Rais Samia Suluhu Hassan amewapongeza Wakenya kwa kufanya Uchaguzi wa Amani uliompa Ushindi Naibu Rais, William Ruto
Amesema #Tanzania itaendeleza undugu na Ushirikiano wa Kihistoria na Kenya uliodumu Miaka na Miaka
Soma > https://jamii.app/SamiaAmpongezaRuto
#KenyaDecides2022
Amesema #Tanzania itaendeleza undugu na Ushirikiano wa Kihistoria na Kenya uliodumu Miaka na Miaka
Soma > https://jamii.app/SamiaAmpongezaRuto
#KenyaDecides2022
π10π1π1π©1
#MYANMAR: Mahakama imemhukumu tena Kiongozi wa Nchi hiyo aliyeondolewa Madarakani, Aung San Suu Kyi kifungo cha Miaka sita jela kwa Ufisadi
Mpinzani huyo ameshtakiwa kwa makosa yasiyopungua 18 yakiwemo ya Ufisadi na Ukiukwaji wa mchakato wa Uchaguzi. Anaweza kuhukumiwa Miaka 190 jela
Soma - https://jamii.app/SuuKyiCase
#HumanRights
Mpinzani huyo ameshtakiwa kwa makosa yasiyopungua 18 yakiwemo ya Ufisadi na Ukiukwaji wa mchakato wa Uchaguzi. Anaweza kuhukumiwa Miaka 190 jela
Soma - https://jamii.app/SuuKyiCase
#HumanRights
π2
#KENYA: Ubalozi wa Marekani umetoa wito kwa pande zote kufanya kazi pamoja na kutatua changamoto ambazo zilijitokeza kipindi cha Uchaguzi Mkuu
Pia, Vyama vya Siasa viendelee kuwasihi wafuasi wao kuwa watulivu na kujiepusha na vurugu
Soma - https://jamii.app/USEmbassyKenya
#KenyaDecides2022
Pia, Vyama vya Siasa viendelee kuwasihi wafuasi wao kuwa watulivu na kujiepusha na vurugu
Soma - https://jamii.app/USEmbassyKenya
#KenyaDecides2022
π5
Vijana hivi sasa wanakua katika ulimwengu wa kidigitali ambapo Ujuzi na Uzoefu katika Masuala ya Digitali ni muhimu hususan katika Ajira
Hata hivyo, Mafunzo katika Nchi mbalimbali za Uchumi wa Chini na Kati bado ni changamoto kwani idadi kubwa ya Shule bado hazina vifaa vya kufundishia Wanafunzi
Zaidi, soma - https://jamii.app/DSYouth
#DigitalRights #DigitalSkills
Hata hivyo, Mafunzo katika Nchi mbalimbali za Uchumi wa Chini na Kati bado ni changamoto kwani idadi kubwa ya Shule bado hazina vifaa vya kufundishia Wanafunzi
Zaidi, soma - https://jamii.app/DSYouth
#DigitalRights #DigitalSkills
π6π1
China imewawekea vikwazo Maafisa wa #Taiwan ikiwemo marufuku ya kuingia China na maeneo ya #HongKong na Macau kwa madai ya kuunga mkono uhuru wa Kisiwa hicho
Miongoni mwao ni Bi-khim Hsiao, Mwakilishi wa Taiwan Nchini Marekani
Soma https://jamii.app/VikwazoTaiwan
#ChinaTaiwanCrisis
Miongoni mwao ni Bi-khim Hsiao, Mwakilishi wa Taiwan Nchini Marekani
Soma https://jamii.app/VikwazoTaiwan
#ChinaTaiwanCrisis
π5π4
CHINA NA TAIWAN: China imeendelea na mazoezi ya kijeshi karibu zaidi na Taiwan wakati baadhi ya Wabunge wa Marekani wakitembelea Kisiwa hicho
> Kikosi cha China kimesema kimeweka doria na kipo tayari kwa mapigano
Soma https://jamii.app/ChinaTaiwan2022
#JamiiForums
> Kikosi cha China kimesema kimeweka doria na kipo tayari kwa mapigano
Soma https://jamii.app/ChinaTaiwan2022
#JamiiForums
π4
UKATILI KWA WATOTO: Takwimu zinaonesha Watoto Bilioni 1 Duniani hupitia aina fulani ya Unyanyasaji wa Kihisia, Kimwili au Kingono kila mwaka
