Serikali imeshauriwa iendelee kutenga fedha kwa ajili ya kulipa malimbikizo ya madai ya Watumishi na hatua za kinidhamu zichukuliwe kwa Halmashauri zilizoshindwa kupeleka Makato ya Mishahara ya Watumishi katika Mifuko ya Hifadhi za Jamii
> Hii ni kwa mujibu wa Taasisi ya Wajibu ktk uchambuzi wa Ripoti ya CAG 2019/20
Soma - https://jamii.app/MikopoMishahara
#JFUwajibikaji
> Hii ni kwa mujibu wa Taasisi ya Wajibu ktk uchambuzi wa Ripoti ya CAG 2019/20
Soma - https://jamii.app/MikopoMishahara
#JFUwajibikaji
CHANGAMOTO ZINAZOMKABILI MTOTO NJITI
Mtoto njiti anaweza kuwa na changamoto ya kupumua hivyo punde tu baada ya kuzaliwa, anatakiwa kupatiwa huduma ya kwanza
Hawezi kuhimili baridi hivyo lazima azaliwe kwenye chumba chenye joto la kutosha
Wana hatari kubwa ya kupata maambukizi kwasababu kinga yao ya mwili haijakomaa
Soma - https://jamii.app/WatotoNjiti
#WorldPrematurityDay
Mtoto njiti anaweza kuwa na changamoto ya kupumua hivyo punde tu baada ya kuzaliwa, anatakiwa kupatiwa huduma ya kwanza
Hawezi kuhimili baridi hivyo lazima azaliwe kwenye chumba chenye joto la kutosha
Wana hatari kubwa ya kupata maambukizi kwasababu kinga yao ya mwili haijakomaa
Soma - https://jamii.app/WatotoNjiti
#WorldPrematurityDay
Namna bora ya kuzuia na kukomesha Unyanyasaji na Ukatili dhidi ya Watoto ni lazima jambo hilo liwe jukumu la Jamii nzima na sio Mzazi mmoja mmoja
Mshiriki wa 'Stories Of Change' anasema jukumu la makuzi ya Watoto limeachwa kwa Wazazi tu na endapo Mtu mwingine akishuhudia Mtoto anapitia Ukatili wengi huwa hawafanyi chochote
Msome - https://jamii.app/UkatiliWattJamii
#UkatiliWatoto
Mshiriki wa 'Stories Of Change' anasema jukumu la makuzi ya Watoto limeachwa kwa Wazazi tu na endapo Mtu mwingine akishuhudia Mtoto anapitia Ukatili wengi huwa hawafanyi chochote
Msome - https://jamii.app/UkatiliWattJamii
#UkatiliWatoto
CHILE: RAIS PINERA ANUSURIKA KUONDOLEWA MADARAKANI
Wajumbe wa Baraza la Senate waliopiga kura ni 24, idadi ambayo ni chini ya kura 29 zinazohitajika huku waliopinga wakiwa 18
Endapo mchakato ungefaulu, angekabiliwa na kifungo cha hadi miaka 5
Soma - https://jamii.app/RaisChileAnusurika
Wajumbe wa Baraza la Senate waliopiga kura ni 24, idadi ambayo ni chini ya kura 29 zinazohitajika huku waliopinga wakiwa 18
Endapo mchakato ungefaulu, angekabiliwa na kifungo cha hadi miaka 5
Soma - https://jamii.app/RaisChileAnusurika
Katika ukusanyaji wa Mapato ya Serikali Kuu, CAG alibaini;
a) Kupotea kwa kodi ya Tsh. Bilioni 12.14 ya Mafuta lita milioni 16.55 yaliyoingizwa Nchini kama Mafuta ambayo yalikuwa yanakwenda Nchi jirani lakini hayakutoka nje ya Nchi
b) Kutokusanywa kwa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) ya Tsh. bilioni 8.90 kutokana na Wafanyabiashara kushusha thamani ya Mauzo katika ripoti zao za Mwezi
Soma - https://jamii.app/MapatoSerikaliKuu
#JFUwajibikaji
a) Kupotea kwa kodi ya Tsh. Bilioni 12.14 ya Mafuta lita milioni 16.55 yaliyoingizwa Nchini kama Mafuta ambayo yalikuwa yanakwenda Nchi jirani lakini hayakutoka nje ya Nchi
b) Kutokusanywa kwa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) ya Tsh. bilioni 8.90 kutokana na Wafanyabiashara kushusha thamani ya Mauzo katika ripoti zao za Mwezi
