Katika Mkutano Mkuu wa 14 wa Afrika wa Jukwaa la Utawala wa Mtandao (AfIGF) leo Mei 29, 2025, JamiiAfrica inashiriki kwenye Mjadala unaohusu 'Nani Anaongoza? Mashindano ya Uzingatiaji wa Haki za Kidigitali kati ya Nchi 27 za Afrika"
Wadau wa Mjadala huu watajadili mwenendo na matokeo ya Ripoti ya Haki za Kidigitali na Ujumuishaji Barani Afrika (LONDA) ya Paradigm Initiative, pamoja na namna Watetezi wa Haki za Kidigitali wanaweza kupima kiwango cha uzingatiaji wa Nchi za Afrika kwenye Tamko la Tume ya Afrika kuhusu Kanuni za Uhuru wa Kujieleza na Upatikanaji wa Taarifa.
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Wadau wa Mjadala huu watajadili mwenendo na matokeo ya Ripoti ya Haki za Kidigitali na Ujumuishaji Barani Afrika (LONDA) ya Paradigm Initiative, pamoja na namna Watetezi wa Haki za Kidigitali wanaweza kupima kiwango cha uzingatiaji wa Nchi za Afrika kwenye Tamko la Tume ya Afrika kuhusu Kanuni za Uhuru wa Kujieleza na Upatikanaji wa Taarifa.
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Kuanzia leo Mei 29 hadi 31, 2025, JamiiAfrica inashiriki katika Mkutano wa 14 wa Afrika wa Utawala wa Mtandao (AfIGF2025) unaofanyika Dar es Salaam katika Ukumbi wa JNICC.
Mkutano huu unawakutanisha wadau mbalimbali kutoka Serikalini, Sekta binafsi, Asasi za Kiraia na Vijana ili kujadili kwa pamoja mustakabali wa Maendeleo ya Kidigitali Barani Afrika
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Mkutano huu unawakutanisha wadau mbalimbali kutoka Serikalini, Sekta binafsi, Asasi za Kiraia na Vijana ili kujadili kwa pamoja mustakabali wa Maendeleo ya Kidigitali Barani Afrika
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
❤3
Mkutano wa Jukwaa la Utawala wa Mtandaoni Afrika umeanza leo, Mei 29, 2025 ambapo JamiiAfrica itashiriki majadiliano kuhusu "Kuimarisha Uadilifu wa taarifa Mtandaoni", kuanzia Saa 3 hadi 4 asubuhi, katika chumba cha Bagamoyo
Majadiliano haya yanalenga kujadili changamoto za upotoshaji wa taarifa, mbinu za kujenga Mifumo ya taarifa iliyo thabiti na kuhamasisha ushirikiano wa Kimkakati kati ya wadau wote muhimu
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Majadiliano haya yanalenga kujadili changamoto za upotoshaji wa taarifa, mbinu za kujenga Mifumo ya taarifa iliyo thabiti na kuhamasisha ushirikiano wa Kimkakati kati ya wadau wote muhimu
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
👍1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Mbunge Halima Mdee ameeleza kuwa tuhuma dhidi ya Mwenyekiti wa #CHADEMA Taifa, #TunduLissu, kuhusu uhaini anashindwa kuzungumzia kwa kuwa anaamini kama ni kauli pekee za Kisiasa ndio zinahusika kwenye makosa ya Uhaini basi Wanasiasa wengi watakuwa matatizoni
Amesema hayo alipohojiwa na Kituo cha BBC ambapo ameeleza hafurahishwi na mgawanyiko unaoendelea ndani ya CHADEMA, kuhusu Kauli ya ‘No Reforms No Election’ amesema hana cha kuzungumza kwa kuwa hakuwa mshiriki wa mchakato wa Sera hiyo
Soma https://jamii.app/MdeeInterview
#JamiiForums #Siasa #Democracy #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025
Amesema hayo alipohojiwa na Kituo cha BBC ambapo ameeleza hafurahishwi na mgawanyiko unaoendelea ndani ya CHADEMA, kuhusu Kauli ya ‘No Reforms No Election’ amesema hana cha kuzungumza kwa kuwa hakuwa mshiriki wa mchakato wa Sera hiyo
Soma https://jamii.app/MdeeInterview
#JamiiForums #Siasa #Democracy #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025
Tabani Moyo kutoka The Media Institute of Southern Africa (MISA) amesema mbali na kuwa sehemu ya mnyororo wa Wahakiki wa Taarifa (Tact-Checkers), wameweka pia Msisitizo wa 'Kudemokrasisha' zoezi la Uhakiki wa Taarifa, kwa kuwajumuisha Wanahabari Wananchi (Citizen Journalists) na kuwapatia Mafunzo ya Kuchambua na Kuhakiki Taarifa kabla ya Uchaguzi.
