Maxence Melo (@macdemelo): Mpaka mwishoni mwa 2021, tutakuwa na vifaa vilivyoungana kidigitali takriban Bilioni 46
Kufikia Mwaka 2030 tunategemea Vifaa Bilioni 145 vitakuwa vimeungana, taarifa za Watu zitakuwa kwenye vifaa hivi
Fuatilia Mjadala - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
Kufikia Mwaka 2030 tunategemea Vifaa Bilioni 145 vitakuwa vimeungana, taarifa za Watu zitakuwa kwenye vifaa hivi
Fuatilia Mjadala - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
Clubhouse
Haki ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi na Faragha - JamiiForums
Thursday, November 18 at 6:00pm EAT with Sam Gidori. Taarifa binafsi ni taarifa yoyote inayokutambulisha, mfano Majina, Namba za Simu, Anwani n.k
Ungana nasi katika Mjadala wa Faragha za taarifa kupitia Clubhouse ya JamiiForums Novemba 18, 2021
Ungana nasi katika Mjadala wa Faragha za taarifa kupitia Clubhouse ya JamiiForums Novemba 18, 2021
Mjadala wa Haki ya Faragha na Ulinzi wa Taarifa binafsi unaoendelea hivi sasa ndani ya JamiiForums
Fuatilia - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
#DataPrivacy
Fuatilia - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
#DataPrivacy
Yanayojiri katika Mjadala wa 'Haki ya Faragha na Ulinzi wa Taarifa Binafsi' unaoendelea Clubhouse
Fuatilia - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
#DataPrivacy
Fuatilia - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/2gXFqw3K/MzaY4W7B
#DataPrivacy
KENYA YAKABILIWA NA UHABA WA KONDOMU
Imeelezwa, Vituo vya Afya vya Umma, Hoteli na Migahawa vinakabiliwa na uhaba huo kutokana na mvutano wa ushuru kati ya Wafadhili na Serikali
Kenya husambaza bure takriban Mipira milioni 180 kila Mwaka
Soma - https://jamii.app/LackCondomKE
Imeelezwa, Vituo vya Afya vya Umma, Hoteli na Migahawa vinakabiliwa na uhaba huo kutokana na mvutano wa ushuru kati ya Wafadhili na Serikali
Kenya husambaza bure takriban Mipira milioni 180 kila Mwaka
Soma - https://jamii.app/LackCondomKE
UJERUMANI: Bunge limeidhinisha Sheria mpya za kukabiliana na ongezeko la maambukizi ya Virusi vya Corona
Miongoni mwa yaliyopitishwa ni Mtu atalazimika kuonesha uthibitisho wa ikiwa amechanjwa, amewahi kuugua Corona na kupona au kupima anapokuwa maeneo ya kazi na ktk usafiri wa Umma
Soma - https://jamii.app/GermySheriaUviko
#UVIKO3
Miongoni mwa yaliyopitishwa ni Mtu atalazimika kuonesha uthibitisho wa ikiwa amechanjwa, amewahi kuugua Corona na kupona au kupima anapokuwa maeneo ya kazi na ktk usafiri wa Umma
Soma - https://jamii.app/GermySheriaUviko
#UVIKO3
UGANDA: WATUHUMIWA 5 WA MILIPUKO JIJINI KAMPALA WAUAWA NA POLISI
Wengine 21 wakamatwa ikiwa ni sehemu ya Uchunguzi wa Milipuko ya kujitoa mhanga iliyotokea mapema wiki hii
#Uganda imeimarisha usalama na Rais Museveni ameapa kuwashinda magaidi
Soma - https://jamii.app/5ArrestedUG
Wengine 21 wakamatwa ikiwa ni sehemu ya Uchunguzi wa Milipuko ya kujitoa mhanga iliyotokea mapema wiki hii
#Uganda imeimarisha usalama na Rais Museveni ameapa kuwashinda magaidi
Soma - https://jamii.app/5ArrestedUG
Vipo visababishi vingi vya Magonjwa ya Afya ya Akili ikiwemo sababu za Kijamii na Kisaikolojia kama Umasikini, kutengwa na Jamii, Utegemezi, Upweke na Upotevu wa vitu (kufiwa na Mtu wa karibu, kupoteza Mali, Kazi au kupata Ulemavu)
Pia, Mafarakano na mipasuko katika Jamii/Familia pamoja na matatizo ya Mahusiano, kukosa huduma muhimu, Unyanyasaji wa Kijinsia na Ubaguzi wa aina mbalimbali
Soma zaidi - https://jamii.app/SignsMentalDisorder
#AfyaAkili
Pia, Mafarakano na mipasuko katika Jamii/Familia pamoja na matatizo ya Mahusiano, kukosa huduma muhimu, Unyanyasaji wa Kijinsia na Ubaguzi wa aina mbalimbali
Soma zaidi - https://jamii.app/SignsMentalDisorder
#AfyaAkili