CHAD: JESHI LAVUNJA SERIKALI. MTOTO WA DEBY KUONGOZA KIPINDI CHA MPITO
Kufuatia kifo cha Rais Idriss Deby, Jeshi litaongoza kwa miezi 18 na Baraza litaongozwa na Mahamat Idriss Deby
> Chad itaomboleza kwa siku 14. Mipaka ya anga na ardhi yafungwa
Soma https://jamii.app/ChadRaisMpito
Kufuatia kifo cha Rais Idriss Deby, Jeshi litaongoza kwa miezi 18 na Baraza litaongozwa na Mahamat Idriss Deby
> Chad itaomboleza kwa siku 14. Mipaka ya anga na ardhi yafungwa
Soma https://jamii.app/ChadRaisMpito
ZUNGU ATAKA KUWEPO KWA KODI KWENYE MITANDAO YA SIMU
- Mbunge wa Ilala, Azzan Zungu, amependekeza kuwepo kwa kodi ya Uzalendo itakayokatwa kila siku kupitia Mitandao ya Simu kwa kila Mtanzania ili kuwa chanzo kipya cha mapato kwa Serikali
Soma - https://jamii.app/ZunguKodiMitandao
- Mbunge wa Ilala, Azzan Zungu, amependekeza kuwepo kwa kodi ya Uzalendo itakayokatwa kila siku kupitia Mitandao ya Simu kwa kila Mtanzania ili kuwa chanzo kipya cha mapato kwa Serikali
Soma - https://jamii.app/ZunguKodiMitandao
NAMNA YA KUTAMBUA MWENZA WAKO ANA MSONGO WA MAWAZO (STRESS)
- Anakuwa Mtu wa kukasirika sana na kukerwa na kila kitu unachofanya. Pia, anaweza kuwa na huzuni wakati mwingi na hii hupelekea Mawasiliano yenu kuanza kudhoofika
- Hutumia muda mwingi kukamilisha kazi ndogo na huwa mzito katika kufanya maamuzi
Soma - https://jamii.app/MawazoHuzuni
#StressAwarenessMonth
- Anakuwa Mtu wa kukasirika sana na kukerwa na kila kitu unachofanya. Pia, anaweza kuwa na huzuni wakati mwingi na hii hupelekea Mawasiliano yenu kuanza kudhoofika
- Hutumia muda mwingi kukamilisha kazi ndogo na huwa mzito katika kufanya maamuzi
Soma - https://jamii.app/MawazoHuzuni
#StressAwarenessMonth
HALI YAKO YA MAISHA INAENDANA NA METHALI GANI?
> Wahenga walikuwa na misemo na methali walizotumia kupeana moyo, maonyo au mafunzo
> Kila mtu ana stori ambayo ni tofauti na mwingine. Je maisha yako yanaendana na methali ipi?
Soma https://jamii.app/MaishaMethali
> Wahenga walikuwa na misemo na methali walizotumia kupeana moyo, maonyo au mafunzo
> Kila mtu ana stori ambayo ni tofauti na mwingine. Je maisha yako yanaendana na methali ipi?
