa na 20 zilileta mafanikio kipindi cha #COVID19
Soma - https://jamii.app/60TibaAsili
#JFAfya
Wizara ya Afya inalenga kuikuza Taaluma ya Tiba Asilia na Mbadala ili kuhakikisha Dawa zinakuwa bora
Dawa 73 zimesajiliwa hadi sasa na 20 zilileta mafanikio kipindi cha #COVID19
Soma - https://jamii.app/60TibaAsili
#JFAfya
LISSU: KUFUTA KESI YA MBOWE SIO KUINGILIA UHURU WA MAHAKAMA
Makamu M/Kiti wa CHADEMA amesema hajamuomba Rais Samia aongee na Jaji bali aongee na Mwendesha mashtaka ambaye ni mteule wa Rais na ni sehemu ya Serikali Kuu sio sehemu ya Mahakama
Soma https://jamii.app/LissuMbowe
#JFSiasa
Makamu M/Kiti wa CHADEMA amesema hajamuomba Rais Samia aongee na Jaji bali aongee na Mwendesha mashtaka ambaye ni mteule wa Rais na ni sehemu ya Serikali Kuu sio sehemu ya Mahakama
Soma https://jamii.app/LissuMbowe
#JFSiasa
Mahakama inatarajiwa kutoa uamuzi kama Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake wana Kesi ya Kujibu au Hapana leo Februari 18, 2022
Upande wa Mashtaka katika Kesi hiyo ya Uhujumu Uchumi yenye Mashtaka ya Ugaidi ulifunga Ushahidi Februari 15
Soma - https://jamii.app/UamuziKesiMbowe
#JFSiasa
Upande wa Mashtaka katika Kesi hiyo ya Uhujumu Uchumi yenye Mashtaka ya Ugaidi ulifunga Ushahidi Februari 15
Soma - https://jamii.app/UamuziKesiMbowe
#JFSiasa