NAIROBI: Kupanda kwa bei ya mafuta ya kupikia na viazi mviringo kumefanya Wafanyabiashara waache kuuza chipsi kutokana na kupata hasara
> Nchi nyingi za Afrika zinakumbana ongezeko la bei linalotokana na Vita ya #Ukraine na #Urusi
Soma https://jamii.app/NairobiChipsi
> Nchi nyingi za Afrika zinakumbana ongezeko la bei linalotokana na Vita ya #Ukraine na #Urusi
Soma https://jamii.app/NairobiChipsi
MAREKANI: Serikali imewatahadharisha raia wake walioko #Urusi kufuata Sheria za nchi hiyo au kuondoka mapema iwezekanavyo kutokana na vitisho vya kunyanyaswa au kutengwa na Jeshi la Urusi
Soma https://jamii.app/WamarekaniOnyo
#JamiiForums #RussiaUkraineConflict
Soma https://jamii.app/WamarekaniOnyo
#JamiiForums #RussiaUkraineConflict
LIBYA: VISA VYA UKIUKWAJI HAKI VYASHAMIRI TANGU OKTOBA 2021
Matukio yaliyoshamiri ni vitisho dhidi ya Wanaharakati, mashambulizi dhidi ya Mawakili na Majaji na ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binadamu dhidi ya Wahamiaji, Wanawake na Wafungwa
Soma https://jamii.app/LibyaCrisis
#Democracy
Matukio yaliyoshamiri ni vitisho dhidi ya Wanaharakati, mashambulizi dhidi ya Mawakili na Majaji na ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binadamu dhidi ya Wahamiaji, Wanawake na Wafungwa
Soma https://jamii.app/LibyaCrisis
#Democracy
SERIKALI: Kuna ongezeko la watu wenye dalili za homa, kukohoa, mafua, kubanwa kifua na maumivu ya mwili kuanzia Desemba 2021 hadi Machi 25, 2022 na ongezeko hili limetokea kwa kipindi kama hiki kwa kwa miaka 3 mfululizo
Aidha, kuna uwepo wa Mafua Makali (Influenza), utafiti umefanyika katika Hospitali 18 za Mikoa 14 na 3% ya sampuli zilionekana kuwa na Virusi vya Influenza A vinavyosababisha Mafua Makali na Nimonia (Pneumonia)
Soma - https://jamii.app/HomaMafua
#JamiiForums #Afya
Aidha, kuna uwepo wa Mafua Makali (Influenza), utafiti umefanyika katika Hospitali 18 za Mikoa 14 na 3% ya sampuli zilionekana kuwa na Virusi vya Influenza A vinavyosababisha Mafua Makali na Nimonia (Pneumonia)
Soma - https://jamii.app/HomaMafua
#JamiiForums #Afya
CAG: Hadi kufikia Juni 30, 2021, Deni la Serikali lilikuwa Tsh. 64.52 trilioni ikilinganishwa na Tsh. 56.76 trilioni mwaka uliopita hivyo kuna ongezeko la Tsh. 7.76 trilioni, sawa na 13.7%
> Deni la Serikali bado ni himilivu
#JamiiForums #RipotiYaCAG #CAG
> Deni la Serikali bado ni himilivu
#JamiiForums #RipotiYaCAG #CAG
Dkt. Charles Kichere (CAG): Kwa Vyama vya Siasa ADC, CHAUMA, TLP, UMD walipata Hati Mbaya huku CUF, UDP, SAU wakipata Hati Zenye Shaka
> Demokrasia Makini na AFP tulishindwa kutoa maoni
Soma - https://jamii.app/CAGReport
#JamiiForums #RipotiYaCAG #CAG
> Demokrasia Makini na AFP tulishindwa kutoa maoni
Soma - https://jamii.app/CAGReport
#JamiiForums #RipotiYaCAG #CAG
RAIS SAMIA: Kama kuna Waziri ambaye anaendesha Wizara ambayo Mashirika yake hayana bodi, sitomwelewa
> Rais ameongea hayo wakati anapokea Ripoti ya CAG na Ripoti ya TAKUKURU kwa mwaka 2020/2021, leo Machi 30, 2022 Ikulu Chamwino, Dodoma
#JamiiForums #RipotiYaCAG #CAG
> Rais ameongea hayo wakati anapokea Ripoti ya CAG na Ripoti ya TAKUKURU kwa mwaka 2020/2021, leo Machi 30, 2022 Ikulu Chamwino, Dodoma
#JamiiForums #RipotiYaCAG #CAG
Rais Samia: Serikali za Mtaa bado kuna upotevu mkubwa wa Mapato, endelea kusimamia. Kuna watu wamefariki, walifukuzwa au kuacha kazi lakini inaonyesha wanalipwa
> Inno (Innocent Bashungwa) usione shida kufukuza walioiba, usiwalee. Ukiwaonea huruma utalia wewe
#RipotiYaCAG #CAG
> Inno (Innocent Bashungwa) usione shida kufukuza walioiba, usiwalee. Ukiwaonea huruma utalia wewe
#RipotiYaCAG #CAG
CAG alibaini tangu lilipoanza zoezi la utolewaji wa Vitambulisho vya Taifa 2012/13, ni Wananchi 5,621,350 tu ndio waliopata vitambulisho sawa na asilimia 26 ya Wananchi 21,692,122 walioandikishwa NIDA hadi kufikia Juni, 2020.
