SIMIYU: WANAFUNZI 219 WAKATIZA MASOMO KWA KUBEBA UJAUZITO MWAKA 2020
- Kati yao, Wanafunzi 42 ni Shule za Msingi na 177 wa Sekondari
- Wilaya ya Busega na Maswa zimetajwa kuwa na idadi kubwa ambapo Busega wapo 89 na Maswa ni 68
Soma - https://jamii.app/MimbaSimiyu2020
- Kati yao, Wanafunzi 42 ni Shule za Msingi na 177 wa Sekondari
- Wilaya ya Busega na Maswa zimetajwa kuwa na idadi kubwa ambapo Busega wapo 89 na Maswa ni 68
Soma - https://jamii.app/MimbaSimiyu2020
UJERUMANI: WATU 698 WAFARIKI KWA #COVID19 NDANI YA SAA 24 ZILIZOPITA
> Idadi hiyo ni ya pili kwa ukubwa kurekodiwa tangu Corona kuripotiwa nchini humo
> Mawaziri wa Afya wa Majimbo wanakutana kuandaa mpango wa kutoa chanjo kuanzia Desemba 27
Soma https://jamii.app/Germany700Died
> Idadi hiyo ni ya pili kwa ukubwa kurekodiwa tangu Corona kuripotiwa nchini humo
> Mawaziri wa Afya wa Majimbo wanakutana kuandaa mpango wa kutoa chanjo kuanzia Desemba 27
Soma https://jamii.app/Germany700Died
BAYUME MOHAMED HUSEN: MSWAHILI ALIYEUAWA KWENYE KAMBI ZA MANAZI UJERUMANI
> Mahjub Adam Mohamed au Bayume Mohmed Husen alizaliwa 1904 Dar. Alipigana Vita ya Kwanza ya Dunia, 1914 Tanganyika ikiwa Koloni la Ujerumani
> Alikwenda kuishi Ujerumani, mwaka 1941 alikamatwa kwa kosa la kuzaa na wanawake wa kijerumani na kuchafua rangi
Soma https://jamii.app/SwahiliNAZI
> Mahjub Adam Mohamed au Bayume Mohmed Husen alizaliwa 1904 Dar. Alipigana Vita ya Kwanza ya Dunia, 1914 Tanganyika ikiwa Koloni la Ujerumani
> Alikwenda kuishi Ujerumani, mwaka 1941 alikamatwa kwa kosa la kuzaa na wanawake wa kijerumani na kuchafua rangi
Soma https://jamii.app/SwahiliNAZI
MANYARA: RC AAMRISHA WATUMISHI WA IDARA YA ELIMU KUONDOLEWA
> RC Mkirikiti ameagiza Watumishi wenye zaidi ya miaka mitano Wilayani Hanang kuondolewa kwa kuwa hawana ubunifu wa kuinua Elimu
> Hanang imefanya vibaya kielimu kwa miaka 3 mfululizo
Soma https://jamii.app/RCManyara
> RC Mkirikiti ameagiza Watumishi wenye zaidi ya miaka mitano Wilayani Hanang kuondolewa kwa kuwa hawana ubunifu wa kuinua Elimu
> Hanang imefanya vibaya kielimu kwa miaka 3 mfululizo
Soma https://jamii.app/RCManyara
UREMBO: MAMBO YA KUZINGATIA KWA MWANAMKE ANAPOJIREMBA
- Kope: Ni vyema ukawasiliana na Wataalamu wa mambo ya Urembo kwa ushauri na siyo kukurupuka
- Rangi ya mdomo(Lipsticks): Kila mwanamke ana midomo tofauti hivyo rangi inakwenda sambambana na rangi ya ngozi
- Marashi (manukato): Haipendezi kwa mwanamke anayepulizia manukato yanayonukia sana mpaka yakawakera wengine
Soma - https://jamii.app/MakeupTips
#Urembo
- Kope: Ni vyema ukawasiliana na Wataalamu wa mambo ya Urembo kwa ushauri na siyo kukurupuka
- Rangi ya mdomo(Lipsticks): Kila mwanamke ana midomo tofauti hivyo rangi inakwenda sambambana na rangi ya ngozi
- Marashi (manukato): Haipendezi kwa mwanamke anayepulizia manukato yanayonukia sana mpaka yakawakera wengine
Soma - https://jamii.app/MakeupTips
#Urembo
