Uwazi, Uwajibikaji na Ushirikishwaji ni muhimu ili kuhakikisha Rasilimali za Umma zinatumika ipasavyo na Sera zinaundwa kwa maslahi ya watu
Ushiriki wa Wananchi huwawezesha kuwajibisha Mamlaka na kukemea Ubadhirifu, Ufisadi na Rushwa
Soma https://jamii.app/UwaziSerikali
#Accountability #Transparency #JFUwajibikaji
Ushiriki wa Wananchi huwawezesha kuwajibisha Mamlaka na kukemea Ubadhirifu, Ufisadi na Rushwa
Soma https://jamii.app/UwaziSerikali
#Accountability #Transparency #JFUwajibikaji
👍8
Ili kuweza kuona fursa hizi na nyingine nyingi za Ajira, tembelea > https://jamii.app/NafasiAjira
#JamiiForums
#JamiiForums
👍3
WAZIRI WA AFYA: Tangu Julai 18, 2022 hadi sasa hakuna maambukizi mapya ya Homa ya Mgunda na Wagonjwa 17 wameruhusiwa kwenda nyumbani
> Waliofariki kwa Homa hiyo ni 3 huku Watu 15 waliochangamana na Wagonjwa wamekutwa hawana maambukizi
Soma https://jamii.app/HomaYaMgundaUpdates
#JFAfya
> Waliofariki kwa Homa hiyo ni 3 huku Watu 15 waliochangamana na Wagonjwa wamekutwa hawana maambukizi
Soma https://jamii.app/HomaYaMgundaUpdates
#JFAfya
👍10
SERIKALI: UPANDISHAJI MISHAHARA UNAANGALIA HALI YA UCHUMI
Akizungumza kuhusu Nyongeza ya Mishahara, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema katika mchakato ya upandishaji Mishahara, Serikali inaenda kwa kuangalia Hali ya Uchumi wa Nchi ili kutokwama katika mambo mengine
Amefafanua, "Tunaangalia gurudumu hili tunavyolipeleka sisi wenyewe tusije tukalikimbiza likatukwamisha, tukafika mahali tumegota tukashindwa kwenda. Mwenendo huu wa kiuchumi sisi ndio tunaushikilia, tunausimamia na tunautekeleza"
Soma - https://jamii.app/NyongezaMishahara
Akizungumza kuhusu Nyongeza ya Mishahara, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema katika mchakato ya upandishaji Mishahara, Serikali inaenda kwa kuangalia Hali ya Uchumi wa Nchi ili kutokwama katika mambo mengine
Amefafanua, "Tunaangalia gurudumu hili tunavyolipeleka sisi wenyewe tusije tukalikimbiza likatukwamisha, tukafika mahali tumegota tukashindwa kwenda. Mwenendo huu wa kiuchumi sisi ndio tunaushikilia, tunausimamia na tunautekeleza"
Soma - https://jamii.app/NyongezaMishahara
👍10😁4🤯2👎1
MAJALIWA: WANAOSEMA TUMEONGEZA 20,000 NI WENYE MISHAHARA MIKUBWA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema wanaosema kuhusu ongezeko dogo la mishahara ni wale ambao wana mishahara mikubwa na ambao unatosha
Ameeleza, "Ni kweli 23% iliyotamkwa haijalipa watu wote, na hii ni kwasababu ya Formula inayotumika katika kutamka viwango vya Mshahara. Inapotamkwa wanaonufaika si wote mpaka wa mishahara mikubwa, bali ni wale wa kada ya chini"
Soma - https://jamii.app/PMMishahara
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema wanaosema kuhusu ongezeko dogo la mishahara ni wale ambao wana mishahara mikubwa na ambao unatosha
Ameeleza, "Ni kweli 23% iliyotamkwa haijalipa watu wote, na hii ni kwasababu ya Formula inayotumika katika kutamka viwango vya Mshahara. Inapotamkwa wanaonufaika si wote mpaka wa mishahara mikubwa, bali ni wale wa kada ya chini"
Soma - https://jamii.app/PMMishahara
👍17😁4🤯3👏2🤔2💩1
