KENYA: Serikali imetangaza kufungwa ghafla kwa shule zote kuanzia Agosti 2, 2022 kabla ya Uchaguzi Mkuu na kufunguliwa Agosti 11, 2022
> Wanafunzi ambao tayari wameanza mitihani ya katikati ya Muhula wamebaki na sintofahamu
Soma - https://jamii.app/ShuleKenya
#Kenya2022
> Wanafunzi ambao tayari wameanza mitihani ya katikati ya Muhula wamebaki na sintofahamu
Soma - https://jamii.app/ShuleKenya
#Kenya2022
π13π€3
RAIS WA ZAMBIA AWASILI TANZANIA
- Rais Hakainde Hichilema amewasili Nchini kwa ziara ya Kiserikali ya siku 1 na kupokelewa na Rais Samia Suluhu
- Ziara inakusudia kuimarisha zaidi mahusiano mazuri yaliyopo baina ya Zambia na Tanzania
Fuatilia https://jamii.app/Hichilema-TZ
#JFSiasa
- Rais Hakainde Hichilema amewasili Nchini kwa ziara ya Kiserikali ya siku 1 na kupokelewa na Rais Samia Suluhu
- Ziara inakusudia kuimarisha zaidi mahusiano mazuri yaliyopo baina ya Zambia na Tanzania
Fuatilia https://jamii.app/Hichilema-TZ
#JFSiasa
π13
MDAU: WATANZANIA WANASTAHILI UFAFANUZI WA GHARAMA ZA INTANETI KUPANDA
Anasema Watu wengi hawaelewi na bado hawajapata ufafanuzi wa sababu zinazopelekea Vifurushi vya Intaneti kupanda mara kwa mara
Anaeleza, kupanda kwa gharama za Intaneti kuna athari mbalimbali kwa Wananchi ikiwemo kupunguza motisha ya kutafuta maarifa Mtandaoni
Soma - https://jamii.app/Vifurushi05
#DigitalRights
Anasema Watu wengi hawaelewi na bado hawajapata ufafanuzi wa sababu zinazopelekea Vifurushi vya Intaneti kupanda mara kwa mara
Anaeleza, kupanda kwa gharama za Intaneti kuna athari mbalimbali kwa Wananchi ikiwemo kupunguza motisha ya kutafuta maarifa Mtandaoni
Soma - https://jamii.app/Vifurushi05
#DigitalRights
π27π1
Ushiriki wa Umma katika masuala ya Kisiasa na Kidemokrasia ni sehemu muhimu ya Utawala wa Demokrasia
Wahusika wa mchakato wa Kusikiliza, Kuhoji, Kutafakari na Kufanya maamuzi yoyote katika Nchi ni Wananchi wenyewe
Zaidi, soma > https://jamii.app/UshirikiHuru
#Democracy #Governance
Wahusika wa mchakato wa Kusikiliza, Kuhoji, Kutafakari na Kufanya maamuzi yoyote katika Nchi ni Wananchi wenyewe
Zaidi, soma > https://jamii.app/UshirikiHuru
#Democracy #Governance
π2
SERIKALI YAENDELEZA MARUFUKU YA βLUMBESAβ
Makamu wa Rais, Dkt. Mpango amezuia vipimo visivyo rasmi ktk ununuzi wa mazao ikiwemo βlumbesaβ
Hii si mara ya kwanza βlumbesaβ kuzuiwa. Waziri Mkuu Majaliwa aliizuia akisema inatumika kuwaibia Wakulima
Soma https://jamii.app/Mpango-lumbesa
#JFLeo
Makamu wa Rais, Dkt. Mpango amezuia vipimo visivyo rasmi ktk ununuzi wa mazao ikiwemo βlumbesaβ
Hii si mara ya kwanza βlumbesaβ kuzuiwa. Waziri Mkuu Majaliwa aliizuia akisema inatumika kuwaibia Wakulima
Soma https://jamii.app/Mpango-lumbesa
#JFLeo
π10
