#UKRAINE YARUHUSU MATUMIZI YA CRYPTOCURRENCY
Rais Volodymyr Zelensky ameruhusu matumizi ya Cryptocurrency baada ya utendaji wa Benki kuzorota kutokana na mzozo unaoendelea
> Kampuni za Cryptocurrency zitaruhusiwa kuwa na akaunti ktk Benki
Soma https://jamii.app/UkraineCryptocurrency
Rais Volodymyr Zelensky ameruhusu matumizi ya Cryptocurrency baada ya utendaji wa Benki kuzorota kutokana na mzozo unaoendelea
> Kampuni za Cryptocurrency zitaruhusiwa kuwa na akaunti ktk Benki
Soma https://jamii.app/UkraineCryptocurrency
π1
TMDA YAPIGA MARUFUKU KUVUTA SIGARA HADHARANI
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imekataza matumizi ya bidhaa za tumbaku maeneo yasiyo rasmi ili kulinda Afya ya Jamii
Watumiaji watatakiwa kutengewa maeneo yenye vibao ili kulinda Afya za wasiotumia
Soma https://jamii.app/SigaraTMDA
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imekataza matumizi ya bidhaa za tumbaku maeneo yasiyo rasmi ili kulinda Afya ya Jamii
Watumiaji watatakiwa kutengewa maeneo yenye vibao ili kulinda Afya za wasiotumia
Soma https://jamii.app/SigaraTMDA
DAR: Jeshi la Polisi limewakamata watu 11 kwa kuwatapeli Masista wa Kanisa Katoliki Tabora Tsh. milioni 100 kwa kujifanya wanamiliki na kuuza viwanja vya makazi ambavyo sio vyao
> Matukio hayo yametokea kati ya Januari na Februari 2022
Soma > https://jamii.app/Utapeli
#JFMatukio
> Matukio hayo yametokea kati ya Januari na Februari 2022
Soma > https://jamii.app/Utapeli
#JFMatukio
USWISI: BENKI ZATANGAZA KUZUIA ZAIDI YA TSH. TRILIONI 350 ZA WARUSI
Uswisi imetangaza kuwa na zaidi ya Dola Bilioni 160 (Takriban Tsh. Trilioni 372) zilizowekwa na Warusi. Fedha hizo zinazuiwa kutokana na vikwazo vilivyowekwa na EU dhidi ya Urusi
Soma - https://jamii.app/UswiziFedha
Uswisi imetangaza kuwa na zaidi ya Dola Bilioni 160 (Takriban Tsh. Trilioni 372) zilizowekwa na Warusi. Fedha hizo zinazuiwa kutokana na vikwazo vilivyowekwa na EU dhidi ya Urusi
Soma - https://jamii.app/UswiziFedha
Pamoja na Serikali kukusanya mapato kwa asilimia 95, bado kumekuwa na changamoto katika usimamizi wa Mfuko Mkuu wa Serikali
Kwa Mwaka 2019/20, kiasi cha Tsh. bilioni 132.08 kutoka Mapato ya ndani ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa kilitumika bila kuripotiwa kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali
Kiasi hiki kimepungua kwa asilimia 76 kutoka kiasi cha Tsh. bilioni 553.38 kwa Mwaka 2018/19.
#JamiiForums #Accountability #JFUwajibikaji #WAJIBU
Kwa Mwaka 2019/20, kiasi cha Tsh. bilioni 132.08 kutoka Mapato ya ndani ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa kilitumika bila kuripotiwa kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali
Kiasi hiki kimepungua kwa asilimia 76 kutoka kiasi cha Tsh. bilioni 553.38 kwa Mwaka 2018/19.
