IDARA YA HABARI TANESCO YAVUNJWA KWA KUSHINDWA KUTIMIZA MAJUKUMU YAKE
Waziri January Makamba amesema Serikali haifurahishwi na malalamiko ya Wananchi kuhusu kukatika kwa Umeme na upungufu wa taarifa zinazotolewa kwa Wateja
Soma - https://jamii.app/MawasilianoTANESCO
#Accountability
Waziri January Makamba amesema Serikali haifurahishwi na malalamiko ya Wananchi kuhusu kukatika kwa Umeme na upungufu wa taarifa zinazotolewa kwa Wateja
Soma - https://jamii.app/MawasilianoTANESCO
#Accountability
👍1
MEXICO: WANAHABARI WAANZA MAANDAMANO YA NCHI NZIMA KUKEMEA MAUAJI YA WENZAO
Maandamano hayo yanakuja baada ya Waandishi wa Habari watatu kuuawa tangu kuanza mwaka 2022
#Mexico inatajwa kuwa miongoni mwa Mataifa hatari zaidi duniani kwa Wanahabari
Soma - https://jamii.app/JournalistsMexico
#PressFreedom
Maandamano hayo yanakuja baada ya Waandishi wa Habari watatu kuuawa tangu kuanza mwaka 2022
#Mexico inatajwa kuwa miongoni mwa Mataifa hatari zaidi duniani kwa Wanahabari
Soma - https://jamii.app/JournalistsMexico
#PressFreedom
👍1
Ili kupambana na athari ya Mabadiliko ya Tabia Nchi, Naibu Waziri, David Silinde amewaagiza Ma-RC na DC's kusimamia zoezi la kila Mwanafunzi kupanda Mti mmoja kila Mwaka
#Tanzania hupoteza Hekta laki nne za Misitu kutokana na shughuli mbalimbali
Soma - https://jamii.app/MitiShuleni
#JFSiasa
#Tanzania hupoteza Hekta laki nne za Misitu kutokana na shughuli mbalimbali
Soma - https://jamii.app/MitiShuleni
#JFSiasa
UTALII: NUSU YA SIMBA DUNIANI WANAPATIKANA TANZANIA
Rais wa Jumuiya ya Uwindaji ya Kimataifa (SCI), Sven Lindqueast ameipongeza #Tanzania kwa juhudi za utunzaji Wanyamapori
Tanzania inakusudia kukomesha Ujangili kwa 90% ifikapo 2025
Soma - https://jamii.app/SimbaTz
#Utalii
Rais wa Jumuiya ya Uwindaji ya Kimataifa (SCI), Sven Lindqueast ameipongeza #Tanzania kwa juhudi za utunzaji Wanyamapori
Tanzania inakusudia kukomesha Ujangili kwa 90% ifikapo 2025
Soma - https://jamii.app/SimbaTz
#Utalii
PFIZER NA BioNTech WAANZA MAJARIBIO YA CHANJO YA #OMICRON
Majaribio yatajumuisha Watu zaidi ya 1,400 wenye umri kati ya miaka 18 hadi 55
Wamegawanywa ktk makundi; waliopata Chanjo 2, waliopata Chanjo 2 na Booster, na wale wasiopata Chanjo
Soma - https://jamii.app/OmicronChanjo
#UVIKO3 #JFAfya
Majaribio yatajumuisha Watu zaidi ya 1,400 wenye umri kati ya miaka 18 hadi 55
Wamegawanywa ktk makundi; waliopata Chanjo 2, waliopata Chanjo 2 na Booster, na wale wasiopata Chanjo
Soma - https://jamii.app/OmicronChanjo
#UVIKO3 #JFAfya
DODOMA: Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya #Tanzania, Mustapha Siyani amewataka Watumishi wa Mahakama kutenda Haki kwa kuondoa urasimu ktk uendeshaji kesi
Asema Mahakama inaposhindwa kutoa Haki husababisha Wananchi kujichukulia Sheria mkononi
Soma - https://jamii.app/MahakamaHaki
#JFUwajibikaji
Asema Mahakama inaposhindwa kutoa Haki husababisha Wananchi kujichukulia Sheria mkononi
Soma - https://jamii.app/MahakamaHaki
#JFUwajibikaji
👎1
SERIKALI: 3,147 WALILAZWA KUTOKANA NA CORONA KATI YA SEPTEMBA 2021 - JANUARI 23, 2022
Waziri Ummy Mwalimu asema kati yao 2,990 hawakuwa wamechanjwa
Wagonjwa 31 walikuwa mahututi ICU Januari 23, 2022 na kati yao 30 walikuwa hawajapata chanjo
Soma https://jamii.app/WizaraUVIKO
#UVIKO3 #JFAfya
Waziri Ummy Mwalimu asema kati yao 2,990 hawakuwa wamechanjwa
