TMA: KIMBUNGA JOBO CHAZIDI KUSOGELEA TANZANIA
> Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetahadharisha kuwa kimbunga cha JOBO kipo umbali wa Kilometa 400 kikizidi kusogea kwa kasi ya Km 20 kwa saa
Soma https://jamii.app/KimbungaLindi
> Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetahadharisha kuwa kimbunga cha JOBO kipo umbali wa Kilometa 400 kikizidi kusogea kwa kasi ya Km 20 kwa saa
Soma https://jamii.app/KimbungaLindi
NANI ADUI WA VIJANA KATIKA KUJIAJIRI?
- Ajira zisizo rasmi zimekuwa ni changamoto kwasababu zinatoa riziki ya mkono kwa mdomo tu (hand to mouth) na hivyo kutozingatia mahitaji mengine
- Vijana wengi wenye taaluma mbalimbali wamejikuta Mitaani bila kuwa na shughuli za kuwaingizia kipato
Je, adui wa vijana ni Uthubutu, Serikali, Malezi au Mazingira?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/VikwazoKujiajiri
- Ajira zisizo rasmi zimekuwa ni changamoto kwasababu zinatoa riziki ya mkono kwa mdomo tu (hand to mouth) na hivyo kutozingatia mahitaji mengine
- Vijana wengi wenye taaluma mbalimbali wamejikuta Mitaani bila kuwa na shughuli za kuwaingizia kipato
Je, adui wa vijana ni Uthubutu, Serikali, Malezi au Mazingira?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/VikwazoKujiajiri
TAHADHARI ZA KUCHUKUA KUKABILIANA NA KIMBUNGA JOBO
> Kaa karibu na nyumbani. Ingiza vitu hatarishi ndani ili usidhurike upepo ukivuma
> Vifaa vya umeme viwe na chaji muda wote. Weka vitu muhimu ktk begi iwe rahisi kuhama itakapolazimika
Soma - https://jamii.app/TahadhariJOBO
> Kaa karibu na nyumbani. Ingiza vitu hatarishi ndani ili usidhurike upepo ukivuma
> Vifaa vya umeme viwe na chaji muda wote. Weka vitu muhimu ktk begi iwe rahisi kuhama itakapolazimika
Soma - https://jamii.app/TahadhariJOBO
DAVID KAFULILA: TUTUMIE MITANDAO VIZURI, RAIS ANASOMA MAONI YETU
> Kafulila atoa wito kwa Watanzania kutumia vizuri mitandao ili Rais Samia aweze kuvutiwa kusoma mawazo
> Asema matusi yanaweza kumfanya aache kutumia kama alivyofanya Rais wa Kenya
Soma https://jamii.app/TumieniMitandao
> Kafulila atoa wito kwa Watanzania kutumia vizuri mitandao ili Rais Samia aweze kuvutiwa kusoma mawazo
> Asema matusi yanaweza kumfanya aache kutumia kama alivyofanya Rais wa Kenya
Soma https://jamii.app/TumieniMitandao
NJOMBE: WATOTO CHINI YA MIAKA 5 WATOZWA TSH.4000 KUMUONA DAKTARI
> Mamlaka za Kituo cha Afya Makambako zimesema Watoto hulipa kumuona Daktari, vipimo na Dawa ni bure
> Pia wajawazito wenye matatizo yasiyohusiana na ujauzito hulipia matibabu yote
Soma https://jamii.app/MalipoWatoto
> Mamlaka za Kituo cha Afya Makambako zimesema Watoto hulipa kumuona Daktari, vipimo na Dawa ni bure
> Pia wajawazito wenye matatizo yasiyohusiana na ujauzito hulipia matibabu yote
Soma https://jamii.app/MalipoWatoto
MSONGO WA MAWAZO WAKATI WA UJAUZITO
- Kiwango cha juu cha Msongo wa Mawazo huweza kusababisha shida za kiafya kama Shinikizo la Damu na Magonjwa ya Moyo. Wakati wa ujauzito, Msongo wa Mawazo unaweza kuongeza nafasi ya kupata Mtoto Njiti au aliye na uzani mdogo
- Sababu za Msongo wa Mawazo kwa Wajawazito ni 'Morning sickness', Uchovu, maumivu ya Mgongo, kubadilika kwa Homoni na wasiwasi juu ya kujifungua au jinsi ya kumtunza Mtoto
Soma https://jamii.app/MawazoHuzuni
#StressAwarenessMonth
- Kiwango cha juu cha Msongo wa Mawazo huweza kusababisha shida za kiafya kama Shinikizo la Damu na Magonjwa ya Moyo. Wakati wa ujauzito, Msongo wa Mawazo unaweza kuongeza nafasi ya kupata Mtoto Njiti au aliye na uzani mdogo
- Sababu za Msongo wa Mawazo kwa Wajawazito ni 'Morning sickness', Uchovu, maumivu ya Mgongo, kubadilika kwa Homoni na wasiwasi juu ya kujifungua au jinsi ya kumtunza Mtoto