Aidha, zaidi ya Mwanafunzi 1 kati ya 3 (miaka 13 - 15) hupitia aina fulani ya uonevu
Aina zote za ukatili zinaweza kusababisha madhara kwa Watoto, kudhalilisha Utu wao na kuzuia Maendeleo yao
Fahamu zaidi > https://jamii.app/WatotoData
#JFData #HakiMtoto
Aidha, zaidi ya Mwanafunzi 1 kati ya 3 (miaka 13 - 15) hupitia aina fulani ya uonevu
Aina zote za ukatili zinaweza kusababisha madhara kwa Watoto, kudhalilisha Utu wao na kuzuia Maendeleo yao
Fahamu zaidi > https://jamii.app/WatotoData
#JFData #HakiMtoto
π5
FIFA YAIFUNGIA INDIA KUJIHUSISHA NA SOKA
FIFA imeifungia #India kutokana na Mahakama kuingilia masuala ya Shirikisho la Soka
Michuano ya Kombe la Dunia la Wanawake U-17 inayoandaliwa na India, Oktoba 2022 ipo shakani kufanyika Nchini humo
Soma https://jamii.app/FIFABanIndia
#JFSports
FIFA imeifungia #India kutokana na Mahakama kuingilia masuala ya Shirikisho la Soka
Michuano ya Kombe la Dunia la Wanawake U-17 inayoandaliwa na India, Oktoba 2022 ipo shakani kufanyika Nchini humo
Soma https://jamii.app/FIFABanIndia
#JFSports
π2
#AUSTRALIA: Waziri Mkuu wa zamani, Scott Morrison anadaiwa kushikilia majukumu ya Wizara za Afya, Fedha, Hazina, Mambo ya Ndani na Rasilimali kwa Miaka 2 kinyume na sheria
Amejitetea alifanya kwa nia njema kutokana na janga la #COVID19
Soma https://jamii.app/WaziriAustralia
#Democracy
Amejitetea alifanya kwa nia njema kutokana na janga la #COVID19
Soma https://jamii.app/WaziriAustralia
#Democracy
π6
#UHURUWAHABARI: RUTO AHIMIZA UTAWALA WAKE KUKOSOLEWA
Rais Mteule wa #Kenya, William Ruto ameruhusu Utawala wake kukosolewa, akiwahimiza Wanahabari kufanya hivyo watakapokosea
Amesisitizia Mizania ili kuwa na Vyombo vya Habari vilivyo na Usawa
Soma - https://jamii.app/FreePressRuto
#PressFreedom
Rais Mteule wa #Kenya, William Ruto ameruhusu Utawala wake kukosolewa, akiwahimiza Wanahabari kufanya hivyo watakapokosea
Amesisitizia Mizania ili kuwa na Vyombo vya Habari vilivyo na Usawa
Soma - https://jamii.app/FreePressRuto
#PressFreedom
π12
ODINGA: MATOKEO YA TUME NI BATILI
Aliyekuwa Mgombea wa Kiti cha Urais kupitia Azimio la Umoja, Raila Odinga ameyakataa Matokeo ya Urais na kudai Takwimu zilizotangazwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ni batili na hakuna mshindi aliyetangazwa kihalali
Amemtuhumu Mwenyekiti wa Tume hiyo, Wafula Chebukati kwa kuwazuia Makamishna wengine wa Tume kupata taarifa za uhesabu kura kinyume na Sheria ya Tume hiyo
#Democracy #KenyaDecides2022
Aliyekuwa Mgombea wa Kiti cha Urais kupitia Azimio la Umoja, Raila Odinga ameyakataa Matokeo ya Urais na kudai Takwimu zilizotangazwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ni batili na hakuna mshindi aliyetangazwa kihalali
Amemtuhumu Mwenyekiti wa Tume hiyo, Wafula Chebukati kwa kuwazuia Makamishna wengine wa Tume kupata taarifa za uhesabu kura kinyume na Sheria ya Tume hiyo
#Democracy #KenyaDecides2022
π8π4
