UNAWEZAJE KUJIKINGA NA HOMA YA INI?
1) Usichangie matumizi ya vitu vyenye ncha kali vikiwemo viwembe
2) Kunywa Maji na kula Chakula kilichoandaliwa katika mazingira safi na salama
3) Jua Afya yako kwa kufanya vipimo vya Homa ya Ini
4) Tumia Kinga kwa usahihi wakati wa kujamiiana
Fahamu zaidi > https://jamii.app/HomaIni2022
#WorldHepatitisDay2022 #JFAfya
1) Usichangie matumizi ya vitu vyenye ncha kali vikiwemo viwembe
2) Kunywa Maji na kula Chakula kilichoandaliwa katika mazingira safi na salama
3) Jua Afya yako kwa kufanya vipimo vya Homa ya Ini
4) Tumia Kinga kwa usahihi wakati wa kujamiiana
Fahamu zaidi > https://jamii.app/HomaIni2022
#WorldHepatitisDay2022 #JFAfya
👍5
LOLIONDO: Washtakiwa 3 kati ya 27 waliokuwa wanakabiliwa na makosa mawili likiwamo la mauaji ya Askari katika eneo la Loliondo, wamefutiwa kesi na kuachiwa huru na Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha
> Wameachiwa baada ya DPP kukosa nia ya kuwashtaki
Soma https://jamii.app/KesiLoliondo
> Wameachiwa baada ya DPP kukosa nia ya kuwashtaki
Soma https://jamii.app/KesiLoliondo
👍12😁3🥰1
#JFSHAIRI: Ukatili ni kitendo anachofanyiwa Mtu yeyote kwa lengo la kumdhuru au kumuumiza Kisaikolojia, Kimwili, Kiafya, Kingono na Kiuchumi
Jifunze kupitia Shairi hili kutoka kwa Mdau wa JamiiForums.com likizungumzia Ukatili unaofanyika kwenye Jamii
#JamiiForums #Violence #GBV
Jifunze kupitia Shairi hili kutoka kwa Mdau wa JamiiForums.com likizungumzia Ukatili unaofanyika kwenye Jamii
#JamiiForums #Violence #GBV
👍10
KENYA: Serikali imetaifisha takriban Tsh. Bilioni 3.9 za Rigathi Gachagua (Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Kenya Kwanza) kwa kushindwa kueleza jinsi alivyozipata kutoka kwa Mashirika ya Serikali
> Anashukiwa kuhusika na Utakatishaji Fedha
Soma https://jamii.app/UtaifishajiKenya
#Kenya2022
> Anashukiwa kuhusika na Utakatishaji Fedha
Soma https://jamii.app/UtaifishajiKenya
#Kenya2022
👍13😁2
#GUINEA: Maandamano dhidi ya Serikali ya Kijeshi na usimamizi wake wa mipango ya kurejesha Demokrasia yameripotiwa Jijini #Conakry
Inadaiwa, Utawala wa Kijeshi haupo tayari kufanya mazungumzo yatakayofafanua Kanuni za Kipindi cha Mpito
Soma https://jamii.app/GuineaProtests1
#Democracy
Inadaiwa, Utawala wa Kijeshi haupo tayari kufanya mazungumzo yatakayofafanua Kanuni za Kipindi cha Mpito
Soma https://jamii.app/GuineaProtests1
#Democracy
👍10
NIGERIA: Serikali imesema itaweka vikwazo kwa Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) na Trust TV kwa kutukuza Ugaidi baada ya vituo hivyo na kuonesha Filamu kuhusu Magenge ya Uhalifu ya Kaskazini Magharibi mwa Nchi hiyo
Soma https://jamii.app/NigeriaNaBBC
Soma https://jamii.app/NigeriaNaBBC
👍8
MSUMBIJI: Aliyekuwa Waziri wa Kazi, Maria Helena Taipo amehukumiwa kifungo cha Miaka 16 jela kwa Makosa ya Rushwa yanayohusisha kujipatia takriban Tsh. Bilioni 3.96 kutoka katika Fedha za Umma kati ya mwaka 2014-2015
Soma - https://jamii.app/WaziriUfisadi
#KemeaRushwa
Soma - https://jamii.app/WaziriUfisadi
#KemeaRushwa
👏7👍4
RUKWA: Mwalimu wa Shule ya Sekondari Tanga, Emmanuel Jerome anadaiwa kumuua Mkewe, Lucy Nshoma kwa kumnyonga kisha na yeye kujiua kwa kujinyonga siku moja baadaye
