JamiiForums
52.5K subscribers
34.4K photos
2.47K videos
31.4K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Mwenyekiti wa Chama cha #UDP, John Cheyo ameshauri Kamati ya Uongozi wa Mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa na Wadau wa Kutathmini Utekelezaji wa Mapendekezo ya #KikosiKazi kuteua Kamati Ndogo ikamuone Rais Samia Suluhu ili kupunguza muda wa Miaka Mitatu ya Kutoa Elimu kwa Umma kuhusu Katiba

Amesema "Watanzania tusiwa-underrate; Watanzania wamefundishwa. Mzee Warioba ametembea nchi nzima. Amefundisha. Jaji Kisanga ametembea nchi nzima. Amefundisha. Kikosi Kazi na chenyewe kimetuita, tumeandika. Tunaelewa tunachozungumza. Bunge la Katiba limekaa karibu Miezi 6 live, tunaeleweshana. Tukubaliane, Kamati Ndogo iende ikazungumze na Rais tupunguze hiyo miaka mitatu ya kupata 'degree' ya Katiba, ili tuanze yale yanayowezekana yafanyike mara moja"

Fuatilia Mubashara https://jamii.app/MkutanoSikuYa3

#JamiiForums #DemocracyWeek2023 #Democracy #WikiYaDemokrasia2023 #Governance
👍8😁1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Mwenyekiti wa Chama cha United Democratic Party (#UDP), John Cheyo alipokuwa akiwasili kuhudhuria Mkutano Mkuu wa chama chake unaofanyika katika Ukumbi wa Lulu, Sinza kwa ajili ya kutimiza takwa la Kisheria la kumuidhinisha Mgombea Urais wa chama na Mgombea Mwenza, leo Agosti 11, 2025.

Kamati Kuu ya UDP itathibitisha jina, kabla ya kuwasilishwa kwa mkutano mkuu maalumu kwa ajili ya kuridhiwa.

Soma https://jamii.app/UDPMkutano

#JamiiAfrica #JamiiForums #Siasa #UchaguziMkuu2025 #Democracy