This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR ES SALAAM: Jaji Mkuu wa Tanzania, George Mcheche Masaju akifungua Mkutano wa Tisa wa Kamati ya Utatu kwenye Ukumbi wa PSSSF TOWER - Mawasiliano, leo Agosti 25, 2025 amesema angependelea utaratibu wa Kikokotoo kwa Watumishi wa Serikali Kuu kurudi kama ilivyokuwa zamani.
Jaji Masaju alisema “Haiwezekani mimi nastaafu kisha ndiyo mnaanza kusema sijui nilete hiki, nilete hiki. Taarifa hizi mlikuwa nazo kuanzia mwanzo, kabla ya kustaafu niliwapa taarifa miezi sita kabla. Sisi tungependa Kikokotoo kirudi kwa Watumishi wa Serikali Kuu kama ilivyokuwa.”
Zaidi Soma https://jamii.app/JajiMkuuKikotoo
#JamiiForums #JamiiAfrica #Uwajibikaji #Kikotoo
Jaji Masaju alisema “Haiwezekani mimi nastaafu kisha ndiyo mnaanza kusema sijui nilete hiki, nilete hiki. Taarifa hizi mlikuwa nazo kuanzia mwanzo, kabla ya kustaafu niliwapa taarifa miezi sita kabla. Sisi tungependa Kikokotoo kirudi kwa Watumishi wa Serikali Kuu kama ilivyokuwa.”
Zaidi Soma https://jamii.app/JajiMkuuKikotoo
#JamiiForums #JamiiAfrica #Uwajibikaji #Kikotoo
Mdau wa JamiiForums.com kutoka Jukwaa la Siasa anasema katika kipindi hiki cha Uchaguzi na uteuzi wa Wagombea, Wananchi wameonekana kuwakataa wale Wagombea walioteuliwa na chama husika.
Shiriki Mjadala https://jamii.app/MtuBinafsi
#JamiiForums #Accountability #Misinformation #Disinformation #ElectionInformation2025 #MisDis2025 #TaarifaZaUchaguzi2025
Shiriki Mjadala https://jamii.app/MtuBinafsi
#JamiiForums #Accountability #Misinformation #Disinformation #ElectionInformation2025 #MisDis2025 #TaarifaZaUchaguzi2025
KILIMANJARO: Mdau wa JamiiForums.com anatoa wito kwa Serikali Kuu na Mamlaka za juu za Usalama kuingilia kati na kuchukua hatua juu ya matukio yanayoendelea kati ya Wakulima dhidi ya Wafugaji katika Kijiji cha Mbatakero, Wilaya ya Hai, akidai kuna uvamizi unaoathiri Watu, Mazao, mali na kutishia uhai wa Watu.
Mdau anadai mgogoro huo umesababisha kuwe na matumizi ya ndivyo sivyo ya silaha za jadi na kwamba walalamikaji wanapowasilisha hoja zao kwa Mamlaka mbalimbali hazifanyiwi kazi kwa usahihi.
Anadai baadhi ya Wananchi wameanza kuhamasishana kujilinda wao, mali zao na afya zao na kwamba wamefikisha malalamiko yao katika Vyombo vya Habari vya Mkoani hapo navyo vimekuwa na uzito wa kuwasikiliza hali ambayo inaweza kusababisha machafuko kama hakutakuwa na muongozo wa Serikali.
Zaidi soma https://jamii.app/KijijiChaMbatakero
#JamiiAfrica #JamiiForums #HumanRights #Accountability #JFMdau2025
Mdau anadai mgogoro huo umesababisha kuwe na matumizi ya ndivyo sivyo ya silaha za jadi na kwamba walalamikaji wanapowasilisha hoja zao kwa Mamlaka mbalimbali hazifanyiwi kazi kwa usahihi.
Anadai baadhi ya Wananchi wameanza kuhamasishana kujilinda wao, mali zao na afya zao na kwamba wamefikisha malalamiko yao katika Vyombo vya Habari vya Mkoani hapo navyo vimekuwa na uzito wa kuwasikiliza hali ambayo inaweza kusababisha machafuko kama hakutakuwa na muongozo wa Serikali.
