EDINSON CAVANI AONGEZA MKATABA HADI JUNI 2022 MAN U
> Bodi ya Manchester Utd pamoja na Kocha Ole Gunnar Solskjær walikuwa wakimshawishi #Cavani kuongeza mkataba
> Klabu hiyo ya Jijini #Manchester inajipanga kutangaza makubaliano hayo
#MUFC #ManUTD
> Bodi ya Manchester Utd pamoja na Kocha Ole Gunnar Solskjær walikuwa wakimshawishi #Cavani kuongeza mkataba
> Klabu hiyo ya Jijini #Manchester inajipanga kutangaza makubaliano hayo
#MUFC #ManUTD
EPL: MAN UNITED 1-2 BRIGHTON
Manchester United ikiwa nyumbani Uwanja wa Old Trafford imefungwa goli 2-1 ktk mchezo wake wa kwanza wa Premier League 2022/23, leo Agosti 7, 2022
Cristiano Ronaldo alianzia benchi katika mchezo huo
Soma > https://jamii.app/ManUYafungwa
#EPL #MUNBHA #mufc
Manchester United ikiwa nyumbani Uwanja wa Old Trafford imefungwa goli 2-1 ktk mchezo wake wa kwanza wa Premier League 2022/23, leo Agosti 7, 2022
Cristiano Ronaldo alianzia benchi katika mchezo huo
Soma > https://jamii.app/ManUYafungwa
#EPL #MUNBHA #mufc
😁12👍11👎3🔥1