FEDHA ZA UMMA: USIMAMIZI DHAIFU HUPELEKEA MATUMIZI YASIYO NA TIJA
Ripoti ya CAG 2020/21 inaonesha udhaifu katika usimamizi wa matumizi ya Fedha za Umma
Hii imepelekea kuwepo matumizi nje ya Bajeti, matumizi yasiyo na tija na kufanyika malipo bila kudai risiti
#JFUwajibikaji
Ripoti ya CAG 2020/21 inaonesha udhaifu katika usimamizi wa matumizi ya Fedha za Umma
Hii imepelekea kuwepo matumizi nje ya Bajeti, matumizi yasiyo na tija na kufanyika malipo bila kudai risiti
#JFUwajibikaji
π4
#JFDATA: Kwa mujibu wa Shirika la UNICEF, ushahidi katika baadhi ya Nchi unaonesha Watoto wenye Ulemavu wana uwezekano mkubwa wa kutengwa Shuleni kuliko wenzao wasio na Ulemavu
Ili kuwajumuisha Watoto wenye Ulemavu, ni muhimu kuwa na Mikakati ya kupambana na vikwazo vinavyowakwamisha
Fahamu zaidi > https://jamii.app/DataUlemavu
#HakiMtoto
Ili kuwajumuisha Watoto wenye Ulemavu, ni muhimu kuwa na Mikakati ya kupambana na vikwazo vinavyowakwamisha
Fahamu zaidi > https://jamii.app/DataUlemavu
#HakiMtoto
π8
KENYA: Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limesema Serikali kutowawajibisha Polisi kwa tuhuma za mauaji baada ya uchaguzi wa mwaka 2017, kunaongeza hatari ya kutumia Mamlaka yao vibaya kuelekea Uchaguzi Mkuu wa wiki ijayo
Soma https://jamii.app/KenyaPolisi
Soma https://jamii.app/KenyaPolisi
π6
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Mashirika (isipokuwa machache) yamekuwa hayafanyi vizuri, na kupelekea mengi kukopa ili kutoa Gawio katika kipindi maalum kwa miaka iliyopita
Katika Ripoti ya 2020/21, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) alisema Mashirika 16 yana Madeni zaidi ya Mtaji. Alieleza, yalikuwa na uwiano usioridhisha wa Madeni kwa Mtaji kwa zaidi ya 100%
#JFUwajibikaji
Katika Ripoti ya 2020/21, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) alisema Mashirika 16 yana Madeni zaidi ya Mtaji. Alieleza, yalikuwa na uwiano usioridhisha wa Madeni kwa Mtaji kwa zaidi ya 100%
#JFUwajibikaji
π8
SOMALIA: Waziri Mkuu ametangaza kuteuliwa kwa Mukhtar Robow (Mwanzilishi Mwenza wa Kundi la Al-Shabaab) kuwa Waziri wa Dini
> Hatua hiyo inatajwa inaweza kusaidia kuimarisha vita dhidi ya Waasi na kuzuia vita vya wenyewe kwa wenyewe
Soma https://jamii.app/WaziriSomalia
> Hatua hiyo inatajwa inaweza kusaidia kuimarisha vita dhidi ya Waasi na kuzuia vita vya wenyewe kwa wenyewe
Soma https://jamii.app/WaziriSomalia
π14π4π€1
MADHARA YA KUTUMIA SHISHA
Baadhi yanayoweza kujitokeza kwa mtumiaji; Saratani, Matatizo ya Moyo, Kuharibika Fizi, Fangasi na Kifua kikuu
Kuzaa Njiti (wanaotumia wakiwa wajawazito), Kupoteza Uwezo za Kujamiiana, Kuchakaa kwa ngozi
Soka > https://jamii.app/MadharaYaShisha
#JFAfya
Baadhi yanayoweza kujitokeza kwa mtumiaji; Saratani, Matatizo ya Moyo, Kuharibika Fizi, Fangasi na Kifua kikuu
