UTEUZI: Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Mhifadhi William Simon Mwakilema kuwa Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA)
Anachukua nafasi ya Dkt. Allan Herbert Kijazi ambaye ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi
Soma - https://jamii.app/UteuziTANAPA
#Governance
Anachukua nafasi ya Dkt. Allan Herbert Kijazi ambaye ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi
Soma - https://jamii.app/UteuziTANAPA
#Governance
MDAU: KUMPIGA/KUMGOMBEZA MTOTO KWA KUFANYA VIBAYA DARASANI SIO KUMSAIDIA
Anasema Binadamu tunatofautiana uwezo wa kuelewa mambo. Kuna Watoto uwezo wao wa Darasani ni mdogo lakini ana kipaji au uwezo fulani ni vizuri kumuendeleza upande huo ili kumsaidia
Ameongeza, kama Mtoto kila siku anaenda Shuleni, anahudhuria kila kipindi na kufanya kazi za nyumbani (home work), ya nini kumchapa anaposhika namba za chini? Usitumie kigezo kimoja kumpima Mwanao.
Mjadala zaidi - https://jamii.app/KuchapaWttMasomo
#Malezi
Anasema Binadamu tunatofautiana uwezo wa kuelewa mambo. Kuna Watoto uwezo wao wa Darasani ni mdogo lakini ana kipaji au uwezo fulani ni vizuri kumuendeleza upande huo ili kumsaidia
Ameongeza, kama Mtoto kila siku anaenda Shuleni, anahudhuria kila kipindi na kufanya kazi za nyumbani (home work), ya nini kumchapa anaposhika namba za chini? Usitumie kigezo kimoja kumpima Mwanao.
Mjadala zaidi - https://jamii.app/KuchapaWttMasomo
#Malezi
HOJA: WOSIA NI JAMBO MUHIMU LINALOSAHAULIKA NA WENGI
Mshiriki wa #StoriesOfChange asema kutoacha wosia husababisha Wajane na Watoto wa Marehemu kupoteza Haki kwa kukosa mwongozo wa mgawanyo wa mali
Ashauri watu kuandika wosia ili kupunguza migogoro
Soma https://jamii.app/WosiaMirathi
#JFMdau
Mshiriki wa #StoriesOfChange asema kutoacha wosia husababisha Wajane na Watoto wa Marehemu kupoteza Haki kwa kukosa mwongozo wa mgawanyo wa mali
Ashauri watu kuandika wosia ili kupunguza migogoro
Soma https://jamii.app/WosiaMirathi
#JFMdau
Jamii Forums tunawatakia Watanzania wote Maadhimisho mema ya Miaka 58 ya Mapinduzi matukufu ya #Zanzibar
Mapinduzi ya Zanzibar yalitokea Mwaka 1964 ili kumuondoa Madarakani Sultani wa Zanzibar na Serikali yake, iliyoundwa hasa na Waarabu
#MapinduziZanzibar #JamiiForums
Mapinduzi ya Zanzibar yalitokea Mwaka 1964 ili kumuondoa Madarakani Sultani wa Zanzibar na Serikali yake, iliyoundwa hasa na Waarabu
#MapinduziZanzibar #JamiiForums
WHO: 50% YA WATU BARANI ULAYA WATAAMBUKIZWA OMICRON
Shirika la Afya (WHO) lasema nusu ya watu wataambukizwa #Omicron kipindi cha wiki 6 - 8 zijazo
Makadirio yanatokana na Visa vipya Milioni 7 vilivyoripotiwa Ulaya wiki ya kwanza ya 2022
Soma - https://jamii.app/OmicronUlaya
#UVIKO3 #JFAfya
Shirika la Afya (WHO) lasema nusu ya watu wataambukizwa #Omicron kipindi cha wiki 6 - 8 zijazo
Makadirio yanatokana na Visa vipya Milioni 7 vilivyoripotiwa Ulaya wiki ya kwanza ya 2022
Soma - https://jamii.app/OmicronUlaya
#UVIKO3 #JFAfya
PWANI: Athumani Ramadhani (20), Maneno Hamis (23) na Abdallah Rajabu (21) wamefariki baada ya kulipukiwa na Chuma walichookota kinachodhaniwa kuwa ni bomu
Wanaojihusisha kuuza na kununua Vyuma chakavu watakiwa kuwa waangalifu wanapokusanya
Soma - https://jamii.app/VifoBomuPwani
#JFMatukio
Wanaojihusisha kuuza na kununua Vyuma chakavu watakiwa kuwa waangalifu wanapokusanya
Soma - https://jamii.app/VifoBomuPwani
#JFMatukio
👍1
BURKINA FASO: WANAJESHI 8 WASHIKILIWA KWA NJAMA ZA KUPANGA MAPINDUZI
Burkina Faso imetangaza kuwashikilia Wanajeshi akiwemo Kanali Mohamed Emmanuel Zoungrana ambaye ni mkosoaji wa Serikali