Ameongeza pia wamegundua kwamba, bila Kushirikisha Majukwaa ya Kidijitali katika mjadala kuhusu Kanuni na Mifumo yao, wanakuwa wameacha pengo linaloweza Kuchochea Upotoshaji wa Taarifa
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Ameongeza pia wamegundua kwamba, bila Kushirikisha Majukwaa ya Kidijitali katika mjadala kuhusu Kanuni na Mifumo yao, wanakuwa wameacha pengo linaloweza Kuchochea Upotoshaji wa Taarifa
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
JamiiAfrica imeshiriki kwenye Mjadala unaohusu Kujenga Utamaduni wa Usalama wa Kidigitali katika Jamii zilizotengwa, kwenye Mkutano Mkuu wa 14 wa Afrika wa Utawala wa Mtandao (AfIGF2025) unaofanyika katika Ukumbi wa JNICC.
Mjadala huu ulijadili zaidi ya uelewa wa kinadharia hadi utekelezaji wa vitendo kuhusu Usalama wa Kimtandao.
Washiriki waliangazia mikakati bunifu, mipango inayoongozwa na Jamii, na zana zinazoweza kutumika kwa vitendo ambazo zimetengenezwa ili kuingiza Usalama wa Kidigitali katika maisha ya kila siku ya jamii zisizohudumiwa ipasavyo.
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Mjadala huu ulijadili zaidi ya uelewa wa kinadharia hadi utekelezaji wa vitendo kuhusu Usalama wa Kimtandao.
Washiriki waliangazia mikakati bunifu, mipango inayoongozwa na Jamii, na zana zinazoweza kutumika kwa vitendo ambazo zimetengenezwa ili kuingiza Usalama wa Kidigitali katika maisha ya kila siku ya jamii zisizohudumiwa ipasavyo.
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
❤1
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tech and Media Convergency (TMC), Asha Abinallah amesema tukiangalia suala la Uadilifu wa Taarifa kwa ujumla, ni jambo moja lakini hali hubadilika kabisa linapokuja kwenye Uadilifu wa Taarifa zinazohusiana na Uchaguzi
Ameongeza kuwa, Sifa au Vigezo vya kuamua kama taarifa ni Sahihi kwenye muktadha wa kijamii vinaweza kuendana na hali ya kawaida, lakini pindi taarifa hizo zinapohusiana moja kwa moja na Masuala ya Kisiasa, hali hubadilika
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Ameongeza kuwa, Sifa au Vigezo vya kuamua kama taarifa ni Sahihi kwenye muktadha wa kijamii vinaweza kuendana na hali ya kawaida, lakini pindi taarifa hizo zinapohusiana moja kwa moja na Masuala ya Kisiasa, hali hubadilika
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
❤1😁1
Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Maryprisca Mahundi anasema “Jukwaa la Utawala wa Intaneti kwa Vijana wa Afrika ni muhimu kwa mazungumzo, ubunifu, na utetezi, linaakisi roho ya kizazi ambacho si tu kinajua kutumia teknolojia, bali pia kina malengo kizazi chenye maono, sauti, na maadili yanayohitajika kuunda mustakabali wa mazingira ya kidijitali ya Afrika.”
Ameongeza “Kuwawezesha Vijana wa Afrika si jukumu la Serikali peke yake, Jukwaa linahitaji ushirikiano wa Serikali, Sekta Binafsi, Taasisi za Elimu ya Juu, na Jamii ya Kiraia. Kwa pamoja, lazima tuhahakikishe Vijana wanapata elimu, miundombinu, maarifa ya kidijitali, na huduma za intaneti zinazoweza kumuduwa.
