BOTSWANA YAKATAA KUCHEZA MECHI YA KIRAFIKI NA TANZANIA
Chama cha Soka cha Botswana (BFA) kimesema Tanzania iliomba kucheza Michezo 3 huku viwango vya FIFA vikiwa ni michezo 2
> BFA imesema mchezo huo wa 3 usingekuwa na umuhimu kwao
Soma > https://jamii.app/TFFFIFA
#Sports
Chama cha Soka cha Botswana (BFA) kimesema Tanzania iliomba kucheza Michezo 3 huku viwango vya FIFA vikiwa ni michezo 2
> BFA imesema mchezo huo wa 3 usingekuwa na umuhimu kwao
Soma > https://jamii.app/TFFFIFA
#Sports
π1
BELEDWEYNE, SOMALIA: Shambulio la Bomu la kujitoa mhanga la Wanamgambo wa Al-Shabaab limesababisha vifo vya watu 15 akiwemo Mbunge, Amina Mohamed Abdi
> Baadhi ya ripoti zinaonesha idadi ya vifo inaweza kuwa kubwa kuliko inayotajwa sasa
Soma https://jamii.app/BomuMhanga
#JamiiForums
> Baadhi ya ripoti zinaonesha idadi ya vifo inaweza kuwa kubwa kuliko inayotajwa sasa
Soma https://jamii.app/BomuMhanga
#JamiiForums
KENYA: Wizara ya Afya nchini humo imetangaza kuisha kwa muda wa matumizi kwa zaidi ya dozi 800,000 za #COVID19 aina ya #AstraZeneca
> Wizara hiyo imesema kuanzia sasa itakuwa inapokea dozi zenye miezi 4 kabla ya muda wa kuisha matumizi
Soma https://jamii.app/Kenya800k
#JamiiForums
> Wizara hiyo imesema kuanzia sasa itakuwa inapokea dozi zenye miezi 4 kabla ya muda wa kuisha matumizi
Soma https://jamii.app/Kenya800k
#JamiiForums
#GHANA: Rais Nana Akufo-Addo na Mawaziri wake wamepunguza mishahara yao kwa 30% ili kupunguza matumizi ya Serikali
Safari za nje kwa Maafisa wa Serikali na uagizaji wa Magari umesitishwa ili kupambana na athari za vita ya Urusi na #Ukraine
Soma - https://jamii.app/30Mishahara
#JFLeo
Safari za nje kwa Maafisa wa Serikali na uagizaji wa Magari umesitishwa ili kupambana na athari za vita ya Urusi na #Ukraine
Soma - https://jamii.app/30Mishahara
#JFLeo
UNCTAD ilikadiria #Uchumi wa Dunia kukua kwa 3.6% Mwaka 2022 ila kutokana na vita ya Urusi na #Ukraine Uchumi utapungua kwa 2.6%
Ripoti inasema kiwango cha uharibifu wa Kijeshi kutadhoofisha afueni iliyoanza kupatikana baada ya #COVID19
Soma - https://jamii.app/VitaUchumi
#Economy
Ripoti inasema kiwango cha uharibifu wa Kijeshi kutadhoofisha afueni iliyoanza kupatikana baada ya #COVID19
Soma - https://jamii.app/VitaUchumi
#Economy
π1
MICHEZO: Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Yusuph Singo amesema Serikali ina imani na Bondia Twaha Kiduku ktk pambano lake na Alex Kabangu wa DRC litakalofanyika Machi 26, 2022 Mkoani Morogoro
Soma https://jamii.app/KidukuMach26
#JFSports
Soma https://jamii.app/KidukuMach26
#JFSports
Msanii wa Filamu, Steven Mengele (Steve Nyerere), leo Machi 25, 2022 ametangaza kujiuzulu nafasi ya Usemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania (SMT)
Amesema βNimejiuzulu kwasababu sioni kama hizi kelele zina tija kwa Taifa. Nimeamua kuachiaβ
Soma - https://jamii.app/SteveResigns
#Sanaa
Amesema βNimejiuzulu kwasababu sioni kama hizi kelele zina tija kwa Taifa. Nimeamua kuachiaβ
Soma - https://jamii.app/SteveResigns
#Sanaa
Je, Unafahamu kwanini Kwenye usafirishaji haramu wa Binadamu wasafirishaji huwapeleka mbali waathirika ikiwemo kuwavukisha mipaka ya Mkoa au Nchi?
