NDUGAI AHOJI KWANINI FEDHA ZINAKWAMA WIZARANI
- Spika wa Bunge, Job Ndugai amehoji kwanini Fedha zinazokuja kwa ajili ya Mazingira zinakwama Wizara ya Fedha
- Amtaka Waziri kujiandaa akisema, "Siku ya Wizara yake nitakamata Shilingi mimi mwenyewe"
Soma https://jamii.app/SpikaWizaraFedha
- Spika wa Bunge, Job Ndugai amehoji kwanini Fedha zinazokuja kwa ajili ya Mazingira zinakwama Wizara ya Fedha
- Amtaka Waziri kujiandaa akisema, "Siku ya Wizara yake nitakamata Shilingi mimi mwenyewe"
Soma https://jamii.app/SpikaWizaraFedha
VPL: SIMBA YAENDELEA KUJIKITA KILELENI MWA MSIMAMO WA LIGI
- Simba imeendelea kujitengenezea nafasi nzuri kileleni mwa Msimamo wa Ligi Kuu baada ya kuitandika Dodoma Jiji goli 3-1
- Magoli ya Simba yamefungwa na C. Mugalu 8' 68', L. Miquissone 56' huku goli la Dodoma Jiji likifungwa na C. Mkangala 29'
- Kwa matokeo hayo Simba inafikisha alama 61 ikiwa ni alama 4 juu ya Yanga inayoshika nafasi ya pili kwa alama 57
#JamiiForums #JFSports
- Simba imeendelea kujitengenezea nafasi nzuri kileleni mwa Msimamo wa Ligi Kuu baada ya kuitandika Dodoma Jiji goli 3-1
- Magoli ya Simba yamefungwa na C. Mugalu 8' 68', L. Miquissone 56' huku goli la Dodoma Jiji likifungwa na C. Mkangala 29'
- Kwa matokeo hayo Simba inafikisha alama 61 ikiwa ni alama 4 juu ya Yanga inayoshika nafasi ya pili kwa alama 57
#JamiiForums #JFSports
UCL: CHELSEA YATOSHANA NGUVU NA MADRID
Mchezo wa ligi ya mabingwa barani Ulaya kati ya Real Madrid dhidi ya Chelsea umemalizika kwa sare ya 1-1
-
Mchezo wa marudiano utapigwa Jumatano ijayo ya tarehe 5 Mei 2021 katika Dimba la Stamford Bridge
#JamiiForums #JFSports #UEFA
Mchezo wa ligi ya mabingwa barani Ulaya kati ya Real Madrid dhidi ya Chelsea umemalizika kwa sare ya 1-1
-
Mchezo wa marudiano utapigwa Jumatano ijayo ya tarehe 5 Mei 2021 katika Dimba la Stamford Bridge
#JamiiForums #JFSports #UEFA
MHADHIRI TUDARCo ADAI FIDIA KWA KUWEKEWA MAZINGIRA MAGUMU ILI AACHISHWE KAZI
> Dkt. Kamanija amefungua kesi ya madai Baraza la Usuluhishi wa Migogoro ya Kazi akidai fidia ya Tsh. Milioni 130
> Kamanjina ni kati ya Waanzilishi wa Kitivo cha Sheria
Soma https://jamii.app/MizengweKazini
> Dkt. Kamanija amefungua kesi ya madai Baraza la Usuluhishi wa Migogoro ya Kazi akidai fidia ya Tsh. Milioni 130
> Kamanjina ni kati ya Waanzilishi wa Kitivo cha Sheria
Soma https://jamii.app/MizengweKazini
BURKINA FASO: WAANDISHI WAWILI WA HISPANIA WAUAWA
- Wanahabari hao walitekwa nyara karibu na eneo la Hifadhi ya asili Mashariki mwa Burkina Faso
- Vyombo vya Usalama vimesema raia wa #Ireland pia ameuawa ingawa hilo halijathibitishwa rasmi
Soma - https://jamii.app/WaandishiBurkinaFaso
- Wanahabari hao walitekwa nyara karibu na eneo la Hifadhi ya asili Mashariki mwa Burkina Faso