KENYA: MAAFISA WA IEBC WALIOJITENGA WASEMA MATOKEO YA URAIS YAMEKIUKA KATIBA
Naibu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka, Juliana Cherera pamoja na baadhi ya Maafisa wa Tume hiyo wamesema kuwa matokeo yaliyotangazwa hayakuonyesha idadi ya Wapiga Kura waliojiandikisha, kura zilizopigwa au idadi ya kura zilizokataliwa ambapo ni kinyume cha Katiba na Sheria ya Nchi hiyo
#KenyaDecides2022
Naibu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka, Juliana Cherera pamoja na baadhi ya Maafisa wa Tume hiyo wamesema kuwa matokeo yaliyotangazwa hayakuonyesha idadi ya Wapiga Kura waliojiandikisha, kura zilizopigwa au idadi ya kura zilizokataliwa ambapo ni kinyume cha Katiba na Sheria ya Nchi hiyo
#KenyaDecides2022
π13π3
SAMATTA AREJEA KRC GENK
Mtanzania Mbwana Ally Samatta amerejea KRC Genk ya Ubelgiji akitokea FenerbahΓ§e ya Uturuki
Amerejea kwa mkopo hadi mwisho wa msimu huu kukiwa na uwezekano wa kumnunua na tayari ametambulishwa Genk
Soma > https://jamii.app/SamattaGenk
#JFSports
Mtanzania Mbwana Ally Samatta amerejea KRC Genk ya Ubelgiji akitokea FenerbahΓ§e ya Uturuki
Amerejea kwa mkopo hadi mwisho wa msimu huu kukiwa na uwezekano wa kumnunua na tayari ametambulishwa Genk
Soma > https://jamii.app/SamattaGenk
#JFSports
π13π6π1
UCHAGUZI KENYA: Mahakama ya Mjini Bungoma imeruhusu Polisi kumshikilia Didmus Barasa kwa siku 10 ili kusubiri Uchunguzi wa Kesi ya mauaji inayomkabili
> Anadaiwa kumuua Msaidizi wa Mpinzani wake wakati wa zoezi la kuhesabu Kura
Soma - https://jamii.app/AmriYaMahakama
#JFUwajibikaji
> Anadaiwa kumuua Msaidizi wa Mpinzani wake wakati wa zoezi la kuhesabu Kura
Soma - https://jamii.app/AmriYaMahakama
#JFUwajibikaji
π7
BOLT KUSITISHA HUDUMA YA MAGARI KWA WATEJA BINAFSI
Bolt imesema uamuzi huo ni kutokana na mazungumzo baina ya Bolt na LATRA kuhusu utaratibu wa utoaji huduma hiyo kuchukua muda mrefu
> Huduma inatarajiwa kusitishwa kuanzia kesho Agosti 17, 2022
Soma https://jamii.app/HudumaZaBolt
#JamiiForums
Bolt imesema uamuzi huo ni kutokana na mazungumzo baina ya Bolt na LATRA kuhusu utaratibu wa utoaji huduma hiyo kuchukua muda mrefu
> Huduma inatarajiwa kusitishwa kuanzia kesho Agosti 17, 2022
Soma https://jamii.app/HudumaZaBolt
#JamiiForums
π12π4
MDAU: CHANGAMOTO ZA MALEZI YA MTOTO WAKATI WA BALEHE
Miongoni mwa changamoto ni; Usununu usiokuwa na sababu. Mtoto ghalfa tu anakuwa mkali au mkimya na mkorofi asiyetaka kukusikiliza
Anaegemea zaidi kufuata ushawishi wa makundi-rika. Hapa Wataalamu wa Malezi wanashauri uweke bidii katika kuwafahamu Marafiki zake
Tembelea - https://jamii.app/MaleziBalehe
#Malezi
Miongoni mwa changamoto ni; Usununu usiokuwa na sababu. Mtoto ghalfa tu anakuwa mkali au mkimya na mkorofi asiyetaka kukusikiliza
Anaegemea zaidi kufuata ushawishi wa makundi-rika. Hapa Wataalamu wa Malezi wanashauri uweke bidii katika kuwafahamu Marafiki zake
Tembelea - https://jamii.app/MaleziBalehe
#Malezi
π2π₯1
KENYA: MAAFISA USALAMA WAREJESHWA NYUMBANI KWA RAIS MTEULE RUTO