Lengo la kufanya hivi ni ili kumtenganisha Mwathirika na Mazingira aliyoyazoea. Ni vigumu kwa Waathirika kutafuta msaada kama hawajui Jiografia, Lugha, Utamaduni na mpangilio wa Mazingira mapya ili waendelee kunyonywa
Soma - https://jamii.app/BoardersHumanTraff
#HumanTrafficking
Lengo la kufanya hivi ni ili kumtenganisha Mwathirika na Mazingira aliyoyazoea. Ni vigumu kwa Waathirika kutafuta msaada kama hawajui Jiografia, Lugha, Utamaduni na mpangilio wa Mazingira mapya ili waendelee kunyonywa
Soma - https://jamii.app/BoardersHumanTraff
#HumanTrafficking
#DigitalRights: Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania imewaonya wanaofanya vitendo vya udhalilishaji kwa Wanawake Mitandaoni, ikisema kufanya hivyo ni kosa kwa mujibu wa Sheria za Nchi na kunaweza kusababisha kutozwa faini, kufungwa jela au vyote kwa pamoja
Soma > https://jamii.app/TCRA
Soma > https://jamii.app/TCRA
DODOMA: Rais Samia amesema kwa bajeti ya Mwaka wa Fedha 2022/23, Serikali itaongeza fedha kwa Majeshi ya Ulinzi na Usalama ili wapunguze muda wanaotumia ktk Shughuli za Uzalishaji kwa kuwa shughuli hizo zinapunguza muda wa Shughuli za Medani
Soma https://jamii.app/UzalishajiMajeshi
Soma https://jamii.app/UzalishajiMajeshi
RAIS SAMIA: HATUWEZI KUAJIRI WATU WAPYA KILA MWAKA
Amesema βHaina maana kama Mtu ana cheo akabaki Ofisini hana kazi. Nina hakika kuna Watu wanazurura kwenye korido za Ofisi hawana kazi"
Ameongeza βMsitulazimishe kuajiri Watu wapya kwasababu Watu wengi wamepanda vyeo vinginevyo mtanifanya sasa nisipandisheβ
Soma - https://jamii.app/SamiaKaziMwaka
Amesema βHaina maana kama Mtu ana cheo akabaki Ofisini hana kazi. Nina hakika kuna Watu wanazurura kwenye korido za Ofisi hawana kazi"
Ameongeza βMsitulazimishe kuajiri Watu wapya kwasababu Watu wengi wamepanda vyeo vinginevyo mtanifanya sasa nisipandisheβ
Soma - https://jamii.app/SamiaKaziMwaka
Rais Samia Suluhu amelitaka Jeshi la Magereza kulinda maeneo yake ili kuepuka migogoro na amekosoa tabia ya Askari Magereza kugawiana maeneo kiholela
> Pia, amelitaka Jeshi hilo kutenga maeneo yatakayotumika kama zawadi kwa Wastaafu wa Magereza
Soma https://jamii.app/ArdhiMagereza
> Pia, amelitaka Jeshi hilo kutenga maeneo yatakayotumika kama zawadi kwa Wastaafu wa Magereza
Soma https://jamii.app/ArdhiMagereza
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Misamaha ya Wafungwa huenda kwa matukio maalum, ukitoa misahama mingi Magereza yatakosa nguvukazi
> Asema ni vyema nguvu ielekezwe kwny kupunguza Mahabusu kwa kuwa hawafanyi kazi na wako idadi sawa na Wafungwa
Soma https://jamii.app/MisamahaWafungwa
> Asema ni vyema nguvu ielekezwe kwny kupunguza Mahabusu kwa kuwa hawafanyi kazi na wako idadi sawa na Wafungwa
Soma https://jamii.app/MisamahaWafungwa
AQABA, JORDAN: Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipokuwa ktk Mkutano wa Kujadili Usalama eneo la Kusini Mashariki mwa Afrika amesema Tanzania itaendelea kuisaidia Msumbiji kupambana na Ugaidi
> Waziri Mkuu amemuwakilisha Rais Samia kwenye mkutano huo
Soma - https://jamii.app/TZUgaidi
> Waziri Mkuu amemuwakilisha Rais Samia kwenye mkutano huo
Soma - https://jamii.app/TZUgaidi
