#BIASHARA: Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema kitendo cha Serikali kupitisha Kodi ya Matangazo Madogo ya Mitandaoni kitawarudisha nyuma Wafanyabiashara wanaotarajia kufungua Maduka siku za mbele
Kauli ya Mbowe inakuja baada ya Kampuni ya #META inayomiliki Mitandao ya #Facebook, #Instagram, #WhatsApp na #Thread kutangaza kuwa Wafanyabiashara wanaotangaza Bidhaa zao kupitia Mitandao wataanza kukatwa 18% ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kuanzia Desemba 1, 2023
Amesema "Serikali inayotoa msamaha wa kodi kwa Kampuni zenye mitaji ya Mabilioni, imegoma kuwapatia Wananchi wake ahueni. Serikali inaendelea kujaza kodi kila sehemu huku ikishindwa kudhibiti wizi wa kodi ambazo Watanzania wamelipa"
Soma https://jamii.app/MboweVAT
#JamiiForums #Governance #DigitalRights #Accountability #FreeSpeech #Democracy
Kauli ya Mbowe inakuja baada ya Kampuni ya #META inayomiliki Mitandao ya #Facebook, #Instagram, #WhatsApp na #Thread kutangaza kuwa Wafanyabiashara wanaotangaza Bidhaa zao kupitia Mitandao wataanza kukatwa 18% ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kuanzia Desemba 1, 2023
Amesema "Serikali inayotoa msamaha wa kodi kwa Kampuni zenye mitaji ya Mabilioni, imegoma kuwapatia Wananchi wake ahueni. Serikali inaendelea kujaza kodi kila sehemu huku ikishindwa kudhibiti wizi wa kodi ambazo Watanzania wamelipa"
Soma https://jamii.app/MboweVAT
#JamiiForums #Governance #DigitalRights #Accountability #FreeSpeech #Democracy
👍12❤4
#DIGITALI: Tume ya Udhibiti wa Maudhui Mitandaoni ya Umoja wa Ulaya (EU) imeitaka META, kampuni inayoendesha Mitandao ya Kijamii ya #Instagram, #Facebook, #Thread na #WhatsApp kujieleza namna inavyodhibiti maudhui ya Unyanyasaji wa Kingono dhidi ya Watoto
Wito wa kwanza ulitumwa META Novemba 2023 ukitaka maelezo ya Usalama wa Watoto Mtandaoni. #EU imesema mwisho wa wito ni Desemba 22, 2023, kinyume na hapo #META itachunguzwa kwa Mujibu wa Sheria za Umoja wa Ulaya
Sheria mpya ya Huduma za Dijitali ya Umoja wa Ulaya (DSA) inazitaka kampuni za #Teknolojia zinazojihusisha na Uchakataji wa Maudhui Mitandaoni kuhakikisha zinaondoa maudhui yasiyofaa na hatari kwenye mifumo yao.
Soma https://jamii.app/METAEU
#JamiiForums #DigitalRights #InternetSafety #CyberSafety #ChildRights #Accountability #JFDigitali
Wito wa kwanza ulitumwa META Novemba 2023 ukitaka maelezo ya Usalama wa Watoto Mtandaoni. #EU imesema mwisho wa wito ni Desemba 22, 2023, kinyume na hapo #META itachunguzwa kwa Mujibu wa Sheria za Umoja wa Ulaya
Sheria mpya ya Huduma za Dijitali ya Umoja wa Ulaya (DSA) inazitaka kampuni za #Teknolojia zinazojihusisha na Uchakataji wa Maudhui Mitandaoni kuhakikisha zinaondoa maudhui yasiyofaa na hatari kwenye mifumo yao.
Soma https://jamii.app/METAEU
#JamiiForums #DigitalRights #InternetSafety #CyberSafety #ChildRights #Accountability #JFDigitali
👍3