JamiiForums
55.4K subscribers
33.4K photos
2.03K videos
30.4K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
#COVID19: IFAHAMU CHANJO AINA YA #SINOPHARM

Chanjo hii imethibitishwa na WHO kuwa ni salama kukinga #CoronaVirus kwa Watu wenye miaka 18 na zaidi

Inatolewa kwa Dozi mbili ambapo Dozi ya pili hutolewa siku 21 - 28 baada ya Dozi 1

Soma - https://jamii.app/FahamuChanjo

#UVIKO3
CHANJO ZA COVID-19 HAZIATHIRI UCHANGIAJI WA DAMU

Wataalamu wa Afya wanasema kuchanja dhidi ya #CoronaVirus hakukuzuii kuchangia au kuchangiwa damu

Chanjo inajenga kinga mwili lakini mchanganyo wa dawa haubaki kwenye damu

Soma - https://jamii.app/ChanjoDamu

#UVIKO3
IFAHAMU CHANJO AINA YA #MODERNA

imethibitishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kuwa ni salama kukinga #CoronaVirus kwa Watu wenye miaka 18 na zaidi

Inatolewa kwa Dozi mbili ambapo Dozi ya pili hutolewa siku 28 baada ya Dozi ya kwanza

Soma - https://jamii.app/FahamuChanjo

#UVIKO3
Yanayojiri katika Mjadala na ambao bado hawajapata Chanjo ya #COVID19 unaoendelea Clubhouse

#JamiiForums #UVIKO3 #CoronaVirus
IFAHAMU CHANJO AINA YA #ASTRAZENECA

Imethibitishwa na Shirika la Afya (WHO) kuwa salama kukinga #CoronaVirus kwa Watu wenye miaka 18 na zaidi

Inatolewa kwa Dozi mbili ambapo Dozi ya pili hutolewa wiki 8 mpaka 12 baada ya Dozi ya kwanza

Soma - https://jamii.app/FahamuChanjo

#UVIKO3
CHANJO ZA COVID-19 HAZIATHIRI NGUVU ZA KIUME

Ripoti iliyotolewa na Taasisi inayojihusisha na Uandishi wa Makala za Afya Marekani (JAMA) inasema Chanjo haiingilii Mfumo wa Uzazi wa Mwanaume, bali hujenga Mfumo wa Kingamwili

Soma - https://jamii.app/ChanjoNguvuKiume

#UVIKO3 #CoronaVirus
COVID-19 HAISAMBAZWI NA TEKNOLOJIA YA 5G

Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema Virusi vya Corona haviwezi kusambaa kupitia mawimbi ya redio au simu

Tayari #CoronaVirus imeenea katika Nchi nyingi ambazo hazina mitandao ya simu ya 5G

Soma - https://jamii.app/Corona5G

#UVIKO3
UHOLANZI: Serikali ya Uholanzi imeanza kupeleka Wagonjwa wa #CoronaVirus Nchini Ujerumani kutibiwa ili kupunguza msongamano unaozizonga Hospitali zake

Idadi ya Wagonjwa imeongezeka sana kwa kiwango ambacho hakijawahi kuonekana tangu Mei

Soma - https://jamii.app/CovidRiseNether

#UVIKO3
MANYARA: ELIMU YA COVID-19 KUTOLEWA NYUMBA KWA NYUMBA

Mratibu wa Chanjo ya #CoronaVirus Mkoani humo, Suleiman Manoza amesema mwamko wa Chanjo ni mdogo

Wameiomba Wizara ya Afya kuwapatia Chanjo ya #Janssen ambayo inatolewa mara moja

Soma - https://jamii.app/DoorToDoor

#UVIKO3
FUATILIA TAARIFA ZA KIRUSI CHA OMICRON KUTOKA VYANZO SAHIHI

Jamii inashauriwa kupata taarifa za #CoronaVirus pamoja na Kirusi kipya kwa Wataalamu wa Afya na vyanzo vinavyoaminika

Usisambaze taarifa mpya mpaka ujiridhishe imethibitishwa

Soma - https://jamii.app/TaarifaChanjo

#UVIKO3
ISRAEL YATANGAZA KISA CHA KWANZA CHA 'FLURONA'

Mwanamke Mjamzito ambaye hajapata Chanjo ya Corona amekutwa na mchanganyiko wa Mafua (Flu) na #CoronaVirus

