BURUDANI: Mahakama kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam imetoa hukumu kwa Kampuni ya Home Box Office (#HBO) kuwalipa Tshs. Millioni 700 Wasanii wa #BongoFleva, #SoggyDoggy na #Dataz kwa kutumia wimbo wao wa 'Sikutaki Tena' katika filamu ya "Sometimes in April"
#IdrisElba ni miongoni mwa Wasanii waliocheza Filamu hiyo
Wimbo wa 'Sikutaki Tena' ulitoka Mwaka 2000 chini ya Mtayarishaji Enrico
Soma https://jamii.app/HBOKuwalipaWasaniiBongoFleva
#JamiiForums #JFEntertainment #Social Justice
#IdrisElba ni miongoni mwa Wasanii waliocheza Filamu hiyo
Wimbo wa 'Sikutaki Tena' ulitoka Mwaka 2000 chini ya Mtayarishaji Enrico
Soma https://jamii.app/HBOKuwalipaWasaniiBongoFleva
#JamiiForums #JFEntertainment #Social Justice
👍6❤1