SAKATA LA JENEZA: Klabu ya Simba imewaomba Radhi waumini wa Dini ya Kikristo, Serikali na Jamii baada ya msanii Tundaman kutumia vifaa vya Dini ya Kikristo #SimbaDay
Simba imesema haikufahamu kama atatumia aina hiyo ya maudhui
Soma - https://jamii.app/SimbaRadhi
#JFSports
Simba imesema haikufahamu kama atatumia aina hiyo ya maudhui
Soma - https://jamii.app/SimbaRadhi
#JFSports
๐21๐3
CHICHARITO YUPO TAYARI KURUDI MAN UNITED
Straika wa zamani wa #ManUnited, Javier Hernandez โChicharitoโ amesema yupo tayari kuichezea timu hiyo bila malipo
Kwa sasa Chicharito (34) anaichezea LA Galaxy ya Marekani
Soma > https://jamii.app/Chicharito
#JFSports
Straika wa zamani wa #ManUnited, Javier Hernandez โChicharitoโ amesema yupo tayari kuichezea timu hiyo bila malipo
Kwa sasa Chicharito (34) anaichezea LA Galaxy ya Marekani
Soma > https://jamii.app/Chicharito
#JFSports
๐19๐2๐1
KENYA: Tume Huru ya Uchaguzi (IEBC) imetoa ruhusa kwa vyombo vya habari kutoa takwimu za kura kulingana na vyanzo vyao lakini matokeo rasmi yatatangazwa na IEBC baada ya zoezi la kuhesabu kura kukamilika
Soma: https://jamii.app/KenyaVotesResults
#KenyaDecides2022 #Democracy #Kenya2022
Soma: https://jamii.app/KenyaVotesResults
#KenyaDecides2022 #Democracy #Kenya2022
๐18๐1๐ฑ1
UCHAGUZI KENYA: ANAYEDAIWA KUUA KWA RISASI ASHINDA UBUNGE
Didmus Barasa amechaguliwa tena kuwa Mbunge wa Kimilili baada ya kupata kura 26,000 dhidi ya kura 9000 za DAP-K Brian Khaemba
> Barasa anadaiwa kumpiga risasi na kumuua Msaidizi wa Khaemba
Soma - https://jamii.app/BarasaMP
#KenyaDecides2022
Didmus Barasa amechaguliwa tena kuwa Mbunge wa Kimilili baada ya kupata kura 26,000 dhidi ya kura 9000 za DAP-K Brian Khaemba
> Barasa anadaiwa kumpiga risasi na kumuua Msaidizi wa Khaemba
Soma - https://jamii.app/BarasaMP
#KenyaDecides2022
๐8๐ฑ1
#SOC2022: BADO SIKU 35. ANDIKA, USHINDE!
Andiko linatakiwa kuchochea mabadiliko chanya katika jamii
Linaweza kujikita kwenye nyanja mbalimbali zikiwemo Elimu, Uchumi, Kilimo n.k
Mwisho wa kuwasilisha ni Septemba 14, 2022
Taarifa zaidi > jamii.app/Shindano2
#StoriesOfChange
Andiko linatakiwa kuchochea mabadiliko chanya katika jamii
Linaweza kujikita kwenye nyanja mbalimbali zikiwemo Elimu, Uchumi, Kilimo n.k
Mwisho wa kuwasilisha ni Septemba 14, 2022
Taarifa zaidi > jamii.app/Shindano2
#StoriesOfChange
๐2
STORIES OF CHANGE 2022: Mtanzania yeyote kuanzia miaka 18 anaruhusiwa kushiriki
Zawadi zitatolewa kwa Washindi 20
Kwa Maelezo zaidi > jamii.app/Shindano2
#StoriesOfChange #SOC2022
Zawadi zitatolewa kwa Washindi 20
Kwa Maelezo zaidi > jamii.app/Shindano2
#StoriesOfChange #SOC2022
๐7
#SIERRALEONE: Serikali imetangaza amri ya kutotoka nje kwa Nchi nzima huku kukiwa na maandamano makubwa dhidi ya Serikali
Waandamanaji wanashinikiza Rais Julius Maada Bio ajiuzulu kutokana na kuongezeka kwa mfumuko wa bei
Zaidi - https://jamii.app/SierraLeoneCurfew
#SierraLeoneProtests
Waandamanaji wanashinikiza Rais Julius Maada Bio ajiuzulu kutokana na kuongezeka kwa mfumuko wa bei