> Wizara ya Haki inaendelea kuchunguza tuhuma hizo
Soma https://jamii.app/BurkinaFasoWanajeshi
#Governance
Burkina Faso imetangaza kuwashikilia Wanajeshi akiwemo Kanali Mohamed Emmanuel Zoungrana ambaye ni mkosoaji wa Serikali
> Wizara ya Haki inaendelea kuchunguza tuhuma hizo
Soma https://jamii.app/BurkinaFasoWanajeshi
#Governance
DAR: Manawa Samson Horera (22) mwanafunzi wa mwaka wa pili wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) amefariki baada ya kujirusha kutoka ghorofa ya pili ktk hostel za Magufuli alipotuhumiwa kwa wizi wa laptop ya mwanafunzi mwenziye
Soma https://jamii.app/AjirushaGhorofani
#JFMatukio
Soma https://jamii.app/AjirushaGhorofani
#JFMatukio
RAIS SAMIA AKUTANA NA NDUGAI MARA YA KWANZA TANGU AJIUZULU
- Rais Samia amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai aliyefika Ikulu Chamwino
- Ndugai alijiuzulu Uspika akisema ni kwa hiari na maslahi ya Taifa
Soma https://jamii.app/SamiaNdugai
#JFSiasa
- Rais Samia amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai aliyefika Ikulu Chamwino
- Ndugai alijiuzulu Uspika akisema ni kwa hiari na maslahi ya Taifa
Soma https://jamii.app/SamiaNdugai
#JFSiasa
#AFCON2021: REFA AMALIZA MPIRA MARA 2 KABLA YA DK 90
Janny Sikazwe ameibua utata kwenye mechi ya Tunisia na Mali baada ya kumaliza mchezo ktk dk ya 85, kisha kuruhusu uendelee na kumaliza tena ktk dk ya 89.43
- Mali imeshinda kwa goli 1-0
Soma https://jamii.app/RefaJanny
#JFSports
Janny Sikazwe ameibua utata kwenye mechi ya Tunisia na Mali baada ya kumaliza mchezo ktk dk ya 85, kisha kuruhusu uendelee na kumaliza tena ktk dk ya 89.43
- Mali imeshinda kwa goli 1-0
Soma https://jamii.app/RefaJanny
#JFSports
UINGEREZA: WAZIRI MKUU AKUMBWA NA SHINIKIZO LA KUMTAKA AJIUZULU
Upinzani wamemtaka Boris Johnson ajiuzulu kwa kushiriki sherehe iliyokiuka vizuizi vya #COVID19
Boris ameomba radhi na kusema aliuchukulia mkusanyiko huo kuwa wa kikazi
Soma - https://jamii.app/BorisPMQs
#Accountability #UVIKO3
Upinzani wamemtaka Boris Johnson ajiuzulu kwa kushiriki sherehe iliyokiuka vizuizi vya #COVID19
Boris ameomba radhi na kusema aliuchukulia mkusanyiko huo kuwa wa kikazi
Soma - https://jamii.app/BorisPMQs
#Accountability #UVIKO3
MBEYA: MTOTO AUA BABA YAKE KWA TUHUMA ZA KISHIRIKINA
Jeshi la Polisi linamshikilia Mussa (Mtumishi wa Ruvu JKT) kwa kumuua Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi CCM, Edward Ndonde kwa kumchoma visu
Mussa alikuwa akimtuhumu Baba yake kuwa mchawi
Soma - https://jamii.app/MauajiNaibuMBY
#JFMatukio
Jeshi la Polisi linamshikilia Mussa (Mtumishi wa Ruvu JKT) kwa kumuua Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi CCM, Edward Ndonde kwa kumchoma visu
Mussa alikuwa akimtuhumu Baba yake kuwa mchawi
Soma - https://jamii.app/MauajiNaibuMBY
#JFMatukio
#AFGHANISTAN: Taliban wameweka Sheria kali za matumizi ya simu kwa watu wa Kaskazini Magharibi mwa Nchi hiyo, ambapo huduma ya simu itapatikana kuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 9 mchana
Wamesema wamechukua hatua hiyo ili kuwalinda Wanajeshi wake
Soma - https://jamii.app/SimuAfghanistan
#DigitalRights
Wamesema wamechukua hatua hiyo ili kuwalinda Wanajeshi wake
Soma - https://jamii.app/SimuAfghanistan
#DigitalRights
AFRIKA KUSINI: WANAHARAKATI WAPANDA BANGI KARIBU NA OFISI YA RAIS CYRIL RAMAPHOSA
Ni Wanaharakati wa Jamii ya Khoisan ambayo hutumia bangi kwa matibabu
Mwaka 2018 waliweka kambi nje ya Ofisi ya Rais kushinikiza lugha yao kutambuliwa
Soma - https://jamii.app/BangiAfrikaKusini
#JFMatukio
Ni Wanaharakati wa Jamii ya Khoisan ambayo hutumia bangi kwa matibabu
