Tume ya Utumishi wa Walimu Wilayani Geita imewafukuza kazi Walimu wawili wa Shule ya Sekondari Kivukoni na 6 wa Shule za Msingi za Nyantorotoro, Kivukoni, Lubanda, Mtakuja na Mkoani kwa utoro kazini
> Wanadaiwa kujihusisha na Mtandao wa Q-Net
Soma - https://jamii.app/UtoroWalimu
> Wanadaiwa kujihusisha na Mtandao wa Q-Net
Soma - https://jamii.app/UtoroWalimu
😁11👍2👏1😢1
James Januari (4) aliyejeruhiwa katika tukio la mauaji ya Watu 6 wa familia moja ktk Kijiji cha Kiganza, Wilayani Kigoma amefariki usiku wa kuamkia leo Julai 5, 2022
> Mtoto huyo amefariki akiwa Morogoro njiani kuelekea Hospitali ya Muhimbili
Soma - https://jamii.app/MtotoKufariki
#JamiiForums
> Mtoto huyo amefariki akiwa Morogoro njiani kuelekea Hospitali ya Muhimbili
Soma - https://jamii.app/MtotoKufariki
#JamiiForums
😢13👍5
SIERRA LEONE: TIMU ZAFUNGANA 95-0, 91-1
Kahunla Rangers imeishinda Lumbelu United magoli 95-0, huku Gulf FC ikishinda 91-1 dhidi ya Koquima Lebanon
Matokeo hayo ya mechi za Daraja la Kwanza yanachunguzwa na Mamlaka za Soka
Soma - https://jamii.app/MatokeoYaAjabu
#JFSports
Kahunla Rangers imeishinda Lumbelu United magoli 95-0, huku Gulf FC ikishinda 91-1 dhidi ya Koquima Lebanon
Matokeo hayo ya mechi za Daraja la Kwanza yanachunguzwa na Mamlaka za Soka
Soma - https://jamii.app/MatokeoYaAjabu
#JFSports
😁45👍10🔥3👏3🌚1
UINGEREZA: KASHFA ZA SERIKALI ZAPELEKEA MAWAZIRI 2 KUJIUZULU
Rishi Sunak amesema Umma unatarajia Serikali kuendeshwa kwa umakini
Sajid Javid asema Kura ya Imani kwa Waziri Mkuu ilikuwa wakati wa mwelekeo mpya, lakini ni dhahiri hali haitobadilika
Soma - https://jamii.app/2MinistersResign
#Accountability #Democracy
Rishi Sunak amesema Umma unatarajia Serikali kuendeshwa kwa umakini
Sajid Javid asema Kura ya Imani kwa Waziri Mkuu ilikuwa wakati wa mwelekeo mpya, lakini ni dhahiri hali haitobadilika
Soma - https://jamii.app/2MinistersResign
#Accountability #Democracy
👍11
#TWITTER YAISHTAKI SERIKALI YA INDIA
Kampuni hiyo inapinga baadhi ya maagizo ya kuzuia 'Tweets' na Akaunti ikisema ni ukiukwaji wa #UhuruWaKujieleza
Idadi kubwa ya Akaunti na Tweets hizo zinadaiwa kukosoa Sera za Serikali
Soma - https://jamii.app/TwitterIndiaGovt
#DigitalRights
Kampuni hiyo inapinga baadhi ya maagizo ya kuzuia 'Tweets' na Akaunti ikisema ni ukiukwaji wa #UhuruWaKujieleza
Idadi kubwa ya Akaunti na Tweets hizo zinadaiwa kukosoa Sera za Serikali
Soma - https://jamii.app/TwitterIndiaGovt
#DigitalRights
👍9
KISWAHILI SOMO LA LAZIMA MSINGI, SEKONDARI UGANDA
#Uganda imepitisha #Kiswahili kuwa Lugha rasmi Nchini humo
> Maamuzi hayo yamefikiwa ili kutekeleza mapendekezo ya Jumuiya ya Afrika Mashariki yanayotaka Wanachama kutumia Lugha hiyo
Soma - https://jamii.app/KiswahiliUG
#Uganda imepitisha #Kiswahili kuwa Lugha rasmi Nchini humo
> Maamuzi hayo yamefikiwa ili kutekeleza mapendekezo ya Jumuiya ya Afrika Mashariki yanayotaka Wanachama kutumia Lugha hiyo
Soma - https://jamii.app/KiswahiliUG
👍26👏4
BEI ZA PETROLI, DIZELI ZAPANDA
Bei mpya kwa Dar: Petroli ni Tsh. 3,220, Dizeli ni Tsh. 3,143, Arusha: Petroli Tsh. 3,271, Dizeli 3,207
> Dodoma: Petroli Tsh. 3,279, Dizeli Tsh. 3,202, Mwanza: Petroli Tsh. 3,370, Dizeli Tsh. 3,293
Soma - https://jamii.app/BeiMpyaMafuta
#JamiiForums
Bei mpya kwa Dar: Petroli ni Tsh. 3,220, Dizeli ni Tsh. 3,143, Arusha: Petroli Tsh. 3,271, Dizeli 3,207
> Dodoma: Petroli Tsh. 3,279, Dizeli Tsh. 3,202, Mwanza: Petroli Tsh. 3,370, Dizeli Tsh. 3,293
Soma - https://jamii.app/BeiMpyaMafuta
#JamiiForums
👎24👍7
INDIA: VIVO YATUHUMIWA KUTAKATISHA FEDHA, OFISI ZAKE ZAPEKULIWA
Maafisa wamepekua Ofisi kadhaa za Kampuni ya Kielektroniki ya #Vivo kutoka China kufuatia shutuma za utakatishaji Fedha
Mapema mwaka huu, upekuzi wa aina hiyo pia ulifanywa kwa Xiaomi na #Huawei. Uhusiano wa India na #China umeonekana kuwa mbaya tangu mwaka 2020
Soma - https://jamii.app/VivoIndia
Maafisa wamepekua Ofisi kadhaa za Kampuni ya Kielektroniki ya #Vivo kutoka China kufuatia shutuma za utakatishaji Fedha
Mapema mwaka huu, upekuzi wa aina hiyo pia ulifanywa kwa Xiaomi na #Huawei. Uhusiano wa India na #China umeonekana kuwa mbaya tangu mwaka 2020
Soma - https://jamii.app/VivoIndia
👍2👎1👏1
PWANI: Mtoto wa kike (5) amejeruhiwa na 'Dada wa Kazi za Ndani' kwa kumwagiwa mafuta ya moto sehemu mbalimbali za mwili wake kisha mtuhumiwa huyo kutoroka
> Polisi inamshikilia Baba wa Mtoto aliyejeruhiwa kwa madai ya kumsaidia Mtuhumiwa kutoroka
Soma - https://jamii.app/MtotoAjeruhiwa
> Polisi inamshikilia Baba wa Mtoto aliyejeruhiwa kwa madai ya kumsaidia Mtuhumiwa kutoroka
Soma - https://jamii.app/MtotoAjeruhiwa
😢7👍6🤔6👎1
RAIS SAMIA KUHUDHURIA MKUTANO SENEGAL
Rais Samia Suluhu Hassan ameondoka Nchini leo Julai 6, 2022 kuelekea Dakar, Senegal kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kimataifa (IDA Summit for Africa)
Tangu kuingia Madarakani Machi 2021, Rais Samia pamoja na Viongozi wengine wamekuwa wakihudhuria Mikutano mbalimbali Nje ya Nchi ili kuimarisha Diplomaisha na uhusiano wa Tanzania na Mataifa mengine
Soma - https://jamii.app/RaisSamiaDakar
Rais Samia Suluhu Hassan ameondoka Nchini leo Julai 6, 2022 kuelekea Dakar, Senegal kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kimataifa (IDA Summit for Africa)
Tangu kuingia Madarakani Machi 2021, Rais Samia pamoja na Viongozi wengine wamekuwa wakihudhuria Mikutano mbalimbali Nje ya Nchi ili kuimarisha Diplomaisha na uhusiano wa Tanzania na Mataifa mengine
Soma - https://jamii.app/RaisSamiaDakar
👍11😁8👎5❤1
Waziri Mkuu wa Ethiopia amesema amefikia makubaliano na Kiongozi wa Sudan ili kusuluhisha kwa Amani mzozo wa mpaka ambao umesababisha mapigano hivi karibuni
> Sudan iliishutumu Ethiopia kwa kuua Wanajeshi wake, Ethiopia ilikanusha madai hayo
Soma - https://jamii.app/MakubalianoYaAmani
> Sudan iliishutumu Ethiopia kwa kuua Wanajeshi wake, Ethiopia ilikanusha madai hayo
Soma - https://jamii.app/MakubalianoYaAmani
👍5😁5
NIGERIA: Watu wenye silaha za moto wameshambulia msafara wa Timu ya Walinzi na Maafisa wa Itifaki wa Vyombo vya Habari wa Rais Muhammadu Buhari katika Mjini wa Katsina na kujeruhi Watu wawili kabla ya Watu hao kudhibitiwa na Jeshi
