#SikuYaKimataifaYaVijana 2023 inakumbusha juu ya umuhimu na nguvu za Vijana katika Ujenzi wa Jamii Bora na kusisitiza Umuhimu wa kukabiliana na changamoto zinazowakabili ili kuboresha Mazingira ya Ukuaji na Mafanikio ya Vijana
Lengo la siku hii ni kuongeza uelewa kuhusu changamoto mbalimbali wanazopitia Vijana Duniani kote, ikiwa ni pamoja na #Elimu, #Ajira, #AfyaYaAkili, #Umaskini na Kushirikishwa
Soma https://jamii.app/IYD2023
#JamiiForums #IYD #IYD2023 #GreenSkills #YouthDay #GlobalGoals
Lengo la siku hii ni kuongeza uelewa kuhusu changamoto mbalimbali wanazopitia Vijana Duniani kote, ikiwa ni pamoja na #Elimu, #Ajira, #AfyaYaAkili, #Umaskini na Kushirikishwa
Soma https://jamii.app/IYD2023
#JamiiForums #IYD #IYD2023 #GreenSkills #YouthDay #GlobalGoals
👍5