DAR: Wafanyakazi wa Kiwanda cha Pepsi (SBC LTD) Dar es Salaam, wameiomba Serikali kusimamia maslahi yao wakidai kuwepo kwa madhila ikiwemo kufanya kazi bila mikataba, udhalilishaji kazini na dhuluma ya maslahi
Soma - https://jamii.app/AjiraTZ
#JamiiForums #Ajira
Soma - https://jamii.app/AjiraTZ
#JamiiForums #Ajira
π1
MDAU: MTOTO WA KIUME NAYE ANA HISIA, ACHA KUMKATAZA KULIA
Tabia hii inawafanya Watoto wakue ktk misingi ya kuamini Watoto wa kiume hawatakiwi kulia/kuumia
Wanapokua hujikuta wakibeba mambo mengi Moyoni na kushindwa kuhimili Msongo wa Mawazo
Soma https://jamii.app/CryingBoys
#Malezi
Tabia hii inawafanya Watoto wakue ktk misingi ya kuamini Watoto wa kiume hawatakiwi kulia/kuumia
Wanapokua hujikuta wakibeba mambo mengi Moyoni na kushindwa kuhimili Msongo wa Mawazo
Soma https://jamii.app/CryingBoys
#Malezi
ULAYA YAKATAA KUNUNUA GESI KWA FEDHA YA KIRUSI
Rais wa #Ufaransa, Emmanuel Macron amepuuzia takwa la Urusi kutaka Mataifa ya Ulaya kununua Gesi kwa Fedha ya Kirusi
Amesema Urusi inafanya hivyo ili kukwepa vikwazo kutokana na uvamizi wake #Ukraine
Soma - https://jamii.app/UrusiGesi
Rais wa #Ufaransa, Emmanuel Macron amepuuzia takwa la Urusi kutaka Mataifa ya Ulaya kununua Gesi kwa Fedha ya Kirusi
Amesema Urusi inafanya hivyo ili kukwepa vikwazo kutokana na uvamizi wake #Ukraine
Soma - https://jamii.app/UrusiGesi
MDAU: MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUCHAGUA WAZO LA BIASHARA
1. Chagua wazo unalolipenda na kulimudu: Kanuni mojawapo ya kufanikiwa ni kupenda kile unachokifanya
2. Zingatia upatikanaji wa Fedha: Hakikisha wazo unalolichagua utaweza kupata Fedha za kutosha ili kulitekeleza
3. Angalia uhitaji wa Soko: Unapoangalia uhitaji wa soko utachagua Biashara ambayo itauzika
Soma - https://jamii.app/BiasharaWazo
#Business
1. Chagua wazo unalolipenda na kulimudu: Kanuni mojawapo ya kufanikiwa ni kupenda kile unachokifanya
2. Zingatia upatikanaji wa Fedha: Hakikisha wazo unalolichagua utaweza kupata Fedha za kutosha ili kulitekeleza
3. Angalia uhitaji wa Soko: Unapoangalia uhitaji wa soko utachagua Biashara ambayo itauzika
Soma - https://jamii.app/BiasharaWazo
#Business
JE, WAJUA KUHUSU βSAA YA DUNIAβ?
Tangu 2007 Dunia hutumia Jumamosi ya Mwisho ya Machi kuadhimisha Saa ya Dunia, ambapo taa za umeme huzimwa kwa saa 1 kuanzia Saa mbili na nusu hadi saa tatu na nusu usiku
> Hii hufanywa kutambua umuhimu wa Asili
Soma https://jamii.app/EarthHour
Tangu 2007 Dunia hutumia Jumamosi ya Mwisho ya Machi kuadhimisha Saa ya Dunia, ambapo taa za umeme huzimwa kwa saa 1 kuanzia Saa mbili na nusu hadi saa tatu na nusu usiku
> Hii hufanywa kutambua umuhimu wa Asili
Soma https://jamii.app/EarthHour
TWAHA KIDUKU AMTWANGA MKONGO, ALEX KABANGU
Bondia wa Tanzania, Twaha Kassim amempiga kwa point Bondia wa DR-Congo, Alex Kabangu katika pambano la round nane
> Kwa Ushindi huo, Twaha amejitwalia mkanda wa UBO-Super Middle Weight ambao ulikuwa wazi
Soma https://jamii.app/TwahaVsKabangu
Bondia wa Tanzania, Twaha Kassim amempiga kwa point Bondia wa DR-Congo, Alex Kabangu katika pambano la round nane
> Kwa Ushindi huo, Twaha amejitwalia mkanda wa UBO-Super Middle Weight ambao ulikuwa wazi
Soma https://jamii.app/TwahaVsKabangu