- Vyombo vya Usalama vimesema raia wa #Ireland pia ameuawa ingawa hilo halijathibitishwa rasmi
Soma - https://jamii.app/WaandishiBurkinaFaso
WHO: WIMBI LA MAAMBUKIZI INDIA NI MATOKEO YA MIKUSANYIKO
- Shirika la Afya limesema wimbi hilo ni matokeo ya mikusanyiko ya watu, viwango vidogo vya Chanjo na uwepo wa aina mpya za Virusi
- Visa 17,997,267 vya Corona vimerekodiwa na vifo ni 201,187
Soma https://jamii.app/WHOCoronaIndia
- Shirika la Afya limesema wimbi hilo ni matokeo ya mikusanyiko ya watu, viwango vidogo vya Chanjo na uwepo wa aina mpya za Virusi
- Visa 17,997,267 vya Corona vimerekodiwa na vifo ni 201,187
Soma https://jamii.app/WHOCoronaIndia
SERIKALI YATENGA BILIONI 2 KAMA FIDIA KWA WATAKAOVAMIWA NA WANYAMAPORI
- Serikali imesema itawafidiwa Wananchi kulingana na uharibifu utakaojitokeza
> Matukio ya uvamizi wa Wanyamapori yamekuwa yakiripotiwa katika maeneo mbalimbali Nchini
Soma - https://jamii.app/Bilioni2Fidia
- Serikali imesema itawafidiwa Wananchi kulingana na uharibifu utakaojitokeza
> Matukio ya uvamizi wa Wanyamapori yamekuwa yakiripotiwa katika maeneo mbalimbali Nchini
Soma - https://jamii.app/Bilioni2Fidia
SOMALIA: RAIS ATOA RAI YA KUFANYIKA UCHAGUZI BAADA YA KUONGEZEWA MUDA MADARAKANI
- Kitendo cha Wabunge kumuongezea Rais miaka 2 kiliibua sintofahamu huku Mataifa yakitishia vikwazo
- Kumekuwa na mvutano tangu Februari baada ya muda wa Rais kumalizika
Soma - https://jamii.app/RaisUchaguziSomalia
- Kitendo cha Wabunge kumuongezea Rais miaka 2 kiliibua sintofahamu huku Mataifa yakitishia vikwazo
- Kumekuwa na mvutano tangu Februari baada ya muda wa Rais kumalizika
Soma - https://jamii.app/RaisUchaguziSomalia
SERIKALI YAANDAA MUSWADA WA TARATIBU ZA UVUNAJI NA UPANDIKIZAJI VIUNGO VYA BINADAMU
- Naibu Waziri wa Afya ameeleza hayo akimjibu Mbunge aliyehoji mkakati wa kuanzisha utaratibu wa kuvuna viungo
- Asema kwa sasa Nchi inatumia miongozo ya Kimataifa
Soma https://jamii.app/MuswadaViungo
- Naibu Waziri wa Afya ameeleza hayo akimjibu Mbunge aliyehoji mkakati wa kuanzisha utaratibu wa kuvuna viungo
- Asema kwa sasa Nchi inatumia miongozo ya Kimataifa
Soma https://jamii.app/MuswadaViungo
WANAOISHI KARIBU NA HIFADHI WASHAURIWA KULIMA PILIPILI KUEPUKA UVAMIZI WA TEMBO
> Naibu Waziri wa Maliasili amesema maboga na matikiti huvutia Tembo kuvamia mashamba
> Njia nyingine ni kumwaga Oil chafu iliyochanganywa na Pilipili na majivu
Soma https://jamii.app/MbinuMbadala
> Naibu Waziri wa Maliasili amesema maboga na matikiti huvutia Tembo kuvamia mashamba
> Njia nyingine ni kumwaga Oil chafu iliyochanganywa na Pilipili na majivu
Soma https://jamii.app/MbinuMbadala
SITI BINTI SAAD: MWANAMUZIKI WA KWANZA KUTOKA ZANZIBAR KWENDA KUREKODI NCHINI INDIA.
