RIPOTI MAUAJI WATU 33 MALI: UN wameeleza Wanajeshi wa #Mali na Wanamgambo wa Kundi la Wagner la Urusi ndio waliua raia 33 (29 wa Mauritania, 4 wa Mali)
Tukio hilo la Machi 5, 2022 lilisababisha mvutano kati ya Nchi ya Mali na #Mauritania
Soma > https://jamii.app/RipotiYaUN
#JFLeo
Tukio hilo la Machi 5, 2022 lilisababisha mvutano kati ya Nchi ya Mali na #Mauritania
Soma > https://jamii.app/RipotiYaUN
#JFLeo
π6π€1
KUNYONYESHA KUNAPUNGUZA HATARI YA MAGONJWA KWA MAMA NA MTOTO
Mtoto anaponyonya anapunguza hatari ya kupata Pumu, Unene kupita kiasi, Aina 1 ya kisukari, Ugonjwa mkali wa kupumua kwa chini, Maambukizi ya sikio na Maambukizi ktk Utumbo
Mama anaponyonyesha anapunguza hatari ya kupata Shinikizo la Damu , Aina ya 2 ya Kisukari, Saratani ya Ovari na Saratani ya Matiti
Soma - https://jamii.app/KunyonyeshaMtoto
#WBW2022
Mtoto anaponyonya anapunguza hatari ya kupata Pumu, Unene kupita kiasi, Aina 1 ya kisukari, Ugonjwa mkali wa kupumua kwa chini, Maambukizi ya sikio na Maambukizi ktk Utumbo
Mama anaponyonyesha anapunguza hatari ya kupata Shinikizo la Damu , Aina ya 2 ya Kisukari, Saratani ya Ovari na Saratani ya Matiti
Soma - https://jamii.app/KunyonyeshaMtoto
#WBW2022
π12π₯°1
UWANJA WA MKAPA: YANGA 0-2 VIPERS
Yanga imepoteza mchezo dhidi ya Vipers SC ya Uganda katika kilele cha kukamilisha Wiki ya Mwananchi kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, leo Jumamosi Agosti 6, 2022
Soma > https://jamii.app/Yanga0Vipers2
#JFSports #Yanga #JamiiForums
Yanga imepoteza mchezo dhidi ya Vipers SC ya Uganda katika kilele cha kukamilisha Wiki ya Mwananchi kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, leo Jumamosi Agosti 6, 2022
Soma > https://jamii.app/Yanga0Vipers2
#JFSports #Yanga #JamiiForums
π33π9π’4π1
MANARA, HERSI KIKAANGONI TFF
Sekretarieti ya TFF imewafungulia mashtaka ya kimaadili Rais wa Yanga, Mhandisi Hersi Said na Haji Manara
Sababu ni Manara kushindwa kutekeleza adhabu ya kutojihusisha na Mpira kwa Miaka 2
Soma > https://jamii.app/MashtakaYanga
#JFSports
Sekretarieti ya TFF imewafungulia mashtaka ya kimaadili Rais wa Yanga, Mhandisi Hersi Said na Haji Manara
Sababu ni Manara kushindwa kutekeleza adhabu ya kutojihusisha na Mpira kwa Miaka 2
Soma > https://jamii.app/MashtakaYanga
#JFSports
π31π€11β€1
TETESI: MAN. UNITED YAGEUKA KWA LEROY SANE
Manchester United inataka kumsajili Winga wa Bayern Munich, Leroy Sane na imeanza mazungumzo na Bayern
Sane ambaye amewahi kuichezea Man. City ana mkataba wa miaka mitatu kutumikia Bayern
Soma https://jamii.app/UsajiliWaSane
#JFSports
Manchester United inataka kumsajili Winga wa Bayern Munich, Leroy Sane na imeanza mazungumzo na Bayern
Sane ambaye amewahi kuichezea Man. City ana mkataba wa miaka mitatu kutumikia Bayern
Soma https://jamii.app/UsajiliWaSane
#JFSports
π4π€2
USHAURI: UNAMSAIDIAJE MTOTO MWENYE URAIBU WA MICHEZO KWENYE SIMU?
Mdau wa JF anasema Mtoto wake wa miaka 5 amekuwa na uraibu wa 'Games' za kwenye simu janja, na akiona Smartphone anachanganyikiwa
Afanye nini ili Mtoto asizidi kuwa na uraibu huu?
Mjadala > https://jamii.app/MtotoGameSimu
Mdau wa JF anasema Mtoto wake wa miaka 5 amekuwa na uraibu wa 'Games' za kwenye simu janja, na akiona Smartphone anachanganyikiwa
Afanye nini ili Mtoto asizidi kuwa na uraibu huu?