Mchanganyiko huo umetajwa kuwa hatari kwani Maradhi yote yanaathiri Mfumo wa Upumuaji

Soma https://jamii.app/IsraelFlurona

#UVIKO3 #JFAfya
RIPOTI: MATAJIRI WATAJIRIKA ZAIDI WAKATI WA COVID-19

Shirika la Oxfam lasema utajiri wa Mabilionea 10 wakubwa zaidi umeongezeka maradufu wakati wa #CoronaVirus

Mapato ya chini ya Mataifa masikini zaidi yalichangia vifo vya watu 21,000 kila siku

Soma - https://jamii.app/OxfamReport

#JFMatukio
ATHARI ZA COVID-19 KWENYE SEKTA YA ELIMU

#CoronaVirus imeathiri Sekta ya Elimu Duniani kote, na masomo ya takriban Wanafunzi Bilioni 1.6 wa Shule na Vyuo yaliathiriwa mwanzoni mwa mlipuko huo

Watoto kutoka Familia za chini hawakupata nafasi ya kuendelea na Masomo yao kama wengine kutokana na changamoto za Umeme na Vifaa vya kielektroniki

Soma - https://jamii.app/WorldEduDay

#EducationDay #JFElimu
NORWAY YAONDOA VIZUIZI VYA #COVID19

Waziri Mkuu asema raia wake wanalindwa vyema kwa Chanjo ya #CoronaVirus

Watu hawatolazimika kuvalia Barakoa ktk maeneo ya Umma wala kukaa umbali wa Mtu na Mtu. Watakaoathirika watakaa Nyumbani siku 4 tu

Soma - https://jamii.app/NoCoronaNorway

#UVIKO3 #JFAfya
NCHI TATU ZA AFRIKA KUPEWA VIFAA VYA KUZALISHA CHANJO

Kampuni ya BioNTech na #Pfizer zitaleta Vifaa vya kutengeneza Chanjo #Rwanda, Senegal na Afrika Kusini Julai 2022

Vitawezesha utengenezaji wa Chanjo ya #CoronaVirus, #Malaria na Kifua Kikuu

Soma - https://jamii.app/VifaaChanjo

#JFAfya
AFRIKA KUSINI KUHARIBU DOZI 100,000 ZA CHANJO YA PFIZER

Afrika Kusini imerekodi idadi kubwa ya Maambukizi na vifo vya #CoronaVirus katika Bara la Afrika, hata hivyo utoaji Chanjo umepungua huku Nchi ikiwa na akiba ya kutosha ya dozi milioni 25

Soma - https://jamii.app/ExpireVaccineSA
Idara ya Taifa ya kusimamia Maafa haikuweza kutumia Tsh. Bilioni 4.31 ambazo zilichangwa na Wadau mbalimbali ili kukabiliana na janga la #CoronaVirus kwa kuwa haikupata maelekezo kutoka Mamlaka zinazohusika

#JamiiForums #Accountability #JFUwajibikaji #WAJIBU
HASARA NDANI YA KENYA AIRWAYS: SERIKALI KUPUNGUZA WAFANYAKAZI, SAFARI

Shirika la Ndege la Kenya (KQ) litafanya mabadiliko ya kiutendaji kutokana na hasara iliyoletwa na #CoronaVirus

Shirika hilo limetajwa kujiendesha kwa hasara Miaka Miwili Mfululizo

Soma - https://jamii.app/HasaraKenyaAirways
COVID-19: CHINA YAREJESHA LOCKDOWN BAADA YA MAAMBUKIZI KUONGEZEKA

Hatua kadhaa za 'Lockdown' zimewekwa katika Miji mikubwa ya #Beijing na #Shanghai ili kudhibiti Milipuko

Maambukizi ya #CoronaVirus Nchini China yalianza kuongezeka Mwezi Machi

Soma - https://jamii.app/ChinaCOVID
RUSHWA AFRIKA: Kumekuwepo upotoshaji mkubwa wa Taarifa na ukosefu wa Uwazi katika jinsi Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) zimetumia Rasilimali Fedha za COVID-19

Fedha zilizotengwa kukabiliana na athari za #CoronaVirus katika Mataifa mbalimbali Barani Afrika zinawanufaisha Raia?

Soma - https://jamii.app/RushwaBaraniAfrika

#AfricaAgainstCorruption #KemeaRushwa