Soma https://jamii.app/MaishaMethali
WASANII KUWEKA MAUDHUI YOUTUBE BILA KULIPA ADA YA LESENI TCRA
> Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abbas amesema wanatengeneza Kanuni ili wanaorusha maudhui ambayo si Habari wasilipe Leseni
> Amesema kuna tofauti kati ya Habari na Sanaa
Soma https://jamii.app/YouTubeBure
> Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abbas amesema wanatengeneza Kanuni ili wanaorusha maudhui ambayo si Habari wasilipe Leseni
> Amesema kuna tofauti kati ya Habari na Sanaa
Soma https://jamii.app/YouTubeBure
MAREKANI: DEREK CHAUVIN AKUTWA NA HATIA YA KUMUUA GEORGE FLOYD
> Aliyekuwa Afisa wa Polisi Minneapolis ametiwa hatiani kwa kupiga goti shingoni mwa George Floyd na kumsababishia kifo
> Kitendo hicho kimetajwa kuwa kinyume na Mafunzo ya Kipolisi
Soma https://jamii.app/ChauvinVsFloyd
> Aliyekuwa Afisa wa Polisi Minneapolis ametiwa hatiani kwa kupiga goti shingoni mwa George Floyd na kumsababishia kifo
> Kitendo hicho kimetajwa kuwa kinyume na Mafunzo ya Kipolisi
Soma https://jamii.app/ChauvinVsFloyd
AKAUNTI ZA BENKI ZA MTANDAO WA WATETEZI WA HAKI ZA BINADAMU ZAFUNGULIWA
- Akaunti za Benki za Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) zilifungwa kwa takriban miezi 8 tangu Agosti 2020 kutokana na Uchunguzi wa tuhuma mbalimbali
Soma - https://jamii.app/OpenAccTHRDC
- Akaunti za Benki za Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) zilifungwa kwa takriban miezi 8 tangu Agosti 2020 kutokana na Uchunguzi wa tuhuma mbalimbali
Soma - https://jamii.app/OpenAccTHRDC
ATHARI ZA MSONGO WA MAWAZO (STRESS) MWILINI
- Huvuruga mzunguko wa usingizi ambapo huweza kuathiri vibaya na kusababisha kukosekana kabisa kwa usingizi
- Huvuruga mfumo wa Chakula Mwilini, Tumbo kujaa gesi, maumivu ya Tumbo, kushindwa kumeng'enya Chakula, kutapika na kichefuchefu
- Athari kwenye tishu za Ubongo ikiwemo kushindwa kutumia mbinu za utambuzi katika kudhibiti wasiwasi na hofu
Soma - https://jamii.app/MawazoHuzuni
- Huvuruga mzunguko wa usingizi ambapo huweza kuathiri vibaya na kusababisha kukosekana kabisa kwa usingizi
- Huvuruga mfumo wa Chakula Mwilini, Tumbo kujaa gesi, maumivu ya Tumbo, kushindwa kumeng'enya Chakula, kutapika na kichefuchefu
- Athari kwenye tishu za Ubongo ikiwemo kushindwa kutumia mbinu za utambuzi katika kudhibiti wasiwasi na hofu
Soma - https://jamii.app/MawazoHuzuni
SUDAN KUSINI: MAMLAKA YATEKETEZA CHANJO 60,000 ZA ASTRAZENECA
> Sudan Kusini imesema Chanjo ziliwasili zikiwa zimebakiza muda mdogo kabla ya kuisha matumizi
> CDC-Afrika imesema walikuwa na muda wa kutosha kutumia Chanjo kabla hazijapitwa wakati
Soma https://jamii.app/SudanKusiniAstraZeneca
> Sudan Kusini imesema Chanjo ziliwasili zikiwa zimebakiza muda mdogo kabla ya kuisha matumizi
> CDC-Afrika imesema walikuwa na muda wa kutosha kutumia Chanjo kabla hazijapitwa wakati
Soma https://jamii.app/SudanKusiniAstraZeneca
UAE YAFIKIRIA KUZUIA SAFARI KWA AMBAO HAWAJAPATA CHANJO YA #COVID19
- Umoja wa Falme za Kiarabu umeshatoa Dozi Milioni 9.8 huku ikiwa na idadi ya Watu Milioni 10
- Watu wengi wenye umri kuanzia miaka 16 na zaidi wanapewa Chanjo bure
Soma - https://jamii.app/UnvaccinedUAE
