SUDAN KUSINI: RAIS ATANGAZA BUNGE JIPYA
Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir ameunda Bunge jipya ambalo lina Wabunge kama Makubaliano ya Septemba 2018 yalivyotaka
> Wabunge waliotangazwa wanajumuisha Wabunge 128 kutoka kundi la waasi wa zamani, SPLM-IO
Soma https://jamii.app/SudanKusiniBunge
Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir ameunda Bunge jipya ambalo lina Wabunge kama Makubaliano ya Septemba 2018 yalivyotaka
> Wabunge waliotangazwa wanajumuisha Wabunge 128 kutoka kundi la waasi wa zamani, SPLM-IO
Soma https://jamii.app/SudanKusiniBunge
NAMNA YA KUMJENGEA MTOTO TABIA YA UMAKINI KATIKA UTENDAJI WAKE
> Jaribu kutengenezea mazingira yenye utulivu ili aweze kuzingatia kazi aliyopewa. Televisheni, Muziki, Kelele na Simu za Rununu ni vizuizi vikubwa kwa Mtoto kuwa makini
> Mtafutie Michezo itakayomsaidia kuboresha kiwango chake cha umakini. Michezo kama Puzzles husaidia kuchemsha Ubongo wa Mtoto
Soma - https://jamii.app/FocusChildren
#Malezi #JFLeo
> Jaribu kutengenezea mazingira yenye utulivu ili aweze kuzingatia kazi aliyopewa. Televisheni, Muziki, Kelele na Simu za Rununu ni vizuizi vikubwa kwa Mtoto kuwa makini
> Mtafutie Michezo itakayomsaidia kuboresha kiwango chake cha umakini. Michezo kama Puzzles husaidia kuchemsha Ubongo wa Mtoto
Soma - https://jamii.app/FocusChildren
#Malezi #JFLeo
MBUNGE: WANAUME WANAJADILI SANA KUHUSU SIMBA NA YANGA KULIKO AFYA ZAO
Mbunge Viti Maalum (CCM), Hawa Mchafu, amesema kama nguvu zaidi ingetumika kujadili masuala ya #Afya ikiwemo kupima VVU, huenda vita dhidi ya ugonjwa huo ingekuwa nyepesi
Soma - https://jamii.app/WanaumeAfya
#JFLeo
Mbunge Viti Maalum (CCM), Hawa Mchafu, amesema kama nguvu zaidi ingetumika kujadili masuala ya #Afya ikiwemo kupima VVU, huenda vita dhidi ya ugonjwa huo ingekuwa nyepesi
Soma - https://jamii.app/WanaumeAfya
#JFLeo
RAIS ATEUA MAJAJI WA MAHAKAMA YA RUFANI NA MAHAKAMA KUU
Rais Samia Suluhu ameteua Majaji 7 wa Mahakama ya Rufani na 21 wa Mahakama Kuu akiwemo Biswalo Mganga aliyekuwa DPP
Amemuongezea miaka 2 Jaji Sivangilwa Mwangesi wa Mahakama ya Rufani
Soma https://jamii.app/TeuziMajaji
Rais Samia Suluhu ameteua Majaji 7 wa Mahakama ya Rufani na 21 wa Mahakama Kuu akiwemo Biswalo Mganga aliyekuwa DPP
Amemuongezea miaka 2 Jaji Sivangilwa Mwangesi wa Mahakama ya Rufani
Soma https://jamii.app/TeuziMajaji
GWAJIMA: SIPINGI CHANJO LAKINI TAIFA LISIWE SEHEMU YA MAJARIBIO
Mbunge wa Kawe asema "Miaka ijayo tunaweza kuwa na Taifa lisilo na Watu wanaofikiri vizuri na kufanya maamuzi. Ni ujinga kuruhusu Taifa zima kuwa majaribio eti kwasababu tuna harakaβ
Soma - https://jamii.app/GwajimaChanjo
Mbunge wa Kawe asema "Miaka ijayo tunaweza kuwa na Taifa lisilo na Watu wanaofikiri vizuri na kufanya maamuzi. Ni ujinga kuruhusu Taifa zima kuwa majaribio eti kwasababu tuna harakaβ
