JamiiForums
52.4K subscribers
34.4K photos
2.47K videos
31.4K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
IVORY COAST: Mahakama imemhukumu Tokpa Flan Japhet kifungo cha Miaka Mitatu jela na kumtoza faini ya Dola 8,500 (Tsh. Milioni 22.1) kwa kutoa maoni kwenye #Facebook akisema "Kama Mama wa Rais Alassane Ouattara angefanya 'utoaji mimba' angekuwa ameokoa Afrika." Kauli iliyotafsiriwa kama lugha ya kumdhihaki Rais.

Ofisi ya Mwendesha Mashtaka imesema adhabu hiyo ni sehemu ya juhudi za kudhibiti vitendo visivyofaa vinavyoongezeka kwenye Mitandao ya Kijamii.

Hukumu hiyo imetolewa miezi michache kabla ya uchaguzi wa Rais unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025, ambapo chama cha #RHDP kimemteua Rais Ouattara kuwania kwa mara ya nne.

Soma https://jamii.app/IvoryCoastRais

#JamiiAfrica #JamiiForums #FreedomOfExpression #UhuruWaKujieleza #Governance
1