Wagonjwa 31 walikuwa mahututi ICU Januari 23, 2022 na kati yao 30 walikuwa hawajapata chanjo
Soma https://jamii.app/WizaraUVIKO
#UVIKO3 #JFAfya
#COVID19: Korea Kusini imerekodi maambukizi 13,102 huku Mamlaka zikionya Kirusi cha Corona aina ya #Omicron kinaweza kuchangia hadi 90% ya maambukizi mapya wiki zijazo
Ni mara ya kwanza Visa zaidi ya 13,000 kurekodiwa katika Taifa hilo
Soma - https://jamii.app/OmicronSK
#UVIKO3 #JFAfya
Ni mara ya kwanza Visa zaidi ya 13,000 kurekodiwa katika Taifa hilo
Soma - https://jamii.app/OmicronSK
#UVIKO3 #JFAfya
MARA: Naibu Waziri, Sagini Jumanne ameliagiza Jeshi la Polisi kuwasaka wanaodaiwa kuwatapeli Wanakijiji wa Mwanza-Buriga
Waliwashawishi Wananchi kujiunga na Kanisa lao kwa kuchangia Tsh. 20,000 kwa ahadi ya kuwapa Mchele 90Kg, Mafuta na Sabuni
Soma - https://jamii.app/Mara20000
#JFMatukio
Waliwashawishi Wananchi kujiunga na Kanisa lao kwa kuchangia Tsh. 20,000 kwa ahadi ya kuwapa Mchele 90Kg, Mafuta na Sabuni
Soma - https://jamii.app/Mara20000
#JFMatukio
#ETHIOPIA: SERIKALI YARIDHIA KUONDOA HALI YA DHARURA
Hali ya Dharura ya miezi 6 iliwekwa Novemba 2021 baada ya Vikosi vya #Tigray kusema vinaelekea Addis Ababa
Serikali imesema sasa vitisho vinaweza kudhibitiwa kupitia taratibu za kawaida
Soma - https://jamii.app/HaliDharuraEth
#Governance
Hali ya Dharura ya miezi 6 iliwekwa Novemba 2021 baada ya Vikosi vya #Tigray kusema vinaelekea Addis Ababa
Serikali imesema sasa vitisho vinaweza kudhibitiwa kupitia taratibu za kawaida
Soma - https://jamii.app/HaliDharuraEth
#Governance
KILIMANJARO: Polisi mstaafu, Omary Charema Msangi amejinyonga bafuni kwa kutumia waya wa pasi
> Mmoja wa ndugu amedai Mke wa marehemu aliuza mali ikiwemo Nyumba na Mashamba Mumewe alipokuwa Dar kwa matibabu. Aliporejea alilazimika kupanga
Soma - https://jamii.app/MstaafuAjinyonga
#JFMatukio
> Mmoja wa ndugu amedai Mke wa marehemu aliuza mali ikiwemo Nyumba na Mashamba Mumewe alipokuwa Dar kwa matibabu. Aliporejea alilazimika kupanga
Soma - https://jamii.app/MstaafuAjinyonga
#JFMatukio
MDAU: JAMII ITAMBUE HUDUMA BORA NI HAKI YAO
Anashauri Wananchi wafundishwe madhara ya kuchagua Viongozi watoa Rushwa ambao hujilipa kwa Uwekezaji walioufanya kupata Kura, na kuacha Wananchi wakiendelea kukosa Maji, Elimu na Huduma nyingine
Soma - https://jamii.app/RushwaJamii
#StoriesOfChange #Governance #KemeaRushwa
Anashauri Wananchi wafundishwe madhara ya kuchagua Viongozi watoa Rushwa ambao hujilipa kwa Uwekezaji walioufanya kupata Kura, na kuacha Wananchi wakiendelea kukosa Maji, Elimu na Huduma nyingine
Soma - https://jamii.app/RushwaJamii
#StoriesOfChange #Governance #KemeaRushwa
RAIS SAMIA: ANAYEKOSEA MAAMUZI NITAMREKEBISHA, SITAMFUKUZA
Asema ili kupunguza mzigo wa kazi, huwa anawaambia Wasaidizi wake kufanya maamuzi kwenye masuala yaliyo ndani ya uwezo wao
Katika Mahojiano na Jambo Tanzania ameeleza, "Nitakurekebisha mara ya kwanza, ya pili na ya tatu. Mara ya nne unaendelea kukosea nitajua huwezi"
Soma - https://jamii.app/RaisMaamuzi
#JFSiasa #Governance
Asema ili kupunguza mzigo wa kazi, huwa anawaambia Wasaidizi wake kufanya maamuzi kwenye masuala yaliyo ndani ya uwezo wao
Katika Mahojiano na Jambo Tanzania ameeleza, "Nitakurekebisha mara ya kwanza, ya pili na ya tatu. Mara ya nne unaendelea kukosea nitajua huwezi"
Soma - https://jamii.app/RaisMaamuzi
#JFSiasa #Governance
