RC CHALAMILA: WANAOTAKA KUANDAMANA WAACHE MARA MOJA
Akizungumza na Waandishi wa Habari, Mkuu wa Mkoa wa #Dar, #AlbertChalamila amewataka Raia waliokusudia kuandamana kupinga Mkataba wa #Tanzania na #DPWorld waache mara moja akisema huu sio muda wa Maandamano
Mapema wiki hii Mwanaharakati wa Haki za Binadamu, Deusdedith Soka aliitisha maandamano ya Amani kuelekea Ikulu ya #Magogoni kwa lengo la kupinga mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na DP World
Soma https://jamii.app/StopMaandamano
#PeacefulProtests #Democracy #DPWorldSaga
Akizungumza na Waandishi wa Habari, Mkuu wa Mkoa wa #Dar, #AlbertChalamila amewataka Raia waliokusudia kuandamana kupinga Mkataba wa #Tanzania na #DPWorld waache mara moja akisema huu sio muda wa Maandamano
Mapema wiki hii Mwanaharakati wa Haki za Binadamu, Deusdedith Soka aliitisha maandamano ya Amani kuelekea Ikulu ya #Magogoni kwa lengo la kupinga mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na DP World
Soma https://jamii.app/StopMaandamano
#PeacefulProtests #Democracy #DPWorldSaga
👍3🔥1🤔1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Maandamano hayo ya Amani kuelekea Ikulu ya #Magogoni, yaliitishwa na Mwanaharakati wa Haki za Binadamu, Deusdedith Soka, kwa lengo la kupinga mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na #Dubai kupitia kampuni ya #DPWorld
Soma https://jamii.app/PeacefulProtests
#JamiiForums #DPWorldSaga #PeacefulProtests #Democracy
Soma https://jamii.app/PeacefulProtests
#JamiiForums #DPWorldSaga #PeacefulProtests #Democracy
👍3