TANZANIA YATAJWA KUWA NA HALI MBAYA YA ULINZI WA KIDIGITALI NA ULINZI WA DATA
> Utafiti uliofanywa na Comparitech ya nchini Uingereza umeitaja Tanzania katika orodha ya Nchi zilizo na changamoto ya #UlinziWaKidigitali
> Takwimu zinaonesha 28.03% ya Simu nchini Tanzania zimeingiliwa na virusi vya mtandao huku 14.7% ya Kompyuta zikiwa zimeingiliwa na virusi
Soma > https://jamii.app/DataProtectionTz
#DataProtection
> Utafiti uliofanywa na Comparitech ya nchini Uingereza umeitaja Tanzania katika orodha ya Nchi zilizo na changamoto ya #UlinziWaKidigitali
> Takwimu zinaonesha 28.03% ya Simu nchini Tanzania zimeingiliwa na virusi vya mtandao huku 14.7% ya Kompyuta zikiwa zimeingiliwa na virusi
Soma > https://jamii.app/DataProtectionTz
#DataProtection
TUME YA UCHAGUZI YAONGEZA SIKU 3 ZA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA
> NEC imeongeza muda wa zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa Dar es Salaam
> Zoezi hilo litafungwa rasmi Februari 23, 2020
Zaidi, soma - https://jamii.app/UandikishajiWapigaKura
> NEC imeongeza muda wa zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa Dar es Salaam
> Zoezi hilo litafungwa rasmi Februari 23, 2020
Zaidi, soma - https://jamii.app/UandikishajiWapigaKura
UGANDA: MWANAHARAKATI DKT. STELLAH NYANZI AACHIWA HURU
- Ameachiwa huru leo baada ya Jaji kusema alihukumiwa kimakosa
- Agosti 2019 alihukumiwa miezi 18 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumdhalilisha Mtandaoni Rais wa Uganda Yoweri Museveni
Zaidi, soma https://jamii.app/StellaNyanziHuru
- Ameachiwa huru leo baada ya Jaji kusema alihukumiwa kimakosa
- Agosti 2019 alihukumiwa miezi 18 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumdhalilisha Mtandaoni Rais wa Uganda Yoweri Museveni
Zaidi, soma https://jamii.app/StellaNyanziHuru
LESOTHO: CHAMA TAWALA CHAMTAKA WAZIRI MKUU KUJIUZULU LEO
> Thomas Thabane aliahidi kujiuzulu baada ya Polisi kumhusisha kwenye mauaji ya Mkewe wa kwanza, lakini ameshindwa kutekeleza ahadi hiyo
> Chama hicho chadai hawezi kubaki madarakani
Zaidi, soma https://jamii.app/ThabaneKujiuzuluLesotho
> Thomas Thabane aliahidi kujiuzulu baada ya Polisi kumhusisha kwenye mauaji ya Mkewe wa kwanza, lakini ameshindwa kutekeleza ahadi hiyo
> Chama hicho chadai hawezi kubaki madarakani
Zaidi, soma https://jamii.app/ThabaneKujiuzuluLesotho
HOJA: FAHAMU KUHUSU NDEGE BUNDI NA KUHUSISHWA KWAKE NA VIFO
> Mdau wa JamiiForums anadai Bundi anaponekana kifo hutokea kwa sababu ya uwezo wa kuvuta harufu ya mzoga kutoka mbali
> Ameeleza kuwa Binadamu huanza kufa 'organ' za mwili na Bundi anapoonekana, dalili mtu ameshaanza hatua za kufariki
Kujadili, tembelea https://jamii.app/FahamuKuhusuBundi
> Mdau wa JamiiForums anadai Bundi anaponekana kifo hutokea kwa sababu ya uwezo wa kuvuta harufu ya mzoga kutoka mbali
> Ameeleza kuwa Binadamu huanza kufa 'organ' za mwili na Bundi anapoonekana, dalili mtu ameshaanza hatua za kufariki
Kujadili, tembelea https://jamii.app/FahamuKuhusuBundi
MAONI: KANUNI ZITUNGWE KUDHIBITI KUREKODIWA KWA MATUKIO YANAYODHALILISHA WATOTO SHULENI
> Mdau wa JamiiForums ameomba Wizara ya Elimu ipige marufuku Walimu kurekodi Watoto bila ridhaa yao
> Amesema ili kumlinda mtoto, kuwepo na adhabu hata ya kufukuzwa kazi kwa atakayebainika kurekodi
Kujadili, tembelea https://jamii.app/MawazoYaMdau
> Mdau wa JamiiForums ameomba Wizara ya Elimu ipige marufuku Walimu kurekodi Watoto bila ridhaa yao
> Amesema ili kumlinda mtoto, kuwepo na adhabu hata ya kufukuzwa kazi kwa atakayebainika kurekodi
Kujadili, tembelea https://jamii.app/MawazoYaMdau
JE, UCHUMI NI SABABU YA MAHUSIANO MENGI KUTODUMU NA VIJANA WENGI KUTOOA?