Soma - https://jamii.app/MapatoSerikaliKuu
#JFUwajibikaji
Taarifa binafsi ni taarifa yoyote inayokutambulisha, iwe inahusiana na Maisha yako binafsi, Kitaaluma, au ya umma (Mfano: Majina, Namba za Simu, Anwani n.k)
Ni mara ngapi umeshakutana na taarifa za Watu wengine katika Mazingira ambayo hukupaswa kukutana nazo? Kama ni mara nyingi, basi huenda hata taarifa zako zinazagaa bila wewe kujua
Ungana nasi katika Mjadala wa Haki ya faragha na ulinzi wa taarifa binafsi kupitia Clubhouse ya JamiiForums Novemba 18, 2021
#JamiiForums #dataprivacy
Ni mara ngapi umeshakutana na taarifa za Watu wengine katika Mazingira ambayo hukupaswa kukutana nazo? Kama ni mara nyingi, basi huenda hata taarifa zako zinazagaa bila wewe kujua
Ungana nasi katika Mjadala wa Haki ya faragha na ulinzi wa taarifa binafsi kupitia Clubhouse ya JamiiForums Novemba 18, 2021
#JamiiForums #dataprivacy
SUDAN: Laini za Simu zimedaiwa kufungwa kabla ya Maandamano yaliyopangwa kufanyika katika Mji Mkuu wa Nchi hiyo, Khartoum kupinga Utawala wa Kijeshi
Huduma za Intaneti zimeendelea kuminywa tangu Oktoba 25 licha ya kuwepo maagizo ya kuzirejesha
Soma - https://jamii.app/LainiSimuSdn
Huduma za Intaneti zimeendelea kuminywa tangu Oktoba 25 licha ya kuwepo maagizo ya kuzirejesha
Soma - https://jamii.app/LainiSimuSdn
UJERUMANI: Kansela Angela Merkel asema Nchi hiyo inapambana na Wimbi la Nne la #COVID19. Visa vipya 52,826 vimerekodiwa saa 24 zilizopita
Mawaziri wa Majimbo yote 16 wanatarajiwa kukutana na kujadili namna ya kupambana na Maambukizi
Soma - https://jamii.app/UVIKOUjerumani
#UVIKO3
Mawaziri wa Majimbo yote 16 wanatarajiwa kukutana na kujadili namna ya kupambana na Maambukizi
Soma - https://jamii.app/UVIKOUjerumani
#UVIKO3
Taarifa binafsi ni taarifa yoyote inayokutambulisha, iwe inahusiana na Maisha yako binafsi, Kitaaluma, au ya umma (Mfano: Majina, Namba za Simu, Anwani n.k)
Ni mara ngapi umeshakutana na taarifa za Watu wengine katika Mazingira ambayo hukupaswa kukutana nazo? Kama ni mara nyingi, basi huenda hata taarifa zako zinazagaa bila wewe kujua
Ungana nasi katika Mjadala wa Haki ya faragha na ulinzi wa taarifa binafsi kupitia Clubhouse ya JamiiForums Novemba 18, 2021
#JamiiForums #dataprivacy
Ni mara ngapi umeshakutana na taarifa za Watu wengine katika Mazingira ambayo hukupaswa kukutana nazo? Kama ni mara nyingi, basi huenda hata taarifa zako zinazagaa bila wewe kujua
Ungana nasi katika Mjadala wa Haki ya faragha na ulinzi wa taarifa binafsi kupitia Clubhouse ya JamiiForums Novemba 18, 2021
#JamiiForums #dataprivacy
#SUDAN: Vikosi vya Usalama vimewaua Waandamanaji 15 na kufanya idadi ya waliouawa tangu kuzuka wimbi la kupinga Utawala wa Kijeshi kufikia 39
Wengi wa waliopoteza maisha wana majeraha ya risasi kwenye shingo au viungo vingine vya mwili
Soma - https://jamii.app/SudanDeathsProtest
#Democracy
Wengi wa waliopoteza maisha wana majeraha ya risasi kwenye shingo au viungo vingine vya mwili
Soma - https://jamii.app/SudanDeathsProtest
#Democracy
DALILI ZINAZOASHIRIA MAGONJWA YA AFYA YA AKILI
