This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Usaili wa kazi ni hatua muhimu katika mchakato wa kuajiriwa. Ni fursa ya kuonesha jinsi unavyoweza kuleta mchango mzuri kwa Kampuni.
#JamiiForums #InterviewTips #FanyaUsailiNaJF #InterviewQuestions #JobInterviewTips
#JamiiForums #InterviewTips #FanyaUsailiNaJF #InterviewQuestions #JobInterviewTips
👍1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Jinsi Mwonekano wako unaweza kuwa na athari chanya au hasi wakati wa Usaili wa kazi.
#JamiiForums #InterviewTips #FanyaUsailinaJF #InterviewQuestions #JobInterviewTips
#JamiiForums #InterviewTips #FanyaUsailinaJF #InterviewQuestions #JobInterviewTips
👍3❤1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Fahamu Maswali Muhimu ya Mtego Unayoweza kuulizwa wakati wa Usaili
Zaidi soma https://jamii.app/InterviewTips
#JamiiForums #InterviewQuestions #InterviewTips #FanyaUsailinaJF #JobInterviewTips
Zaidi soma https://jamii.app/InterviewTips
#JamiiForums #InterviewQuestions #InterviewTips #FanyaUsailinaJF #JobInterviewTips
👍5
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Kumbuka Mwonekano wako unaweza kuwa na athari chanya au hasi wakati wa Usaili wa kazi, hivyo hakikisha unaenda katika Usaili husika ukiwa nadhifu
Aidha, ni muhimu kufanya utafiti kidogo kuhusu Kampuni, Taasisi na Nafasi uliyoitiwa ili kupanga mavazi yanayoendana na nafasi hiyo
Soma https://jamii.app/MavaziYaInterview
#JamiiForums #InterviewTips #FanyaUsailinaJF #InterviewQuestions #JobInterviewTips
Aidha, ni muhimu kufanya utafiti kidogo kuhusu Kampuni, Taasisi na Nafasi uliyoitiwa ili kupanga mavazi yanayoendana na nafasi hiyo
Soma https://jamii.app/MavaziYaInterview
#JamiiForums #InterviewTips #FanyaUsailinaJF #InterviewQuestions #JobInterviewTips
❤1🔥1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Kuitwa kwenye Usaili wa kazi ni hatua muhimu katika mchakato wa kuajiriwa, pia ni fursa ya kuonesha jinsi unavyoweza kuongeza thamani kwa kampuni au taasisi husika
Ni muhimu kujiridhisha kwa kufuatilia taarifa muhimu zinazoihusu Kampuni au Taasisi husika kabla ya usaili ili kujiandaa kikamilifu na kujiongezea nafasi ya kufanikiwa katika usaili wako, kwasababu utaepuka kufanya vitu visivyoendana na sera za Kampuni
Pia, Waajiri wengi hupenda kuona umechukua muda kujifunza kuhusu kampuni au Taasisi yao. Hii itaonesha kuwa unajali na una nia ya kweli ya kujiunga nao
Soma https://jamii.app/JobInterviewABCs
#JamiiForums #InterviewTips #FanyaUsailiNaJF #InterviewQuestions #JobInterviewTips
Ni muhimu kujiridhisha kwa kufuatilia taarifa muhimu zinazoihusu Kampuni au Taasisi husika kabla ya usaili ili kujiandaa kikamilifu na kujiongezea nafasi ya kufanikiwa katika usaili wako, kwasababu utaepuka kufanya vitu visivyoendana na sera za Kampuni
Pia, Waajiri wengi hupenda kuona umechukua muda kujifunza kuhusu kampuni au Taasisi yao. Hii itaonesha kuwa unajali na una nia ya kweli ya kujiunga nao
Soma https://jamii.app/JobInterviewABCs
#JamiiForums #InterviewTips #FanyaUsailiNaJF #InterviewQuestions #JobInterviewTips
👍3
Swali la 'Tell us about yourself' (tuambie kuhusu wewe) kwenye usaili, huwa linaogopeka sana lakini ni swali muhimu ambalo ukishindwa kujibu vizuri linaweza kukupunguzia nafasi ya kupata fursa au ajira uliyoitiwa
Lengo la Swali hili ni kujenga picha kamili na thabiti ya jinsi ulivyo na jinsi unavyoweza kuleta thamani katika nafasi unayoiomba, hivyo jibu kwa ufupi kuhusu elimu yako, uzoefu wako wa kazi, majukumu uliyokuwa nayo, na jinsi yanavyohusiana na nafasi unayoomba
Vile vile, kwa ufupi elezea ujuzi maalum na stadi ulizonazo zitavyosaidia katika kazi unayoiomba. Pia, eleza jinsi nafasi unayoomba inavyoendana na malengo yako ya muda mrefu kulingana na taaluma yako.
Zaidi https://jamii.app/InterviewTips
#JamiiForums #Fursa #Ajira #InterviewTips
Lengo la Swali hili ni kujenga picha kamili na thabiti ya jinsi ulivyo na jinsi unavyoweza kuleta thamani katika nafasi unayoiomba, hivyo jibu kwa ufupi kuhusu elimu yako, uzoefu wako wa kazi, majukumu uliyokuwa nayo, na jinsi yanavyohusiana na nafasi unayoomba
Vile vile, kwa ufupi elezea ujuzi maalum na stadi ulizonazo zitavyosaidia katika kazi unayoiomba. Pia, eleza jinsi nafasi unayoomba inavyoendana na malengo yako ya muda mrefu kulingana na taaluma yako.
Zaidi https://jamii.app/InterviewTips
#JamiiForums #Fursa #Ajira #InterviewTips
👍3❤2