Mwaka 2018 waliweka kambi nje ya Ofisi ya Rais kushinikiza lugha yao kutambuliwa
Soma - https://jamii.app/BangiAfrikaKusini
#JFMatukio
RAIS SAMIA: WAZIRI NA MANAIBU WAZIRI MSIWE NA MIGONGANO SABABU YA SAFARI
Asema mara nyingine Waziri na Manaibu Waziri hugombania safari na maslahi
Amewataka kujua nafasi zao ili kuepusha migogoro, kwani kila mmoja ameteuliwa kwa vigezo tofauti
Soma - https://jamii.app/WaziriSafari
#JFSiasa #Governance
Asema mara nyingine Waziri na Manaibu Waziri hugombania safari na maslahi
Amewataka kujua nafasi zao ili kuepusha migogoro, kwani kila mmoja ameteuliwa kwa vigezo tofauti
Soma - https://jamii.app/WaziriSafari
#JFSiasa #Governance
RAIS SAMIA: KAMA HUMPENDI RAIS ALIYEPO, PENDA NCHI YAKO
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Urais sio mtu ni Taasisi. Kutompenda Rais aliyepo Madarakani isiwe kigezo cha kupuuza mambo yote ya Serikali
Awataka wateule wake kuheshimu viapo vyao
Soma - https://jamii.app/PendaNchi
#JFSiasa #Governance
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Urais sio mtu ni Taasisi. Kutompenda Rais aliyepo Madarakani isiwe kigezo cha kupuuza mambo yote ya Serikali
Awataka wateule wake kuheshimu viapo vyao
Soma - https://jamii.app/PendaNchi
#JFSiasa #Governance
RAIS SAMIA: SERA NYINGI NI ZA ZAMANI, ZIBORESHWE
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Mawaziri waangalie Sera, Sheria na kuziboresha kama zinaonekana kuwa ni za zamani
Vilevile, wasikilize maoni ya Wataalamu na kuwa wabunifu
Soma - https://jamii.app/SeraSheria
#Governance
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Mawaziri waangalie Sera, Sheria na kuziboresha kama zinaonekana kuwa ni za zamani
Vilevile, wasikilize maoni ya Wataalamu na kuwa wabunifu
Soma - https://jamii.app/SeraSheria
#Governance
RAIS SAMIA: MSIAJIRI MARAFIKI NA NDUGU ZENU KATIKA TAASISI
Amesema Ajira za kujuana badala ya kuangalia vigezo na kuoneana muhali zinaua Taasisi za Serikali
Amewataka mawaziri kukemeana kwa heshima kunapotokea kosa na kutoajiri watu kwa kujuana
Soma - https://jamii.app/AjiraUndugu
#Governance
Amesema Ajira za kujuana badala ya kuangalia vigezo na kuoneana muhali zinaua Taasisi za Serikali
Amewataka mawaziri kukemeana kwa heshima kunapotokea kosa na kutoajiri watu kwa kujuana
Soma - https://jamii.app/AjiraUndugu
#Governance
WHO: 85% YA WAAFRIKA HAWAJAPATA CHANJO YA #COVID19
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuna safari ndefu ya kufikia lengo la kutoa chanjo kwa 70% katika kila Nchi kufikia katikati ya mwaka 2022
Nchi 90 hazijafikia lengo la 40%
Soma - https://jamii.app/Asilimia85Afrika
#UVIKO3 #JFAfya
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuna safari ndefu ya kufikia lengo la kutoa chanjo kwa 70% katika kila Nchi kufikia katikati ya mwaka 2022
Nchi 90 hazijafikia lengo la 40%
Soma - https://jamii.app/Asilimia85Afrika
#UVIKO3 #JFAfya
MDAU: MAHITAJI MUHIMU WANAYOHITAJI WATOTO KUTOKA KWA MZAZI/MLEZI
1. Uwepo wako na Umakini: Hili ni hitaji kubwa kwa Watoto. Kumpatia huduma zote Mtoto hakutoshi kama haupo naye karibu kimwili na kihisia
2. Kupendwa kwa dhati: Watoto wanapenda Wazazi wajifunze kuwapenda kwa namna walivyo. Kuzungumza naye kwa lugha ya Upendo huleta utofauti mkubwa
Soma - https://jamii.app/ChildNeeds
#Malezi
1. Uwepo wako na Umakini: Hili ni hitaji kubwa kwa Watoto. Kumpatia huduma zote Mtoto hakutoshi kama haupo naye karibu kimwili na kihisia
2. Kupendwa kwa dhati: Watoto wanapenda Wazazi wajifunze kuwapenda kwa namna walivyo. Kuzungumza naye kwa lugha ya Upendo huleta utofauti mkubwa
Soma - https://jamii.app/ChildNeeds
#Malezi