Zaidi - https://jamii.app/SierraLeoneCurfew
#SierraLeoneProtests
๐11
Kuhusu suala la kutosha au kutokutosha kwa Maziwa ya Mama, Wataalamu wa #Afya wanasema Tafiti zinaonesha asilimia kubwa ya wakina Mama Maziwa yao yanatosha kwa Watoto
Wengi hufikiri hawana Maziwa ya kutosha kwasababu utengenezaji wake pia unahusisha Saikolojia ya Mama mwenyewe. Mawazo mengi, Msongo wa Mawazo au kuchoka hupelekea utoaji wa Maziwa kupungua
#JamiiForums #BreastfeedingMom #WorldBreastfeedingWeek
Wengi hufikiri hawana Maziwa ya kutosha kwasababu utengenezaji wake pia unahusisha Saikolojia ya Mama mwenyewe. Mawazo mengi, Msongo wa Mawazo au kuchoka hupelekea utoaji wa Maziwa kupungua
#JamiiForums #BreastfeedingMom #WorldBreastfeedingWeek
๐7
Uchambuzi wa Hoja za CAG unaonesha pamoja na kupata Hati Safi, Taasisi nyingi za Umma bado zina kasoro za Kiutendaji na zinahitaji kufuatiliwa ili kudhibiti uwezekano wa kuwepo kwa vitendo vya Rushwa na Ubadhirifu wa Rasilimali za Umma
Badala ya kuridhika na Hati Safi zilizotolewa na CAG, ni muhimu Bunge na Kamati zake kufuatilia utendaji wa Serikali na Taasisi zake na kuzingatia uzito wa Hoja pamoja na athari zake kwa Jamii
#JFUwajibikaji
Badala ya kuridhika na Hati Safi zilizotolewa na CAG, ni muhimu Bunge na Kamati zake kufuatilia utendaji wa Serikali na Taasisi zake na kuzingatia uzito wa Hoja pamoja na athari zake kwa Jamii
#JFUwajibikaji
๐7๐1
KENYA: ODINGA AMPITA RUTO KWA IDADI YA KURA
Kwa Mujibu wa Citizen, kufikia saa 6:30 mchana Raila Odinga alikuwa na Kura 6,431,752 (49.46%), William Ruto 6,389,957 (49.14%) Prof. Wajackoyah 56,430 (0.43%) na Waihiga 28,973 (0.22%)
Soma https://jamii.app/OdingaRuto
#KenyaDecides2022
Kwa Mujibu wa Citizen, kufikia saa 6:30 mchana Raila Odinga alikuwa na Kura 6,431,752 (49.46%), William Ruto 6,389,957 (49.14%) Prof. Wajackoyah 56,430 (0.43%) na Waihiga 28,973 (0.22%)
Soma https://jamii.app/OdingaRuto
#KenyaDecides2022
๐11
UCHAGUZI KENYA: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Huru na Mipaka (IEBC), Wafula Chebukati amevionya Vyombo vya Habari kutotangaza Mshindi wa Kura ya Urais kabla ya Mamlaka hiyo
Amesema atakayeshinda atatangazwa na Tume
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
Amesema atakayeshinda atatangazwa na Tume
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
๐8
WAANGALIZI WAPONGEZA MCHAKATO WA UCHAGUZI KENYA
Kiongozi wa Wasimamizi hao kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Jakaya Kikwete amesema Wasimamizi wamefuatilia Vituo vyote kuanzia wakati wa Kampeni, Upigaji Kura hadi sasa
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
Kiongozi wa Wasimamizi hao kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Jakaya Kikwete amesema Wasimamizi wamefuatilia Vituo vyote kuanzia wakati wa Kampeni, Upigaji Kura hadi sasa
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
๐10๐2
KATAVI: Machia Mbasa anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kupanga njama za kumuua Mabula Ntemange, anayedaiwa kuwa na Uhusiano na Mkewe yeye akiwa jela