Kuzaa Njiti (wanaotumia wakiwa wajawazito), Kupoteza Uwezo za Kujamiiana, Kuchakaa kwa ngozi
Soka > https://jamii.app/MadharaYaShisha
#JFAfya
π9
UTAFITI: KUKOSA USINGIZI HUPUNGUZA NGUVU ZA KIUME
Utafiti huo wa kwenye jarida la habari za #Afya, LiveScience unasema Wanaume ambao hulala chini ya Saa sita wanaweza kutungisha Mimba kwa 31% huku wanaolala kwa Saa tisa wakiwa na asilimia 49
Soma - https://jamii.app/UsingiziKiume
#Afya
Utafiti huo wa kwenye jarida la habari za #Afya, LiveScience unasema Wanaume ambao hulala chini ya Saa sita wanaweza kutungisha Mimba kwa 31% huku wanaolala kwa Saa tisa wakiwa na asilimia 49
Soma - https://jamii.app/UsingiziKiume
#Afya
π15π€3π©3π1
MDAU: JINSI YA KUJIANDAA MWENZA WAKO ANAPOPATA UJAUZITO
- Mnapogundua ana Mimba anzeni kuweka akiba kulingana na uwezo wenu. Kama mnaishi pamoja, Mimba ikifikisha Miezi Minne anzeni kuomba na Mtoto aliye Tumboni
- Mjamzito azingatie vyakula vyote vyenye virutubisho. Kama una kipato kidogo anza kununua vitu vya Mtoto taratibu usisubiri mpaka Mama ajifungue
Zaidi, soma - https://jamii.app/MimbaMaandalizi
#JFMaisha
- Mnapogundua ana Mimba anzeni kuweka akiba kulingana na uwezo wenu. Kama mnaishi pamoja, Mimba ikifikisha Miezi Minne anzeni kuomba na Mtoto aliye Tumboni
- Mjamzito azingatie vyakula vyote vyenye virutubisho. Kama una kipato kidogo anza kununua vitu vya Mtoto taratibu usisubiri mpaka Mama ajifungue
Zaidi, soma - https://jamii.app/MimbaMaandalizi
#JFMaisha
π14
UCHAGUZI KENYA: Watu wa Jamii ya Washona watapiga kura kwa mara ya kwanza ktk Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9, 2022
Kundi la kwanza la Washona liliwasili Kenya likitokea #Zimbabwe takriban Miaka 60 iliyopita na kupewa uraia Mwaka 2020
Soma - https://jamii.app/WashonaElectKE
#KenyaDecides2022
Kundi la kwanza la Washona liliwasili Kenya likitokea #Zimbabwe takriban Miaka 60 iliyopita na kupewa uraia Mwaka 2020
Soma - https://jamii.app/WashonaElectKE
#KenyaDecides2022
π6
HUDUMA YA INTANETI: GHARAMA ZINAKUATHIRI KWA KIWANGO GANI?
Kutumia Intaneti bado ni gharama kubwa kwa Wananchi katika Nchi nyingi zenye Uchumi wa Chini na Kati
Gharama kubwa za kujiunga zinakwamisha Mamilioni ya Watu kutumia Huduma ya Intaneti kikamilifu
Unatumia kiasi gani kugharamia Huduma hii ili kufanikisha shughuli zako za kila siku?
Zaidi, soma > https://jamii.app/Internet001
#DigitalRights
Kutumia Intaneti bado ni gharama kubwa kwa Wananchi katika Nchi nyingi zenye Uchumi wa Chini na Kati
Gharama kubwa za kujiunga zinakwamisha Mamilioni ya Watu kutumia Huduma ya Intaneti kikamilifu
Unatumia kiasi gani kugharamia Huduma hii ili kufanikisha shughuli zako za kila siku?
