#MYANMAR: WANAHARAKATI WAITISHA MGOMO KWENYE HUDUMA ZA JAMII
> Wanaharakati wanaopinga Utawala wa Kijeshi wamewataka watu kuacha kulipa Bili za Umeme na Mikopo ya Kilimo, na kutowapeleka watoto shuleni ili kuuwekea mgomo Utawala huo
Soma https://jamii.app/MgomoMyanmar
> Wanaharakati wanaopinga Utawala wa Kijeshi wamewataka watu kuacha kulipa Bili za Umeme na Mikopo ya Kilimo, na kutowapeleka watoto shuleni ili kuuwekea mgomo Utawala huo
Soma https://jamii.app/MgomoMyanmar
MAREKANI KUGAWA DOZI MILIONI 60 ZA ASTRAZENECA NA NCHI NYINGINE
- Taifa hilo limekuwa na akiba ya Chanjo hiyo japo Mamlaka hazijatoa idhini ya kutumika
- Wakosoaji wamekuwa wakiishutumu Marekani kuhodhi Chanjo wakati Nchi nyingine zina uhitaji
Soma > https://jamii.app/AstraZenecaUS
- Taifa hilo limekuwa na akiba ya Chanjo hiyo japo Mamlaka hazijatoa idhini ya kutumika
- Wakosoaji wamekuwa wakiishutumu Marekani kuhodhi Chanjo wakati Nchi nyingine zina uhitaji
Soma > https://jamii.app/AstraZenecaUS
ARUSHA: BAADHI YA MALI ZA NGURDOTO MOUNTAIN LODGE ZAUZWA KULIPA MADAI YA MISHAHARA
> Watu 93 waliokuwa Wafanyakazi walifungua kesi wakidai Tsh. Milioni 129 za malimbikizo ya mishahara
> Mahakama itatoa amri Mei 4, 2021 kuhusu mali hizo
Soma https://jamii.app/HoteliArusha
> Watu 93 waliokuwa Wafanyakazi walifungua kesi wakidai Tsh. Milioni 129 za malimbikizo ya mishahara
> Mahakama itatoa amri Mei 4, 2021 kuhusu mali hizo
Soma https://jamii.app/HoteliArusha
INDIA YAREKODI MAAMBUKIZI MAPYA 300,000 KWA SIKU 6 MFULULIZO
- Ndani ya saa 24 zilizopita, visa 323,144 vya #COVID19 vimerekodiwa na maambukizi yamefikia Milioni 17.64
- Vifo 2771 vimerekodiwa lakini Wataalamu wanaamini idadi halisi ni kubwa zaidi
Soma https://jamii.app/VisaCOVIDIndia
- Ndani ya saa 24 zilizopita, visa 323,144 vya #COVID19 vimerekodiwa na maambukizi yamefikia Milioni 17.64
- Vifo 2771 vimerekodiwa lakini Wataalamu wanaamini idadi halisi ni kubwa zaidi
Soma https://jamii.app/VisaCOVIDIndia
KIKWETE: SITARAJII KOFIA YA UENYEKITI WA CHAMA KUTOFAUTISHWA NA URAIS
> Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete, amesema Rais wa #Tanzania huwa Mwenyekiti wa CCM Taifa ili kuepuka migongano ambayo inaweza kujitokeza ikiwa Mwenyekiti na Rais watatofautiana
Soma - https://jamii.app/UenyekitiCCM
> Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete, amesema Rais wa #Tanzania huwa Mwenyekiti wa CCM Taifa ili kuepuka migongano ambayo inaweza kujitokeza ikiwa Mwenyekiti na Rais watatofautiana
Soma - https://jamii.app/UenyekitiCCM
#NIGERIA: WANAMGAMBO WAVAMIA KAMBI NA KUUA WANAJESHI 33
> Wanajeshi wa kambi ya #Mainok ktk Jimbo la Borno wameuawa na wapiganaji wa Dola ya Kiislamu (IS)
> Wapiganaji walifika kambini hapo na nguo za Jeshi na Magari 16 na kuiteka kambi
Soma - https://jamii.app/NigeriaIS
> Wanajeshi wa kambi ya #Mainok ktk Jimbo la Borno wameuawa na wapiganaji wa Dola ya Kiislamu (IS)
> Wapiganaji walifika kambini hapo na nguo za Jeshi na Magari 16 na kuiteka kambi