Pia, amemtuhumu Mabula kwa kuchukua kodi katika Vibanda vyake vya Biashara
Soma https://jamii.app/NjamaMauaji
#JFMatukio
Pia, amemtuhumu Mabula kwa kuchukua kodi katika Vibanda vyake vya Biashara
Soma https://jamii.app/NjamaMauaji
#JFMatukio
๐7
UCHAGUZI #KENYA: Zoezi la kupokea kura za Uchaguzi Mkuu wa Rais limefikia 99.89% ambapo Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Wafula Chebukati amesema anaamini zoezi litakamilika kufikia jioni ya leo
Soma > https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022 #Democracy
Soma > https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022 #Democracy
๐8
#KENYA: Tume ya Uchaguzi (IEBC) imemtaka Didmus Barasa kuchukua cheti chake cha Ushindi mwenyewe badala ya kumtuma Msaidizi wake
Barasa ametoweka tangu alipodaiwa kumuua Msaidizi wa Mpinzani wake, Brian Olunga, Agosti 9 usiku
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
Barasa ametoweka tangu alipodaiwa kumuua Msaidizi wa Mpinzani wake, Brian Olunga, Agosti 9 usiku
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
๐7
UCHAGUZI KENYA: UDA YABEBA MAJIMBO YOTE ENEO LA MGOMBEA MWENZA WA AZIMIO
Chama cha Mgombea Urais William Ruto (UDA) kimenyakua viti vyote vya Ubunge kwenye Kaunti ya Kirinyaga
Ni anakotokea Martha Karua, Mgombea Mwenza wa Raila
Soma https://jamii.app/KE2022
#KenyaDecides2022
Chama cha Mgombea Urais William Ruto (UDA) kimenyakua viti vyote vya Ubunge kwenye Kaunti ya Kirinyaga
Ni anakotokea Martha Karua, Mgombea Mwenza wa Raila
Soma https://jamii.app/KE2022
#KenyaDecides2022
๐8๐3
MATOKEO KENYA: Mgombea Urais, William Ruto anaongoza kwa Kura 6,676,809 (50.20%) dhidi ya Raila Odinga aliye na Kura 6,534,171 (49.13%) kwa mujibu wa Nation Media
> Matokeo haya ni hadi kufikia saa 12:00 jioni, leo Agosti 11, 2022
Soma - https://jamii.app/KE2022
#KenyaDecides2022
> Matokeo haya ni hadi kufikia saa 12:00 jioni, leo Agosti 11, 2022
Soma - https://jamii.app/KE2022
#KenyaDecides2022
๐11๐คฏ2
#RWANDA: Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ametoa wito wa kushughulikiwa kwa Ulinzi wa Kisheria Nchini humo hasa usawa ktk usikilizwaji wa Kesi
Amemrejelea mkosoaji wa Rais Paul Kagame, #PaulRusesabagina ambaye amefungwa kwa ugaidi
Soma https://jamii.app/HumanRightsRwanda
#HumanRights
Amemrejelea mkosoaji wa Rais Paul Kagame, #PaulRusesabagina ambaye amefungwa kwa ugaidi
Soma https://jamii.app/HumanRightsRwanda
#HumanRights
๐2๐คฎ1
KENYA: MCHEKESHAJI ASHINDA UBUNGE
Mchekeshaji Felix Odiwor "Jalangโo" ameshinda nafasi ya Ubunge wa Langโata kwa tiketi ya ODM
Amepata kura 38,948 dhidi ya Nixon Korir wa UDA aliyepata kura 36,836
Soma > https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022 #Democracy
Mchekeshaji Felix Odiwor "Jalangโo" ameshinda nafasi ya Ubunge wa Langโata kwa tiketi ya ODM
Amepata kura 38,948 dhidi ya Nixon Korir wa UDA aliyepata kura 36,836
Soma > https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022 #Democracy
๐10๐2