Mjadala > https://jamii.app/MtotoGameSimu
π2
Mdau anashauri kujiongezea ujuzi na maarifa ya Kiuchumi, #Afya, Kilimo, #Biashara na Kijamii kwa kusoma kozi fupi ambazo hutolewa bure Mtandaoni
Pia amesisitiza kufanya βGoogleβ na βYouTubeβ marafiki ktk Maisha ya kila siku
Soma - https://jamii.app/TeknolojiaElimu
#DigitalWorld
Pia amesisitiza kufanya βGoogleβ na βYouTubeβ marafiki ktk Maisha ya kila siku
Soma - https://jamii.app/TeknolojiaElimu
#DigitalWorld
π17
IVORY COAST: Rais Alassane Ouattara ametoa Msamaha kwa Mtangulizi wake, Laurent Gbagbo aliyehukumiwa kifungo cha Miaka 20 jela
Mwaka 2018 Gbagbo alikutwa na hatia ya kuhusika katika machafuko ya Kisiasa baada ya Uchaguzi wa Mwaka 2011
Soma https://jamii.app/MsamahaWaRais
#Governance
Mwaka 2018 Gbagbo alikutwa na hatia ya kuhusika katika machafuko ya Kisiasa baada ya Uchaguzi wa Mwaka 2011
Soma https://jamii.app/MsamahaWaRais
#Governance
π12π1
EPL: MAN UNITED 1-2 BRIGHTON
Manchester United ikiwa nyumbani Uwanja wa Old Trafford imefungwa goli 2-1 ktk mchezo wake wa kwanza wa Premier League 2022/23, leo Agosti 7, 2022
Cristiano Ronaldo alianzia benchi katika mchezo huo
Soma > https://jamii.app/ManUYafungwa
#EPL #MUNBHA #mufc
Manchester United ikiwa nyumbani Uwanja wa Old Trafford imefungwa goli 2-1 ktk mchezo wake wa kwanza wa Premier League 2022/23, leo Agosti 7, 2022
Cristiano Ronaldo alianzia benchi katika mchezo huo
Soma > https://jamii.app/ManUYafungwa
#EPL #MUNBHA #mufc
π12π11π3π₯1
LEO KATIKA HISTORIA: Miaka 24 iliyopita leo (Agosti 07, 1998) Balozi za Marekani Dar es Salaam (Tanzania) na Nairobi (Kenya) zilishambuliwa na Magaidi
#JFHistoria
#JFHistoria
π14π3π’2
Sikukuu ya Maonesho ya Wakulima 'Nane Nane' iliadhimishwa kwa mara ya kwanza Mwaka 1977 ili kuongezea nguvu Sera ya Serikali ya wakati huo ya 'Siasa ni Kilimo'
Jamii Forums inakutakia maadhimisho mema ya Siku hii. Asante kwa kuendelea kuwa sehemu ya Familia yetu
#JamiiForums
Jamii Forums inakutakia maadhimisho mema ya Siku hii. Asante kwa kuendelea kuwa sehemu ya Familia yetu
#JamiiForums
π13
UCHAGUZI KENYA: Benedict Manzin, Mchambuzi wa Siasa za Afrika-Kusini mwa Jangwa la Sahara amesema Wafuasi wa William Ruto na Raila Odinga wanasambaza taarifa zinazodai Wapinzani wao wana njama za kuiba kura
Mashirika ya Kiraia Nchini #Kenya na Shirika la Uangalizi yameonya kwamba Taarifa hizo potofu zinahatarisha #Demokrasia na yametaka Mitandao ya Kijamii kuchukua hatua
Soma - https://jamii.app/SMUchaguziKE
#KenyaDecides
Mashirika ya Kiraia Nchini #Kenya na Shirika la Uangalizi yameonya kwamba Taarifa hizo potofu zinahatarisha #Demokrasia na yametaka Mitandao ya Kijamii kuchukua hatua
Soma - https://jamii.app/SMUchaguziKE
#KenyaDecides
π12
Ukaguzi wa CAG umeonesha kumekuwa na utolewaji wa Fedha zaidi ya kiasi kilichoidhinishwa na Bunge kwa baadhi ya Halmashauri
Hii inaweza kusababisha Fedha za Umma kutumika vibaya na Watumishi wa Halmashauri hizo kwasababu Fedha iliyopelekwa ni kubwa kulinganisha na mahitaji halisi
#JFUwajibikaji