Soma - https://jamii.app/NigeriaIS
LIGI KUU KUENDELEA KUTIMUA VUMBI LEO
- Baada ya kushinda michezo 4 mfululizo, Simba leo inashuka dimbani kukipiga dhidi ya Dodoma Jiji majira ya saa 1:00 usiku
- Mchezo mwingine utakaopigwa leo ni kati ya Gwambina dhidi ya Mwadui majira ya saa 10:00 jioni
#JamiiForums #Sports
- Baada ya kushinda michezo 4 mfululizo, Simba leo inashuka dimbani kukipiga dhidi ya Dodoma Jiji majira ya saa 1:00 usiku
- Mchezo mwingine utakaopigwa leo ni kati ya Gwambina dhidi ya Mwadui majira ya saa 10:00 jioni
#JamiiForums #Sports
CCM-DODOMA: KATIBA ILIYOPO INAFAA, HAKUNA ULAZIMA WA KUICHOKONOA
- Halmashauri Kuu ya CCM Dodoma imesema #Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 bado inafaa
- Imesema Katiba imewezesha kufanyika mabadiliko ya Uongozi wa juu bila mgogoro
Soma https://jamii.app/CCMKatibaMpya
- Halmashauri Kuu ya CCM Dodoma imesema #Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 bado inafaa
- Imesema Katiba imewezesha kufanyika mabadiliko ya Uongozi wa juu bila mgogoro
Soma https://jamii.app/CCMKatibaMpya
JULIAN NAGELSMANN KUWA KOCHA WA BAYERN MUNICH
- Bayern imemtangaza Nagelsmann (33) kuwa Kocha wao kuanzia Julai 1, 2021 baada ya kuilipa Leipzig £ milioni 21.7
- Kocha huyo wa Leipzig ana uwiano wa ushindi wa 58% akiwa na timu hiyo kwa miaka 2, ameshinda mechi 53/90
#JFLeo
- Bayern imemtangaza Nagelsmann (33) kuwa Kocha wao kuanzia Julai 1, 2021 baada ya kuilipa Leipzig £ milioni 21.7
- Kocha huyo wa Leipzig ana uwiano wa ushindi wa 58% akiwa na timu hiyo kwa miaka 2, ameshinda mechi 53/90
#JFLeo
MAENEO YA KAMBI KUREJESHWA SERIKALINI BAADA YA WAKIMBIZI KUONDOKA
- Naibu Waziri Mambo ya Ndani amesema maeneo yote ya kambi yatarejeshwa Serikalini ili yapangiwe matumizi
- Pia hakuna mgogoro wa Ardhi baina ya Kambi ya Nyarugusu na Kata ya Makere
Soma https://jamii.app/KambiWakimbizi
- Naibu Waziri Mambo ya Ndani amesema maeneo yote ya kambi yatarejeshwa Serikalini ili yapangiwe matumizi
- Pia hakuna mgogoro wa Ardhi baina ya Kambi ya Nyarugusu na Kata ya Makere
Soma https://jamii.app/KambiWakimbizi
UNAUMIZWA NA MAMBO YALIYOPITA? FANYA YAFUATAYO (SEHEMU 1)
- Jifunze kusamehe na kusahau, kutokuwa tayari kusamehe kutakufanya uendelee kuumizwa na mambo yaliyopita na kushindwa kuendelea na maisha yako
- Jiruhusu kusikia maumivu, linapokukuta jambo la kuumiza kama kufiwa ni vyema ukaruhusu maumivu kwa wakati ule ili yaishe kutofanya hivyo kutasababisha uumie kwa muda mrefu zaidi
#JamiiForums #Msongo
- Jifunze kusamehe na kusahau, kutokuwa tayari kusamehe kutakufanya uendelee kuumizwa na mambo yaliyopita na kushindwa kuendelea na maisha yako
- Jiruhusu kusikia maumivu, linapokukuta jambo la kuumiza kama kufiwa ni vyema ukaruhusu maumivu kwa wakati ule ili yaishe kutofanya hivyo kutasababisha uumie kwa muda mrefu zaidi
#JamiiForums #Msongo
UNAUMIZWA NA MAMBO YALIYOPITA? FANYA YAFUATAYO (SEHEMU 2)
- Kubaliana na hali halisi acha kutamani mambo yawe kama yalivyokuwa awali