Soma https://jamii.app/MawazoHuzuni
#StressAwarenessMonth
👍1
KIMBUNGA JOBO: MAMLAKA ZANZIBAR YAWATAHADHARISHA WANANCHI
> Kamisheni ya Maafa imetoa tahadhari hasa kwa Wavuvi na wamiliki wa Vyombo vya Usafiri baharini
> Kimbunga JOBO tayari kimeanza kuonesha madhara kwa kuongeza kasi ya upepo kwa saa
Soma - https://jamii.app/ZanzibarJOBO
> Kamisheni ya Maafa imetoa tahadhari hasa kwa Wavuvi na wamiliki wa Vyombo vya Usafiri baharini
> Kimbunga JOBO tayari kimeanza kuonesha madhara kwa kuongeza kasi ya upepo kwa saa
Soma - https://jamii.app/ZanzibarJOBO
NJOMBE: WANAWAKE WASIOLIPA MCHANGO WA UJENZI WADAIWA KUFUNGIWA KWA SAA 9
> Uongozi wa Kijiji cha Luduga wilayani Wanging'ombe umekiri kuwakamata wasiolipa mchango wa ujenzi wa Sekondari, lakini wamesema hawajafungiwa wakiwa na watoto
Soma - https://jamii.app/MchangoSekondari
> Uongozi wa Kijiji cha Luduga wilayani Wanging'ombe umekiri kuwakamata wasiolipa mchango wa ujenzi wa Sekondari, lakini wamesema hawajafungiwa wakiwa na watoto
Soma - https://jamii.app/MchangoSekondari
MAREKANI YATOA TAHADHARI KWA RAIA WAKE KUHUSU KIMBUNGA JOBO
- Ubalozi wa Marekani jijini Dar umewataka Wananchi kusalia nyumbani na kutosafiri
- Mashirika ya Hali ya Hewa yanatabiri Kimbunga hicho kuwa kikubwa zaidi kwa Tanzania tangu 1952
Soma - https://jamii.app/USCycloneJobo
- Ubalozi wa Marekani jijini Dar umewataka Wananchi kusalia nyumbani na kutosafiri
- Mashirika ya Hali ya Hewa yanatabiri Kimbunga hicho kuwa kikubwa zaidi kwa Tanzania tangu 1952
Soma - https://jamii.app/USCycloneJobo
LISSU: KESI ZINAZONIKABILI ZIANGALIWE KWA JICHO LA PILI, NILIBAMBIKIZIWA
> Tundu Lissu ameomba kuhakikishiwa usalama na kulipwa gharama za matibabu na Mafao ya Ubunge ili arejejee nchi
> Pia, ametaka wafungwa wa kisiasa waachiwe huru
Soma https://jamii.app/LissuTanzania
#JFSiasa
> Tundu Lissu ameomba kuhakikishiwa usalama na kulipwa gharama za matibabu na Mafao ya Ubunge ili arejejee nchi
> Pia, ametaka wafungwa wa kisiasa waachiwe huru
Soma https://jamii.app/LissuTanzania
#JFSiasa
RSF: UHURU WA VYOMBO VYA HABARI UPO MASHAKANI ZAIDI KIPINDI CHA #COVID19
- Habari zinazohusu maendeleo ya COVID-19 zimekuwa zikizuiliwa kwenye Nchi nyingi Duniani
- Norway, Finland na Sweden ndizo zilikuwa na Uhuru wa Vyombo vya Habari wa kutosha
Soma - https://jamii.app/PressFreedomCorona
- Habari zinazohusu maendeleo ya COVID-19 zimekuwa zikizuiliwa kwenye Nchi nyingi Duniani
- Norway, Finland na Sweden ndizo zilikuwa na Uhuru wa Vyombo vya Habari wa kutosha
Soma - https://jamii.app/PressFreedomCorona
TMA: USAHIHI WA TAARIFA ZA HALI YA HEWA UMEONGEZEKA HADI 80%
> TMA imesema ina wataalamu na vifaa vya kisasa hivyo inatoa taarifa sahihi
> Mamlaka hiyo imewataka Wananchi kujihadhari na Kimbunga Jobo kinachotarajiwa kuifikia Dar Aprili 25, 2021
Soma https://jamii.app/TMA80Percent
> TMA imesema ina wataalamu na vifaa vya kisasa hivyo inatoa taarifa sahihi
> Mamlaka hiyo imewataka Wananchi kujihadhari na Kimbunga Jobo kinachotarajiwa kuifikia Dar Aprili 25, 2021
Soma https://jamii.app/TMA80Percent
NAPE: WATU WANASTAAFU WANAKAA MPAKA WANAKUWA WANYWA GONGO BILA KUPEWA STAHIKI ZAO
- Mbunge huyo ameitaka Serikali ifanyie Uchunguzi madai ya Walimu waliopandishwa madaraja bila Mishahara yao kubadilika na waliofutiwa barua za kupandishwa madaraja
Soma - https://jamii.app/NapeStahikiWalimu
- Mbunge huyo ameitaka Serikali ifanyie Uchunguzi madai ya Walimu waliopandishwa madaraja bila Mishahara yao kubadilika na waliofutiwa barua za kupandishwa madaraja
Soma - https://jamii.app/NapeStahikiWalimu