Hatua hiyo inakuja mwaka mmoja baada ya Maafisa hao kuondolewa kwenye makazi yake kipindi akiwa Naibu Rais
Aidha, Katiba inataka Vyombo vya Usalama ambavyo ni Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF), Idara ya Taifa ya Ujasusi (NIS) na Jeshi la Polisi (NPS) kuanza kumpa Rais Mteule taarifa fupi ya hali ya Usalama
Soma - https://jamii.app/UsalamaKE
#Governance
Hatua hiyo inakuja mwaka mmoja baada ya Maafisa hao kuondolewa kwenye makazi yake kipindi akiwa Naibu Rais
Aidha, Katiba inataka Vyombo vya Usalama ambavyo ni Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF), Idara ya Taifa ya Ujasusi (NIS) na Jeshi la Polisi (NPS) kuanza kumpa Rais Mteule taarifa fupi ya hali ya Usalama
Soma - https://jamii.app/UsalamaKE
#Governance
π14
UMUHIMU WA MAZIWA YA NJANO KWA MTOTO MCHANGA (COLOSTRUM)
Maziwa ya Njano ni Maziwa ya Mwanzo, mazito yenye rangi ya njano ambayo hutoka siku chache za mwanzo baada ya kujifungua
Maziwa haya ni Chakula kamili chenye virutubisho vingi, na pia yanatoa Kinga maalum kwa Mtoto dhidi ya Maradhi
Aidha, Maziwa ya Njano humsaidia Mtoto kutoa kinyesi cha mwanzo chenye rangi ya Kijani au Nyeusi ambacho humfanya Mtoto aumwe Tumbo siku za mwanzo kama hatanyonya.
#JamiiForums #BreastfeedingMom #BreastFeeding #WBW2022
Maziwa ya Njano ni Maziwa ya Mwanzo, mazito yenye rangi ya njano ambayo hutoka siku chache za mwanzo baada ya kujifungua
Maziwa haya ni Chakula kamili chenye virutubisho vingi, na pia yanatoa Kinga maalum kwa Mtoto dhidi ya Maradhi
Aidha, Maziwa ya Njano humsaidia Mtoto kutoa kinyesi cha mwanzo chenye rangi ya Kijani au Nyeusi ambacho humfanya Mtoto aumwe Tumbo siku za mwanzo kama hatanyonya.
#JamiiForums #BreastfeedingMom #BreastFeeding #WBW2022
π13
HOJA: KUKOSA AJIRA KUNACHANGIWA NA UCHAGUZI MBAYA WA MASOMO?
Mdau ndani ya JamiiForums.com anasema Watu wengi husoma fani rahisi ambazo haziwaachii Ujuzi utakaowasaidia kufanya kitu fulani Maishani
Anaeleza kuwa, idadi kubwa ya Wahitimu hukosa ajira kwasababu fani walizosoma ni tofauti na mahitaji
Unakubaliana na Hoja yake?
Mjadala > https://jamii.app/MdauFani
Mdau ndani ya JamiiForums.com anasema Watu wengi husoma fani rahisi ambazo haziwaachii Ujuzi utakaowasaidia kufanya kitu fulani Maishani
Anaeleza kuwa, idadi kubwa ya Wahitimu hukosa ajira kwasababu fani walizosoma ni tofauti na mahitaji
Unakubaliana na Hoja yake?
Mjadala > https://jamii.app/MdauFani
π16π€6π2
MBEYA: AJALI YA INYALA, WALIOFARIKI WAFIKIA 19
Polisi wamethibitisha idadi ya vifo katika ajali ya magari matatu iliyotokea Kata ya Inyala Mkoani Mbeya imeongezeka kutoka 8 hadi 19
Ajali hiyo imetokea leo Agosti 16, 2022
Soma > https://jamii.app/AjaliInyala2022
#JamiiForums
Polisi wamethibitisha idadi ya vifo katika ajali ya magari matatu iliyotokea Kata ya Inyala Mkoani Mbeya imeongezeka kutoka 8 hadi 19
Ajali hiyo imetokea leo Agosti 16, 2022
Soma > https://jamii.app/AjaliInyala2022
#JamiiForums
π’5π2π1