> Emmanuel alimtuhumu mkewe kuwa na uhusiano na Wanaume wengine
Soma https://jamii.app/WanandoaWafariki
#JFMatukio
> Emmanuel alimtuhumu mkewe kuwa na uhusiano na Wanaume wengine
Soma https://jamii.app/WanandoaWafariki
#JFMatukio
👍6🤔4👎1🎉1
UTOLEWAJI FEDHA PUNGUFU HUATHIRI UTOAJI HUDUMA KWA WANANCHI
Serikali Kuu ilipanga kutoa Tsh. Bilioni 928.05 ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo katika Mamlaka za Serikali za Mitaa. Hata hivyo, kiasi kilichotolewa ni Tsh. Bilioni 662.68, sawa na 71% ya Bajeti iliyopangwa
Kutolewa Fedha pungufu kwenye baadhi ya Halmashauri husababisha Halmashauri hizo zishindwe kutoa Huduma zilizopangwa kwa Wananchi
#JFUwajibikaji
Serikali Kuu ilipanga kutoa Tsh. Bilioni 928.05 ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo katika Mamlaka za Serikali za Mitaa. Hata hivyo, kiasi kilichotolewa ni Tsh. Bilioni 662.68, sawa na 71% ya Bajeti iliyopangwa
Kutolewa Fedha pungufu kwenye baadhi ya Halmashauri husababisha Halmashauri hizo zishindwe kutoa Huduma zilizopangwa kwa Wananchi
#JFUwajibikaji
👍3
Uwazi, Uwajibikaji na Ushirikishwaji ni muhimu ili kuhakikisha Rasilimali za Umma zinatumika ipasavyo na Sera zinaundwa kwa maslahi ya watu
Ushiriki wa Wananchi huwawezesha kuwajibisha Mamlaka na kukemea Ubadhirifu, Ufisadi na Rushwa
Soma https://jamii.app/UwaziSerikali
#Accountability #Transparency #JFUwajibikaji
Ushiriki wa Wananchi huwawezesha kuwajibisha Mamlaka na kukemea Ubadhirifu, Ufisadi na Rushwa
Soma https://jamii.app/UwaziSerikali
#Accountability #Transparency #JFUwajibikaji
👍8
Ili kuweza kuona fursa hizi na nyingine nyingi za Ajira, tembelea > https://jamii.app/NafasiAjira
#JamiiForums
#JamiiForums
👍3
WAZIRI WA AFYA: Tangu Julai 18, 2022 hadi sasa hakuna maambukizi mapya ya Homa ya Mgunda na Wagonjwa 17 wameruhusiwa kwenda nyumbani
> Waliofariki kwa Homa hiyo ni 3 huku Watu 15 waliochangamana na Wagonjwa wamekutwa hawana maambukizi
Soma https://jamii.app/HomaYaMgundaUpdates
#JFAfya
> Waliofariki kwa Homa hiyo ni 3 huku Watu 15 waliochangamana na Wagonjwa wamekutwa hawana maambukizi
Soma https://jamii.app/HomaYaMgundaUpdates
#JFAfya
👍10
SERIKALI: UPANDISHAJI MISHAHARA UNAANGALIA HALI YA UCHUMI
Akizungumza kuhusu Nyongeza ya Mishahara, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema katika mchakato ya upandishaji Mishahara, Serikali inaenda kwa kuangalia Hali ya Uchumi wa Nchi ili kutokwama katika mambo mengine
Amefafanua, "Tunaangalia gurudumu hili tunavyolipeleka sisi wenyewe tusije tukalikimbiza likatukwamisha, tukafika mahali tumegota tukashindwa kwenda. Mwenendo huu wa kiuchumi sisi ndio tunaushikilia, tunausimamia na tunautekeleza"
Soma - https://jamii.app/NyongezaMishahara
Akizungumza kuhusu Nyongeza ya Mishahara, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema katika mchakato ya upandishaji Mishahara, Serikali inaenda kwa kuangalia Hali ya Uchumi wa Nchi ili kutokwama katika mambo mengine
