MYANMAR: Kiongozi wa Kijeshi, Min Aung Hlaing ameongeza muda wa hali ya hatari kwa Miezi 6 huku akisema ni juhudi za kutekeleza mpango wa amani
Jeshi lilitangaza hali ya hatari Februari 2021 baada ya mapinduzi ya Kijeshi
Soma https://jamii.app/HatariMyanmar
#JFDemokrasia
Jeshi lilitangaza hali ya hatari Februari 2021 baada ya mapinduzi ya Kijeshi
Soma https://jamii.app/HatariMyanmar
#JFDemokrasia
🤔4
KENYA: Siku 10 baada ya Serikali kushusha bei ya Unga wa Mahindi kuwa Ksh. 100 (Tsh. 1,960) toka Ksh. 200 (Tsh. 3,920) kwa Kilogramu 2, uhaba wa bidhaa hiyo umekuwa mkubwa Madukani
- Serikali imewaonya wanaoficha na kutangaza msako kuanzia Agosti Mosi
Soma - https://jamii.app/UngaWaUgaliKE
- Serikali imewaonya wanaoficha na kutangaza msako kuanzia Agosti Mosi
Soma - https://jamii.app/UngaWaUgaliKE
👍5
MDAU: WATOTO WANAHITAJI ULINZI KIPINDI HIKI CHA LIKIZO YA SENSA
- Anasema Mitaani pamefurika kila aina ya Makundi na Watu wa rika tofauti. Huu ni muda wa Wazazi/Walezi kuchukua tahadhari ya kulinda Watoto wanapocheza
- Anashauri Wazazi kupangilia muda wao vizuri kwaajili ya usalama wa Watoto, ama kuwakabidhi sehemu salama pindi wasipokuwepo
Soma - https://jamii.app/WatotoSensa
#Malezi #Parenting
- Anasema Mitaani pamefurika kila aina ya Makundi na Watu wa rika tofauti. Huu ni muda wa Wazazi/Walezi kuchukua tahadhari ya kulinda Watoto wanapocheza
- Anashauri Wazazi kupangilia muda wao vizuri kwaajili ya usalama wa Watoto, ama kuwakabidhi sehemu salama pindi wasipokuwepo
Soma - https://jamii.app/WatotoSensa
#Malezi #Parenting
👍15
FAIDA ZA 'KIWIFRUIT' KIAFYA
1. Huimarisha Kinga na kuzuia Magonjwa: Kiwifruit moja huzalisha karibu 80% ya Vitamini C inayohitajiwa na Mwili kwa siku
2. Husaidia kuondoa Shinikizo la Damu na kuboresha Afya ya Moyo: Linaweza kupunguza hatari ya Kiharusi na Ugonjwa wa Moyo
Soma - https://jamii.app/BenefitsKiwi
#JFAfya #Health
1. Huimarisha Kinga na kuzuia Magonjwa: Kiwifruit moja huzalisha karibu 80% ya Vitamini C inayohitajiwa na Mwili kwa siku
2. Husaidia kuondoa Shinikizo la Damu na kuboresha Afya ya Moyo: Linaweza kupunguza hatari ya Kiharusi na Ugonjwa wa Moyo
Soma - https://jamii.app/BenefitsKiwi
#JFAfya #Health
👍12
Mdau wa JamiiForums.com anasema Watu wengi wenye #Biashara na Kampuni hawaajiri Vijana kwa kuhofia kuhujumiwa na huishia kuajiri Watu wa makamo wakiamini hawana Tamaa kama Vijana
Unakubaliana kwa kiasi gani na hoja hii?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/VijanaSokoAjira
#JFMaisha
Unakubaliana kwa kiasi gani na hoja hii?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/VijanaSokoAjira
#JFMaisha
👍19👎4
MDAU: FANYA YAFUATAYO KUWAEPUSHA WATOTO WAKO NA JANGA LA AJIRA
1. Tutambue Vipaji na Vipawa vya Watoto mapema na kuviendeleza. Wafundishe Wanao kile ulichonacho. Ikiwa ni Mfanyabiashara anza kumzoesha kusimamia na kuijua #Biashara yako
2. Wakati wa likizo jaribu kumshikiza Mwanao katika maeneo yatakayomsaidia kuwa na ujuzi na Maarifa mbalimbali. Usikomae na 'tuition' tu ikiwa maendeleo yake sio mabaya.