Mdau wa JamiiForums.com anasema miongoni mwa vitu unavyotakiwa kujua mapema katika maisha ni kutoruhusu mazoea na kila mtu
Anashauri usipende kusema mipango yako kwani Watu hawapo vile unavyowaona/wanavyojionesha, na pia waepuke watu wanaopenda kuomba omba Msamaha, wakiuchukulia kuwa ni kitu rahisi
Msome zaidi > https://jamii.app/MdauMaisha
#JFMaisha
Anashauri usipende kusema mipango yako kwani Watu hawapo vile unavyowaona/wanavyojionesha, na pia waepuke watu wanaopenda kuomba omba Msamaha, wakiuchukulia kuwa ni kitu rahisi
Msome zaidi > https://jamii.app/MdauMaisha
#JFMaisha
👍7❤1👏1
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imetoa hati ya kukamatwa kwa aliyewahi kuwa Waziri wa Usalama wa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR), Nourredine Adam kwa uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binadamu wakati wa Mapinduzi ya mwaka 2013
Soma - https://jamii.app/WaasiCAR
Soma - https://jamii.app/WaasiCAR
👍8
RUTO: KENYATTA, ACHA KUNIONGELEA NA KUTISHA WAKENYA
Amemjibu Rais Uhuru Kenyatta akisema kama hamuungi mkono, amuache
Amesisitiza "Tafadhali Rais, hutakiwi kuwa chanzo cha vitisho. Kazi yako ni kuhakikisha Wakenya wote wakae pamoja"
Soma - https://jamii.app/KenyattaRutoSaga
#Kenya2022 #Democracy
Amemjibu Rais Uhuru Kenyatta akisema kama hamuungi mkono, amuache
Amesisitiza "Tafadhali Rais, hutakiwi kuwa chanzo cha vitisho. Kazi yako ni kuhakikisha Wakenya wote wakae pamoja"
Soma - https://jamii.app/KenyattaRutoSaga
#Kenya2022 #Democracy
👍15🤔2👎1
IRAN: MAFURIKO YA SIKU MBILI YAUA WATU 53
Mbali na vifo, taarifa rasmi ya Serikali imesema Watu wengine 16 hawajulikani walipo
Mafuriko hayo yameathiri Watu 400 katika Vijiji 18 na kusababisha Miundombinu mingi kuharibika
Soma - https://jamii.app/MafurikoIran
Mbali na vifo, taarifa rasmi ya Serikali imesema Watu wengine 16 hawajulikani walipo
Mafuriko hayo yameathiri Watu 400 katika Vijiji 18 na kusababisha Miundombinu mingi kuharibika
Soma - https://jamii.app/MafurikoIran
👍4😢4
Fuatilia Kongamano la Miaka 30 ya Mfumo wa Demokrasia ya Vyama Vingi
Mjadala unahusu mafanikio na changamoto za Kidemokrasia, Utawala wa Kisheria na Ushiriki wa Umma
Link > https://youtu.be/GE2-ZKvPjSU
#Democracy30
Mjadala unahusu mafanikio na changamoto za Kidemokrasia, Utawala wa Kisheria na Ushiriki wa Umma
Link > https://youtu.be/GE2-ZKvPjSU
#Democracy30
👍7
GEOPHREY PINDA (NAIBU WAZIRI KATIBA NA SHERIA): Tanzania hakuna Sheria mbovu, bali tuna Sheria zilizopitwa na wakati, zinazohitaji kufanyiwa marekebisho ili kuendana na wakati tuliopo
Fuatilia > https://jamii.app/KongamanoTLS
#Democracy30 #30YrsOfMultipartism
Fuatilia > https://jamii.app/KongamanoTLS
#Democracy30 #30YrsOfMultipartism
👍14
JOHN MNYIKA (CHADEMA): Ukosefu wa Katiba Mpya ni Mzizi wa Matatizo. Vyama vya Siasa havina ruhusa ya kufanya Mikutano ya Hadhara pamoja na kuwa na Sheria zinaruhusu hili. Pamoja na mabadiliko ya kiutawala bado katazo hili linaendelea
> Kuingia kwenye Mfumo wa Vyama vingi kulipaswa kutanguliwe na mfumo unaoruhusu uwepo wa vyama vingi. Sasa ni miaka 30 ya Vyama vingi lakini bado hakuna Katiba inayoruhusu Mfumo wa Vyama vingi Nchini