1. Kimwili: Mwili kukosa Nguvu, kukosa usingizi au kulala kupita kiasi. Kukosa hamu ya kula, kutokutulia (kuhamanika) au kujitenga
2. Kiakili: Kukosa umakini wa shughuli za kila siku. Kusahau haraka au kupoteza kumbukumbu. Kukosa uwezo wa kupambanua mambo. Kusikia sauti ambazo hazipo na kuona vitu ambavyo havipo
3. Kihisia: Huzuni na wasiwasi au woga kupita kiasi. Hasira za haraka hata kupiga wengine. Msongo wa Mawazo, kujitenga na Watu, kutokujijali kiusafi na kujaribu kujiua
Soma zaidi - https://jamii.app/SignsMentalDisorder
#MentalHealthMatters
1. Kimwili: Mwili kukosa Nguvu, kukosa usingizi au kulala kupita kiasi. Kukosa hamu ya kula, kutokutulia (kuhamanika) au kujitenga
2. Kiakili: Kukosa umakini wa shughuli za kila siku. Kusahau haraka au kupoteza kumbukumbu. Kukosa uwezo wa kupambanua mambo. Kusikia sauti ambazo hazipo na kuona vitu ambavyo havipo
3. Kihisia: Huzuni na wasiwasi au woga kupita kiasi. Hasira za haraka hata kupiga wengine. Msongo wa Mawazo, kujitenga na Watu, kutokujijali kiusafi na kujaribu kujiua
Soma zaidi - https://jamii.app/SignsMentalDisorder
#MentalHealthMatters
MAPUNGUFU KATIKA USIMAMIZI WA MALI ZA MAMLAKA YA SERIKALI ZA MITAA
Kutokuwepo Hati za Umiliki wa Ardhi zenye thamani ya Tsh. Trilioni 1.14 katika Mamlaka ya Serikali za Mitaa 27 kutokana na uzembe wa Menejimenti za Halmashauri husika kutopima Ardhi zinazozimiliki
Kutokuwekwa Namba za Utambulisho na kutohifadhiwa vyema kwa mali za kudumu zenye thamani ya Tsh. Bilioni 2.81 zilizonunuliwa na Mamlaka ya Serikali za Mitaa 18
Soma - https://jamii.app/MapungufuMali
#JFUwajibikaji
Kutokuwepo Hati za Umiliki wa Ardhi zenye thamani ya Tsh. Trilioni 1.14 katika Mamlaka ya Serikali za Mitaa 27 kutokana na uzembe wa Menejimenti za Halmashauri husika kutopima Ardhi zinazozimiliki
Kutokuwekwa Namba za Utambulisho na kutohifadhiwa vyema kwa mali za kudumu zenye thamani ya Tsh. Bilioni 2.81 zilizonunuliwa na Mamlaka ya Serikali za Mitaa 18
Soma - https://jamii.app/MapungufuMali
#JFUwajibikaji
MDAU: MFUMO WA ELIMU UHUSISHE MASUALA YA AFYA YA AKILI
Watoto hutumia muda mwingi Shule, na katika kuhakikisha wanafikia kiwango stahiki cha uwezo wao ni muhimu kuhusisha msaada madhubuti katika Afya yao ya Akili
Mdau anapendekeza uhusishwaji wa Afya ya Akili ktk Mfumo wa Elimu za Msingi na Sekondari kwasababu Shule huchangia katika ukuaji wa Mtoto
Soma - https://jamii.app/AfyaAkiliElimu
#MentalHealth #StoriesOfChange
Watoto hutumia muda mwingi Shule, na katika kuhakikisha wanafikia kiwango stahiki cha uwezo wao ni muhimu kuhusisha msaada madhubuti katika Afya yao ya Akili
Mdau anapendekeza uhusishwaji wa Afya ya Akili ktk Mfumo wa Elimu za Msingi na Sekondari kwasababu Shule huchangia katika ukuaji wa Mtoto
Soma - https://jamii.app/AfyaAkiliElimu
#MentalHealth #StoriesOfChange
Rais Samia amesema anatambua Miji mingi mikubwa inakabiliwa na uhaba wa maji unaopelekea Mgao wa Maji na Upungufu wa Umeme
Asema, "Bado kuna Wananchi wengi wameendelea kuvamia vyanzo vya maji kwa kuyachepusha kwa ajili ya matumizi mengine"
Soma - https://jamii.app/MajiUmeme
#JFLeo
Asema, "Bado kuna Wananchi wengi wameendelea kuvamia vyanzo vya maji kwa kuyachepusha kwa ajili ya matumizi mengine"
