JamiiForums
52.4K subscribers
34.4K photos
2.47K videos
31.4K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
Mahakama ya Ushindani na Haki za Watumiaji Huduma (CCPT) ya #Nigeria, imeitoza Kampuni ya Matangazo ya Televisheni ya #MultiChoice takriban Tsh. Milioni 282.56 pamoja na kuwapa Wateja wake Kifurushi cha Matangazo ya mwezi mmoja bila malipo

Uamuzi huo unafuatia malalamiko ya Wateja wa MultiChoice ambayo inaendesha huduma zake kupitia #DTSV na #GOTV juu ya kupandishwa kwa gharama za Vifurushi kwa 25% kuanzia Mei 2024 ambapo CCPT ilijiridhisha kulikuwa na ukiukwaji wa Haki za Wateja

Awali, #CCPT iliizuia MultiChoice kupandisha bei za Vifurushi lakini kampuni hiyo ilikata rufaa na kupandisha bei wakati shauri likiwa Mahakamani, hivyo uamuzi huo umekuja kama adhabu ya kupuuza agizo la Mahakama.

Soma https://jamii.app/MultiChoiceNGR

#JamiiForums #DigitalRights #Governance #SocialJustice #Accoutability
3👍3🤣2