#JamiiForums #Accountability #JFUwajibikaji #WAJIBU
#JamiiForums #Accountability #JFUwajibikaji #WAJIBU
Rais Samia: Tozo ya Tsh. 100 iliyokuwa imeondolewa kwenye mafuta irejeshwe kwa sababu hesabu zake tayari zilikuwa zimepigiwa kwenye bajeti
> Kwa mwenendo wa upandaji wa Bei ya Mafuta Duniani, kuondoa tozo hiyo ni kuikosesha Serikali mapato
Soma - https://jamii.app/Tozo
#JamiiForums
> Kwa mwenendo wa upandaji wa Bei ya Mafuta Duniani, kuondoa tozo hiyo ni kuikosesha Serikali mapato
Soma - https://jamii.app/Tozo
#JamiiForums
Rais Samia: Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani bado hakiko vizuri, ndio sababu ya CAG kukutana na matatizo mengi
> Baadhi ya Wakaguzi wa Ndani hushirikiana na Watu wa Manunuzi ili kujua mbinu za kuchepusha fedha za Serikali
Soma https://jamii.app/InternalAudits
#JamiiForums #RipotiYaCAG #CAG
> Baadhi ya Wakaguzi wa Ndani hushirikiana na Watu wa Manunuzi ili kujua mbinu za kuchepusha fedha za Serikali
Soma https://jamii.app/InternalAudits
#JamiiForums #RipotiYaCAG #CAG
DR-CONGO: Waasi wa M23 waiangusha Helkopta ya Umoja wa Mataifa Wilayani Rutshuru-Kivu Kaskazini na kusababisha vifo vya Wanajeshi Walinda Amani 8
> M23 wamelilaumu Jeshi la DRC kwa kuwashambulia ndipo wao walipojibu wakaiangusha helkopta hiyo
Soma https://jamii.app/WalindaAmani
> M23 wamelilaumu Jeshi la DRC kwa kuwashambulia ndipo wao walipojibu wakaiangusha helkopta hiyo
Soma https://jamii.app/WalindaAmani
TAKUKURU: Kwa kushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka tumetaifisha mali zenye thamani ya Tsh. bilioni 1.2, tumeweka zuio la fedha kiasi cha Tsh. milioni 495.5 na mali zenye thamani ya Tsh. bilioni 2.6
> Pia, tumefanikiwa kuokoa Tsh. bilioni 29.3
Soma https://jamii.app/Takukuru
> Pia, tumefanikiwa kuokoa Tsh. bilioni 29.3
Soma https://jamii.app/Takukuru
NAIBU WAZIRI (KATIBA NA SHERIA): Watanzania waipe muda Katiba iliyopo iangaliwe maeneo yanayokera ili iimarishwe, haina tatizo lolote isipokuwa wanaoitafsiri hutoa maana tofauti
> Amesema Katiba hii ni kama Kitabu cha Dini, kila mmoja anatafsiri yake
Soma https://jamii.app/Katiba
> Amesema Katiba hii ni kama Kitabu cha Dini, kila mmoja anatafsiri yake
Soma https://jamii.app/Katiba
MDAU: NAMNA YA KUKUZA TABIA YA KUPENDA KUSOMA KWA MTOTO
1. Panga Ratiba ya kusoma na Mtoto wako kila siku. Endapo mtasoma pamoja, Mtoto ataona kusoma kuna umuhimu
2. Mnapotaka kusoma, shirikiana na Mtoto kuchagua vitabu. Msomee Mtoto kwa sauti huku ukimwonesha unapopasoma. Hii itamsaidia kujifunza maneno mapya kirahisi na kuyakumbuka