UMUHIMU WA MAMA MJAMZITO KULA MLO KAMILI
> Mlo kamili ni muhimu kwa maendeleo mazuri ya afya ya mjamzito na kumuepusha na hatari ya kujifungua #MtotoNjiti
Pamoja na mlo kamili, mjamzito hupewa virutubisho vya ziada(supplements)
Soma > https://jamii.app/UjauzitoMlo
#JamiiForums #DMF
> Mlo kamili ni muhimu kwa maendeleo mazuri ya afya ya mjamzito na kumuepusha na hatari ya kujifungua #MtotoNjiti
Pamoja na mlo kamili, mjamzito hupewa virutubisho vya ziada(supplements)
Soma > https://jamii.app/UjauzitoMlo
#JamiiForums #DMF
RAIS MWINYI: NIVUMILIENI NICHUKUE MAAMUZI MAGUMU
> Rais wa #Zanzibar amewataka wananchi kuvumilia maamuzi hayo ili kukomesha ufisadi na ubadhirifu wa mali za Umma
> Amesema, amebaini ufisadi katika maeneo mengi ndani ya Mwezi 1 aliokaa madarakani
Tazama https://youtu.be/obxi4Rq7yIo
> Rais wa #Zanzibar amewataka wananchi kuvumilia maamuzi hayo ili kukomesha ufisadi na ubadhirifu wa mali za Umma
> Amesema, amebaini ufisadi katika maeneo mengi ndani ya Mwezi 1 aliokaa madarakani
Tazama https://youtu.be/obxi4Rq7yIo
WAZIRI MKUU ATOA SIKU 7 WAKURUGENZI WAJIELEZE KWANINI MAGARI YAO NI YA GHARAMA KUBWA
> Ameagiza Maofisa wanaochambua maombi ya ununuzi na Wakurugenzi wajieleze
> Amesema, magari hayo ni mzigo kwa wananchi na matumizi mabaya ya Fedha za Umma
Soma https://jamii.app/7DaysPM
> Ameagiza Maofisa wanaochambua maombi ya ununuzi na Wakurugenzi wajieleze
> Amesema, magari hayo ni mzigo kwa wananchi na matumizi mabaya ya Fedha za Umma
Soma https://jamii.app/7DaysPM
AFRIKA YAANZA KUPIGWA NA WIMBI LA PILI LA #CORONAVIRUS
> Maambukizi yameripotiwa kuongezeka kwa baadhi ya nchi zenye watu wengi tangu mwezi Septemba
> Afrika Kusini na #Nigeria ni kati ya nchi zinazorekodi maambukizi mengi kwa siku
Soma - https://jamii.app/IIWaveAfrica
> Maambukizi yameripotiwa kuongezeka kwa baadhi ya nchi zenye watu wengi tangu mwezi Septemba
> Afrika Kusini na #Nigeria ni kati ya nchi zinazorekodi maambukizi mengi kwa siku
Soma - https://jamii.app/IIWaveAfrica
#NIGERIA: WANAFUNZI WALIOTEKWA WAACHIWA HURU
> Wanafunzi 344 waliotekwa na Boko Haram wameachiwa huru wakiwa na hali nzuri
> Gavana Aminu Bello Masari amesema, wamepata wavulana wengi, sio wote. Idadi kamili ya waliotekwa bado haijulikani
Soma https://jamii.app/WaachiwaHuru
> Wanafunzi 344 waliotekwa na Boko Haram wameachiwa huru wakiwa na hali nzuri
> Gavana Aminu Bello Masari amesema, wamepata wavulana wengi, sio wote. Idadi kamili ya waliotekwa bado haijulikani
Soma https://jamii.app/WaachiwaHuru
KENYA: AKAA JELA MIAKA 8 KWA USHAHIDI WA UONGO WA KUMBAKA BINTIYE
> Mahakama imemuachia huru Julius Wambua ambaye alihukumiwa kifungo cha maisha baada ya Mtoto wake kufundishwa na Mama yake kuidanganya Mahakama kwasababu ya mgogoro na Mumewe
Soma - https://jamii.app/FreedFalseAllegations
> Mahakama imemuachia huru Julius Wambua ambaye alihukumiwa kifungo cha maisha baada ya Mtoto wake kufundishwa na Mama yake kuidanganya Mahakama kwasababu ya mgogoro na Mumewe
