KENYA: Tume ya Uchaguzi imetangaza kuwa katika Jimbo la Dadaab huko Garissa, hadi saa 6 mchana vituo 4 vya kupiga kura vilikuwa havijafunguliwa
> Tume hiyo imesema iwapo ufumbuzi hautapatikana mapema leo zoezi la kura litafanyika kesho
Soma https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
> Tume hiyo imesema iwapo ufumbuzi hautapatikana mapema leo zoezi la kura litafanyika kesho
Soma https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
👍4👎1
Uwepo wa Kamati za Ukaguzi husaidia kuleta #Uwajibikaji katika Usimamizi wa Mapato na Matumizi ya Fedha za Umma katika Taasisi husika
Japokuwa Kamati hizi zipo Kisheria, bado CAG alibaini mapungufu makubwa katika Kamati za Ukaguzi za Taasisi 18 ikiwemo kutohakiki Taarifa za Fedha na Vikao vya Robo Mwaka kutofanyika
#JFUwajibikaji
Japokuwa Kamati hizi zipo Kisheria, bado CAG alibaini mapungufu makubwa katika Kamati za Ukaguzi za Taasisi 18 ikiwemo kutohakiki Taarifa za Fedha na Vikao vya Robo Mwaka kutofanyika
#JFUwajibikaji
👍4
UCHAGUZI KENYA: WALIOPIGA KURA NI 56%
Idadi ya waliopiga kura katika Uchaguzi Mkuu leo Agosti 9, 2022 ni Watu 12,065,803 kati ya 22,120,458 waliojiandikisha
> Hiyo ni sawa na 56.17% huku ikikadiriwa idadi ya mwisho inaweza kufikia 60%
Soma https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022 #Democracy
Idadi ya waliopiga kura katika Uchaguzi Mkuu leo Agosti 9, 2022 ni Watu 12,065,803 kati ya 22,120,458 waliojiandikisha
> Hiyo ni sawa na 56.17% huku ikikadiriwa idadi ya mwisho inaweza kufikia 60%
Soma https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022 #Democracy
👍6
MAREKANI: Donald Trump amelaani uvamizi wa FBI nyumbani kwake huko Florida, ikiwa ni Sehemu ya uchunguzi unaomkabili tangu kutoka Madarakani
Uvamizi huo unadaiwa kulenga hati za siri zinazodaiwa kutumwa hapo baada ya kuondoka Ikulu 2021
Soma https://jamii.app/TrumpKuchunguzwa
#Democracy
Uvamizi huo unadaiwa kulenga hati za siri zinazodaiwa kutumwa hapo baada ya kuondoka Ikulu 2021
Soma https://jamii.app/TrumpKuchunguzwa
#Democracy
❤4😁4👍3🤔2
KENYA: MBUNGE ASAKWA KWA TUHUMA ZA MAUAJI
Polisi wamemtaka Mbunge wa Kimilili, Didmus Barasa ambaye pia ni mgombea Ubunge wa eneo hilo, ajisalimishe
Anatuhumiwa kumuua mlinzi wa mpinzani wake kwa kumshambulia kwa risasi
Soma > https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides #Democracy
Polisi wamemtaka Mbunge wa Kimilili, Didmus Barasa ambaye pia ni mgombea Ubunge wa eneo hilo, ajisalimishe
Anatuhumiwa kumuua mlinzi wa mpinzani wake kwa kumshambulia kwa risasi
Soma > https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides #Democracy
👍3
KENYA: RUTO AONGOZA MATOKEO YA AWALI
Hadi kufikia majira ya saa tatu asubuhi, Agosti 10, 2022;
- William Ruto (UDA) anaongoza kwa kura 1,377,854 (49.74%)
- Raila Odinga (AZIMIO) anafuatia akiwa na kura 1,356,726 (48.98%)
Soma https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides #Democracy
Hadi kufikia majira ya saa tatu asubuhi, Agosti 10, 2022;
- William Ruto (UDA) anaongoza kwa kura 1,377,854 (49.74%)
- Raila Odinga (AZIMIO) anafuatia akiwa na kura 1,356,726 (48.98%)
Soma https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides #Democracy
🔥11
#KENYA: MALORI MAWILI YANAYODAIWA KUBEBA WAPIGA KURA KUTOKA UGANDA YAKAMATWA
Malori yalinaswa eneo Bunge la #Endebess Kaunti ya Trans Nzoia yakidaiwa kubeba Watu 91
Watu 65 walifanikiwa kutoroka kwa msaada wa Mbunge Robert Pukose
Soma https://jamii.app/KuraEndebess
#KenyaDecides2022
Malori yalinaswa eneo Bunge la #Endebess Kaunti ya Trans Nzoia yakidaiwa kubeba Watu 91
Watu 65 walifanikiwa kutoroka kwa msaada wa Mbunge Robert Pukose