Amefafanua, "Tunaangalia gurudumu hili tunavyolipeleka sisi wenyewe tusije tukalikimbiza likatukwamisha, tukafika mahali tumegota tukashindwa kwenda. Mwenendo huu wa kiuchumi sisi ndio tunaushikilia, tunausimamia na tunautekeleza"
Soma - https://jamii.app/NyongezaMishahara
👍10😁4🤯2👎1
MAJALIWA: WANAOSEMA TUMEONGEZA 20,000 NI WENYE MISHAHARA MIKUBWA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema wanaosema kuhusu ongezeko dogo la mishahara ni wale ambao wana mishahara mikubwa na ambao unatosha
Ameeleza, "Ni kweli 23% iliyotamkwa haijalipa watu wote, na hii ni kwasababu ya Formula inayotumika katika kutamka viwango vya Mshahara. Inapotamkwa wanaonufaika si wote mpaka wa mishahara mikubwa, bali ni wale wa kada ya chini"
Soma - https://jamii.app/PMMishahara
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema wanaosema kuhusu ongezeko dogo la mishahara ni wale ambao wana mishahara mikubwa na ambao unatosha
Ameeleza, "Ni kweli 23% iliyotamkwa haijalipa watu wote, na hii ni kwasababu ya Formula inayotumika katika kutamka viwango vya Mshahara. Inapotamkwa wanaonufaika si wote mpaka wa mishahara mikubwa, bali ni wale wa kada ya chini"
Soma - https://jamii.app/PMMishahara
👍17😁4🤯3👏2🤔2💩1
Mdau wa JamiiForums.com anasema miongoni mwa vitu unavyotakiwa kujua mapema katika maisha ni kutoruhusu mazoea na kila mtu
Anashauri usipende kusema mipango yako kwani Watu hawapo vile unavyowaona/wanavyojionesha, na pia waepuke watu wanaopenda kuomba omba Msamaha, wakiuchukulia kuwa ni kitu rahisi
Msome zaidi > https://jamii.app/MdauMaisha
#JFMaisha
Anashauri usipende kusema mipango yako kwani Watu hawapo vile unavyowaona/wanavyojionesha, na pia waepuke watu wanaopenda kuomba omba Msamaha, wakiuchukulia kuwa ni kitu rahisi
Msome zaidi > https://jamii.app/MdauMaisha
#JFMaisha
👍7❤1👏1
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imetoa hati ya kukamatwa kwa aliyewahi kuwa Waziri wa Usalama wa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR), Nourredine Adam kwa uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binadamu wakati wa Mapinduzi ya mwaka 2013
Soma - https://jamii.app/WaasiCAR
Soma - https://jamii.app/WaasiCAR
👍8
RUTO: KENYATTA, ACHA KUNIONGELEA NA KUTISHA WAKENYA
Amemjibu Rais Uhuru Kenyatta akisema kama hamuungi mkono, amuache
Amesisitiza "Tafadhali Rais, hutakiwi kuwa chanzo cha vitisho. Kazi yako ni kuhakikisha Wakenya wote wakae pamoja"
Soma - https://jamii.app/KenyattaRutoSaga
#Kenya2022 #Democracy
Amemjibu Rais Uhuru Kenyatta akisema kama hamuungi mkono, amuache
Amesisitiza "Tafadhali Rais, hutakiwi kuwa chanzo cha vitisho. Kazi yako ni kuhakikisha Wakenya wote wakae pamoja"
Soma - https://jamii.app/KenyattaRutoSaga
#Kenya2022 #Democracy
👍15🤔2👎1
IRAN: MAFURIKO YA SIKU MBILI YAUA WATU 53
Mbali na vifo, taarifa rasmi ya Serikali imesema Watu wengine 16 hawajulikani walipo
Mafuriko hayo yameathiri Watu 400 katika Vijiji 18 na kusababisha Miundombinu mingi kuharibika
Soma - https://jamii.app/MafurikoIran
Mbali na vifo, taarifa rasmi ya Serikali imesema Watu wengine 16 hawajulikani walipo
Mafuriko hayo yameathiri Watu 400 katika Vijiji 18 na kusababisha Miundombinu mingi kuharibika
Soma - https://jamii.app/MafurikoIran
👍4😢4