Soma - https://jamii.app/MajiUmeme
#JFLeo
Rais Samia ameagiza Wakuu wa Mikoa na Kamati za Ulinzi kuhakikisha Ulinzi unawekwa kwenye Vyanzo vyote vikuu vya Maji
Asema, "Hatuwezi kuweka rehani maisha ya Watanzania wengi kwa faida ya wachache. Wanaochepusha Vyanzo vya Maji ni watu wachache"
Soma - https://jamii.app/VyanzoMajiUlinzi
Asema, "Hatuwezi kuweka rehani maisha ya Watanzania wengi kwa faida ya wachache. Wanaochepusha Vyanzo vya Maji ni watu wachache"
Soma - https://jamii.app/VyanzoMajiUlinzi
MWANZA: Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesisitiza umuhimu Tafiti kujikita zaidi katika kubaini kwanini Kanda ya Ziwa inaongoza kwa Waathirika wa Saratani
Imeelezwa, Wanawake ni wahanga wakubwa wakikumbwa na Saratani za Kizazi na Matiti
Soma - https://jamii.app/SarataniKandaZiwa
Imeelezwa, Wanawake ni wahanga wakubwa wakikumbwa na Saratani za Kizazi na Matiti
Soma - https://jamii.app/SarataniKandaZiwa
KENYA: RAIS KENYATTA ASAINI SHERIA YA KUZUIA 'MICHEPUKO' KUPATA MIRATHI
Rais Uhuru Kenyatta ametia saini Miswada 3 ukiwemo Muswada unaozuia Wanawake ambao hawapo ktk Ndoa kupata mirathi Wapenzi wao wanapofariki
Mirathi itatolewa kwa Wanafamilia tu
Soma - https://jamii.app/SuccessionBillKE
Rais Uhuru Kenyatta ametia saini Miswada 3 ukiwemo Muswada unaozuia Wanawake ambao hawapo ktk Ndoa kupata mirathi Wapenzi wao wanapofariki
Mirathi itatolewa kwa Wanafamilia tu
Soma - https://jamii.app/SuccessionBillKE
CHANJO ZA COVID-19 HAZIATHIRI NGUVU ZA KIUME
Ripoti iliyotolewa na Taasisi inayojihusisha na Uandishi wa Makala za Afya Marekani (JAMA) inasema Chanjo haiingilii Mfumo wa Uzazi wa Mwanaume, bali hujenga Mfumo wa Kingamwili
Soma - https://jamii.app/ChanjoNguvuKiume
#UVIKO3 #CoronaVirus
Ripoti iliyotolewa na Taasisi inayojihusisha na Uandishi wa Makala za Afya Marekani (JAMA) inasema Chanjo haiingilii Mfumo wa Uzazi wa Mwanaume, bali hujenga Mfumo wa Kingamwili
Soma - https://jamii.app/ChanjoNguvuKiume
#UVIKO3 #CoronaVirus
Katiba husaidia kuipatia Nchi dira na maono ya wapi wanatoka na wapi wanakwenda. Pia, huwakumbusha Viongozi wajibu wao ili wasivuke mipaka ya utendaji wao
Mshiriki wa 'Stories Of Change' anasema Nchi zilizopiga hatua katika Utawala Bora na Uwajibikaji sio kwamba Wananchi wake wana akili sana bali ni mfumo mzuri wa Katiba walizonazo
Soma - https://jamii.app/KatibaUtawalaBora
#Democracy #Accountability
Mshiriki wa 'Stories Of Change' anasema Nchi zilizopiga hatua katika Utawala Bora na Uwajibikaji sio kwamba Wananchi wake wana akili sana bali ni mfumo mzuri wa Katiba walizonazo
Soma - https://jamii.app/KatibaUtawalaBora
#Democracy #Accountability
Ni mara ngapi umeshakutana na taarifa za wengine ktk Mazingira ambayo hukupaswa kukutana nazo? Kama ni mara nyingi, basi huenda hata taarifa zako zinazagaa bila wewe kujua
Ungana nasi katika Mjadala huu kupitia Clubhouse ya JamiiForums
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
#JamiiForums #DataPrivacy
Ungana nasi katika Mjadala huu kupitia Clubhouse ya JamiiForums
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
#JamiiForums #DataPrivacy