Soma https://jamii.app/KuraEndebess
#KenyaDecides2022
😁8👍6
UCHAGUZI #KENYA: POLISI 2 NA RAIA 1 WAKAMATWA NA KARATASI ZA KURA ZENYE TIKI
Miongoni mwa vifaa vilivyopatikana ni sahili moja ya wapiga kura, Madaftari 2 ya matokeo ya Uchaguzi, pakiti mbili za karatasi za kupigia kura za Urais
Soma - https://jamii.app/KuraKilgoris
#KenyaDecides2022
Miongoni mwa vifaa vilivyopatikana ni sahili moja ya wapiga kura, Madaftari 2 ya matokeo ya Uchaguzi, pakiti mbili za karatasi za kupigia kura za Urais
Soma - https://jamii.app/KuraKilgoris
#KenyaDecides2022
Mapendekezo yanayotolewa na CAG yanalenga kuboresha mifumo ya Usimamizi, Uwajibikaji na Utendaji wa Serikali
Kutotekelezwa kwa mapendekezo kwa wakati kunafanya madhaifu yaliyobainishwa kuendelea kuwepo, na wakati mwingine kusababisha Serikali kuingia hasara
#JamiiForums #WAJIBU #JFUwajibikaji #Accountability
Kutotekelezwa kwa mapendekezo kwa wakati kunafanya madhaifu yaliyobainishwa kuendelea kuwepo, na wakati mwingine kusababisha Serikali kuingia hasara
#JamiiForums #WAJIBU #JFUwajibikaji #Accountability
👍2👎1
KENYA: ZOEZI LA KUHESABU KURA LABADILI MUDA WA KUFUNGUA SHULE
Serikali imesogeza mbele muda wa kufungua Shule hadi Agosti 15, 2022 badala ya Agosti 11, 2022 kwasababu mchakato wa kuhesabu kura za Uchaguzi Mkuu bado unaendelea
Soma > https://jamii.app/ShuleZaKenya
#KenyaDecides2022
Serikali imesogeza mbele muda wa kufungua Shule hadi Agosti 15, 2022 badala ya Agosti 11, 2022 kwasababu mchakato wa kuhesabu kura za Uchaguzi Mkuu bado unaendelea
Soma > https://jamii.app/ShuleZaKenya
#KenyaDecides2022
👍7
MAHAKAMA YAAGIZA DEREVA "NDUGU ABIRIA" KULIPWA TSH. MILIONI 150
Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni imeamuru Waubani Linyama maarufu 'Ndugu Abiria' kulipwa Tsh. Milioni 150 kutokana na picha yake kutumika katika matangazo ya Biashara bila ridhaa yake
Soma - https://jamii.app/NduguAbiria
Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni imeamuru Waubani Linyama maarufu 'Ndugu Abiria' kulipwa Tsh. Milioni 150 kutokana na picha yake kutumika katika matangazo ya Biashara bila ridhaa yake
Soma - https://jamii.app/NduguAbiria
👍20🔥5
WAKENYA WALIOPO RWANDA WAMPA KURA NYINGI ODINGA
Raila Odinga amepata Kura 150 huku Mpinzani wake, William akipata Kura 81. George Wajackoyah na Waihiga David Mwaure wamepata Kura 4 kila mmoja
Waliopiga Kura ni watu 239 kati ya 545 waliojiandikisha Rwanda
Fuatilia Yanayojiri > https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
Raila Odinga amepata Kura 150 huku Mpinzani wake, William akipata Kura 81. George Wajackoyah na Waihiga David Mwaure wamepata Kura 4 kila mmoja
Waliopiga Kura ni watu 239 kati ya 545 waliojiandikisha Rwanda
Fuatilia Yanayojiri > https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
👍6
UCHAGUZI KENYA: MATOKEO YA AWALI
Kufikia saa 8:55 Mchana
Raila Odinga amepata Kura 1,954,940 sawa na 50.05%
William Ruto amepata Kura 1,895,704 (48.55%)
Kura za George Wajackoyah ni 17,625 (0.45%) na David Waihiga 7,761 (0.19%)
Zaidi > https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
Kufikia saa 8:55 Mchana
Raila Odinga amepata Kura 1,954,940 sawa na 50.05%
William Ruto amepata Kura 1,895,704 (48.55%)
Kura za George Wajackoyah ni 17,625 (0.45%) na David Waihiga 7,761 (0.19%)
Zaidi > https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
👍13🎉1
MDAU: MATATIZO MAKUBWA HUZALIWA KWA UTATUZI MBAYA WA TATIZO DOGO
Anasema Wazazi wamekuwa wakitumia nguvu kubwa kurekebisha Watoto wao kuliko Maarifa jambo ambalo linapelekea Watoto wengi kuathirika Kisaikolojia kutokana na vipigo na kufokewa