> Mdau wa JamiiForums anadai kuna ongezeko la mahusiano/ndoa kuvunjika na vijana wengi kuchelewa kuoa au kutooa
> Anadai kuwa moja ya changamoto kubwa katika kuchangia suala hili ni kipato cha wahusika
Kujadili, tembelea https://jamii.app/MahusianoUchumi
> Mdau wa JamiiForums anadai kuna ongezeko la mahusiano/ndoa kuvunjika na vijana wengi kuchelewa kuoa au kutooa
> Anadai kuwa moja ya changamoto kubwa katika kuchangia suala hili ni kipato cha wahusika
Kujadili, tembelea https://jamii.app/MahusianoUchumi
SUDANI KUSINI: RAIS KIIR NA MPINZANI WAKE WAKUBALIANA KUUNDA SERIKALI YA MUUNGANO
> Rais Salva Kiir na Riek Machar wameridhia kuunda Serikali ya Muungano
> Makubaliano hayo yanatarajiwa kumaliza vita ya takriban miaka 6 nchini humo
Soma https://jamii.app/MuunganoSudaniKusini
> Rais Salva Kiir na Riek Machar wameridhia kuunda Serikali ya Muungano
> Makubaliano hayo yanatarajiwa kumaliza vita ya takriban miaka 6 nchini humo
Soma https://jamii.app/MuunganoSudaniKusini
RWANDA YAPINGA UCHUNGUZI HURU WA KIFO CHA MSANII KIZITO
- Uchunguzi huo ni juu ya kifo cha Msanii Kizito Mihigo anayedaiwa kujinyonga akiwa Kituo cha Polisi
- Imesema yenyewe ni nchi huru inayojitawala na inayoweza kuchunguza kitu chochote
Zaidi, soma https://jamii.app/RwandaUchunguziKifoKizito
- Uchunguzi huo ni juu ya kifo cha Msanii Kizito Mihigo anayedaiwa kujinyonga akiwa Kituo cha Polisi
- Imesema yenyewe ni nchi huru inayojitawala na inayoweza kuchunguza kitu chochote
Zaidi, soma https://jamii.app/RwandaUchunguziKifoKizito
LESOTHO: WAZIRI MKUU KUSHTAKIWA KWA MAUAJI YA MKEWE
- Waziri Mkuu Thomas Thabane (80) atashtakiwa kwa mauaji ya Mke wake wa kwanza, Lipolelo Thabane
- Aidha, Thabane anakabiliwa pia na kesi ya kujaribu kumuua mtu mwingine aliyekuwepo wakati Lipolelo akiuawa
Zaidi, soma https://jamii.app/WaziriMkuuKushtakiwa-LSTH
- Waziri Mkuu Thomas Thabane (80) atashtakiwa kwa mauaji ya Mke wake wa kwanza, Lipolelo Thabane
- Aidha, Thabane anakabiliwa pia na kesi ya kujaribu kumuua mtu mwingine aliyekuwepo wakati Lipolelo akiuawa
Zaidi, soma https://jamii.app/WaziriMkuuKushtakiwa-LSTH
#CORONAVIRUS: VIFO VYAFIKIA 2,247 HUKU WAATHIRIKA WAFIKIA 76,691
- Idadi hiyo ni kwa Dunia nzima huku kukiwa na vifo 11 nje ya 'Mainland China'
- Idadi ya vifo sehemu nyingine; Japan (3), Hong Kong (2), Iran (2), Taiwan (1), Ufilipino(1), Korea Kusini (1) na Ufaransa (1)
- Idadi hiyo ni kwa Dunia nzima huku kukiwa na vifo 11 nje ya 'Mainland China'
- Idadi ya vifo sehemu nyingine; Japan (3), Hong Kong (2), Iran (2), Taiwan (1), Ufilipino(1), Korea Kusini (1) na Ufaransa (1)
MBOWE: TUNAWAFAHAMU WOTE WANAOTAKA KUHAMA CHADEMA
- Amesema wanawafahamu Wanachama wote wa CHADEMA wenye nia ya kutengeneza migogoro na baadaye kuhama
- Amebainisha kuwa hawawezi kuwafukuza kwani baadaye watalalamika wameonewa na kufukuzwa
Zaidi, soma https://jamii.app/MboweVsWanaoondokaCDM
- Amesema wanawafahamu Wanachama wote wa CHADEMA wenye nia ya kutengeneza migogoro na baadaye kuhama
- Amebainisha kuwa hawawezi kuwafukuza kwani baadaye watalalamika wameonewa na kufukuzwa
Zaidi, soma https://jamii.app/MboweVsWanaoondokaCDM
TUNDUMA: POLISI WAZUIA MKUTANO WA MBUNGE, WADAI KUNA UWEZEKANO WA UVUNJIFU AMANI
> Polisi wamezuia mkutano wa Mbunge Frank Mwakajoka (CHADEMA) wakidai kuna taarifa za Kiintelijensia zinazoashiria kuwepo uwezekano wa kutokea uvunjifu wa amani