Zaidi, soma > https://jamii.app/Internet001
#DigitalRights
π10
KIFO CHA MWENYEKITI: FAMILIA YADAI KAUAWA, POLISI YAKANUSHA
Mwili wa Mwenyekiti wa Kijiji cha Byamtemba Mkoani Kagera, Jonathan Bunyaga uliokotwa kando ya barabara ya Bukoba - Mtukula
Ndugu wamedai kubaini majeraha yaliyoonesha alichomwa na kitu chenye ncha kali. Kamanda wa Polisi, William Mwampaghale amesema chanzo cha kifo ni ajali ya pikipiki kugongana
Soma - https://jamii.app/UtataKifoKagera
Mwili wa Mwenyekiti wa Kijiji cha Byamtemba Mkoani Kagera, Jonathan Bunyaga uliokotwa kando ya barabara ya Bukoba - Mtukula
Ndugu wamedai kubaini majeraha yaliyoonesha alichomwa na kitu chenye ncha kali. Kamanda wa Polisi, William Mwampaghale amesema chanzo cha kifo ni ajali ya pikipiki kugongana
Soma - https://jamii.app/UtataKifoKagera
π5π€―3
Kwa mwaka 2020/21, Serikali ilishindwa kukusanya 10% ya Bajeti iliyoidhinishwa, ikiwa ni ongezeko la 5% ukilinganisha na mwaka 2019/20. Hii inafanya utekelezaji wa Bajeti kutofikia Malengo yaliyopangwa
Kushindwa kukusanya Mapato kulingana na Bajeti iliyoidhinishwa inadhihirisha Bajeti Iliyopangwa haikuwa na uhalisia, hivyo matarajio ya Wananchi kutofikiwa
#JFUwajibikaji
Kushindwa kukusanya Mapato kulingana na Bajeti iliyoidhinishwa inadhihirisha Bajeti Iliyopangwa haikuwa na uhalisia, hivyo matarajio ya Wananchi kutofikiwa
#JFUwajibikaji
π7
#JFSPORTS: Kocha wa #ManUnited, Erik ten Hag amekasirishwa na Cristiano Ronaldo kuondoka uwanjani wakati mchezo dhidi ya Rayo Vallecano ukiendelea
> Kocha huyo amesema "Sikubaliani na alichofanya, sisi ni timu unatakiwa kukaa hadi mwisho"
Soma https://jamii.app/CR7AmkeraKocha
> Kocha huyo amesema "Sikubaliani na alichofanya, sisi ni timu unatakiwa kukaa hadi mwisho"
Soma https://jamii.app/CR7AmkeraKocha
π14π1
UINGEREZA: Upigaji kura kwa njia ya Mtandao ili kumpata Mrithi wa #BorisJohnson umesogezwa hadi Agosti 11, 2022 kutokana na hofu ya kudukuliwa
Wataalamu wa Mtandao wa Serikali wameibua wasiwasi juu ya uwezekano wa kubadilishwa kwa kura
Soma: https://jamii.app/HofuUdukuzi
#Democracy
Wataalamu wa Mtandao wa Serikali wameibua wasiwasi juu ya uwezekano wa kubadilishwa kwa kura
Soma: https://jamii.app/HofuUdukuzi
#Democracy
π7π3
SERIKALI YASITISHA MABADILIKO HUDUMA ZA NHIF
Imesitisha mabadiliko ya utaratibu mpya ulioanza kutumika Agosti 1, 2022 baada ya malalamiko ya Wateja
Mabadiliko yaliweka idadi ya mahudhurio hospitalini na utoaji kibali kwa huduma kama MRI, CT SCAN
Soma https://jamii.app/TamkoLaBima
#JFAfya
Imesitisha mabadiliko ya utaratibu mpya ulioanza kutumika Agosti 1, 2022 baada ya malalamiko ya Wateja
Mabadiliko yaliweka idadi ya mahudhurio hospitalini na utoaji kibali kwa huduma kama MRI, CT SCAN
Soma https://jamii.app/TamkoLaBima
#JFAfya
π8π1