Soma - https://jamii.app/FreedFalseAllegations
DPP: NI KOSA KUWAREJESHEA FEDHA WALIOWEKEZA QNET
> Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP), Biswalo Mganga amesema, ni kosa kuwarejeshea fedha wanaodai kutapeliwa na QNET kwa sababu biashara iliyokuwa inafanywa na kampuni hiyo ni upatu haramu
Soma - https://jamii.app/DPPFedhaQNET
> Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP), Biswalo Mganga amesema, ni kosa kuwarejeshea fedha wanaodai kutapeliwa na QNET kwa sababu biashara iliyokuwa inafanywa na kampuni hiyo ni upatu haramu
Soma - https://jamii.app/DPPFedhaQNET
KENYA: BUNGE LA SENETI LAMUONDOA MADARAKANI GAVANA SONKO KWA KUKIUKA KATIBA
- Gavana Mike Sonko anadaiwa kukiuka Misingi ya Katiba, kutumia Ofisi vibaya na kukosa uwezo wa kuiongoza Nairobi
- Uchaguzi wa Gavana mpya utafanyika siku 60 zijazo
Soma https://jamii.app/MikeSonkoRemoved
- Gavana Mike Sonko anadaiwa kukiuka Misingi ya Katiba, kutumia Ofisi vibaya na kukosa uwezo wa kuiongoza Nairobi
- Uchaguzi wa Gavana mpya utafanyika siku 60 zijazo
Soma https://jamii.app/MikeSonkoRemoved
KENYA: GAVANA WA NYAMIRA AFARIKI KWA #COVID19
> Gavana wa Nyamira, John Nyagarama(74) amefariki kwa #COVID19 akiwa Hospitali ya Nairobi akipatiwa matibabu
> Nyagarama alilazwa kwa wiki tatu ambapo baadaye alihitaji kuongezewa Oxygen
Soma https://jamii.app/KenyaGavana
> Gavana wa Nyamira, John Nyagarama(74) amefariki kwa #COVID19 akiwa Hospitali ya Nairobi akipatiwa matibabu
> Nyagarama alilazwa kwa wiki tatu ambapo baadaye alihitaji kuongezewa Oxygen
Soma https://jamii.app/KenyaGavana
ATHARI ZA KISAIKOLOJIA KWA WASICHANA WANAOBEBA MIMBA KATIKA UMRI MDOGO
- Mimba za utotoni zinaathiri mwenendo na tabia za Msichana
- Asipopata matibabu ya kisaikolojia uwezekano wa kufanya ukatili dhidi ya Mtoto ni mkubwa
- Mimba ina madhara mengi zaidi kwani Msichana anaweza kumkataa au kumkimbia #Mtoto
- Lakini anapokuwa na mtoto huyo, uchungu unazidi na anaweza akaendeleza tabia za ukatili dhidi ya Mtoto
Soma - https://jamii.app/MimbaSaikolojia
#MimbaZaUtotoni
- Mimba za utotoni zinaathiri mwenendo na tabia za Msichana
- Asipopata matibabu ya kisaikolojia uwezekano wa kufanya ukatili dhidi ya Mtoto ni mkubwa
- Mimba ina madhara mengi zaidi kwani Msichana anaweza kumkataa au kumkimbia #Mtoto
- Lakini anapokuwa na mtoto huyo, uchungu unazidi na anaweza akaendeleza tabia za ukatili dhidi ya Mtoto
Soma - https://jamii.app/MimbaSaikolojia
#MimbaZaUtotoni
ARUSHA: MADEREVA WANAOTUMIA VILEVI KUWEKWA RUMANDE MPAKA MWAKA MPYA
- RC wa Arusha, Idd Kimanta amesema, kumekuwa na ajali zisizo za lazima ktk Sikukuu za Mwisho wa Mwaka, zinazosababishwa na Madereva wazembe wanaokunywa pombe kupita kiasi
Soma - https://jamii.app/UleviDerevaSikukuu
- RC wa Arusha, Idd Kimanta amesema, kumekuwa na ajali zisizo za lazima ktk Sikukuu za Mwisho wa Mwaka, zinazosababishwa na Madereva wazembe wanaokunywa pombe kupita kiasi
