Mdau wa JamiiCheck.com alihitaji kufahamu Uhalisia wa chapisho linalosambaa mtandaoni linalodaiwa kuwa la #TheChanzo likionesha kuwa Mwenyekiti wa #CHADEMA, Freeman Mbowe amemshukuru Rais Samia kwa kuungana na CHADEMA kuomboleza kifo cha Mzee Ali Kibao
Ufuatiliaji wa #JamiiCheck kwa kutumia #GoogleReverseImage umebaini kuwa Taarifa hiyo Si ya Kweli na haijachapishwa katika kurasa rasmi za Mitandao ya Kijamii ya The Chanzo. Pia, kupitia kurasa zake, The Chanzo imekanusha kuhusika na Taarifa hiyo
Aidha, JamiiCheck imebaini uwepo wa utofauti wa Nembo inayotambulisha mtandao wa X ambapo chapisho hilo limetumia nembo ya zamani ya alama ya Ndege wakati mtandao huo ukijulikana kama #Twitter tofauti na The Chanzo ambao hutumia nembo yenye herufi X
Soma https://jamii.app/MboweAmshukuruSamia
#JamiiCheck #HakikiTaarifa #FactsCheck #FactsChecking #VisitJamiiCheck #MisDis04
Ufuatiliaji wa #JamiiCheck kwa kutumia #GoogleReverseImage umebaini kuwa Taarifa hiyo Si ya Kweli na haijachapishwa katika kurasa rasmi za Mitandao ya Kijamii ya The Chanzo. Pia, kupitia kurasa zake, The Chanzo imekanusha kuhusika na Taarifa hiyo
Aidha, JamiiCheck imebaini uwepo wa utofauti wa Nembo inayotambulisha mtandao wa X ambapo chapisho hilo limetumia nembo ya zamani ya alama ya Ndege wakati mtandao huo ukijulikana kama #Twitter tofauti na The Chanzo ambao hutumia nembo yenye herufi X
Soma https://jamii.app/MboweAmshukuruSamia
#JamiiCheck #HakikiTaarifa #FactsCheck #FactsChecking #VisitJamiiCheck #MisDis04
👍3👏1