Soma zaidi - https://jamii.app/UjuziWatoto
#Ajira #JFMdau #Maisha
1. Tutambue Vipaji na Vipawa vya Watoto mapema na kuviendeleza. Wafundishe Wanao kile ulichonacho. Ikiwa ni Mfanyabiashara anza kumzoesha kusimamia na kuijua #Biashara yako
2. Wakati wa likizo jaribu kumshikiza Mwanao katika maeneo yatakayomsaidia kuwa na ujuzi na Maarifa mbalimbali. Usikomae na 'tuition' tu ikiwa maendeleo yake sio mabaya.
Soma zaidi - https://jamii.app/UjuziWatoto
#Ajira #JFMdau #Maisha
👍15
Ripoti ya CAG 2020/21 imeonesha kumekuwepo na mianya ya uvujaji wa Mapato ambayo kama yangesimamiwa kwa umakini, yangeweza kuleta tija kwa Jamii
Mawakala kukusanya Mapato na kutoyawasilisha kwenye Halmashauri, ama Halmashauri kutokusanya Mapato kutoka vyanzo mbalimbali ni kiashiria cha Rushwa na Ubadhirifu wa Fedha za Umma
#JamiiForums #WAJIBU #JFUwajibikaji #KemeaRushwa
Mawakala kukusanya Mapato na kutoyawasilisha kwenye Halmashauri, ama Halmashauri kutokusanya Mapato kutoka vyanzo mbalimbali ni kiashiria cha Rushwa na Ubadhirifu wa Fedha za Umma
#JamiiForums #WAJIBU #JFUwajibikaji #KemeaRushwa
😁4👍2
Machache ambayo Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amezungumza katika Uapisho wa Wakuu wa Mikoa leo Agosti 01, 2022
Soma - https://jamii.app/UteuziWateule
#Governance
Soma - https://jamii.app/UteuziWateule
#Governance
👍6👎1😁1
Nukuu za Rais Samia Suluhu Hassan leo baada ya Uapisho wa Viongozi Ikulu, Dar es Salaam
#JamiiForums #Governance
#JamiiForums #Governance
👍6
MALI YAISHUTUMU UFARANSA KWA UKOLONI MAMBOLEO
Rais Emmanuel Macron alikaririwa akisema Mataifa ya Kanda yalikuwa na jukumu la kuhakikisha Raia wa #Mali wanaweza kuonesha Nguvu ya Umma
Kauli yake ilitafsiriwa kuwa ya kichochezi na Jeshi la Mali
Soma https://jamii.app/ShutumaMali
#JFDiplomasia
Rais Emmanuel Macron alikaririwa akisema Mataifa ya Kanda yalikuwa na jukumu la kuhakikisha Raia wa #Mali wanaweza kuonesha Nguvu ya Umma
Kauli yake ilitafsiriwa kuwa ya kichochezi na Jeshi la Mali
Soma https://jamii.app/ShutumaMali
#JFDiplomasia
👍10
AFRIKA KUSINI: Wanaume 82 wanashikiliwa kwa madai ya kubaka kundi la Wanawake waliokuwa wanarekodi video ya Muziki ktk eneo la Mgodi, Johannesburg
Raia wametoa wito wa kuhasiwa kwa kemikali watuhumiwa watakaopatikana na hatia
Soma - https://jamii.app/UbakajiWaMakundi
#UkatiliKijinsia
Raia wametoa wito wa kuhasiwa kwa kemikali watuhumiwa watakaopatikana na hatia
Soma - https://jamii.app/UbakajiWaMakundi
#UkatiliKijinsia