- Umoja wa Falme za Kiarabu umeshatoa Dozi Milioni 9.8 huku ikiwa na idadi ya Watu Milioni 10
- Watu wengi wenye umri kuanzia miaka 16 na zaidi wanapewa Chanjo bure
Soma - https://jamii.app/UnvaccinedUAE
TANZANIA YAPOROMOKA KTK KUIMARISHA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI
- Ripoti ya 2020 ya Reporters Without Borders (RSF) imeitaja #Tanzania kushika nafasi ya 124 kati ya Nchi 180 Duniani
- Mwaka 2019 ilishika nafasi ya 118 huku 2018 ikiwa 93
Soma https://jamii.app/PressFreedom2021
#PressFreedom
- Ripoti ya 2020 ya Reporters Without Borders (RSF) imeitaja #Tanzania kushika nafasi ya 124 kati ya Nchi 180 Duniani
- Mwaka 2019 ilishika nafasi ya 118 huku 2018 ikiwa 93
Soma https://jamii.app/PressFreedom2021
#PressFreedom
MWANZA: RC AWASIMAMISHA WAKUU WA IDARA WATATU KUPISHA UCHUNGUZI
> Kaimu Mweka Hazina, Tabwe Seleman, Kaimu Afisa Manunuzi, Renatus Shule na Kaimu Mhandisi wa Sengerema, William Wandu wamesimamishwa kupisha uchunguzi wa ubadhirifu wa fedha uliotokea
Soma https://jamii.app/SengeremaWakuuWaIdara
> Kaimu Mweka Hazina, Tabwe Seleman, Kaimu Afisa Manunuzi, Renatus Shule na Kaimu Mhandisi wa Sengerema, William Wandu wamesimamishwa kupisha uchunguzi wa ubadhirifu wa fedha uliotokea
Soma https://jamii.app/SengeremaWakuuWaIdara
WAZIRI WA TAMISEMI AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI MTENDAJI WA BUHIGWE
- Waziri Ummy Mwalimu amemsimamisha kazi Anosta Nyamoga ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu
- Amuagiza Katibu Mkuu wa TAMISEMI kupeleka timu ya uchunguzi
Soma - https://jamii.app/DEDBuhingweOut
- Waziri Ummy Mwalimu amemsimamisha kazi Anosta Nyamoga ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu
- Amuagiza Katibu Mkuu wa TAMISEMI kupeleka timu ya uchunguzi
Soma - https://jamii.app/DEDBuhingweOut
WADUKUZI HUTUMIA NJIA ZIFUATAZO KUDUKUA TAARIFA ZA MTUMIAJI WA WI-FI
- Kwa kujiunganisha na Wi-Fi inayotumika
- Kwa kutengeneza 'Hotspot' za uongo
Soma> https://jamii.app/WiFiUdukuzi
#DataProtection #UlinziWaData
- Kwa kujiunganisha na Wi-Fi inayotumika
- Kwa kutengeneza 'Hotspot' za uongo
Soma> https://jamii.app/WiFiUdukuzi
#DataProtection #UlinziWaData
ZANZIBAR: MWANDISHI ADAIWA KUPIGWA NA ASKARI AKITEKELEZA MAJUKUMU YAKE
> Jesse Mikofu, Mwandishi wa Habari wa Mwananchi adaiwa kupigwa na kuharibiwa vifaa vyake vya kazi na Askari kwa kosa la kuwapiga picha Askari wakiwa wanawahamisha machinga
Soma https://jamii.app/MwandishiZnz
> Jesse Mikofu, Mwandishi wa Habari wa Mwananchi adaiwa kupigwa na kuharibiwa vifaa vyake vya kazi na Askari kwa kosa la kuwapiga picha Askari wakiwa wanawahamisha machinga
Soma https://jamii.app/MwandishiZnz
ZANZIBAR: RAIS HUSSEIN MWINYI AFANYA TEUZI
> Baadhi ya walioteuliwa na Rais Mwinyi ni Kanali Azana Msingiri kuwa Mkuu wa KMKM huku Kanali Makame A. Daima akiwa Kamishna Kikosi cha JKU
> Kanali Rashid Mzee Abdallah anakuwa Kamishna wa Zimamoto na Uokozi
Soma https://jamii.app/ZnzTeuzi
> Baadhi ya walioteuliwa na Rais Mwinyi ni Kanali Azana Msingiri kuwa Mkuu wa KMKM huku Kanali Makame A. Daima akiwa Kamishna Kikosi cha JKU
> Kanali Rashid Mzee Abdallah anakuwa Kamishna wa Zimamoto na Uokozi
Soma https://jamii.app/ZnzTeuzi