#USAFIRISHAJI: Ni muhimu Mamlaka kuhakikisha Abiria wanapewa Huduma sawa na iliyotangazwa kwenye tiketi za Mabasi wanazozinunua ili kupata thamani ya Fedha zao
Hii itasaidia kuzuia tatizo la Abiria kukata tiketi za daraja la juu lakini wanaelekezwa kupanda Gari za daraja la chini
Kunahitajika #Uwazi na #Uwajibikaji katika sekta ya Usafiri wa Umma
#JamiiForums #Transport #PublicTransport #KeroZaUsafiri #JFUwajibikaji23 #JFHuduma #ServiceDelivery
Hii itasaidia kuzuia tatizo la Abiria kukata tiketi za daraja la juu lakini wanaelekezwa kupanda Gari za daraja la chini
Kunahitajika #Uwazi na #Uwajibikaji katika sekta ya Usafiri wa Umma
#JamiiForums #Transport #PublicTransport #KeroZaUsafiri #JFUwajibikaji23 #JFHuduma #ServiceDelivery
👍3
UINGEREZA: Chama cha #LiberalDemocrats kimependekeza mpango wa kutoza faini ya hadi Pauni 1,000 (takriban Tsh. 3,589,596) kwa Watu wanaosikiliza Muziki au kutazama Video kwa sauti kubwa katika Usafiri wa Umma
Lengo ni kukabiliana na tabia zisizo za kiungwana na kulinda Haki ya Abiria wanaotamani safari tulivu. Serikali imesema iko tayari kuangalia wazo hilo na inatafiti namna ya kulitekeleza
Utafiti wa hivi karibuni umeonesha asilimia 38 ya watu hukumbana mara kwa mara na kelele zisizotakiwa kutoka kwa wengine kwenye Usafiri wa Umma, huku wengi wao wakihisi kutokuwa huru kukemea tabia hiyo.
Soma https://jamii.app/FineHeadphoneDogders
#JamiiForums #JamiiAfrica #Governance #PublicTransport #HeadphoneDogders #UKPolitics
Lengo ni kukabiliana na tabia zisizo za kiungwana na kulinda Haki ya Abiria wanaotamani safari tulivu. Serikali imesema iko tayari kuangalia wazo hilo na inatafiti namna ya kulitekeleza
Utafiti wa hivi karibuni umeonesha asilimia 38 ya watu hukumbana mara kwa mara na kelele zisizotakiwa kutoka kwa wengine kwenye Usafiri wa Umma, huku wengi wao wakihisi kutokuwa huru kukemea tabia hiyo.
Soma https://jamii.app/FineHeadphoneDogders
#JamiiForums #JamiiAfrica #Governance #PublicTransport #HeadphoneDogders #UKPolitics