- Usijilaumu sana unapofanya makosa, tumia hiyo kama nafasi ya kujifunza
#JamiiForums #Msongo
- Kubaliana na hali halisi acha kutamani mambo yawe kama yalivyokuwa awali
- Usijilaumu sana unapofanya makosa, tumia hiyo kama nafasi ya kujifunza
#JamiiForums #Msongo
BULAYA: FIDIA YA WANAOHARIBIWA MALI NA WANYAMAPORI NI NDOGO. KUNA DOUBLE STANDARD
- Amesema kumekuwa na 'Double Standard' ambapo mifugo inapoingia hifadhini fidia kubwa hotozwa lakini wanyamapori wanapoharibu mali za wananchi fidia yake ni kidogo
Soma > https://jamii.app/BulayaBungeni
- Amesema kumekuwa na 'Double Standard' ambapo mifugo inapoingia hifadhini fidia kubwa hotozwa lakini wanyamapori wanapoharibu mali za wananchi fidia yake ni kidogo
Soma > https://jamii.app/BulayaBungeni
UCL: REAL MADRID KUKABILIANA NA CHELSEA NUSU FAINALI
- Real Madrid itakuwa nyumbani kuialika Chelsea katika dimba la Estadio Alfredo Di Stefano, majira ya saa 4:00 usiku
- Katika michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya timu hizo zimekutana mara 3, Chelsea imeshinda michezo 2 na kutoka sare mchezo mmoja
#JamiiForums #JFSports
- Real Madrid itakuwa nyumbani kuialika Chelsea katika dimba la Estadio Alfredo Di Stefano, majira ya saa 4:00 usiku
- Katika michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya timu hizo zimekutana mara 3, Chelsea imeshinda michezo 2 na kutoka sare mchezo mmoja
#JamiiForums #JFSports
MAANDAMANO YA KUPINGA UTAWALA WA JESHI YAIBUKA CHAD
- Waandamanaji wanataka Utawala wa Kiraia kurejeshwa kufuatia kifo cha Rais Deby
- Baadhi ya Wapinzani wameita kitendo cha Jeshi kuchukua madaraka kuwa Mapinduzi na kuwataka Wananchi kuandamana
Soma > https://jamii.app/ChadProtests
- Waandamanaji wanataka Utawala wa Kiraia kurejeshwa kufuatia kifo cha Rais Deby
- Baadhi ya Wapinzani wameita kitendo cha Jeshi kuchukua madaraka kuwa Mapinduzi na kuwataka Wananchi kuandamana
Soma > https://jamii.app/ChadProtests
MBEYA: MIILI NA KICHWA VYAOKOTWA KWENYE HIFADHI
> Polisi Wilayani Mbarali wamethibitisha kuokota miili miwili na kichwa ktk Hifadhi ya Taifa ya Ruaha
> Aidha, imetaarifiwa kuna Familia zinadai ndugu zao wanne kutoonekana kwa siku kadhaa
Soma - https://jamii.app/MiiliVichwaRuaha
> Polisi Wilayani Mbarali wamethibitisha kuokota miili miwili na kichwa ktk Hifadhi ya Taifa ya Ruaha
> Aidha, imetaarifiwa kuna Familia zinadai ndugu zao wanne kutoonekana kwa siku kadhaa
Soma - https://jamii.app/MiiliVichwaRuaha
NDUGAI AHOJI KWANINI FEDHA ZINAKWAMA WIZARANI
- Spika wa Bunge, Job Ndugai amehoji kwanini Fedha zinazokuja kwa ajili ya Mazingira zinakwama Wizara ya Fedha
- Amtaka Waziri kujiandaa akisema, "Siku ya Wizara yake nitakamata Shilingi mimi mwenyewe"
Soma https://jamii.app/SpikaWizaraFedha
- Spika wa Bunge, Job Ndugai amehoji kwanini Fedha zinazokuja kwa ajili ya Mazingira zinakwama Wizara ya Fedha
- Amtaka Waziri kujiandaa akisema, "Siku ya Wizara yake nitakamata Shilingi mimi mwenyewe"
Soma https://jamii.app/SpikaWizaraFedha