Zaidi, soma https://jamii.app/ZuioMkutanoTunduma
> Polisi wamezuia mkutano wa Mbunge Frank Mwakajoka (CHADEMA) wakidai kuna taarifa za Kiintelijensia zinazoashiria kuwepo uwezekano wa kutokea uvunjifu wa amani
Zaidi, soma https://jamii.app/ZuioMkutanoTunduma
UINGEREZA: ASILIMIA 61 YA WANAWAKE HUUAWA NA WAUME ZAO
> Utafiti huo umetokana na kesi ambazo zimeripotiwa na wahusika wamepatikana na hatia
> Zaidi ya theluthi ya waliouawa walijaribu kuachana na wapenzi wao. Wengi waliouawa wana umri kati ya 25-34
Zaidi, soma https://jamii.app/WanawakeKuuawa
> Utafiti huo umetokana na kesi ambazo zimeripotiwa na wahusika wamepatikana na hatia
> Zaidi ya theluthi ya waliouawa walijaribu kuachana na wapenzi wao. Wengi waliouawa wana umri kati ya 25-34
Zaidi, soma https://jamii.app/WanawakeKuuawa
DIDIER DROGBA ADAIWA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA MSHAURI WA RAIS WA CAF
- Inadaiwa amefukuzwa kwa kushindwa kutimiza majukumu yake chini ya Rais wa CAF, Ahmad Ahmad
- Pia, inaelezwa kuwa hajawahi kushiriki tukio lolote la CAF tangu kuteuliwe kwake
Zaidi, soma https://jamii.app/DrogbaAfutwaKaziCAF
- Inadaiwa amefukuzwa kwa kushindwa kutimiza majukumu yake chini ya Rais wa CAF, Ahmad Ahmad
- Pia, inaelezwa kuwa hajawahi kushiriki tukio lolote la CAF tangu kuteuliwe kwake
Zaidi, soma https://jamii.app/DrogbaAfutwaKaziCAF
DAR: BEI YA GESI YA KUTUMIA MAJUMBANI YAPANDA
- Mtungi mdogo ulikuwa Tsh. 17,000 sasa ni Tsh. 22,000, mitungi mikubwa Tsh. 49,000 sasa ni Tsh. 50,000 hadi Tsh. 54,000
- Watumiaji wamesema ongezeko hili linaongeza ugumu wa maisha kwani vitu vingi vimepanda
Zaidi, soma https://jamii.app/BeiGesiMajumbani
- Mtungi mdogo ulikuwa Tsh. 17,000 sasa ni Tsh. 22,000, mitungi mikubwa Tsh. 49,000 sasa ni Tsh. 50,000 hadi Tsh. 54,000
- Watumiaji wamesema ongezeko hili linaongeza ugumu wa maisha kwani vitu vingi vimepanda
Zaidi, soma https://jamii.app/BeiGesiMajumbani
UKRAINE: RAIA WASHAMBULIA MABASI YALIYOBEBA WATU WALIOONDOLEWA CHINA KUTOKANA NA CORONA
> Wakazi wa Novi Sanzhary wameshambulia mabasi yaliyobeba Raia takriban 70 waliotoka Wuhan
> Wamedai wanawekwa katika hatari ya kupata maambukizi
Zaidi, soma https://jamii.app/CoronaUkraine
> Wakazi wa Novi Sanzhary wameshambulia mabasi yaliyobeba Raia takriban 70 waliotoka Wuhan
> Wamedai wanawekwa katika hatari ya kupata maambukizi
Zaidi, soma https://jamii.app/CoronaUkraine
RUVUMA: WAWILI WAFARIKI BAADA YA KUSOMBWA NA MAJI
> Watu wawili kutoka Kata ya matumbi wamesombwa na maji
> Mvua zinazoendelea kunyesha zimesababisha Mito kufurika na kuharibu miundombinu ya barabara na madaraja
Zaidi, soma https://jamii.app/VifoMvuaRuvuma
> Watu wawili kutoka Kata ya matumbi wamesombwa na maji
> Mvua zinazoendelea kunyesha zimesababisha Mito kufurika na kuharibu miundombinu ya barabara na madaraja
Zaidi, soma https://jamii.app/VifoMvuaRuvuma
TAMBUA UMRI WA MATAIRI YA GARI LAKO ILI KUEPUSHA AJALI ZA KUPASUKA KWA TAIRI
> Muda wa matumizi ya matairi ni miaka 4 tangu kutengenezwa, Sio tangu ufunge kwenye gari
> Ukipita muda huo, tairi linakuwa katika hatari ya kupasuka wakati wowote
Zaidi, soma https://jamii.app/TairiZaGari
> Muda wa matumizi ya matairi ni miaka 4 tangu kutengenezwa, Sio tangu ufunge kwenye gari
> Ukipita muda huo, tairi linakuwa katika hatari ya kupasuka wakati wowote
Zaidi, soma https://jamii.app/TairiZaGari