Udhalilishaji wa Watoto sio njia sahihi ya kutatua tatizo bali ni njia sahihi ya kumuongezea uoga na upweke unaoweza kupelekea maamuzi mabaya mbeleni
Soma zaidi - https://jamii.app/UtatuziMbaya
#Malezi
Anasema Wazazi wamekuwa wakitumia nguvu kubwa kurekebisha Watoto wao kuliko Maarifa jambo ambalo linapelekea Watoto wengi kuathirika Kisaikolojia kutokana na vipigo na kufokewa
Udhalilishaji wa Watoto sio njia sahihi ya kutatua tatizo bali ni njia sahihi ya kumuongezea uoga na upweke unaoweza kupelekea maamuzi mabaya mbeleni
Soma zaidi - https://jamii.app/UtatuziMbaya
#Malezi
👍1
Rushwa ni tatizo kubwa kwa Nchi nyingi. Athari zake ni kubwa zaidi katika Nchi zinazoendelea
Fedha zilizokusudiwa kwa Maendeleo zinapopotea kutokana na Rushwa, utoaji wa Huduma za Msingi kwa Wananchi ikiwemo Maji, Afya na #Elimu hukwama. Hali hii inapelekea ukosefu wa Usawa na #Haki
#KemeaRushwa
Fedha zilizokusudiwa kwa Maendeleo zinapopotea kutokana na Rushwa, utoaji wa Huduma za Msingi kwa Wananchi ikiwemo Maji, Afya na #Elimu hukwama. Hali hii inapelekea ukosefu wa Usawa na #Haki
#KemeaRushwa
👍3
HALI YA RUSHWA AFRIKA: Kwa mujibu wa Toleo la 10 la Global Corruption Barometer (GCB) – Africa, watu wengi barani humo wanaona Rushwa imeongezeka katika Nchi zao, na jitihada za kupambana na tatizo haziridhishi
Ili kukabiliana na changamoto hii, ni muhimu kwa Mamlaka kuimarisha Uwazi na Uwajibikaji hususan katika Masuala yanayohusisha Fedha za Umma
Zaidi, soma - https://jamii.app/WananchiRushwa
#KemeaRushwa
Ili kukabiliana na changamoto hii, ni muhimu kwa Mamlaka kuimarisha Uwazi na Uwajibikaji hususan katika Masuala yanayohusisha Fedha za Umma
Zaidi, soma - https://jamii.app/WananchiRushwa
#KemeaRushwa
👍4
#JFSPORTS: Rais wa Shirikisho la Soka Afrika, Patrice Motsepe ametangaza kuanza kwa #AfricanSuperLeague ambayo itakuwa na zawadi ya Tsh. Bilioni 233.2
Michuano hiyo itakuwa na Timu 24 kutoka Mataifa 16 na #Michezo itaanza Agosti 23, 2022 hadi Mei 24, 2023.
#JamiiForums #Sports
Michuano hiyo itakuwa na Timu 24 kutoka Mataifa 16 na #Michezo itaanza Agosti 23, 2022 hadi Mei 24, 2023.
#JamiiForums #Sports
👍12👏4
UCHAGUZI KENYA: MBARONI KWA KUKATAA KUHESABU KURA
Jeshi la Polisi limewakamata wasimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kisauni, Kaunti ya #Mombasa baada ya kukataa kuhesabu kura walipobaini Mgombea (hajatajwa) amepata kura nyingi zaidi
Soma - https://jamii.app/KuraKenya
#KenyaDecides2022
Jeshi la Polisi limewakamata wasimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kisauni, Kaunti ya #Mombasa baada ya kukataa kuhesabu kura walipobaini Mgombea (hajatajwa) amepata kura nyingi zaidi
Soma - https://jamii.app/KuraKenya
#KenyaDecides2022
👍3🤔3
MSUMBIJI: Serikali imepiga marufuku Watu kurekodi matukio ya Ajali au majanga, kabla ya kupiga Simu kwa Mamlaka ya Dharura ya kutoa msaada
Hatua hiyo ni katika utekelezaji wa Sheria mpya ya Huduma ya Kitaifa ya Usalama wa Umma
Soma https://jamii.app/MarufukuKurekodi
#DigitalRights
Hatua hiyo ni katika utekelezaji wa Sheria mpya ya Huduma ya Kitaifa ya Usalama wa Umma
Soma https://jamii.app/MarufukuKurekodi
#DigitalRights
👍9
UCHAGUZI KENYA: TWITTER KUONESHA MATOKEO YASIYO RASMI
Twitter imeanzisha kipengele cha kuripoti matokeo ya Uchaguzi Mkuu yasiyo rasmi ambapo kuanzia sasa tahadhari itawekwa chini ya matokeo ya kura yaliyowekwa na watu binafsi
Zaidi - https://jamii.app/TwitterKE
#KenyaDecides2022
Twitter imeanzisha kipengele cha kuripoti matokeo ya Uchaguzi Mkuu yasiyo rasmi ambapo kuanzia sasa tahadhari itawekwa chini ya matokeo ya kura yaliyowekwa na watu binafsi
Zaidi - https://jamii.app/TwitterKE
#KenyaDecides2022
👍7