Soma https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Ameongeza “Kuwawezesha Vijana wa Afrika si jukumu la Serikali peke yake, Jukwaa linahitaji ushirikiano wa Serikali, Sekta Binafsi, Taasisi za Elimu ya Juu, na Jamii ya Kiraia. Kwa pamoja, lazima tuhahakikishe Vijana wanapata elimu, miundombinu, maarifa ya kidijitali, na huduma za intaneti zinazoweza kumuduwa.
Soma https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
❤1
Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Maryprisca Mahundi anasema “Jukwaa la Utawala wa Intaneti kwa Vijana wa Afrika ni muhimu kwa mazungumzo, ubunifu, na utetezi, linaakisi roho ya kizazi ambacho si tu kinajua kutumia teknolojia, bali pia kina malengo kizazi chenye maono, sauti, na maadili yanayohitajika kuunda mustakabali wa mazingira ya kidijitali ya Afrika.”
Ameongeza “Kuwawezesha Vijana wa Afrika si jukumu la Serikali peke yake, Jukwaa linahitaji ushirikiano wa Serikali, Sekta Binafsi, Taasisi za Elimu ya Juu, na Jamii ya Kiraia. Kwa pamoja, lazima tuhahakikishe Vijana wanapata elimu, miundombinu, maarifa ya kidijitali, na huduma za intaneti wanazoweza kuzimudu"
Soma https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Ameongeza “Kuwawezesha Vijana wa Afrika si jukumu la Serikali peke yake, Jukwaa linahitaji ushirikiano wa Serikali, Sekta Binafsi, Taasisi za Elimu ya Juu, na Jamii ya Kiraia. Kwa pamoja, lazima tuhahakikishe Vijana wanapata elimu, miundombinu, maarifa ya kidijitali, na huduma za intaneti wanazoweza kuzimudu"
Soma https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Asha Abinallah (TMC): Tujiulize, ni nani anatafsiri maana ya ‘upotoshaji wa taarifa’? Hii ni hoja nyeti sana tunapozungumzia uadilifu wa taarifa wakati wa Uchaguzi
Kwasababu hata kama tutafafanua kwa Jamii nini maana ya 'disinformation', bado changamoto inaweza kubaki kwa sababu ya tafsiri tofauti, hasa pale ambapo maslahi ya Kisiasa yanahusika. Kile ambacho mtu mmoja anaona kama upotoshaji, mwingine anaweza kuona kama ‘msimamo wa Kisiasa’ au ‘uhuru wa kutoa maoni’
Hivyo, tunahitaji si tu kufafanua maana ya disinformation, bali pia kuwa na muktadha wa pamoja kuhusu nani anayepewa mamlaka ya kuamua, na kwa kutumia vigezo gani.
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Kwasababu hata kama tutafafanua kwa Jamii nini maana ya 'disinformation', bado changamoto inaweza kubaki kwa sababu ya tafsiri tofauti, hasa pale ambapo maslahi ya Kisiasa yanahusika. Kile ambacho mtu mmoja anaona kama upotoshaji, mwingine anaweza kuona kama ‘msimamo wa Kisiasa’ au ‘uhuru wa kutoa maoni’
Hivyo, tunahitaji si tu kufafanua maana ya disinformation, bali pia kuwa na muktadha wa pamoja kuhusu nani anayepewa mamlaka ya kuamua, na kwa kutumia vigezo gani.