Hii inaweza kusababisha Fedha za Umma kutumika vibaya na Watumishi wa Halmashauri hizo kwasababu Fedha iliyopelekwa ni kubwa kulinganisha na mahitaji halisi
#JFUwajibikaji
π5
Wakiongozwa na Misri, #Israel na #Palestina wamekubaliana kusitisha mapigano katika Ukanda wa #Gaza yaliyofanyika kwa Siku tatu mfululizo
Watu 44 wameuawa ambapo kati yao Watoto ni 15, huku Wapalestina 350 wakijeruhiwa
Soma > https://jamii.app/IsraelGazaChaos
#JFLeo #GazaUnderAttack
Watu 44 wameuawa ambapo kati yao Watoto ni 15, huku Wapalestina 350 wakijeruhiwa
Soma > https://jamii.app/IsraelGazaChaos
#JFLeo #GazaUnderAttack
π6
Rushwa inakwamisha Maendeleo ya Kiuchumi, Kijamii pamoja na Kisiasa. Pia ni kikwazo kikubwa kwa #UtawalaBora kwa Mataifa mengi Barani Afrika na Duniani kwa ujumla
Rushwa huathiri Ustawi wa watu binafsi, Familia na Jamii kwa ujumla. Hata hivyo, Wahanga wakubwa wa tatizo hili ni Watu wa Hali ya Chini Kiuchumi
Unashauri nini kifanyike kuimarisha Mapambano dhidi ya Rushwa?
#KemeaRushwa #JamiiForums
Rushwa huathiri Ustawi wa watu binafsi, Familia na Jamii kwa ujumla. Hata hivyo, Wahanga wakubwa wa tatizo hili ni Watu wa Hali ya Chini Kiuchumi
Unashauri nini kifanyike kuimarisha Mapambano dhidi ya Rushwa?
#KemeaRushwa #JamiiForums
π3
ETHIOPIA: WAASI WA #TIGRAY WAGOMEA MAZUNGUMZO YA AMANI
Wamesema hawawezi kuzungumza ikiwa Watu wao bado hawana huduma za Mawasiliano, Benki na Umeme
> Mnamo Mwezi Julai Waasi hao walikubali mazungumzo iwapo huduma hizo zingerejeshwa
Soma https://jamii.app/TigrayPeaceTalks
#TigrayCrisis
Wamesema hawawezi kuzungumza ikiwa Watu wao bado hawana huduma za Mawasiliano, Benki na Umeme
> Mnamo Mwezi Julai Waasi hao walikubali mazungumzo iwapo huduma hizo zingerejeshwa
Soma https://jamii.app/TigrayPeaceTalks
#TigrayCrisis
π4π1
RB LEIPZIG YAAFIKIANA NA CHELSEA KUMSAJILI TIMO WERNER
RB Leipzig imekubaliana na Chelsea kumnunua Mshambuliaji Timo Werner kwa Paundi Milioni 25.3 (Tsh. 70,840,000,000)
Werner anataka kurejea katika klabu yake ya zamani ili kujiweka sawa kwa ajili ya Kombe la Dunia
#JFSports
RB Leipzig imekubaliana na Chelsea kumnunua Mshambuliaji Timo Werner kwa Paundi Milioni 25.3 (Tsh. 70,840,000,000)
Werner anataka kurejea katika klabu yake ya zamani ili kujiweka sawa kwa ajili ya Kombe la Dunia
#JFSports
π8
SOMALIA: Maeneo ya karibu na Ikulu ya Rais wa #Somalia Mjini #Mogadishu yameshambuliwa kwa mabomu muda mfupi baada ya Bunge kuidhinisha Baraza la Mawaziri lenye Wajumbe 75
Somalia, taifa lililopo katika pembe ya Afrika linakabiliwa na Umasikini na janga la njaa
Soma - https://jamii.app/BomuIkuluSom
Somalia, taifa lililopo katika pembe ya Afrika linakabiliwa na Umasikini na janga la njaa
Soma - https://jamii.app/BomuIkuluSom
π7
NIGERIA: Jeshi limetangaza kumuua Kiongozi wa Kundi la Boko Haram, Alhaji Modu βBem Bemβ katika mashambulizi ya anga yaliyofanyika Agosti 3, 2022 kwenye Jimbo la Borno
> Pia, Wanamgambo 27 wa kundi hilo wameua katika mashambulizi
Soma https://jamii.app/28KilledInNigeria
#JamiiForums
> Pia, Wanamgambo 27 wa kundi hilo wameua katika mashambulizi
Soma https://jamii.app/28KilledInNigeria
#JamiiForums
π11