Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Kwa mara ya kwanza, China imeandaa mechi ya Soka inayochezwa na Roboti wa umbo la binadamu (humanoid robots) wanaojiendesha kwa kutumia Akili Unde (#AI), bila msaada wa Binadamu
Mechi hiyo ilifanyika mwishoni mwa mwezi Juni, 2025 katika Chuo Kikuu cha Tsinghua, Beijing, kama maandalizi ya Mshindano ya Dunia ya Roboti (World Humanoid Robot Games) yatakayofanyika Agosti 2025. Roboti hao walitumia AI kutambua mpira, kuchambua mazingira, kufanya maamuzi na kucheza
Licha ya Roboti hao kuangukaanguka na kuwaacha watazamaji 'wakifa mbavu' kwa vicheko, tukio hili linaonesha mafanikio makubwa Kiteknolojia nchini humo na huenda kwa miaka ijayo yakashuhudiwa Mapinduzi makubwa kwenye ulimwengu wa Soka
Fuatilia zaidi https://jamii.app/ChinaRobotiSoka
#JamiiAfrica #JamiiForums #JFTeknoloji #JFTech #AkiliUnde #AI #Soka #Michezo #JFSports #HumanoidRobots
Mechi hiyo ilifanyika mwishoni mwa mwezi Juni, 2025 katika Chuo Kikuu cha Tsinghua, Beijing, kama maandalizi ya Mshindano ya Dunia ya Roboti (World Humanoid Robot Games) yatakayofanyika Agosti 2025. Roboti hao walitumia AI kutambua mpira, kuchambua mazingira, kufanya maamuzi na kucheza
Licha ya Roboti hao kuangukaanguka na kuwaacha watazamaji 'wakifa mbavu' kwa vicheko, tukio hili linaonesha mafanikio makubwa Kiteknolojia nchini humo na huenda kwa miaka ijayo yakashuhudiwa Mapinduzi makubwa kwenye ulimwengu wa Soka
Fuatilia zaidi https://jamii.app/ChinaRobotiSoka
#JamiiAfrica #JamiiForums #JFTeknoloji #JFTech #AkiliUnde #AI #Soka #Michezo #JFSports #HumanoidRobots