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
❤2
Innocent Mangu kutoka JamiiAfrica amesema Mwaka 2024 JamiiAfrica kupitia Jukwaa la JamiiCheck wamewajengea uwezo Wanahabari zaidi ya 300 kuhusu masuala mbalimbali ya Ulinzi wa Kidigitali na Uthibitishaji wa Taarifa, aidha amesema JamiiAfrica ina ushirikiano na taasisi mbalimbali za Serikali, CSO's, Redio pamoja na washirika wenye maono yanayofanana
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Innocent Mangu kutoka JamiiAfrica amesema kupitia Jukwaa lao la Uhakiki wa taarifa la #JamiiCheck, wamejipanga kuhakikisha wanashirikiana na Wananchi ili wapate taarifa sahihi muda wote, zitakazowawezesha kufanya maamuzi sahihi kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025
Amesema hili lilifanyika vema kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mwaka 2024 ambapo mada 81 zilifanyiwa Uhakiki
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Amesema hili lilifanyika vema kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mwaka 2024 ambapo mada 81 zilifanyiwa Uhakiki
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Nancy Angulo kutoka UNESCO amesema ni muhimu kuzingatia aina ya maudhui tunayozalisha kwasababu kwa kiasi kikubwa AI huakisi kile inachofundishwa. Kwa hiyo, mitazamo ya watayarishaji wa maudhui ndio inayoakisiwa na AI katika kazi zake
Amesema kama wanahabari, watumiaji na watayarishaji wa maudhui, wanatakiwa kujiuliza kama wanachoweka mtandaoni kinaakisi Usawa wa Kijinsia au kimejaa Ubaguzi
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Amesema kama wanahabari, watumiaji na watayarishaji wa maudhui, wanatakiwa kujiuliza kama wanachoweka mtandaoni kinaakisi Usawa wa Kijinsia au kimejaa Ubaguzi
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Nancy Angulo kutoka UNESCO amesema mjadala wa Ukatili wa Mtandaoni unatakiwa kuwa wa Wote, na si kwa wale tu wenye sauti kubwa. Akisema kuwa mara nyingi ni watu wale wale wachache ndio huzungumzia suala hilo kila mahali
Ameongeza kuwa, msukumo wa ajenda hii unahitajika hadi ngazi za jamii (grassroots) ili watu wa kawaida waelewe: "Huu ni ukatili wa Mtandaoni, na ninahitaji kutumia Majukwaa ya Mtandaoni kwa Uwajibikaji, ili nisiuumize mtu mwingine"
Mtu anaposhika kifaa cha Kidijitali, anapaswa kufahamu kuwa anawajibika kutengeneza nafasi Salama Mtandaoni, si kwa ajili yetu tu, bali kwa wengine pia
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Ameongeza kuwa, msukumo wa ajenda hii unahitajika hadi ngazi za jamii (grassroots) ili watu wa kawaida waelewe: "Huu ni ukatili wa Mtandaoni, na ninahitaji kutumia Majukwaa ya Mtandaoni kwa Uwajibikaji, ili nisiuumize mtu mwingine"
Mtu anaposhika kifaa cha Kidijitali, anapaswa kufahamu kuwa anawajibika kutengeneza nafasi Salama Mtandaoni, si kwa ajili yetu tu, bali kwa wengine pia
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
❤1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Kada mkongwe wa #CCM na Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka amenukuliwa akisema "Mimi ningekuwa ni Wakili ningekiomba chama changu kwenda kumsaidia, #TunduLissu ashinde kesi, namtamani sana angekuja kugombea na Rais Samia Suluhu kwa sababu sio tishio kwa namna yoyote ile."
Amesema hayo Mei 29, 2025 wakati alipokiwa nje ya Ukumbi akishiriki kwenye Mkutano wa Chama chake
Soma https://jamii.app/OleSendekaLissu
#Siasa #JamiiForums #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025 #Democracy
Amesema hayo Mei 29, 2025 wakati alipokiwa nje ya Ukumbi akishiriki kwenye Mkutano wa Chama chake
Soma https://jamii.app/OleSendekaLissu
#Siasa #JamiiForums #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025 #Democracy
Mei 29, 2025, JamiiAfrica katika Mkutano Mkuu wa 14 wa Jukwaa la Afrika la Utawala wa Mtandao (AfIGF), JamiiAfrica ilishiriki Mjadala maalum wa Vijana, uliohusu kuwawezesha Vijana Kukuza Mustakabali wa Kidigitali Afrika
Mada kuu ililenga kuhimiza ubunifu unaoongozwa na Vijana, kukuza ujuzi wa Kidigitali na kutetea Sera jumuishi zinazoendana na Dira ya Umoja wa Afrika
Wadau walijadili jinsi Sera za Kidigitali za Afrika zinazingatia Usawa, Maadili, na changamoto mpya zinazojitokeza
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #YouthIGF #DigitalAfrica #YouthInTech #AfricaConnected #DigitalInclusion #VijanaNaTeknolojia
Mada kuu ililenga kuhimiza ubunifu unaoongozwa na Vijana, kukuza ujuzi wa Kidigitali na kutetea Sera jumuishi zinazoendana na Dira ya Umoja wa Afrika
Wadau walijadili jinsi Sera za Kidigitali za Afrika zinazingatia Usawa, Maadili, na changamoto mpya zinazojitokeza
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #YouthIGF #DigitalAfrica #YouthInTech #AfricaConnected #DigitalInclusion #VijanaNaTeknolojia