Soma - https://jamii.app/KusomaMtoto
#Malezi
1. Panga Ratiba ya kusoma na Mtoto wako kila siku. Endapo mtasoma pamoja, Mtoto ataona kusoma kuna umuhimu
2. Mnapotaka kusoma, shirikiana na Mtoto kuchagua vitabu. Msomee Mtoto kwa sauti huku ukimwonesha unapopasoma. Hii itamsaidia kujifunza maneno mapya kirahisi na kuyakumbuka
Soma - https://jamii.app/KusomaMtoto
#Malezi
TANZIA: Balozi Emmanuel Ole-Naiko amefariki dunia, leo Machi 30, 2022 nyumbani kwake Bahari Beach Dar es Salaam
Ole-Naiko amewahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kituo Cha Uwekezaji (TIC), amefariki akiwa Balozi wa Heshima wa #Botswana nchini #Tanzania
Soma https://jamii.app/BaloziOleNaiko
Ole-Naiko amewahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kituo Cha Uwekezaji (TIC), amefariki akiwa Balozi wa Heshima wa #Botswana nchini #Tanzania
Soma https://jamii.app/BaloziOleNaiko
UKRAINE: Gavana wa Chernihiv, Viacheslav Chaus asema Urusi haijalegeza mashambulizi dhidi ya Ukraine licha ya ahadi ya amani iliyotolewa
> Awali, Naibu Waziri wa Ulinzi wa Urusi alisema nchi hiyo itapunguza kwa kiasi kikubwa mashambulizi
Soma: https://jamii.app/UrusiMashambulizi
> Awali, Naibu Waziri wa Ulinzi wa Urusi alisema nchi hiyo itapunguza kwa kiasi kikubwa mashambulizi
Soma: https://jamii.app/UrusiMashambulizi
TUNISIA: Rais Kais Saied amelivunja Bunge la Nchi hiyo kwa madai ya kulinda Nchi na amesema kuwa Wabunge watafunguliwa mashtaka kwa kujaribu kufanya mapinduzi
> Wabunge walifanya kikao kupitisha Muswada kupinga Rais huyo kujiongzea Mamlaka
Soma https://jamii.app/TunisiaRais
> Wabunge walifanya kikao kupitisha Muswada kupinga Rais huyo kujiongzea Mamlaka
Soma https://jamii.app/TunisiaRais
DR-CONGO: Wabunge wamepiga kura za kumuondoa madarakani Waziri wa Uchumi, Jean Marie Kalumba kwa tuhuma za uratibu mbovu wa Sekta ya Uvuvi, Mfumuko wa Bei wa bidhaa muhimu na Uhaba wa Petroli
> Kalumba aliteuliwa kwenye wadhifa huo mwaka 2021
Soma https://jamii.app/WaziriDRC
> Kalumba aliteuliwa kwenye wadhifa huo mwaka 2021
Soma https://jamii.app/WaziriDRC
VAN NISTELROOY AWA KOCHA MPYA PSV
- Ruud Van Nistelrooy (45) ametangazwa kuwa Kocha wa Klabu ya PSV Eindhoven kuanzia msimu wa 2022/23, akisaini mkataba wa miaka 3
- Alistaafu kucheza soka mwaka 2012 baada ya kutumikia Klabu za PSV, Manchester United na Real Madrid
#JFSports
- Ruud Van Nistelrooy (45) ametangazwa kuwa Kocha wa Klabu ya PSV Eindhoven kuanzia msimu wa 2022/23, akisaini mkataba wa miaka 3
- Alistaafu kucheza soka mwaka 2012 baada ya kutumikia Klabu za PSV, Manchester United na Real Madrid
#JFSports