MAREKANI: Bunge la Seneti limepitisha Muswada wa udhibiti wa bunduki Nchini humo
> Muswada huo unajumuisha ukaguzi mkali kwa Wanunuzi wa umri wa chini ya miaka 21 na kunyangβanya silaha kutoka kwa Watu wanaochukuliwa kuwa tishio
Soma: https://jamii.app/GunControllBill
#JamiiForums
> Muswada huo unajumuisha ukaguzi mkali kwa Wanunuzi wa umri wa chini ya miaka 21 na kunyangβanya silaha kutoka kwa Watu wanaochukuliwa kuwa tishio
Soma: https://jamii.app/GunControllBill
#JamiiForums
π17π1
MWIGULU: HATUWEZI KUACHA KUKOPA KUOGOPA DENI KUWA KUBWA
Waziri wa Fedha amesema mikopo ya Serikali ni kwa ajili ya Maendeleo ya Miradi mikubwa ya Nchi na siyo ya kulipia Mishahara au Matumizi ya kawaida
> Amesema Deni la Serikali kwa uwiano wake na Pato la Taifa ni 31% wakati ukomo ni 55%
https://jamii.app/HojaZaMwigulu
#JamiiForums
Waziri wa Fedha amesema mikopo ya Serikali ni kwa ajili ya Maendeleo ya Miradi mikubwa ya Nchi na siyo ya kulipia Mishahara au Matumizi ya kawaida
> Amesema Deni la Serikali kwa uwiano wake na Pato la Taifa ni 31% wakati ukomo ni 55%
https://jamii.app/HojaZaMwigulu
#JamiiForums
π22π12π1
SRI LANKA: WAZIRI MKUU ATANGAZA ANGUKO LA UCHUMI
Bei ya Mafuta, Umeme na Uhaba wa Chakula vimetajwa kuwa chanzo cha anguko hilo huku Watu 11 wakifariki ktk foleni za kusubiri mafuta
> Watumishi wa Umma wametakiwa kufanya kazi siku 4 ili waweze kulima
Soma https://jamii.app/AngukoUchumi
Bei ya Mafuta, Umeme na Uhaba wa Chakula vimetajwa kuwa chanzo cha anguko hilo huku Watu 11 wakifariki ktk foleni za kusubiri mafuta
> Watumishi wa Umma wametakiwa kufanya kazi siku 4 ili waweze kulima
Soma https://jamii.app/AngukoUchumi
π€14π5π1
DAR: MAJAMBAZI WATATU WAUAWA
Majambazi watatu wameuawa baada ya kupambana na Askari wa Jeshi la Polisi, leo Juni 24, 2022
> Tukio limetokea katika harakati za kutaka kupora kwenye duka eneo la Goba
Soma https://jamii.app/MajambaziGoba
#JamiiForums #JFMatukio
Majambazi watatu wameuawa baada ya kupambana na Askari wa Jeshi la Polisi, leo Juni 24, 2022
> Tukio limetokea katika harakati za kutaka kupora kwenye duka eneo la Goba
Soma https://jamii.app/MajambaziGoba
#JamiiForums #JFMatukio
π14π6
FIFA YAIFUNGIA GEITA GOLD KUSAJILI
FIFA imetoa adhabu hiyo hadi Geita Gold FC itakapomlipa fedha zake aliyekuwa kocha wao, Mkuu Ettiene Ndayiragije
Kocha huyo raia wa Burundi alishitaki baada ya kuvunjiwa mkataba
Soma > https://jamii.app/GeitaYafungiwa
#JamiiForums #JFSports
FIFA imetoa adhabu hiyo hadi Geita Gold FC itakapomlipa fedha zake aliyekuwa kocha wao, Mkuu Ettiene Ndayiragije
Kocha huyo raia wa Burundi alishitaki baada ya kuvunjiwa mkataba
Soma > https://jamii.app/GeitaYafungiwa
#JamiiForums #JFSports
π11π€6
MDAU: Sipendezwi na tabia ya Watu kuwa na makorokoro (vyombo, nguo, fenicha au mabegi) mengi ambayo hawayatumii kwani huondoa unadhifu na umaridadi wa nyumba, kuwa na vitu vichache unavyoweza kuvitunza
> Je, una mchango gani kwenye hoja hii?
Soma: https://jamii.app/UnadhifuWaNyumba
> Je, una mchango gani kwenye hoja hii?
Soma: https://jamii.app/UnadhifuWaNyumba
π24π1
USAJILI MBOVU KUMUONDOA RONALDO MAN. UNITED
Cristiano Ronaldo anaweza kuondoka Manchester United kama hakutakuwa na usajili mzuri utakaofanyika
Inadaiwa anawaniwa na Bayern Munich ya Ujerumani, lakini Klabu hiyo imekanusha taarifa hizo
Soma > https://jamii.app/RonaldoExit
#JFSports
Cristiano Ronaldo anaweza kuondoka Manchester United kama hakutakuwa na usajili mzuri utakaofanyika
Inadaiwa anawaniwa na Bayern Munich ya Ujerumani, lakini Klabu hiyo imekanusha taarifa hizo
Soma > https://jamii.app/RonaldoExit
#JFSports
π18π7
UKRAINE: VIKOSI VYAAMRIWA KUONDOKA SEVERODONETSK
Baada ya mapigano makali ya wiki kadhaa, Vikosi vya #Ukraine vimetakiwa kuondoka katika Mji huo ili kujipanga upya na kuepuka majeruhi zaidi
Mamia ya Raia bado wanahofiwa kusalia katika Mji huo
Soma - https://jamii.app/UkraineMji
Baada ya mapigano makali ya wiki kadhaa, Vikosi vya #Ukraine vimetakiwa kuondoka katika Mji huo ili kujipanga upya na kuepuka majeruhi zaidi
Mamia ya Raia bado wanahofiwa kusalia katika Mji huo
Soma - https://jamii.app/UkraineMji
π23π5
MOROCCO: Wahamiaji takriban 18 wanadaiwa kufariki na wengine kujeruhiwa wakati umati mkubwa ulipojaribu kuvuka mpaka kuingia eneo la Melilla, Uhispania Kaskazini
> Baadhi ya waliofariki wanadaiwa kuanguka kutoka juu ya uzio wa mpaka
Soma - https://jamii.app/MoroccoImmigrants
> Baadhi ya waliofariki wanadaiwa kuanguka kutoka juu ya uzio wa mpaka
Soma - https://jamii.app/MoroccoImmigrants
π’9π6π3π1
RAIS WA ZAMANI WA ANGOLA MAHUTUTI
Inaripotiwa Jose Eduardo Dos Santos aliyeongoza kuanzia 1979 - 2017 amelazwa Jijini Barcelona. Hata hivyo Ugonjwa wake haujawekwa wazi
Serikali ya Angola haijasema chochote kuhusu taarifa hizo
Soma > https://jamii.app/AngolaDosSantos
#JamiiForums
Inaripotiwa Jose Eduardo Dos Santos aliyeongoza kuanzia 1979 - 2017 amelazwa Jijini Barcelona. Hata hivyo Ugonjwa wake haujawekwa wazi
Serikali ya Angola haijasema chochote kuhusu taarifa hizo
Soma > https://jamii.app/AngolaDosSantos
#JamiiForums
π9π’3
MDAU: Vijana wengi wakifika mjini wanaendekeza starehe na kusahau kilichowapeleka huko. Kutokuwa na malengo husababisha matumizi mabaya ya pesa
Ni muhimu kujiwekea malengo na kuyazingatia bila kuyumbishwa na starehe au vitu vya kupita
Mjadala zaidi - https://jamii.app/VijanaKutokujitambua
Ni muhimu kujiwekea malengo na kuyazingatia bila kuyumbishwa na starehe au vitu vya kupita
Mjadala zaidi - https://jamii.app/VijanaKutokujitambua
π17π4π₯3
TUMIA '2FA' KULINDA AKAUNTI YAKO MTANDAONI
'Two-Factor Authentication' au 'Two Step Authentication' (2FA) husaidia kulinda Taarifa zako Mtandaoni kwa kuongeza ulinzi unapoingia (Log in) kwenye Mitandao mbalimbali ya kijamii
Soma - https://jamii.app/UdukuajiMtandaoni
#DigitalSecurity
'Two-Factor Authentication' au 'Two Step Authentication' (2FA) husaidia kulinda Taarifa zako Mtandaoni kwa kuongeza ulinzi unapoingia (Log in) kwenye Mitandao mbalimbali ya kijamii
Soma - https://jamii.app/UdukuajiMtandaoni
#DigitalSecurity
π23
TETESI: BOSI MPYA CHELSEA AMTAKA RONALDO
Todd Boehly amekutana na Jorge Mendes ambaye ni Wakala kuzungumzia usajili wa mteja wake, Cristiano Ronaldo
> Ronaldo amebakiza mwaka mmoja katika mkataba wake wa sasa ndani ya Man. United
Soma https://jamii.app/CR7Chelsea
#JamiiForums #JFSports
Todd Boehly amekutana na Jorge Mendes ambaye ni Wakala kuzungumzia usajili wa mteja wake, Cristiano Ronaldo
> Ronaldo amebakiza mwaka mmoja katika mkataba wake wa sasa ndani ya Man. United
Soma https://jamii.app/CR7Chelsea
#JamiiForums #JFSports
π14π©4π2π2
PUTIN KUIPA BELARUS MFUMO WA NYUKLIA
Rais wa Urusi, Vladimir Putin ameahidi kutoa Mifumo ya Iskander-M inayoweza kufyatua makombora ya nyuklia
> Ni baada ya Rais wa Belarus kuwa na hofu kuhusu uchokozi wa majirani zake, Lithuania na Poland
Soma - https://jamii.app/RussiaBelarus
Rais wa Urusi, Vladimir Putin ameahidi kutoa Mifumo ya Iskander-M inayoweza kufyatua makombora ya nyuklia
> Ni baada ya Rais wa Belarus kuwa na hofu kuhusu uchokozi wa majirani zake, Lithuania na Poland
Soma - https://jamii.app/RussiaBelarus
π23π9π€4π1
SIKU YA KUPINGA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA DUNIANI
Kila mwaka Juni 26, Dunia inaadhimisha siku hii lengo kuifanya Dunia kuwa huru ktk matumizi ya #DawaZaKulevya
> Siku hii inaadhimishwa na Umoja wa Mataifa tangu mwaka 1987
Soma - https://jamii.app/WorldDrugDay
#JamiiForums #WorldDrugDay
Kila mwaka Juni 26, Dunia inaadhimisha siku hii lengo kuifanya Dunia kuwa huru ktk matumizi ya #DawaZaKulevya
> Siku hii inaadhimishwa na Umoja wa Mataifa tangu mwaka 1987
Soma - https://jamii.app/WorldDrugDay
#JamiiForums #WorldDrugDay
π12
AFYA: 'INTERNS' WATAKIWA KUSIMAMIWA VIZURI
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Prof. Abel Makubi ametoa wito kwa Watendaji katika Vyuo vya Afya na Hospitali kuwasimamia vizuri 'Interns' ili kuepusha kutibiwa na watu wasio wa uwezo
Unafikiri hatua hii itasaidia kuboresha Huduma za Afya?
Soma - https://jamii.app/InternsAfya
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Prof. Abel Makubi ametoa wito kwa Watendaji katika Vyuo vya Afya na Hospitali kuwasimamia vizuri 'Interns' ili kuepusha kutibiwa na watu wasio wa uwezo
Unafikiri hatua hii itasaidia kuboresha Huduma za Afya?
Soma - https://jamii.app/InternsAfya
π13
Umoja wa Mataifa (UN): Watu milioni 275 wametajwa kutumia #DawaZaKulevya katika ripoti ya 2021 huku Mtandao wa Siri ukifanya miamala ya Tsh. 734,895,000,000
> Ripoti mpya ya UN inatarajiwa kutolewa Juni 28, 2022
Soma - https://jamii.app/WorldDrugDay
#JamiiForums #WorldDrugDay
> Ripoti mpya ya UN inatarajiwa kutolewa Juni 28, 2022
Soma - https://jamii.app/WorldDrugDay
#JamiiForums #WorldDrugDay
π5π’1
AFRIKA KUSINI: Polisi wanachunguza chanzo cha vifo takriban 22 katika Klabu ya Usiku katika Kitongoji cha Jijini East London, vilivyotokea usiku wa Juni 25, 2022
> Mamlaka zimesema hakuna majeraha ya wazi yanayoonekana kwa Marehemu
Soma - https://jamii.app/VifoAfrikaKusini
> Mamlaka zimesema hakuna majeraha ya wazi yanayoonekana kwa Marehemu
Soma - https://jamii.app/VifoAfrikaKusini
π5π’2
MAN. UTD INA IMANI YA KUMPATA DE JONG WA BARΓA
Man. Utd inaripotiwa kukaribia kufikia makubaliano na Barcelona kumsajili kiungo Frenkie de Jong
Inadaiwa uhamisho utakuwa na thamani ya Β£69m (Tsh. 195,960,000,000) na United wana imani ya kufanikiwa kabla ya Julai 2022
#JFSports
Man. Utd inaripotiwa kukaribia kufikia makubaliano na Barcelona kumsajili kiungo Frenkie de Jong
Inadaiwa uhamisho utakuwa na thamani ya Β£69m (Tsh. 195,960,000,000) na United wana imani ya kufanikiwa kabla ya Julai 2022
#JFSports
π9π1
LIGI KUU: PRISONS 1-0 SIMBA
Tanzania Prisons imeshinda kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya, Juni 26, 2022. Goli limefungwa na Benjamin Asukile
Prisons imefikisha pointi 29, imetoka nafasi ya 15 hadi ya 14, Simba imebaki nafasi ya pili
Soma > https://jamii.app/Prisons1Simba0
#JamiiForums
Tanzania Prisons imeshinda kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya, Juni 26, 2022. Goli limefungwa na Benjamin Asukile
Prisons imefikisha pointi 29, imetoka nafasi ya 15 hadi ya 14, Simba imebaki nafasi ya pili
Soma > https://jamii.app/Prisons1Simba0
#JamiiForums
π18π©9π8π’3β€1