Fuatilia - https://jamii.app/KongamanoTLS
#Democracy30 #30YrsOfMultipartism
> Kuingia kwenye Mfumo wa Vyama vingi kulipaswa kutanguliwe na mfumo unaoruhusu uwepo wa vyama vingi. Sasa ni miaka 30 ya Vyama vingi lakini bado hakuna Katiba inayoruhusu Mfumo wa Vyama vingi Nchini
Fuatilia - https://jamii.app/KongamanoTLS
#Democracy30 #30YrsOfMultipartism
👍14
JENERALI ULIMWENGU: Magufuli aliamua Wabunge watakaoingia Bungeni yeye mwenyewe. Takwimu zilikuwa ni haramu kama hazikutolewa na Serikali
> Azaki zilishindwa kufanya kazi na katika awamu yake wajinga waliibuka kwa wingi na kujiona bora
> Rais Samia ameonesha nia ya kuleta maridhiano. Nasi tuunge Mkono juhudi hizo lakini tunapaswa kufanya hivyo kwa umakini ili tusirudi tulipotoka
Soma zaidi - https://jamii.app/KongamanoTLS
#Democracy30 #30YrsOfMultipartism
> Azaki zilishindwa kufanya kazi na katika awamu yake wajinga waliibuka kwa wingi na kujiona bora
> Rais Samia ameonesha nia ya kuleta maridhiano. Nasi tuunge Mkono juhudi hizo lakini tunapaswa kufanya hivyo kwa umakini ili tusirudi tulipotoka
Soma zaidi - https://jamii.app/KongamanoTLS
#Democracy30 #30YrsOfMultipartism
👍20👎4🤩3
KAIZA BUBERWA: Miaka ya zamani Vyama vya Siasa vilipoteza dira baada ya kuweka nguvu nyingi kwenye kutaka kuiondoa CCM madarakani
> Wakati huo huo wanufaika wa CCM wakizuia kwa nguvu kutoondolewa Madarakani
#Democracy30
> Wakati huo huo wanufaika wa CCM wakizuia kwa nguvu kutoondolewa Madarakani
#Democracy30
HAMAD RASHID MOHAMED (ADC): Wanasiasa wa Upinzani kukosa ushirikiano wenyewe kwa wenyewe ni chanzo kikuu cha kukosekana kwa Upinzani imara nchini. Udhaifu wetu mkubwa ni kukosa umoja
> Katiba sio mwarobaini bali utashi ndio unatakiwa. Nilimwambia Mnyika 'Hamuwezi kuandamana kama tulivyokuwa tunafanya sisi'
> Nilikuwa tayari kukaa ndani kutetea wenzangu lakini wao wakisikia kuna kukamatwa watakimbia watajificha uvunguni
Soma - https://jamii.app/KongamanoTLS
#Democracy30 #30YrsOfMultipartism
> Katiba sio mwarobaini bali utashi ndio unatakiwa. Nilimwambia Mnyika 'Hamuwezi kuandamana kama tulivyokuwa tunafanya sisi'
> Nilikuwa tayari kukaa ndani kutetea wenzangu lakini wao wakisikia kuna kukamatwa watakimbia watajificha uvunguni
Soma - https://jamii.app/KongamanoTLS
#Democracy30 #30YrsOfMultipartism
👍13
SIKU YA KIMATAIFA YA KUPINGA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU
Usafirishaji Haramu unatajwa kuwa janga linaloendelea kukua na Wanawake na Watoto ndio wahanga wakubwa
Maadhimisho ya Mwaka 2022 yanaangazia nafasi ya Teknolojia katika kuwezesha na kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu
Fahamu zaidi https://jamii.app/HumanTRF2022
#EndHumanTrafficking
Usafirishaji Haramu unatajwa kuwa janga linaloendelea kukua na Wanawake na Watoto ndio wahanga wakubwa
Maadhimisho ya Mwaka 2022 yanaangazia nafasi ya Teknolojia katika kuwezesha na kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu
Fahamu zaidi https://jamii.app/HumanTRF2022
#EndHumanTrafficking
👍4😢1
USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU MITANDAONI
Usafirishaji Haramu wa Binadamu kupitia Mitandao unashika kasi kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya Teknolojia
Majukwaa ya Kidigitali yamekuwa fursa kwa Watuhumiwa wa Biashara hii Haramu
Wanayatumia kuwatambua na kuwapata Wahanga, miongoni mwao wakiwemo Watoto
Soma zaidi - https://jamii.app/HumanTRF2022
#EndHumanTrafficking
Usafirishaji Haramu wa Binadamu kupitia Mitandao unashika kasi kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya Teknolojia
Majukwaa ya Kidigitali yamekuwa fursa kwa Watuhumiwa wa Biashara hii Haramu
Wanayatumia kuwatambua na kuwapata Wahanga, miongoni mwao wakiwemo Watoto
Soma zaidi - https://jamii.app/HumanTRF2022
#EndHumanTrafficking
👍6😢1
Teknolojia inaweza kuwa na nafasi muhimu katika Mapambano dhidi ya Usafirishaji Haramu wa Binadamu endapo itatumika ipasavyo
Utoaji Elimu zaidi juu ya Matumizi Salama ya Intaneti na Mitandao ya Kijamii unaweza kusaidia kupunguza hatari ya Watu kuwa Wahanga
Soma > https://jamii.app/HumanTRF2022
#EndHumanTrafficking
Utoaji Elimu zaidi juu ya Matumizi Salama ya Intaneti na Mitandao ya Kijamii unaweza kusaidia kupunguza hatari ya Watu kuwa Wahanga
Soma > https://jamii.app/HumanTRF2022
#EndHumanTrafficking
👍3
FATMA KARUME: Uchaguzi wa 2020 ulikuwa wa ovyo kuliko chaguzi zote zilizopita. Hakujawahi kutokea chaguzi yoyote tangu Mfumo wa Vyama Vingi uanzishwe kusiwe na kesi Mahakamani isipokuwa wa 2020, na hii ni kwa sababu Watu hawana Imani na Mahakama
> Tumetengeneza Mhimili wa Mahakama usioweza kufanya kazi yake. Rais kuwa na Uwezo wa Kumteua na Kumuondoa Jaji Mkuu kunaondoa Uhuru wa Mahakama
> Pia, Mahakama kutegemea Bajeti ya Serikali kufanya shughuli zake hudunisha uhuru wa Mahakama
Soma - https://jamii.app/KongamanoTLS
#Democracy30 #30YrsOfMultipartism
> Tumetengeneza Mhimili wa Mahakama usioweza kufanya kazi yake. Rais kuwa na Uwezo wa Kumteua na Kumuondoa Jaji Mkuu kunaondoa Uhuru wa Mahakama
> Pia, Mahakama kutegemea Bajeti ya Serikali kufanya shughuli zake hudunisha uhuru wa Mahakama
Soma - https://jamii.app/KongamanoTLS
#Democracy30 #30YrsOfMultipartism
👍14
MAKARAMBA (JAJI MSTAAFU): Kuna tatizo kubwa Watanzania kuchanganya mambo. Sheria mbovu huwa inatamkwa na Mahakama siyo Mwanasiasa
> Ila wanasiasa ndio ambao tunaamini wanaweza kutunga Sheria mbovu na ndio mwanzo wa kuingiliana Mamlaka katika vile vyombo vitatu
> Wale ambao hawapaswi kutunga Sheria ndio wanatunga Sheria, ambao hawapaswi kutafsiri ndio wanatafsiri Sheria. Ndio maana mnasikia mtu anasema 'Nitakuweka ndani' yaani anakuwa Sheria, Mahakama na Polisi kitu ambacho tulipiga marufuku
#30YrsOfMultipartism
#Democracy30
> Ila wanasiasa ndio ambao tunaamini wanaweza kutunga Sheria mbovu na ndio mwanzo wa kuingiliana Mamlaka katika vile vyombo vitatu
> Wale ambao hawapaswi kutunga Sheria ndio wanatunga Sheria, ambao hawapaswi kutafsiri ndio wanatafsiri Sheria. Ndio maana mnasikia mtu anasema 'Nitakuweka ndani' yaani anakuwa Sheria, Mahakama na Polisi kitu ambacho tulipiga marufuku
#30YrsOfMultipartism
#Democracy30
👍12