Soma - https://jamii.app/UleviDerevaSikukuu
RAIS WA ZAMANI WA BURUNDI AFARIKI
> Rais Pierre Buyoya (71) amefariki Nchini Ufaransa kutokana na #COVID19
> Aliongoza kwa miaka 13 baada ya kumpindua Jean-Baptiste Bagaza 1987
> Oktoba 2020, alihukumiwa kwa mauaji ya Rais Melchior Ndadaye
Soma https://jamii.app/BurundiBuyoya
> Rais Pierre Buyoya (71) amefariki Nchini Ufaransa kutokana na #COVID19
> Aliongoza kwa miaka 13 baada ya kumpindua Jean-Baptiste Bagaza 1987
> Oktoba 2020, alihukumiwa kwa mauaji ya Rais Melchior Ndadaye
Soma https://jamii.app/BurundiBuyoya
VIJUE VYANZO VYA HAKI ZA BINADAMU NCHINI
- Chanzo kikuu ni Katiba ya Tanzania ya 1977
- Sambamba na Katiba vyanzo vingine ni kama vile
- Sheria ya Mtoto Namba 21 ya mwaka 2009
- Sheria ya Watu Wenye Ulemavu Namba 9 ya mwaka 2010
Sheria ya Kuzuia na Kudhibiti UKIMWI Namba 28 ya 2008
- Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini namba 6 ya 2004
- Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, Sura ya 20(R.E. 2002)
- Mikataba ya Haki za Binadamu ya Kimataifa na kikanda ambayo Tanzania imeiridhia
Soma - https://jamii.app/HRTz
#HakiZaBinadamu
- Chanzo kikuu ni Katiba ya Tanzania ya 1977
- Sambamba na Katiba vyanzo vingine ni kama vile
- Sheria ya Mtoto Namba 21 ya mwaka 2009
- Sheria ya Watu Wenye Ulemavu Namba 9 ya mwaka 2010
Sheria ya Kuzuia na Kudhibiti UKIMWI Namba 28 ya 2008
- Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini namba 6 ya 2004
- Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, Sura ya 20(R.E. 2002)
- Mikataba ya Haki za Binadamu ya Kimataifa na kikanda ambayo Tanzania imeiridhia
Soma - https://jamii.app/HRTz
#HakiZaBinadamu
DARAJA LA BUSISI KUPEWA JINA LA RAIS MAGUFULI ILI AKUMBUKWE
> Daraja la Kigongo-Busisi lenye urefu wa Kilomita 3.2 litagharimu Tsh. Bilioni 699.2
> Waziri Mkuu amewataka Watanzania kupuuza kauli ya kwamba Serikali inajali vitu badala ya watu
Soma https://jamii.app/DarajaBusisiMagufuli
> Daraja la Kigongo-Busisi lenye urefu wa Kilomita 3.2 litagharimu Tsh. Bilioni 699.2
> Waziri Mkuu amewataka Watanzania kupuuza kauli ya kwamba Serikali inajali vitu badala ya watu
Soma https://jamii.app/DarajaBusisiMagufuli
FAHAMU MALENGO YA SERIKALI KATIKA KUPAMBANA NA UMASIKINI
> Ktk Ilani ya CCM (2020-2025), Serikali itafuatilia utoaji wa Elimu ya #Ujasiriamali unaofanywa na wadau ili kuhakikisha #Elimu hiyo inakidhi viwango
> Kuwezesha Vijana, #Wanawake na Wajasiriamali kujiajiri kwa kuwapatia mafunzo na kurasimisha shughuli zao
Soma - https://jamii.app/IlaniCCM
#Poverty #Accountability
> Ktk Ilani ya CCM (2020-2025), Serikali itafuatilia utoaji wa Elimu ya #Ujasiriamali unaofanywa na wadau ili kuhakikisha #Elimu hiyo inakidhi viwango
> Kuwezesha Vijana, #Wanawake na Wajasiriamali kujiajiri kwa kuwapatia mafunzo na kurasimisha shughuli zao
Soma - https://jamii.app/IlaniCCM
#Poverty #Accountability