- Siti binti Saad alizaliwa mwaka 1880 na alifariki 1950.
- Alikuwa Mwanamke wa kwanza Afrika Mashariki kurekodi muziki wake katika mfumo wa albamu.
Soma > https://jamii.app/WasifuSiti
- Siti binti Saad alizaliwa mwaka 1880 na alifariki 1950.
- Alikuwa Mwanamke wa kwanza Afrika Mashariki kurekodi muziki wake katika mfumo wa albamu.
Soma > https://jamii.app/WasifuSiti
HASUNGA: USHIRIKA UNALAZIMISHA WASIO WANACHAMA KUUZA MAZAO KUPITIA VYAMA
- Amehoji Serikali haioni ulazima wa kuruhusu Wafanyabiashara kununua kwa Wakulima bila Ushirika
- Serikali yasema inaamini Mfumo wa Ushirika ni njia itakayomsaidia Mkulima
Soma > https://jamii.app/MazaoUshirika
- Amehoji Serikali haioni ulazima wa kuruhusu Wafanyabiashara kununua kwa Wakulima bila Ushirika
- Serikali yasema inaamini Mfumo wa Ushirika ni njia itakayomsaidia Mkulima
Soma > https://jamii.app/MazaoUshirika
ZINGATIA YAFUATAYO UNAPOOMBA USHAURI
- Kuwa makini unapochagua mtu wa kumuomba ushauri. Zingatia uzoefu wa huyo mtu kwenye jambo husika na ukaribu mlionao
- Kuwa wazi juu ya unachotaka kushauriwa, elezea vizuri chanzo cha tatizo lako
- Ikiwezekana jaribu kutatua tatizo mwenyewe kwanza, kisha umweleze mtu unayemuomba ushauri mahali ulipokwama ili akusaidie kutokea hapo
#JamiiForums #JamiiTalks
- Kuwa makini unapochagua mtu wa kumuomba ushauri. Zingatia uzoefu wa huyo mtu kwenye jambo husika na ukaribu mlionao
- Kuwa wazi juu ya unachotaka kushauriwa, elezea vizuri chanzo cha tatizo lako
- Ikiwezekana jaribu kutatua tatizo mwenyewe kwanza, kisha umweleze mtu unayemuomba ushauri mahali ulipokwama ili akusaidie kutokea hapo
#JamiiForums #JamiiTalks
KILIMANJARO: WAGONJWA WA AKILI WAONGEZEKA
> Mwaka 2019, Wagonjwa walikuwa 8,691 na mwaka 2020 idadi ilipanda hadi 12,152
> Kushindwa kukabiliana na changamoto za maisha kumetajwa kuwa moja ya sababu za ongezeko
Soma https://jamii.app/WagojwaWaAkil
> Mwaka 2019, Wagonjwa walikuwa 8,691 na mwaka 2020 idadi ilipanda hadi 12,152
> Kushindwa kukabiliana na changamoto za maisha kumetajwa kuwa moja ya sababu za ongezeko
Soma https://jamii.app/WagojwaWaAkil
PROF. KABUDI: SHERIA ZITAKUWA ZIMETAFSIRIWA IFIKAPO DESEMBA
- Akiwa Bungeni, Waziri amesema Wizara nyingine na Taasisi zinaendelea na zoezi la kutafsiri #Sheria zinazosimamia ili ifikapo Desemba Sheria zote ziwe zimetafsiriwa kwa Kiswahili
Soma > https://jamii.app/TafsiriSheria
- Akiwa Bungeni, Waziri amesema Wizara nyingine na Taasisi zinaendelea na zoezi la kutafsiri #Sheria zinazosimamia ili ifikapo Desemba Sheria zote ziwe zimetafsiriwa kwa Kiswahili
Soma > https://jamii.app/TafsiriSheria