#JamiiForums #Accountability #JFUwajibikaji #WAJIBU
MBOWE: SISI SIO MAGAIDI, KOSA LETU NI KUSEMA UKWELI
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amesema nafasi ya Chama hicho katika #Siasa na kuwa Chama Kikuu cha Upinzani imejengwa kwa Imani na Wananchi na kwa kuwa Watu wamefanya kazi
Soma - https://jamii.app/MbowePress
#JFLeo
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amesema nafasi ya Chama hicho katika #Siasa na kuwa Chama Kikuu cha Upinzani imejengwa kwa Imani na Wananchi na kwa kuwa Watu wamefanya kazi
Soma - https://jamii.app/MbowePress
#JFLeo
MBOWE: KAULI YA CCM KWA POLISI, IGP SIRRO ALITAKIWA KUJIUZULU
Amesema CHADEMA wamekuwa wakihubiri sana kuhusu Jeshi la Polisi
"Tumeshasema sana kwamba Jeshi la Polisi linaonea Watu. Hata huko Magereza kumejaa sababu ya Uonevu wa Jeshi la Polisi"
Soma - https://jamii.app/MbowePress
Amesema CHADEMA wamekuwa wakihubiri sana kuhusu Jeshi la Polisi
"Tumeshasema sana kwamba Jeshi la Polisi linaonea Watu. Hata huko Magereza kumejaa sababu ya Uonevu wa Jeshi la Polisi"
Soma - https://jamii.app/MbowePress
Balozi wa Marekani Umoja wa Mataifa (UN), Linda Thomas-Greenfield amesema mzozo kati ya Urusi na #Ukraine sio Vita Baridi hivyo Nchi za Afrika haziwezi kubaki kati kwa kutounga mkono upande wowote
Asema hakuna Msingi wa kutoegemea upande wowote
Soma - https://jamii.app/UpandeAfrika
Asema hakuna Msingi wa kutoegemea upande wowote
Soma - https://jamii.app/UpandeAfrika
MBOWE: HAKI HAITAWALI, VINAVYOTAWALA NI SHERIA NA KATIBA
M/kiti wa CHADEMA Taifa amesema Haki ni mkusanyiko wa vitu vingi vinavyowekewa utaratibu ktk Nchi
Ameongeza "Tutapambana kuhakikisha tunaipata #Katiba, hii ni ajenda ya CHADEMAβ
Soma - https://jamii.app/MbowePress
#Democracy
M/kiti wa CHADEMA Taifa amesema Haki ni mkusanyiko wa vitu vingi vinavyowekewa utaratibu ktk Nchi
Ameongeza "Tutapambana kuhakikisha tunaipata #Katiba, hii ni ajenda ya CHADEMAβ
Soma - https://jamii.app/MbowePress
#Democracy
RAIS SAMIA: KAULI YANGU HAIATHIRI MAAMUZI YA MAHAKAMA
Akihojiwa na BBC Swahili, amesema kauli aliyowahi kuitoa kuhusu Kesi iliyokuwa inakabili Freeman Mbowe haikuathiri maamuzi ya Mahakama
Amesema kesi hiyo haijatia doa Utawala wake
Soma - https://jamii.app/AthariKauli
#JFLeo
Akihojiwa na BBC Swahili, amesema kauli aliyowahi kuitoa kuhusu Kesi iliyokuwa inakabili Freeman Mbowe haikuathiri maamuzi ya Mahakama
Amesema kesi hiyo haijatia doa Utawala wake
Soma - https://jamii.app/AthariKauli
#JFLeo
MDAU: JAMII KUTOWAJALI WANAUME HUSABABISHA KUNDI HILI KUFARIKI MAPEMA
Anasema licha ya uchache wa Wanaume kiidadi katika Sensa, bado wanatangulia kufariki zaidi na kuacha Wake zao wakihangaika na Watoto
Anasema inachangiwa na Jamii kutowajali sana Wanaume. Asasi nyingi huhangaika na masuala ya Wanawake. Kesi za Wanaume kunyanyaswa hazisikilizwi kwa kutiliwa maanani kama za Wanawake na Watoto
Soma - https://jamii.app/WanaumeIssues
#GenderEquity
Anasema licha ya uchache wa Wanaume kiidadi katika Sensa, bado wanatangulia kufariki zaidi na kuacha Wake zao wakihangaika na Watoto
Anasema inachangiwa na Jamii kutowajali sana Wanaume. Asasi nyingi huhangaika na masuala ya Wanawake. Kesi za Wanaume kunyanyaswa hazisikilizwi kwa kutiliwa maanani kama za Wanawake na Watoto
Soma - https://jamii.app/WanaumeIssues
#GenderEquity
VITA YA URUSI NA #UKRAINE: Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) inapanga kuchangisha Dola Bilioni 1 (sawa na Tsh. Trilioni 2.3) ili kupambana na uhaba wa chakula unaotokana na vita hiyo
Nchi nyingi Afrika zinategemea Urusi na Ukraine kupata chakula
Soma - https://jamii.app/AfrikaChakula
Nchi nyingi Afrika zinategemea Urusi na Ukraine kupata chakula
Soma - https://jamii.app/AfrikaChakula