🤔11👍4👎1🥰1
MAMA ADAIWA KUMUUA MWANAYE WA MIAKA MITATU KWA FIMBO
Mtuhumiwa (27) alimchapa mwanaye sehemu mbalimbali za mwili, chanzo kikidaiwa ni mtoto kufungua bomba na kuchezea maji ya baridi
Jeshi la Polisi limesema Uchunguzi wa tukio hilo unaendelea
Soma https://jamii.app/AmuuaMwanaye
#HakiMtoto
Mtuhumiwa (27) alimchapa mwanaye sehemu mbalimbali za mwili, chanzo kikidaiwa ni mtoto kufungua bomba na kuchezea maji ya baridi
Jeshi la Polisi limesema Uchunguzi wa tukio hilo unaendelea
Soma https://jamii.app/AmuuaMwanaye
#HakiMtoto
😢15👎3👍2🤔1
VIELELEZO VYA WIZI VYAIBWA KITUO CHA POLISI
Mali zilizokuwa Kituo Kidogo cha Polisi Uchira, Wilaya ya Moshi, Kilimanjaro kama vielelezo zimeibwa
Anayedaiwa kuiba ni mtuhumiwa wa kesi hiyo, alitaka kuharibu ushahidi wa kesi yake
Soma > https://jamii.app/TukioLaWizi
#JFMatukio
Mali zilizokuwa Kituo Kidogo cha Polisi Uchira, Wilaya ya Moshi, Kilimanjaro kama vielelezo zimeibwa
Anayedaiwa kuiba ni mtuhumiwa wa kesi hiyo, alitaka kuharibu ushahidi wa kesi yake
Soma > https://jamii.app/TukioLaWizi
#JFMatukio
😁41👍5👏1
MAREKANI YAMUUA KIONGOZI WA AL QAEDA
Rais Biden amesema Ayman al-Zawahiri ameuawa kwa shambulio la 'Drone' Jijini Kabul Nchini Afghanistan. Inaelezwa, alihusika katika mashambulizi ya Septemba 11, 2001 yaliyoua takriban watu 3,000
Kifo chake kimetajwa kuwa pigo kubwa zaidi kwa Kundi hilo tangu kuuawa kwa Osama bin Laden mwaka 2011
Soma https://jamii.app/ZawahiriKilled
Rais Biden amesema Ayman al-Zawahiri ameuawa kwa shambulio la 'Drone' Jijini Kabul Nchini Afghanistan. Inaelezwa, alihusika katika mashambulizi ya Septemba 11, 2001 yaliyoua takriban watu 3,000
Kifo chake kimetajwa kuwa pigo kubwa zaidi kwa Kundi hilo tangu kuuawa kwa Osama bin Laden mwaka 2011
Soma https://jamii.app/ZawahiriKilled
👍18😁2👎1🎉1
MDAU: MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA JAMII YENYE MTAZAMO HASI
- Jithamini ujue thamani yako
- Kipaumbele chako kiwe kutenda mema pasipo kujali mtazamo wa wengine
- Ishi kwa tahadhari hususan kwa watu wanaokuzunguka
- Fahamu aina ya watu wanaokuzunguka pamoja na mtazamo wao
- Kuwa mwepesi kusamehe
Msome > https://jamii.app/MaishaYaJamii
#JFMaisha
- Jithamini ujue thamani yako
- Kipaumbele chako kiwe kutenda mema pasipo kujali mtazamo wa wengine
- Ishi kwa tahadhari hususan kwa watu wanaokuzunguka
- Fahamu aina ya watu wanaokuzunguka pamoja na mtazamo wao
- Kuwa mwepesi kusamehe
Msome > https://jamii.app/MaishaYaJamii
#JFMaisha
👍11