Zaidi soma https://jamii.app/KijijiChaMbatakero
#JamiiAfrica #JamiiForums #HumanRights #Accountability #JFMdau2025
❤1
Mshiriki wa Shindano la Stories of Change (SoC) 2021 katika andiko lake alieleza namna ambavyo ucheleweshwaji wa maamuzi ya kesi Mahakamani unavyoweza kuathiri #Demokrasia na kuminya Haki za Binadamu hasa katika harakati za kutetea mabadiliko muhimu ya nchi.
Hivyo, amependekeza kuongezwa kwa majaji, kuboresha Miundombinu ya Mahakama, Wahusika wa Sheria kuwajibika inavyotakiwa katika ngazi zote.
Soma zaidi https://jamii.app/KesiKuchelewa
#JamiiForums #JamiiAfrica #Democracy #HumanRights #StoriesOfChange
Hivyo, amependekeza kuongezwa kwa majaji, kuboresha Miundombinu ya Mahakama, Wahusika wa Sheria kuwajibika inavyotakiwa katika ngazi zote.
Soma zaidi https://jamii.app/KesiKuchelewa
#JamiiForums #JamiiAfrica #Democracy #HumanRights #StoriesOfChange
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Mbunge wa zamani wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima akizungumza kwa njia ya Mtandao, leo Agosti 25, 2025, amesema Viongozi ambao hawanyenyekei na kusikiliza malalamiko ya Wananchi basi uongozi wa Viongozi hao haujatoka kwa Wananchi bali umetoka sehemu nyingine hata Wananchi wakilia na kuomboleza.
Ameyasema hayo leo Agosti 25, 2025 akiwa anazungumza Mtandaoni.
Zaidi https://jamii.app/HotubaYaGwajima
#JamiiAfrica #JamiiForums #HumanRights #FreedomOfExpression
Ameyasema hayo leo Agosti 25, 2025 akiwa anazungumza Mtandaoni.
Zaidi https://jamii.app/HotubaYaGwajima
#JamiiAfrica #JamiiForums #HumanRights #FreedomOfExpression
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Akizungumza kwa njia ya Mtandao, aliyekuwa Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima, leo Agosti 25, 2025 amesema kwamba kama hoja alizoziibua aliyewahi kuwa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa #CCM, Humphrey Polepole zinaukweli, basi anampongeza kwa ujasiri wake wa kujitokeza na kuzungumza hadharani.
Askofu Gwajima amesema: “Niseme tu ukweli wangu, kama haya mambo aliyoyasema Polepole ni ya kweli basi ninampongeza sana kwa ujasiri huo kwa sababu ili haki iweze kutawala katika nchi ni lazima ianzie kwenye chama chetu.”
Zaidi Soma https://jamii.app/HotubaYaGwajima
#JamiiForums #JamiiAfrica #Demokrasia #Governance
Askofu Gwajima amesema: “Niseme tu ukweli wangu, kama haya mambo aliyoyasema Polepole ni ya kweli basi ninampongeza sana kwa ujasiri huo kwa sababu ili haki iweze kutawala katika nchi ni lazima ianzie kwenye chama chetu.”
Zaidi Soma https://jamii.app/HotubaYaGwajima
#JamiiForums #JamiiAfrica #Demokrasia #Governance
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Aliyekuwa Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima akizungumza kwa njia ya Mtandao, leo Agosti 25, 2025 amesema mwisho wenye afya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) unaweza kupatikana tu pale ambapo haki itatawala, na kuongeza kuwa ni vyema chama hicho kikawakumbatia zaidi Watu wanaoweza kusema ukweli.
Soma Zaidi: https://jamii.app/HotubaYaGwajima
#JamiiForums #JamiiAfrica #Demokrasia Siasa
Soma Zaidi: https://jamii.app/HotubaYaGwajima
#JamiiForums #JamiiAfrica #Demokrasia Siasa
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki akizungumza bungeni Juni 13, 2017 kwenye kikao cha Bajeti ya Serikali 2017/2018 alimtaja Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kuwa ndiye aliyesaini leseni ya uchimbaji wa madini kwenye mgodi wa Bulyanhulu mwaka 1994 wakati akiwa Waziri wa Maji, Nishati na Madini.
Soma Zaidi https://jamii.app/LissuMadini
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFKumbukizi
Soma Zaidi https://jamii.app/LissuMadini
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFKumbukizi