MDAU: HARUSI ZIENDANE NA HALI HALISI YA MAISHA
Anasema Harusi nyingi huwa na hekaheka na kile alichodai ni 'usumbufu' mwingi kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki
Anashauri Familia zenye hali ya kati na chini kiuchumi kufanya Harusi zilizo ndani ya uwezo wao, akisisitiza ni wakati wa kubadilika na kuacha mazoea ya kizamani
Mjadala - https://jamii.app/MdauMichango
Anasema Harusi nyingi huwa na hekaheka na kile alichodai ni 'usumbufu' mwingi kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki
Anashauri Familia zenye hali ya kati na chini kiuchumi kufanya Harusi zilizo ndani ya uwezo wao, akisisitiza ni wakati wa kubadilika na kuacha mazoea ya kizamani
Mjadala - https://jamii.app/MdauMichango
👍22❤4💩1
Mbunge wa Viti Maalum, Hawa Mwaifunga ameishauri Serikali kuongeza nguvu ya kutoa Elimu kwa jamii ili kupunguza tatizo la mimba za utotoni badala ya kuongeza nguvu katika ujenzi wa mabweni
> Amesema mimba za utotoni kwa Tabora ni 43%
Soma - https://jamii.app/ElimuYaMimba
> Amesema mimba za utotoni kwa Tabora ni 43%
Soma - https://jamii.app/ElimuYaMimba
👍5
ETHIOPIA: Zaidi ya Watu 100 wengi wao wakiwa ni kutoka jamii ya Amhara wameuawa katika shambulio linalodaiwa kufanywa na Wanamgambo wa OLA ktk eneo la Oromia
> Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed amelaani na kuita tukio hilo ni la kikatili
Soma - https://jamii.app/MauajiEthiopia
> Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed amelaani na kuita tukio hilo ni la kikatili
Soma - https://jamii.app/MauajiEthiopia
👎4❤2👍2😢2
MASHABIKI WA CHELSEA WAKASIRIKA LUKAKU KUJIPELEKA INTER
Baadhi ya mashabiki wamelaani kitendo cha Romelu Lukaku kupiga simu kwa Kocha wa Inter Milan kuomba amsajili
> Alifanya hivyo miezi miwili iliyopita Chelsea ikiwa bado mashindanoni
Soma - https://jamii.app/LukakuChelsea
#JamiiForums
Baadhi ya mashabiki wamelaani kitendo cha Romelu Lukaku kupiga simu kwa Kocha wa Inter Milan kuomba amsajili
> Alifanya hivyo miezi miwili iliyopita Chelsea ikiwa bado mashindanoni
Soma - https://jamii.app/LukakuChelsea
#JamiiForums
😁16👍5
ZELENSKY: VITA YA URUSI IMEFANYA AFRIKA KUWA "MATEKA"
Akihutubia Umoja wa Afrika (AU), amesema inawezekana Vita inaendelea mbali na Mataifa ya Afrika, lakini ongezeko katika bei za Vyakula tayari limeileta Vita hiyo kwa Mamilioni ya Familia
Soma - https://jamii.app/ZelenskyAU
Akihutubia Umoja wa Afrika (AU), amesema inawezekana Vita inaendelea mbali na Mataifa ya Afrika, lakini ongezeko katika bei za Vyakula tayari limeileta Vita hiyo kwa Mamilioni ya Familia
Soma - https://jamii.app/ZelenskyAU
👍21👎14😁9❤2
UNYANYASAJI WA KIJINSIA: KANUNI ZA MAADILI KWENYE USAFIRI WA UMMA ZAZINDULIWA KENYA
Hatua hiyo inakuja kufuatia malalamiko ya unyanyasaji wa kijinsia unaofanyika kwa maneno au kimwili, ikielezwa Kanuni zinalenga kuhakikisha usalama
Unyanyasaji huo unatajwa kujidhihirisha mtu anapoguswa kwa namna isiyokubalika, kuangaliwa kwa matamanio na maoni/ucheshi uliochochewa kingono
Soma - https://jamii.app/KanuniMaadili
Hatua hiyo inakuja kufuatia malalamiko ya unyanyasaji wa kijinsia unaofanyika kwa maneno au kimwili, ikielezwa Kanuni zinalenga kuhakikisha usalama
Unyanyasaji huo unatajwa kujidhihirisha mtu anapoguswa kwa namna isiyokubalika, kuangaliwa kwa matamanio na maoni/ucheshi uliochochewa kingono
Soma - https://jamii.app/KanuniMaadili
👍3👎2
Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka wa Fedha 2022/23 imeonesha kuwa mnamo mwezi Juni 2022, Serikali ilisaini mikataba ya kusambaza maji kwa Miji 28 kwa fedha za mkopo toka Exim Bank - India wenye thamani ya Tsh. 1,165,000,000,000
Soma - https://jamii.app/BajetiKuuTz
#BajetiKuu
Soma - https://jamii.app/BajetiKuuTz
#BajetiKuu
🤔4👍1
TETESI: LIVERPOOL YAMUWANIA BARELLA
Inadaiwa Liverpool inataka kumsajili Kiungo wa Inter Milan, Nicolo Barella na ipo tayari kubadilishana na mchezaji wake, Naby Keita
Hata hivyo Inter inadaiwa kutaka Paundi Milioni 77 (Tsh. 218,680,000,000) ili kumuachia Barella
#JFSports
Inadaiwa Liverpool inataka kumsajili Kiungo wa Inter Milan, Nicolo Barella na ipo tayari kubadilishana na mchezaji wake, Naby Keita
Hata hivyo Inter inadaiwa kutaka Paundi Milioni 77 (Tsh. 218,680,000,000) ili kumuachia Barella
#JFSports
👍5
MAIMU NA WENZAKE WAFUTIWA MASHTAKA
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa NIDA, Dickson Ernest Maimu na wenzake wote wamefutiwa mashtaka yao yote baada ya DPP kukosa nia ya kuendelea na kesi yao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu
Oktoba mwaka 2021, Maimu alifutiwa kesi moja ya Utakatishaji Fedha na kusalia na Mashtaka ya Uhujumu Uchumi, kuisababishia Serikali hasara na Matumizi mabaya ya Madaraka
Soma - https://jamii.app/MaimuKisutu
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa NIDA, Dickson Ernest Maimu na wenzake wote wamefutiwa mashtaka yao yote baada ya DPP kukosa nia ya kuendelea na kesi yao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu
Oktoba mwaka 2021, Maimu alifutiwa kesi moja ya Utakatishaji Fedha na kusalia na Mashtaka ya Uhujumu Uchumi, kuisababishia Serikali hasara na Matumizi mabaya ya Madaraka
Soma - https://jamii.app/MaimuKisutu
👍13👎4
SIMBA SC YAACHANA NA WAWA
- Pascal Wawa aliyeitumikia Simba kwa misimu minne, ataondoka klabuni hapo mkataba wake utakapomalizika mwishoni mwa Juni 2022
- Wawa ni mchezaji wa 3 kuagwa na #SimbaSC baada ya Bernard Morrison na Rally Bwalya
Soma > https://jamii.app/WawaSimba
#JFSports
- Pascal Wawa aliyeitumikia Simba kwa misimu minne, ataondoka klabuni hapo mkataba wake utakapomalizika mwishoni mwa Juni 2022
- Wawa ni mchezaji wa 3 kuagwa na #SimbaSC baada ya Bernard Morrison na Rally Bwalya
Soma > https://jamii.app/WawaSimba
#JFSports
👍14
MALI: Serikali imesema raia 132 wameuawa baada ya Vikundi vya Waasi ambao ni Wanachama wa kundi lenye silaha la Katiba Macina kuvamia Vijiji ktk Mji wa Mopti na kushambulia
> Kundi hilo linatajwa kuwa na uhusiano na Kundi la Al-Qaeda
Soma - https://jamii.app/Watu100Wauawa
#JamiiForums
> Kundi hilo linatajwa kuwa na uhusiano na Kundi la Al-Qaeda
Soma - https://jamii.app/Watu100Wauawa
#JamiiForums
👍6😢3👎2
Bajeti ya Serikali ya 2022/23 imependekeza taarifa zilizopo kwenye Kitambulisho cha NIDA zitumike kutengeneza Leseni za Udereva
> Dereva akifuzu mafunzo atoe Namba ya NIDA halafu TRA na Polisi waoanishe taarifa na wamtumie mhusika Leseni kwa simu
Soma - https://jamii.app/BajetiKuuTz
> Dereva akifuzu mafunzo atoe Namba ya NIDA halafu TRA na Polisi waoanishe taarifa na wamtumie mhusika Leseni kwa simu
Soma - https://jamii.app/BajetiKuuTz
👍22😁5
#BURKINAFASO: Jeshi limewataka raia kuondoka katika maeneo yanayotajwa kuwa na maslahi ya kijeshi kabla ya oparesheni zinazolenga kudhibiti ghasia kuanza
Mashambulizi yameendelea licha ya ahadi ya kuimarisha Usalama baada ya Mapinduzi ya Kijeshi
Soma - https://jamii.app/JeshiRaisBF
Mashambulizi yameendelea licha ya ahadi ya kuimarisha Usalama baada ya Mapinduzi ya Kijeshi
Soma - https://jamii.app/JeshiRaisBF
👍13🔥1
#DIGITALSECURITY: Tumia USB zisizoruhusu taarifa kuhama kutoka kwenye simu yako kwenda kwenye chombo kingine
> Ukitumia USB inayoweza kuhamisha mafaili chagua "Option" ya "Charge Only" na uifunge simu yako ili kuzuia uhamishaji wa data zako
Soma - https://jamii.app/PersonalDataProtection
> Ukitumia USB inayoweza kuhamisha mafaili chagua "Option" ya "Charge Only" na uifunge simu yako ili kuzuia uhamishaji wa data zako
Soma - https://jamii.app/PersonalDataProtection
👍17
ARUSHA: Aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Dkt. John Pima (44) pamoja na wenzake 4 wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha wakikabiliwa na mashtaka mengine ya Uhujumu Uchumi ikiwemo ya Utakatishaji Fedha
Soma - https://jamii.app/KesiDktJohnPima
#JamiiForums
Soma - https://jamii.app/KesiDktJohnPima
#JamiiForums
👍6🤔1
VIPINDI VYA BARIDI KUENDELEA KWA BAADHI YA MIKOA
Viwango vya chini vya Joto katika Mikoa ya Njombe na Mbeya vinatabiriwa kuwa 5°C, Iringa 11°C, Tabora 12°C, Arusha 14°C, Mwanza na Dodoma 16°C
Aidha, upepo mkali unatarajiwa katika baadhi ya maeneo
Soma - https://jamii.app/MikoaBaridi
Viwango vya chini vya Joto katika Mikoa ya Njombe na Mbeya vinatabiriwa kuwa 5°C, Iringa 11°C, Tabora 12°C, Arusha 14°C, Mwanza na Dodoma 16°C
Aidha, upepo mkali unatarajiwa katika baadhi ya maeneo
Soma - https://jamii.app/MikoaBaridi
👍17
WANASHERIA 5,065 WALIOKOPESHWA KUANZA KULIPA
Walikopeshwa zaidi ya Tsh. Bilioni 10.6 wakiwa Wanafunzi wa Law School of Tanzania (2008-2015)
> Watarejesha kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kuanzia Julai Mosi, 2022
Soma - https://jamii.app/MikopoSheria
Walikopeshwa zaidi ya Tsh. Bilioni 10.6 wakiwa Wanafunzi wa Law School of Tanzania (2008-2015)
> Watarejesha kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kuanzia Julai Mosi, 2022
Soma - https://jamii.app/MikopoSheria
👍11😢1
KENYA: Mgombea Urais, Raila Odinga ameendelea kuongoza kwa 50% katika umaarufu huku nafasi ya pili ikishikwa na Naibu Rais, William Ruto aliyepata 25%
> Profesa George Wajackoyah amepata 7%, zilizobaki zimeenda kwa wagombea wengine
Soma - https://jamii.app/UraisKenya
#JamiiForums
> Profesa George Wajackoyah amepata 7%, zilizobaki zimeenda kwa wagombea wengine
Soma - https://jamii.app/UraisKenya
#JamiiForums
🥰8👍2😁1
RWANDA: Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Madola unafanyika Jijini Kigali baada ya kuahirishwa mara mbili kutokana na COVID-19
> Viongozi na Wawakilishi toka Mataifa 54 wanashiriki mkutano huo kuanzia Juni 20 hadi Juni 25, 2022
Soma - https://jamii.app/MkutanoRwanda
> Viongozi na Wawakilishi toka Mataifa 54 wanashiriki mkutano huo kuanzia Juni 20 hadi Juni 25, 2022
Soma - https://jamii.app/MkutanoRwanda
👍8
Mwandishi wa Habari wa Urusi, Dmitry Muratov ameuza medali yake ya Amani ya Nobel kwa Dola Milioni 103.5 (Tsh. Bilioni 239.2) ili kusaidia Watoto wa Ukraine walioathiriwa na vita
> Amesema fedha hizo zitapitia katika Akaunti ya UNICEF
Soma - https://jamii.app/AuzaTuzo
#JamiiForums
> Amesema fedha hizo zitapitia katika Akaunti ya UNICEF
Soma - https://jamii.app/AuzaTuzo
#JamiiForums
👍22