MDAU: NGUZO YA KWANZA KWENYE MTAJI WA MAFANIKIO NI AFYA NJEMA
Anasema neno #Afya njema si tu kutokuwepo kwa Magonjwa au udhaifu wa Mwili, bali pia kuwa na Jamii safi, salama na inayostawi
Afya njema ni uhusiano mwema na Mwili wako kwa kuupa unachostahili. Mtu asiyeona umuhimu wa Afya yake ni sawa na asiyejali Gari lake
Msome - https://jamii.app/AfyaMafanikio
#HealthCare
Anasema neno #Afya njema si tu kutokuwepo kwa Magonjwa au udhaifu wa Mwili, bali pia kuwa na Jamii safi, salama na inayostawi
Afya njema ni uhusiano mwema na Mwili wako kwa kuupa unachostahili. Mtu asiyeona umuhimu wa Afya yake ni sawa na asiyejali Gari lake
Msome - https://jamii.app/AfyaMafanikio
#HealthCare
π1
Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza, David Cameron anaendesha lori kuelekea Nchini Poland ili kutoa msaada kwa wakimbizi wa #Ukraine
Miongoni mwa misaada inayotarajiwa kutolewa ni pamoja na nguo, nepi na mahitaji ya huduma ya kwanza
Soma > https://jamii.app/UKUkraine
#JamiiForums
Miongoni mwa misaada inayotarajiwa kutolewa ni pamoja na nguo, nepi na mahitaji ya huduma ya kwanza
Soma > https://jamii.app/UKUkraine
#JamiiForums
RAIS SAMIA: TUTAFANYA MABADILIKO POLISI
Amesema mapendekezo yaliyotolewa na Tume zilizoundwa kuchunguza matukio ya Jeshi la Polisi yataleta mabadiliko kidogo ndani ya Jeshi hilo
Rais Samia ameeleza hayo wakati akihojiwa na MCL
Soma > https://jamii.app/SamiaPolice
#JamiiForums
Amesema mapendekezo yaliyotolewa na Tume zilizoundwa kuchunguza matukio ya Jeshi la Polisi yataleta mabadiliko kidogo ndani ya Jeshi hilo
Rais Samia ameeleza hayo wakati akihojiwa na MCL
Soma > https://jamii.app/SamiaPolice
#JamiiForums
Wizara ya Mambo ya Nje ya #Bulgaria imesema Wanadiplomasia 10 wa Urusi hawahitajiki tena na kuwapa Saa 72 kuondoka
Hii ni mara ya pili kwa Wanadiplomasia wa Urusi kuamriwa kuondoka Bulgaria. Wengine wawili walifukuzwa Machi 2
Soma - https://jamii.app/BulgariaBanRussia
#RussiaUkraineWar
Hii ni mara ya pili kwa Wanadiplomasia wa Urusi kuamriwa kuondoka Bulgaria. Wengine wawili walifukuzwa Machi 2
Soma - https://jamii.app/BulgariaBanRussia
#RussiaUkraineWar
KIGOMA: MAJAMBAZI WAUA MFANYABIASHARA NA KUPORA FEDHA
Daglas Kinungunyi, Mfanyabiashara na Mkazi wa Nyamidaho Wilayani Kasulu ameuawa kwa kupigwa risasi Mkono wa kulia na kwenye Nyonga kisha kuporwa Fedha ambazo hazijajulikana kiasi chake
Soma - https://jamii.app/MajambaziKasulu
#JFLeo
Daglas Kinungunyi, Mfanyabiashara na Mkazi wa Nyamidaho Wilayani Kasulu ameuawa kwa kupigwa risasi Mkono wa kulia na kwenye Nyonga kisha kuporwa Fedha ambazo hazijajulikana kiasi chake
Soma - https://jamii.app/MajambaziKasulu
#JFLeo
BIDEN AIONYA CHINA KUHUSU KUISAIDIA URUSI
Rais wa #Marekani, Joe Biden amemuonya Rais wa #China, Xi Jinping ikiwa wataisaidia vifaa vya kivita #Urusi
> Aidha, Rais Xi ametoa wito kwa NATO kuzungumza na Urusi ili kuondoa mzizi wa mgogoro uliopo
Soma https://jamii.app/ChinaUrusi
Rais wa #Marekani, Joe Biden amemuonya Rais wa #China, Xi Jinping ikiwa wataisaidia vifaa vya kivita #Urusi
> Aidha, Rais Xi ametoa wito kwa NATO kuzungumza na Urusi ili kuondoa mzizi wa mgogoro uliopo
Soma https://jamii.app/ChinaUrusi
BRAZIL: TELEGRAM YAZUILIWA KWA KUTOFUATA SHERIA
Mahakama Kuu imezuia matumizi ya Telegram baada ya kutofuata Sheria inayotaka udhibiti wa taarifa zisizo sahihi
#Telegram inatumiwa sana na Rais Jair Bolsonaro na wafuasi wake
Soma - https://jamii.app/TelegramBrazil
#DigitalRights
Mahakama Kuu imezuia matumizi ya Telegram baada ya kutofuata Sheria inayotaka udhibiti wa taarifa zisizo sahihi
#Telegram inatumiwa sana na Rais Jair Bolsonaro na wafuasi wake
Soma - https://jamii.app/TelegramBrazil
#DigitalRights