RUKWA: MBARONI KWA KUMUUA MJAMZITO NA WANAYE KWA DENI LA GUNIA 2 ZA MAHINDI
Philipo Vincent (22) amemkata mapanga Mjamzito wa miezi 8 na Watoto akimdai Tsh. 100,000
Marehemu alimwambia Mtuhumiwa asimdai kwa nguvu kwa kuwa hakumtuma amkopeshe
Soma - https://jamii.app/MjamzitoDeni
#JFMatukio
Philipo Vincent (22) amemkata mapanga Mjamzito wa miezi 8 na Watoto akimdai Tsh. 100,000
Marehemu alimwambia Mtuhumiwa asimdai kwa nguvu kwa kuwa hakumtuma amkopeshe
Soma - https://jamii.app/MjamzitoDeni
#JFMatukio
Wataalamu wanasema Roketi ya Tajiri Elon Musk, #SpaceX iliyorushwa 2015 na kushindwa kurudi Duniani iko kwenye mwendo wa kugonga sehemu ya Mwezi (dark side of the Moon) Machi 4, 2022
Hata hivyo, hakutakuwa na madhara katika tukio hilo la kugongana
Soma - https://jamii.app/MbalamweziRoketi
#JFTech
Hata hivyo, hakutakuwa na madhara katika tukio hilo la kugongana
Soma - https://jamii.app/MbalamweziRoketi
#JFTech
UAE KUONDOA MARUFUKU KWA WASAFIRI KUTOKA NCHI 12 ZA AFRIKA
Mataifa hayo ni Tanzania, Kenya, Afrika Kusini, Nigeria, Ethiopia, Congo, Botswana, Eswatini, Lesotho, Msumbuji, Namibia na Zimbabwe
Marufuku iliwekwa kutokana na Kirusi cha Omicron
Soma https://jamii.app/UAEBanLifted
#UVIKO3
Mataifa hayo ni Tanzania, Kenya, Afrika Kusini, Nigeria, Ethiopia, Congo, Botswana, Eswatini, Lesotho, Msumbuji, Namibia na Zimbabwe
Marufuku iliwekwa kutokana na Kirusi cha Omicron
Soma https://jamii.app/UAEBanLifted
#UVIKO3
AFGHANISTAN: Jumuiya ya Kimataifa yahimizwa kuruhusu misaada iliyositishwa kuepusha Familia kuuza Watoto ili kupata Chakula
Umoja wa Mataifa umesema Taliban inapaswa kuzingatia Haki za Msingi za Wanawake na Watoto
Soma - https://jamii.app/AfghaniCrisis
#HumanRights
Umoja wa Mataifa umesema Taliban inapaswa kuzingatia Haki za Msingi za Wanawake na Watoto
Soma - https://jamii.app/AfghaniCrisis
#HumanRights
MDAU: KUJIAMINI HUIPA NAFSI YAKO KICHOCHEO CHANYA
Anasema kujiamini ni Imani binafsi kwenye uwezo, jitihada au maamuzi katika kukabiliana na Mazingira
Hali hii hupunguza Msongo wa Mawazo kwani usipojiamini utafanya vitu visivyokusaidia kukua
Soma - https://jamii.app/Kujiamini
#JFMdau
Anasema kujiamini ni Imani binafsi kwenye uwezo, jitihada au maamuzi katika kukabiliana na Mazingira
Hali hii hupunguza Msongo wa Mawazo kwani usipojiamini utafanya vitu visivyokusaidia kukua
Soma - https://jamii.app/Kujiamini
#JFMdau
MDAU: KUOA UKIWA KIJANA HUKUPA NIDHAMU YA MATUMIZI YA FEDHA
Anasema japokuwa Ndoa ina changamoto zake lakini haiondoi faida ambazo Mtu huzipata kutokana na Ndoa
Anasema wasiooa wanaweza kutumia Fedha ovyo lakini ukiwa umeoa utafikiria Familia
Soma - https://jamii.app/VijanaNdoa
#JFMdau
Anasema japokuwa Ndoa ina changamoto zake lakini haiondoi faida ambazo Mtu huzipata kutokana na Ndoa
Anasema wasiooa wanaweza kutumia Fedha ovyo lakini ukiwa umeoa utafikiria Familia
Soma - https://jamii.app/VijanaNdoa
#JFMdau
ULINZI WA DATA: Wakati mwingine Taarifa hukusanywa kwa nia njema, lakini Changamoto ni kwamba wengi hawana namna ya kuzitunza
Kuwepo Sheria ya #UlinziWaData kutasaidia kufahamu uhifadhi na usalama wa taarifa hizo upoje
Soma - https://jamii.app/UtunzajiTaarifa
#DataProtection
Kuwepo Sheria ya #UlinziWaData kutasaidia kufahamu uhifadhi na usalama wa taarifa hizo upoje
Soma - https://jamii.app/UtunzajiTaarifa
#DataProtection