Soma - https://jamii.app/BuharisConvoyAttacked
#JamiiForums
Soma - https://jamii.app/BuharisConvoyAttacked
#JamiiForums
🔥9😱5👍4
Utumiaji holela wa Dawa za Kuzuia Mimba (P2) na za Kuongeza Nguvu za Kiume (Viagra) umedaiwa kuongezeka na kufanya jamii kuwa katika hatari ya kupata madhara kiafya
> TMDA imesema inafanyia utafiti dawa hizo na kutoa Elimu kuhusu matumizi yake
Soma - https://jamii.app/DawaKuchunguzwa
#Afya
> TMDA imesema inafanyia utafiti dawa hizo na kutoa Elimu kuhusu matumizi yake
Soma - https://jamii.app/DawaKuchunguzwa
#Afya
👍15
HUKUMU YA KINA MDEE YAAHIRISHWA
Mahakama Kuu imeahirisha kutoa hukumu ya maombi ya Halima Mdee na wenzake 18 kuhusu kufukuzwa uanachama CHADEMA
> Uamuzi utatolewa Julai 8, 2022, Msajili amesema uamuzi haujakamilika
Soma - https://jamii.app/MdeeHukumu
Mahakama Kuu imeahirisha kutoa hukumu ya maombi ya Halima Mdee na wenzake 18 kuhusu kufukuzwa uanachama CHADEMA
> Uamuzi utatolewa Julai 8, 2022, Msajili amesema uamuzi haujakamilika
Soma - https://jamii.app/MdeeHukumu
👍7👎6🤯6
NJOMBE: Mahakama Kuu Kanda ya Iringa imewahukumu Elias Jackson Mwenda (31), Hussein Khamis (31) na Orestus Mbawala (51) kunyongwa hadi kufa kwa mauaji ya James Kaengesa
> Walitenda kosa hilo Juni 2016 ambapo pia walimpora James pikipiki yake
Soma - https://jamii.app/HukumuNjombe
#JamiiForums
> Walitenda kosa hilo Juni 2016 ambapo pia walimpora James pikipiki yake
Soma - https://jamii.app/HukumuNjombe
#JamiiForums
👍12
SINGIDA: Makamu Mkuu wa Shule ya Sekondari Singida, Thomas Ngiracha amesimamishwa kazi kwa tuhuma za kujihusisha kimapenzi na Mwanafunzi wa Kidato cha Nne wa Shule hiyo
> Mwanafunzi aliwasilisha barua ya malalamiko akielezea usumbufu anaoupata
Soma - https://jamii.app/TuhumaKwaMwalimu
> Mwanafunzi aliwasilisha barua ya malalamiko akielezea usumbufu anaoupata
Soma - https://jamii.app/TuhumaKwaMwalimu
👍16👏2👎1
ETHIOPIA: Afisa wa Wilaya ya Konso amethibitisha vifo vya Watoto 13 kutokana na njaa akisema idadi ya Watoto wenye utapiamlo inaongezeka na zaidi ya Watoto 240 wamelazwa
> Ukame katika eneo hilo umesababisha takriban Wakazi Milioni 18 kukosa chakula
Soma - https://jamii.app/NjaaEthiopia
> Ukame katika eneo hilo umesababisha takriban Wakazi Milioni 18 kukosa chakula
Soma - https://jamii.app/NjaaEthiopia
😢9👍5👎2❤1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Fanya vitu kwa ajili yako, sio kufurahisha wengine. Simama imara siku zote ili kesho yako iwe bora kuliko jana!
#JamiiForums
#JamiiForums
👍9🔥9👏4❤3🤯1
ZAMBIA: Nahodha wa Timu ya Taifa ya Wanawake ameondolewa kwenye Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika baada ya kufeli 'Vipimo vya Ustahiki wa Jinsia'
> Hii ni kutokana na kiwango chake cha Homoni za Testosteroni kuwa juu kupita kiasi
Soma - https://jamii.app/ZambiaWAFCON
#JFSports
> Hii ni kutokana na kiwango chake cha Homoni za Testosteroni kuwa juu kupita kiasi
Soma - https://jamii.app/ZambiaWAFCON
#JFSports
😢15👍7🤔5