Kwa mujibu wa Mtandao wa ngumi za Kulipwa wa Dunia (#Boxrec), Bondia Hassan Mwakinyo amefungiwa na Bodi ya Ngumi za Kulipwa Uingereza (BBBC) kupigana Nchini humo ila sababu haijawekwa wazi
Haijawekwa wazi Marufuku hiyo ni ya muda gani
Zaidi - https://jamii.app/MwakinyoAfungiwa
#JFSports
Haijawekwa wazi Marufuku hiyo ni ya muda gani
Zaidi - https://jamii.app/MwakinyoAfungiwa
#JFSports
👍10🤔7👏2😁2👎1
NDONDI: Bingwa wa Mkanda wa WBC Afrika, Fadhili Majiha 'Kiepe Nyani' amekuwa bondia wa kwanza wa #Tanzania kupata hadhi ya nyota Nne na 4.5 akivunja rekodi ya #HassanMwanyiko na #TonyRashid katika Mtandao wa #Boxrec
Majiha amefikia kiwango hicho wiki moja baada ya kushinda kwa pointi dhidi ya Bongani Mahlangu wa Afrika Kusini, pia anashika nafasi ya 7 kati ya 1,056 uzani wa Bantam
Mwakinyo ndiye bondia wa kwanza Nchini kufikia Hadhi ya Nyota 4, kwa sasa ana nyota 2 (Super Walter), Tony Rashid ana nyota 2.5 (Super Bantam)
Soma https://jamii.app/RekodiZaNdondi
#Sports #Boxing #JamiiForums
Majiha amefikia kiwango hicho wiki moja baada ya kushinda kwa pointi dhidi ya Bongani Mahlangu wa Afrika Kusini, pia anashika nafasi ya 7 kati ya 1,056 uzani wa Bantam
Mwakinyo ndiye bondia wa kwanza Nchini kufikia Hadhi ya Nyota 4, kwa sasa ana nyota 2 (Super Walter), Tony Rashid ana nyota 2.5 (Super Bantam)
Soma https://jamii.app/RekodiZaNdondi
#Sports #Boxing #JamiiForums
👍7