Soma - https://jamii.app/GwajimaChanjo
DAR: VIBANDA KATIKATI YA JIJI KUONDOLEWA KABLA YA MEI 18
Jumanne Shauri (Mkurugenzi) amesema hawajazuia Wafanyabiashara bali wanatakiwa watumie meza ili wakimaliza waziondoe na kuacha maeneo wazi
> Sheria ya Mipango Miji hairuhusu kujenga vibanda
Soma https://jamii.app/VibandaJijiniDsm
#JFLeo
Jumanne Shauri (Mkurugenzi) amesema hawajazuia Wafanyabiashara bali wanatakiwa watumie meza ili wakimaliza waziondoe na kuacha maeneo wazi
> Sheria ya Mipango Miji hairuhusu kujenga vibanda
Soma https://jamii.app/VibandaJijiniDsm
#JFLeo
NDEGE ZA #SOMALIA ZAPIGWA MARUFUKU KUINGIA ANGA LA KENYA
Mamlaka ya Anga imesema ndege za dharura za kitabibu na walio na ujumbe wa masuala ya kibinadamu ya UN zitaruhusiwa kuingia
> #Kenya na Somalia zimekuwa na mzozo wa Mpaka tangu 2014
Soma https://jamii.app/NdegeSomaliaKenya
#JFLeo
Mamlaka ya Anga imesema ndege za dharura za kitabibu na walio na ujumbe wa masuala ya kibinadamu ya UN zitaruhusiwa kuingia
> #Kenya na Somalia zimekuwa na mzozo wa Mpaka tangu 2014
Soma https://jamii.app/NdegeSomaliaKenya
#JFLeo
WHO: MTU 1 KATI YA 500 ANAWEZA KUPATA CHANJO KWA NCHI ZINAZOENDELEA
Shirika la Afya Duniani limesema hali ilivyo kwa Nchi zinazoendelea ni tofauti ikilinganishwa na Nchi zilizoendelea, ambapo mtu 1 kati ya 4 amepata Chanjo ya Ugonjwa wa #COVID19
Soma > https://jamii.app/ChanjoUpatikanaji
Shirika la Afya Duniani limesema hali ilivyo kwa Nchi zinazoendelea ni tofauti ikilinganishwa na Nchi zilizoendelea, ambapo mtu 1 kati ya 4 amepata Chanjo ya Ugonjwa wa #COVID19
Soma > https://jamii.app/ChanjoUpatikanaji
SIMIYU: MUME AUA MKEWE KISHA NAYE KUJINYONGA KUTOKANA NA WIVU WA MAPENZI
Edward Manyangu(41) Mkazi wa Busega anadaiwa kumuua Dalali Maunga(41) kwa kumpiga na kitu kizito kichwani akimtuhumu kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Mwanaume mwingine
Soma - https://jamii.app/VifoNdoaBusega
Edward Manyangu(41) Mkazi wa Busega anadaiwa kumuua Dalali Maunga(41) kwa kumpiga na kitu kizito kichwani akimtuhumu kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Mwanaume mwingine
Soma - https://jamii.app/VifoNdoaBusega
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
WALIMU KUWA NA ARI KAMA MWALIMU YUSUPH KUNAWEZA KUONGEZA UELEWA WA WANAFUNZI?
Mwalimu Yusuph Mohamed Yusuph ni Mwalimu wa Shule ya Msingi Ikorongo Mkoani Mara anayeonekana akifundisha kwa kutumia mbinu nyingi za kuwaburudisha Watoto
Je, ari na ubunifu alionao unaweza kuongeza thamani katika Uelewa wa Wanafunzi wanaofundishwa?
#JamiiForums #Elimu
Mwalimu Yusuph Mohamed Yusuph ni Mwalimu wa Shule ya Msingi Ikorongo Mkoani Mara anayeonekana akifundisha kwa kutumia mbinu nyingi za kuwaburudisha Watoto
Je, ari na ubunifu alionao unaweza kuongeza thamani katika Uelewa wa Wanafunzi wanaofundishwa?
#JamiiForums #Elimu
EPL: MANCHESTER CITY YACHUKUA UBINGWA
-
Ushindi wa bao 2-1 wa #LeicesterCity dhidi ya #ManchesterUnited umeipa nafasi #ManchesterCity kuchukua ubingwa wa ligi hiyo ikiwa na Michezo mitatu mkononi
#JFSports #JFLeo
-
Ushindi wa bao 2-1 wa #LeicesterCity dhidi ya #ManchesterUnited umeipa nafasi #ManchesterCity kuchukua ubingwa wa ligi hiyo ikiwa na Michezo mitatu mkononi
#JFSports #JFLeo
HOSPITALI YA MUHIMBILI KUANZA KUPANDIKIZA MIMBA
Kwa mwaka 2021/22 Muhimbili itapandikiza Uboho (Bone Marrow) kwa wenye Kansa ya Damu, kutoa huduma za upandikizaji Mimba (IVF) na ujenzi wa jengo la Wagonjwa Binafsi lenye vitanda 200
Soma - https://jamii.app/IVFMuhimbili
Kwa mwaka 2021/22 Muhimbili itapandikiza Uboho (Bone Marrow) kwa wenye Kansa ya Damu, kutoa huduma za upandikizaji Mimba (IVF) na ujenzi wa jengo la Wagonjwa Binafsi lenye vitanda 200
Soma - https://jamii.app/IVFMuhimbili
Leo tarehe 12 Mei ni Siku ya Kimataifa ya Wauguzi
> Tunatambua kuwa Upatikanaji wa Huduma Bora za #Afya unawategemea sana Wauguzi
> Wauguzi: Hutoa huduma ya Afya kwa Wajawazito, Mama na Mtoto na Hutoa Chanjo mbalimbali
> Pia, huwahudumia waathirika wa magonjwa mbalimbali yakiwemo Kansa, Corona, UKIMWI, ajali na mengine mengi yanayoambukiza na yasiyoambukiza
> Kwa ujumla, Wauguzi ni watu wa Msaada sana kwetu
> Tunatambua kuwa Upatikanaji wa Huduma Bora za #Afya unawategemea sana Wauguzi
> Wauguzi: Hutoa huduma ya Afya kwa Wajawazito, Mama na Mtoto na Hutoa Chanjo mbalimbali
> Pia, huwahudumia waathirika wa magonjwa mbalimbali yakiwemo Kansa, Corona, UKIMWI, ajali na mengine mengi yanayoambukiza na yasiyoambukiza
> Kwa ujumla, Wauguzi ni watu wa Msaada sana kwetu
URUSI KULETA SHERIA YA KUMZUIA NAVALNY NA WAFUASI WAKE KUWA WABUNGE
Muswada utawasilishwa Mei 18, 2021 na endapo ukipitishwa, #Sheria itawazuia Wanachama wa "Siasa kali" kuwa Wabunge (Alexei Navalny na Wananchi wanaokiunga mkono Chama chake)
Soma https://jamii.app/RussiaPoliticsLaw
Muswada utawasilishwa Mei 18, 2021 na endapo ukipitishwa, #Sheria itawazuia Wanachama wa "Siasa kali" kuwa Wabunge (Alexei Navalny na Wananchi wanaokiunga mkono Chama chake)
Soma https://jamii.app/RussiaPoliticsLaw
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
RAIS SAMIA AWASILI UGANDA KUHUDHURIA UAPISHO WA MUSEVENI
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu, amewasili #Uganda kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Yoweri Museveni
> Museveni alitangazwa mshindi wa Uchaguzi kwa kupata 58.64% ya Kura
Soma https://jamii.app/SamiaUganda
#M7SwearsIn2021
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu, amewasili #Uganda kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Yoweri Museveni
> Museveni alitangazwa mshindi wa Uchaguzi kwa kupata 58.64% ya Kura
Soma https://jamii.app/SamiaUganda
#M7SwearsIn2021